MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOPAKWA MAFUTA ya MAITI, BAADA ya KUPOTEZA FAHAMU SIKU 90 | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOPAKWA MAFUTA ya MAITI, BAADA ya KUPOTEZA FAHAMU SIKU 90 | HARD TALK
    KWENYE HARD TALK ya wiki hii na Lilian Mwasha, mgeni ni Maxmilian Rioba Mkurugenzi wa kampuni ya Aunthentic Media Group ambaye ameeleza mengi juu ya maisha yake ikiwemo kupoteza fahamu kwa siku 90 huku akichukuliwa kimaajabu kwenda ulimwengu mwingine wakati baba mdogo akiwa tayari ameandaa taratibu za mazishi...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 225

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 года назад +12

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @jullieabbie
      @jullieabbie 2 года назад

      😥😥😢😢, tutubu kila saa hatujui muda na saa ya kuondoka kwetu.
      Mbingu ipo.
      Huu ushuhuda 😭😭😭

    • @annamajwala3004
      @annamajwala3004 Год назад

      ¹1

    • @khadijaissa7298
      @khadijaissa7298 Год назад

      Nampenda huyu kaka jaman toka kwenye karma ni bonge moja la muigizaji

    • @ginatrends7835
      @ginatrends7835 Год назад

      Exclusive… unge tengenezea movie hii Max

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 2 года назад +4

    Pole kwa mitihani Sisi waislaam Huwa tunasema Mungu anampa mtihani mtu anaempenda,Na umeongea maneno mazito kwa mwenye kuelewa ukiulizwa maneno ya Yesu utajibu yupo na Anafanya KAZI na ukiulizwa kuhusu Mungu utajibu yupo na Anafanya kazi,swali langu kaka anguu ni hili jeee unasujudu? kwa mtazamo wangu naona🤔Imani Yako Iko vizuri ujamshirikisha Mungu Kila Mmoja umempa nafasi yake,natamani nikusikilize zaidi, maana ukristo Wako uko tofauti Na ukristo WA Sasa ,na nilipenda pia ufafanuwe sujudu kwa mtazamo Wako ,

  • @kabykim7175
    @kabykim7175 Год назад +4

    Sio mafuta ya maiti Lilian ni mafuta ya mpako wa wagonjwa

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 года назад +12

    Ukiniuliza habari zaMungu nitakwambia yupo anafanya kazi. Very powerful Asante kaka Max Mungu azidi kukubariki

  • @Adonai810
    @Adonai810 2 года назад +20

    OUR GOD IS A LIVING GOD, WHO MAKES THE IMPOSSIBLE POSSIBLE 🙏🙏🙏 GREAT INTERVIEW MISS LILIAN MWASHA

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Год назад +8

    Nimejikuta Nalia😭😭Imani imezidi kuongezeka Mungu yupo na anaishi na unachomuomba anakujibu🙏

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 2 года назад +7

    Hii story imenipa nguvu zaid jaman tumwamini mungu yupo na tuzidi kumwamini tunapokutana na changamoto zetu

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 2 года назад +6

    Amen amen . Anza kuhumhubiri huyu Mungu aliyekuponya ili wengine wapate kumuona kwa kupitia kwako

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    Ila huyu dada inabidi atupe nayeye history yake mana mpaka ukimuona kijana karudi kwamungu lzm kuna jambo ntk nijue nani atamuhoji dada lilian

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 2 года назад +5

    Lillian ameshituk et Hakunamusoc🍛😍😂🤣

  • @aminasaid308
    @aminasaid308 2 года назад +10

    Pole bro mungu yuko pamoja nawe bado Amen

  • @milley7185
    @milley7185 2 года назад +6

    Story yake inarelate na yangu kidgo Sana kwa Habari ya geti na ukuta na hizo hqrufu

