MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOPAKWA MAFUTA ya MAITI, BAADA ya KUPOTEZA FAHAMU SIKU 90 | HARD TALK
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOPAKWA MAFUTA ya MAITI, BAADA ya KUPOTEZA FAHAMU SIKU 90 | HARD TALK
KWENYE HARD TALK ya wiki hii na Lilian Mwasha, mgeni ni Maxmilian Rioba Mkurugenzi wa kampuni ya Aunthentic Media Group ambaye ameeleza mengi juu ya maisha yake ikiwemo kupoteza fahamu kwa siku 90 huku akichukuliwa kimaajabu kwenda ulimwengu mwingine wakati baba mdogo akiwa tayari ameandaa taratibu za mazishi...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
😥😥😢😢, tutubu kila saa hatujui muda na saa ya kuondoka kwetu.
Mbingu ipo.
Huu ushuhuda 😭😭😭
¹1
Nampenda huyu kaka jaman toka kwenye karma ni bonge moja la muigizaji
Exclusive… unge tengenezea movie hii Max
Pole kwa mitihani Sisi waislaam Huwa tunasema Mungu anampa mtihani mtu anaempenda,Na umeongea maneno mazito kwa mwenye kuelewa ukiulizwa maneno ya Yesu utajibu yupo na Anafanya KAZI na ukiulizwa kuhusu Mungu utajibu yupo na Anafanya kazi,swali langu kaka anguu ni hili jeee unasujudu? kwa mtazamo wangu naona🤔Imani Yako Iko vizuri ujamshirikisha Mungu Kila Mmoja umempa nafasi yake,natamani nikusikilize zaidi, maana ukristo Wako uko tofauti Na ukristo WA Sasa ,na nilipenda pia ufafanuwe sujudu kwa mtazamo Wako ,
Sio mafuta ya maiti Lilian ni mafuta ya mpako wa wagonjwa
Ukiniuliza habari zaMungu nitakwambia yupo anafanya kazi. Very powerful Asante kaka Max Mungu azidi kukubariki
OUR GOD IS A LIVING GOD, WHO MAKES THE IMPOSSIBLE POSSIBLE 🙏🙏🙏 GREAT INTERVIEW MISS LILIAN MWASHA
Nimejikuta Nalia😭😭Imani imezidi kuongezeka Mungu yupo na anaishi na unachomuomba anakujibu🙏
Hii story imenipa nguvu zaid jaman tumwamini mungu yupo na tuzidi kumwamini tunapokutana na changamoto zetu
Amen amen . Anza kuhumhubiri huyu Mungu aliyekuponya ili wengine wapate kumuona kwa kupitia kwako
Ila huyu dada inabidi atupe nayeye history yake mana mpaka ukimuona kijana karudi kwamungu lzm kuna jambo ntk nijue nani atamuhoji dada lilian
Lillian ameshituk et Hakunamusoc🍛😍😂🤣
Pole bro mungu yuko pamoja nawe bado Amen
Mungu akubariki kaka nimejifunza kitu kutoka Kwako
Story yake inarelate na yangu kidgo Sana kwa Habari ya geti na ukuta na hizo hqrufu
Ilikuaje... Samahan kama hutojal.. natamani kusikia
Namkubali Sana Max Rioba anaakili kubwa sana
Asante sana! 🙏🙏🙏
Kabsa dear
@@maxrioba pia nakukubali sana kaka max, mungu akulinde kwa ajil yetu tukupendao katika bwana
@@maxrioba Maxrioba si ulisema wewe sio mzungu kwa baba chanja wa Hi kumbe umeuchapa mwingi marekani. Mungu akubariki sana, siachi kuku watch kwenye clips za women matters.
Kwakweli kaka huyu Bwana azidi kukutumia nazani nimbaraka kutizama chanel hii napata nguvu ya kushinda
Kwani huyu kaka ni nani jamani? Yaani amenibadilisha kwa muda mfupi niliomsikiliza, nikama nilikuwa kanisani. Kaka Mungu akubariki sana..
ni actor wa tanzania
@@mariajemutai2968 asante Maria wangu.
@@happylynguya3464 karibu 😀
Ni mkaka flani ivi amaizing.... Ana madini ya hakika . Alikua manager kwa baadhi ya wasanii, anaimba vizuri sanana, Sasa amejeukia katika uzalishaji kazi za uigizaji....
Kuhusu IMANI Leo ndo nimeshangazwa na naendelea kujifunza kwake.
@@hellenmawere9284 Yuko vizuri sana.