    • @mariayoeni6657
      @mariayoeni6657 Год назад

      Ilikuaje... Samahan kama hutojal.. natamani kusikia

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 года назад +10

    Namkubali Sana Max Rioba anaakili kubwa sana

    • @maxrioba
      @maxrioba 2 года назад

      Asante sana! 🙏🙏🙏

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 года назад

      Kabsa dear

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 года назад +1

      @@maxrioba pia nakukubali sana kaka max, mungu akulinde kwa ajil yetu tukupendao katika bwana

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 2 года назад

      @@maxrioba Maxrioba si ulisema wewe sio mzungu kwa baba chanja wa Hi kumbe umeuchapa mwingi marekani. Mungu akubariki sana, siachi kuku watch kwenye clips za women matters.

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 Год назад

      Kwakweli kaka huyu Bwana azidi kukutumia nazani nimbaraka kutizama chanel hii napata nguvu ya kushinda

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 2 года назад +24

    Kwani huyu kaka ni nani jamani? Yaani amenibadilisha kwa muda mfupi niliomsikiliza, nikama nilikuwa kanisani. Kaka Mungu akubariki sana..

    • @mariajemutai2968
      @mariajemutai2968 Год назад +1

      ni actor wa tanzania

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Год назад +1

      @@mariajemutai2968 asante Maria wangu.

    • @mariajemutai2968
      @mariajemutai2968 Год назад

      @@happylynguya3464 karibu 😀

    • @hellenmawere9284
      @hellenmawere9284 Год назад +2

      Ni mkaka flani ivi amaizing.... Ana madini ya hakika . Alikua manager kwa baadhi ya wasanii, anaimba vizuri sanana, Sasa amejeukia katika uzalishaji kazi za uigizaji....
      Kuhusu IMANI Leo ndo nimeshangazwa na naendelea kujifunza kwake.

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Год назад

      @@hellenmawere9284 Yuko vizuri sana.

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 года назад +8

    Wow Lilian...this story was a bit eerie gave me chills...your interviews are unique and spiritually uplifting. Luv your program! Suggestion show us pics of like Max sister , mom etc is he Ayub Rioba's son? Nasubiri part 2! Be blessed sana sana!

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 года назад +4

    Aisee M/Mungu yupo na kunamaisha baada yakifo namaishayetu tumtegemee yeye tu

  • @enosmwangondaofficial8589
    @enosmwangondaofficial8589 2 года назад +4

    Pole my Brother Tunamshukuru MUNGU kwa Maisha yako

  • @Kay09-ue2wu
    @Kay09-ue2wu 4 месяца назад

    This guy is a liar. Alirudi nyumbani because of other legal laws and bad behaviors he did. He knows the truth. He is a fraud.

  • @joskyshams4758
    @joskyshams4758 Год назад

    Nimeskia shuhuda lakini hii wueee Max anapendwa na Mungu. Much love from Kenya

  • @joshuamakota6714
    @joshuamakota6714 2 года назад +3

    Huyo mtu Angekua mwafrika je?

  • @monicajuma3157
    @monicajuma3157 2 года назад +5

    hakika mungu yupo...Glory to de most high God

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 2 года назад +4

    MUNGU anakusudi na wewe karibu umtumikie

  • @priscakenedy5336
    @priscakenedy5336 Год назад

    HAKIKA MUNGU NI MKUU

  • @tinamahega9848
    @tinamahega9848 2 года назад +5

    Simulizi ya maisha ya max imenigusa sana,wewe ni jasiri,mvumilivu,na una imani sana,zaidi ya yote ni mpambanaji,nakuombea mwenyezi mungu akupandishe viwango vya juu zaidi ya hapo ulipo maana umeteseka mno.

  • @dottohami
    @dottohami Год назад +5

    Max mungu ni mwema na anakupenda sana kaka imani ndio kila kitu kwenye maisha 🙏

  • @leocadiabaranyikwa4047
    @leocadiabaranyikwa4047 Год назад +2

    Ukiona mwanaume Amelia 🙌🙌🙌🙌🙌🙌..... Mungu utukuzwe

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 2 года назад +11

    Glory to Jesus(Rafiki)

  • @vickyitenyo.
    @vickyitenyo. 2 года назад +18

    Lillian Mwasha you're so professional and you allow your guest to express themselves! Glory to God for what He is doing in your life!
    Sending you love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @pstthomasjeanclaude6534
    @pstthomasjeanclaude6534 Год назад +3

    Mbarikiwe sana kabisa ume ona Mkono wa Mungu ,, Kaka simama na Yesu Kristo yoko Pamja na wewe. Amen 🙏

  • @Kidotii
    @Kidotii 2 года назад +5

    Boyfriend wa Taifa we thank God for your life! Ishi sana Huna Baya!

  • @ladymacollection
    @ladymacollection Год назад +1

    Kilicho msaidia uyu kaka baba muombaji baba mtoaji sadaka kuna makazi mbinguni

  • @daudinyaruhucha6200
    @daudinyaruhucha6200 Год назад +3

    nimependa mahojiano yako na Mwasha imegusia moyo wangu kiasi kama napambana kama wewe japo magonjwa ni tofauti.

  • @elizabethwanjiku7831
    @elizabethwanjiku7831 2 года назад +2

    Pole sana My boyfriend Max😘😘. Lakini madokta wa Tz mnazingua..GERD disease mkafanya oparesheni mara mingi mara kwenye kifua kwani hamfanyi vipimo kabla ya kufanya upasuaji🙄Kulingana na max hamkugundua kama ni GERD ni kama Max amekuja kugundua ukubwani

    • @paschazianestorymatunda5972
      @paschazianestorymatunda5972 Год назад +3

      Mungu anatumia njia nyingi kuongea na kufikishia watu wake kwa hiyo hilo lilikuwa kusudi la Mungu...

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 2 года назад +3

    Max mapito uliyopitia ni dhahiri Mungu ana makusudio makubwa kwako. ILA nimeshangaa ujasiri wa Baba yako mzazi kukufukuza eti kwa sababu ulifeli mitihani ya shule. Alikosaje hofu ya Mungu baaba ya mapito magumu mliyopitia familia?

    • @maxrioba
      @maxrioba 2 года назад +1

      Believe me, nampenda sana baba yangu. Asingenitimua Huenda ningekuwa nateseka sana leo 😂

    • @lilyjones3584
      @lilyjones3584 2 года назад +1

      @@maxrioba Ni kweli. Maamuzi magumu aliyochukua ndiyo ilikuwa njia ya mafanikio yako. Kwa mawazo ya kibinadamu ni ngumu kuelewa alichokifanya, LAKINI kumbe ulikuwa ni mpango wa Mungu. Bila shaka alipata maono. Hongera sana Brother.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 года назад +4

    Hiyo ni miujiza ya mungu, wewe ni mtu wa kheri

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 2 года назад +3

    I am really blessed with his story 🙏huo wito kaka wakat umefka uifanye kazi ya Mungu

  • @quintavitalis926
    @quintavitalis926 2 года назад +3

    Mungu anakuhitaji umtumikie na utazidishiwa Zaid ya hapo , Mungu yupo 😭😭 imani imezidi mara dufu baada ya kusikiliza hii story

  • @etonabintu
    @etonabintu Год назад +3

    Very humble guy 👦 👌 🙏 🙌

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Год назад +1

    Hapo lili umemchora yesu ukaamua kumuuliza km mrefu kwNn usiseme mfupi

  • @wardawarda6109
    @wardawarda6109 2 года назад +10

    Max kaka ashukuriwe Yesu upo Tanzania maana kuzimia siku 90 ingekuwa Oman ukizimia dakika 10 wewe ni kaburini. Asante madaktar wa Tanzania kwa subra.