Wow Lilian...this story was a bit eerie gave me chills...your interviews are unique and spiritually uplifting. Luv your program! Suggestion show us pics of like Max sister , mom etc is he Ayub Rioba's son? Nasubiri part 2! Be blessed sana sana!
Aisee M/Mungu yupo na kunamaisha baada yakifo namaishayetu tumtegemee yeye tu
Pole my Brother Tunamshukuru MUNGU kwa Maisha yako
This guy is a liar. Alirudi nyumbani because of other legal laws and bad behaviors he did. He knows the truth. He is a fraud.
Nimeskia shuhuda lakini hii wueee Max anapendwa na Mungu. Much love from Kenya
Huyo mtu Angekua mwafrika je?
hakika mungu yupo...Glory to de most high God
MUNGU anakusudi na wewe karibu umtumikie
HAKIKA MUNGU NI MKUU
Simulizi ya maisha ya max imenigusa sana,wewe ni jasiri,mvumilivu,na una imani sana,zaidi ya yote ni mpambanaji,nakuombea mwenyezi mungu akupandishe viwango vya juu zaidi ya hapo ulipo maana umeteseka mno.
Max mungu ni mwema na anakupenda sana kaka imani ndio kila kitu kwenye maisha 🙏
Ukiona mwanaume Amelia 🙌🙌🙌🙌🙌🙌..... Mungu utukuzwe
Glory to Jesus(Rafiki)
Lillian Mwasha you're so professional and you allow your guest to express themselves! Glory to God for what He is doing in your life!
Sending you love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Exactly
Mbarikiwe sana kabisa ume ona Mkono wa Mungu ,, Kaka simama na Yesu Kristo yoko Pamja na wewe. Amen 🙏
Boyfriend wa Taifa we thank God for your life! Ishi sana Huna Baya!
Hahaha
Kilicho msaidia uyu kaka baba muombaji baba mtoaji sadaka kuna makazi mbinguni
nimependa mahojiano yako na Mwasha imegusia moyo wangu kiasi kama napambana kama wewe japo magonjwa ni tofauti.
Pole sana My boyfriend Max😘😘. Lakini madokta wa Tz mnazingua..GERD disease mkafanya oparesheni mara mingi mara kwenye kifua kwani hamfanyi vipimo kabla ya kufanya upasuaji🙄Kulingana na max hamkugundua kama ni GERD ni kama Max amekuja kugundua ukubwani
Mungu anatumia njia nyingi kuongea na kufikishia watu wake kwa hiyo hilo lilikuwa kusudi la Mungu...
Max mapito uliyopitia ni dhahiri Mungu ana makusudio makubwa kwako. ILA nimeshangaa ujasiri wa Baba yako mzazi kukufukuza eti kwa sababu ulifeli mitihani ya shule. Alikosaje hofu ya Mungu baaba ya mapito magumu mliyopitia familia?
Believe me, nampenda sana baba yangu. Asingenitimua Huenda ningekuwa nateseka sana leo 😂
@@maxrioba Ni kweli. Maamuzi magumu aliyochukua ndiyo ilikuwa njia ya mafanikio yako. Kwa mawazo ya kibinadamu ni ngumu kuelewa alichokifanya, LAKINI kumbe ulikuwa ni mpango wa Mungu. Bila shaka alipata maono. Hongera sana Brother.
Hiyo ni miujiza ya mungu, wewe ni mtu wa kheri
I am really blessed with his story 🙏huo wito kaka wakat umefka uifanye kazi ya Mungu
Mungu anakuhitaji umtumikie na utazidishiwa Zaid ya hapo , Mungu yupo 😭😭 imani imezidi mara dufu baada ya kusikiliza hii story
Very humble guy 👦 👌 🙏 🙌
Hapo lili umemchora yesu ukaamua kumuuliza km mrefu kwNn usiseme mfupi
Max kaka ashukuriwe Yesu upo Tanzania maana kuzimia siku 90 ingekuwa Oman ukizimia dakika 10 wewe ni kaburini. Asante madaktar wa Tanzania kwa subra.