    • @sharmelasaif47
      @sharmelasaif47 Год назад

      Hahaha nimecheka mm kweli kabisaaa omani sijui niwaogaa au vp

    • @stelabrent6056
      @stelabrent6056 Год назад +1

      aki yani angezinguka yuko kaburini maan hee wenzetu ni noma san

    • @stelabrent6056
      @stelabrent6056 Год назад

      @@sharmelasaif47 kusem ukweli wanazik watu wanaopumua

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 Год назад

      @@sharmelasaif47 omani mtu akifa hachukui masaa wanazika yani unazikwa wamoto kiukweli nihatari

    • @asia9930
      @asia9930 Год назад

      🤣🤣😂😂😂😂JAMANI MBONA KABURINI

  • @glorykajela5664
    @glorykajela5664 Год назад

    😭😭😭😭😭

  • @juliethhope7281
    @juliethhope7281 Год назад +1

    YESU NI RAFIKI.ANAKUPENDA SANA.AMEN

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 Год назад +2

    Lilian Mwasha the best interviewer🤗🤗🤗🤗

  • @irenedaffi7179
    @irenedaffi7179 2 года назад +4

    😥😥Mungu yupo na anaishi naimani naye

    • @patiencemassawe7896
      @patiencemassawe7896 Год назад

      Kwakweli Kaka umenifundisha kitu kwakweli barikiwa sn Tena zaidi ya sn maana hii story nilikuwa naiona lkn naipita tuu ila kunakitu kimenisukuma kuickiza now aisee Mungu yupo

  • @estherramadhani5015
    @estherramadhani5015 Год назад +2

    I real love you @LilianMwasha

  • @lucynjau3218
    @lucynjau3218 Год назад +1

    Lily unanifurahisha maswali yako, I guess unajaribu kuvaa kiatu cha Max, love u Lillian Mwasha

  • @angelailunga7582
    @angelailunga7582 2 года назад +1

    Et dada Lilian tuambie chochote basi kuhusu Monica na katibu

  • @judithisaya016
    @judithisaya016 2 года назад +5

    Max wewe ni mtumishi wa Bwana Yesu. Unachelewa na mambo mengine, He is your truly friend! Mtumikie kwa kazi za Ukuhani🙏

  • @faizahalmmm6896
    @faizahalmmm6896 Год назад

    Jameni mi nilimpenda huyu kaka tokea nilianza kuangalia women matters ,Max you are amazing man

  • @cycynageragezekwambaraneza1987
    @cycynageragezekwambaraneza1987 Год назад +1

    mungu anakupenda nimesikia estor yote nimetowa machozi

  • @LadyveenOfficial
    @LadyveenOfficial 2 года назад +4

    God is always Good

  • @eve3894
    @eve3894 2 года назад +9

    Dada Lillian nakupenda sana. Yani leo umependeza kweli kila yani kufunga kitamba unapendeza kweli. Mwenyezi mungu azidi kuwa na wewe.

  • @nerryabel7512
    @nerryabel7512 Год назад

    Mko vizuri sanaa, ila naulizaje ile simulizi ya cloud bayo imeishia wapi!!??🙄🙄

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 года назад +1

    Alaaa!!! Nahofia wangekuzika masikin duh

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 2 года назад +1

    Tuwekee sehemu ya pili nachungulia kila mara

  • @fatufatu5754
    @fatufatu5754 Год назад

    Da lily shkamooo nahitaji ushauri wako kwakwel mm kama mama Kuna kitu kinaniumiza sana

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 Год назад +1

    Sometime is good to listen testmony lt encourage us more Mungu apewe sifa

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 года назад +2

    Hardtalk naomba aunty sadaka

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Год назад

    Max mungu nimwema sana na bado anakuitaji,mama yangu alizimia mwenzi mmoja alifanyiwa upasuaji wa tumbo alikuwa na uvimbe,aliniambia uwa wanakuwa sehem zuri sana na imetulia na inapendeza nikajua ananiongopea ili niwe na amani kumbe nikweli,nimejifunza kitu apa

  • @mpendwamillanzi7166
    @mpendwamillanzi7166 Год назад

    Hizo siyo valve unazozizungumzia zinaitwa sphicter muscles. They control the movement of food to and from the stomach.

  • @abdulhassan6482
    @abdulhassan6482 Год назад

    wakristo oyeeeeee kwel mungu ni imani na ni wajibu kuamin ila duuuuuh

  • @oscarluvanda4589
    @oscarluvanda4589 2 года назад +6

    I don’t want to judge from personal perspective as people talk Max knows about his life which is non of my business but today he has opened my 6th sense now I know the value of life and life after life we have all been given second chance by God in different ways let’s all value and respect that we always forget our promises to him is the time we fulfill what we promised him after passing those stones (one love)

  • @sabrinahashim8063
    @sabrinahashim8063 Год назад

    Ee Mungu nisaidie kupitia story hii nipate uponyaji wa haraka. Ushuhuda wa kristu ndio roho ya unabii

  • @evamollel4267
    @evamollel4267 Год назад

    Mm nakumbuka sikuamka siku tatu but it's like true unaishi kama ndoto I can still remember those moments

  • @dr.sarahbusongo
    @dr.sarahbusongo Год назад

    Hiyo condition inaweza kuwa inaitwa Achalasia (not sure though). Pole Sana.

  • @nazaabraham5317
    @nazaabraham5317 Год назад

    Wewe ni Mtumishi wa MUNGU upo hai Kwasababu maalumu mtumikie MUNGU

  • @liliansororonyi6793
    @liliansororonyi6793 Год назад +1

    Thanks Lilian for this, Max you are a blessing to many and indeed Wema is a sweetheart

  • @princessfathamy9787
    @princessfathamy9787 Год назад

    Huyo alikua malaika lakini kumbe wewe bado ulikua waduniani

  • @gideonsilas9810
    @gideonsilas9810 Год назад

    Hakika nimebarikiwa sana lkn pia nimejengeka zaidi kwenye imani yangu kwa MUNGU.

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 2 года назад +2

    Lilian mwanajeshi wa Yesu ❤️❤️❤️

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Год назад

    Well scripted 'interview'...🙃😂

  • @veronicaoriginal8185
    @veronicaoriginal8185 Год назад

    Amina, MUNGU yupo na anafanya Kazi.

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 Год назад

    Asante sana Max nimejifunza kitu kikubwa sana kwako ubarikiwe

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi1603 Год назад

    Lilian this guy his story is like my grandma story she passed like two days. Then we cried then when she wake she said she went to heaven and come back saying she reached at the gate saw told by the gate man of heaven not get in and she was told to come back. His story is honestly same as my grandmother.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Год назад

    Kristu nintumaini letu naona hizo sauti unijia mara nyingi masikioni mwangu

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Год назад +1

    Mtumikie Mungu kaka🙏

  • @estherfidelisy5233
    @estherfidelisy5233 Год назад

    Mungu tusaidie....nimekuwa mtu mpya ghafla

  • @happysangi6847
    @happysangi6847 Год назад +2

    Hivi nani alituaminisha kuwa mtu mwema ni mzungu? Kwa hiyo angekuwa mweusi sio haleluya jaman Mungu atusaidie

  • @explorewiththequeen3040
    @explorewiththequeen3040 2 года назад +2

    I am blessed with this talk

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 года назад +1

    MUNGU WANGU

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 Год назад +1

    Jesus name 🙏🙏🙏

  • @marthamsoma2664
    @marthamsoma2664 Год назад

    Ndoto zinatupa hbr fulani fulani

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 Год назад +1

    Glory be to God, smart guy

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Год назад

    Kweli mungu mkubwa muache aitwe mungu

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 2 года назад +5

    Hivi Lilian unaongea kama vitu vya ukweli hiyo ni ile dawa, ilimfanya hivyo, eti harufu yahuko wapi kwahiyo unahisi mbinguni, wewe dada una drama sana 😂😂😂 dah

    • @zeinababdi4757
      @zeinababdi4757 2 года назад

      Some medication can cause hallucination and nightmares like dreams..I use to think this guy was educated and can use his common sense to raise above this nonses....I rest my case.