Hahaha nimecheka mm kweli kabisaaa omani sijui niwaogaa au vp
aki yani angezinguka yuko kaburini maan hee wenzetu ni noma san
@@sharmelasaif47 kusem ukweli wanazik watu wanaopumua
@@sharmelasaif47 omani mtu akifa hachukui masaa wanazika yani unazikwa wamoto kiukweli nihatari
🤣🤣😂😂😂😂JAMANI MBONA KABURINI
😭😭😭😭😭
YESU NI RAFIKI.ANAKUPENDA SANA.AMEN
Lilian Mwasha the best interviewer🤗🤗🤗🤗
😥😥Mungu yupo na anaishi naimani naye
Kwakweli Kaka umenifundisha kitu kwakweli barikiwa sn Tena zaidi ya sn maana hii story nilikuwa naiona lkn naipita tuu ila kunakitu kimenisukuma kuickiza now aisee Mungu yupo
I real love you @LilianMwasha
Lily unanifurahisha maswali yako, I guess unajaribu kuvaa kiatu cha Max, love u Lillian Mwasha
Et dada Lilian tuambie chochote basi kuhusu Monica na katibu
Max wewe ni mtumishi wa Bwana Yesu. Unachelewa na mambo mengine, He is your truly friend! Mtumikie kwa kazi za Ukuhani🙏
Jameni mi nilimpenda huyu kaka tokea nilianza kuangalia women matters ,Max you are amazing man
mungu anakupenda nimesikia estor yote nimetowa machozi
God is always Good
Dada Lillian nakupenda sana. Yani leo umependeza kweli kila yani kufunga kitamba unapendeza kweli. Mwenyezi mungu azidi kuwa na wewe.
Amependeza nini unawaza kutombwa tuu
mmh
Mko vizuri sanaa, ila naulizaje ile simulizi ya cloud bayo imeishia wapi!!??🙄🙄
Alaaa!!! Nahofia wangekuzika masikin duh
Tuwekee sehemu ya pili nachungulia kila mara
Da lily shkamooo nahitaji ushauri wako kwakwel mm kama mama Kuna kitu kinaniumiza sana
Sometime is good to listen testmony lt encourage us more Mungu apewe sifa
Hardtalk naomba aunty sadaka
Max mungu nimwema sana na bado anakuitaji,mama yangu alizimia mwenzi mmoja alifanyiwa upasuaji wa tumbo alikuwa na uvimbe,aliniambia uwa wanakuwa sehem zuri sana na imetulia na inapendeza nikajua ananiongopea ili niwe na amani kumbe nikweli,nimejifunza kitu apa
Hizo siyo valve unazozizungumzia zinaitwa sphicter muscles. They control the movement of food to and from the stomach.
wakristo oyeeeeee kwel mungu ni imani na ni wajibu kuamin ila duuuuuh
I don’t want to judge from personal perspective as people talk Max knows about his life which is non of my business but today he has opened my 6th sense now I know the value of life and life after life we have all been given second chance by God in different ways let’s all value and respect that we always forget our promises to him is the time we fulfill what we promised him after passing those stones (one love)
Ee Mungu nisaidie kupitia story hii nipate uponyaji wa haraka. Ushuhuda wa kristu ndio roho ya unabii
Mm nakumbuka sikuamka siku tatu but it's like true unaishi kama ndoto I can still remember those moments
Kumbee dah
Hiyo condition inaweza kuwa inaitwa Achalasia (not sure though). Pole Sana.
Wewe ni Mtumishi wa MUNGU upo hai Kwasababu maalumu mtumikie MUNGU
Thanks Lilian for this, Max you are a blessing to many and indeed Wema is a sweetheart
Huyo alikua malaika lakini kumbe wewe bado ulikua waduniani
Hakika nimebarikiwa sana lkn pia nimejengeka zaidi kwenye imani yangu kwa MUNGU.
Lilian mwanajeshi wa Yesu ❤️❤️❤️
A solder
Well scripted 'interview'...🙃😂
Amina, MUNGU yupo na anafanya Kazi.
Asante sana Max nimejifunza kitu kikubwa sana kwako ubarikiwe
Lilian this guy his story is like my grandma story she passed like two days. Then we cried then when she wake she said she went to heaven and come back saying she reached at the gate saw told by the gate man of heaven not get in and she was told to come back. His story is honestly same as my grandmother.
Kristu nintumaini letu naona hizo sauti unijia mara nyingi masikioni mwangu
Mtumikie Mungu kaka🙏
Mungu tusaidie....nimekuwa mtu mpya ghafla
Hivi nani alituaminisha kuwa mtu mwema ni mzungu? Kwa hiyo angekuwa mweusi sio haleluya jaman Mungu atusaidie
I am blessed with this talk
MUNGU WANGU
Jesus name 🙏🙏🙏
Ndoto zinatupa hbr fulani fulani
Glory be to God, smart guy
Kweli mungu mkubwa muache aitwe mungu
Hivi Lilian unaongea kama vitu vya ukweli hiyo ni ile dawa, ilimfanya hivyo, eti harufu yahuko wapi kwahiyo unahisi mbinguni, wewe dada una drama sana 😂😂😂 dah
Some medication can cause hallucination and nightmares like dreams..I use to think this guy was educated and can use his common sense to raise above this nonses....I rest my case.
Tatizo lenu nyie wanadamu hata kama leo Mungu akimleta NABII WA ZAMANI TENA KUJA KUTUAMBIA KUWA TUACHE DHAMBI HAMTA MUHAMINI HATA KIDOGO CZ SIKU ZOTE BINADAMU NI MUASI
🤣🤣🤣swadacta bsi wangu ww umecomment vzr
@@mariamyoyote8172 kwahiyo unataka niamini kila unachoamini wewe, kila mtu akili kichwani mwake, mimi nilichoelewa hicho nasibadili mawazo, nihayo tu, ahsante
@@zeinababdi4757 😅😅😅
Kifo tunakiogopa lakinia hakuna aliyerudi inaonekana kuzuri huko asee umenipa imani fulani nzuri
Ukiwa sawa na Mungu ni raha otherwise upande wa pili ni mateso sana huwa wanatamani kurudi. Kama u mkristo soma habari ya maskini Lazaro na Tajiri
Maajabu ya Mungu
Waoooh glory to God🙏🙏🙏🙏
Daaa ulipata bahati ya kukutana na Yesu live jamani hadi raha , ni wachache waliopata neema hii ya kufa na kurudi
Hongera sanaa
Soon anaenda kuwa mchungaji na yeye 😂😂😂
Maisara Hakizimana, you just click my thought, is there anyone who is not a prophet in TZ? It is so funny how here in North America people dont have time for delusional ideas of faking religiosity 🤔🤔🤔🤔
I am not a prophet, I’m just an old sinner saved by grace! Also I am not planning to become a preacher (just so you know). The same God who’s done so much for me here in TANZANIA is the same in North America, South America and everywhere in the world. If for any reason my testimony offends you I am so sorry. Not everyone who testify about the goodness of the Lord is planning to be a prophet. Asante sana wa North America. Barikiwa na Mungu. 🙏
Hata Sina huo mpango. I tell you what though, soon Naenda kumwimbia Mungu. Switching my secular music and films to become gospel oriented. You will love my productions. I definitely will inspire you through art. Na ukimuona Mungu kwenye kazi zangu za sanaa inatosha. 🙏
@@maxrioba Natumai hujambo kijana wangu, nimependa kukuona na ninakuona sana ktk mikutano ya women matters. Mungu akuhifadhi. Amin.
@@maxrioba bro. Your story has touched many , even us in doubts about faith and stuffs... You got me bro... God bless you.
Mmmh napata mashaka qlijiunga na makanisa ya kiroho
Mtangazaji, umesikia uyo mtu alikua mzungu, ukasema 'aleluya'.....naomba niulize why umesemq 'aleluya'? Thanks
Hahahahaaa.....u've got brains
@@claudia1500 😁😁😁
Kweli hapo kwenye uzungu hata mimi sijaelewa, Mungu na Malaika zake pia wanaweza kuwa weusi sababu katuumba binadamu kwa sura na mfano wake, Yesu alikua mweusi
Asante Mungu
Kifo n kama umelala pale unapokuwa umempokea Yesu na kuishi maisha anayoyataka yy sio jina tu la ukristo kinyume cha hapo kifo kinatisha
Amen 🙏
Thank you Jesus!🙏🙏🙏🙌
Hivi kuna haja Gani Mtu uzungumze kiswahili mara kingereza . Mtu unatoa ushuhuda . Wakati anaemzungumzia alikua Nae kwenye ulimwengu Wa Roo alikua anazungumza Nae kiswahili. Sasa mbwembwe za nini Mara kizungu Mara kiswahili.
Kingereza ni lugha nzuri sana na tamu kuongea, ukiijua unatamani na kujisikia kuongea muda wote.
kaka Max je kumuimbia Mungu?
una sauti nzuri sana
Ulipata Neema ya kumuona Yesu umeokoka?
I believe his story 💯 % .
Wanawake tuna roho mbaya sn
Jamani mimi naamini mungu ila hii story ya uyo mtu na uyu kaka mhhh ninachoweza sema aliota uko usingizini cha msingi uliumwa mungu akakuponya ashukuliwe
Kwanini unapangia watu past zao? Hakushawishi