    • @miltonmachage2462
      @miltonmachage2462 2 года назад +6

      Tatizo lenu nyie wanadamu hata kama leo Mungu akimleta NABII WA ZAMANI TENA KUJA KUTUAMBIA KUWA TUACHE DHAMBI HAMTA MUHAMINI HATA KIDOGO CZ SIKU ZOTE BINADAMU NI MUASI

    • @mohdmazila3479
      @mohdmazila3479 2 года назад

      🤣🤣🤣swadacta bsi wangu ww umecomment vzr

    • @maisarahakizimana7074
      @maisarahakizimana7074 2 года назад

      @@mariamyoyote8172 kwahiyo unataka niamini kila unachoamini wewe, kila mtu akili kichwani mwake, mimi nilichoelewa hicho nasibadili mawazo, nihayo tu, ahsante

    • @mwanamngombe1688
      @mwanamngombe1688 Год назад

      @@zeinababdi4757 😅😅😅

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Год назад

    Kifo tunakiogopa lakinia hakuna aliyerudi inaonekana kuzuri huko asee umenipa imani fulani nzuri

    • @LilianMwamwaja
      @LilianMwamwaja Год назад +1

      Ukiwa sawa na Mungu ni raha otherwise upande wa pili ni mateso sana huwa wanatamani kurudi. Kama u mkristo soma habari ya maskini Lazaro na Tajiri

  • @tusibwenekamwela3450
    @tusibwenekamwela3450 Год назад

    Maajabu ya Mungu

  • @demmytricia5071
    @demmytricia5071 Год назад +2

    Waoooh glory to God🙏🙏🙏🙏

    • @rabilubinza7661
      @rabilubinza7661 Год назад +1

      Daaa ulipata bahati ya kukutana na Yesu live jamani hadi raha , ni wachache waliopata neema hii ya kufa na kurudi
      Hongera sanaa

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 2 года назад +7

    Soon anaenda kuwa mchungaji na yeye 😂😂😂

    • @zeinababdi4757
      @zeinababdi4757 2 года назад +2

      Maisara Hakizimana, you just click my thought, is there anyone who is not a prophet in TZ? It is so funny how here in North America people dont have time for delusional ideas of faking religiosity 🤔🤔🤔🤔

    • @maxrioba
      @maxrioba 2 года назад +4

      I am not a prophet, I’m just an old sinner saved by grace! Also I am not planning to become a preacher (just so you know). The same God who’s done so much for me here in TANZANIA is the same in North America, South America and everywhere in the world. If for any reason my testimony offends you I am so sorry. Not everyone who testify about the goodness of the Lord is planning to be a prophet. Asante sana wa North America. Barikiwa na Mungu. 🙏

    • @maxrioba
      @maxrioba 2 года назад +5

      Hata Sina huo mpango. I tell you what though, soon Naenda kumwimbia Mungu. Switching my secular music and films to become gospel oriented. You will love my productions. I definitely will inspire you through art. Na ukimuona Mungu kwenye kazi zangu za sanaa inatosha. 🙏

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 2 года назад +1

      @@maxrioba Natumai hujambo kijana wangu, nimependa kukuona na ninakuona sana ktk mikutano ya women matters. Mungu akuhifadhi. Amin.

    • @bobwhite9252
      @bobwhite9252 2 года назад

      @@maxrioba bro. Your story has touched many , even us in doubts about faith and stuffs... You got me bro... God bless you.

  • @milley7185
    @milley7185 2 года назад

    Mmmh napata mashaka qlijiunga na makanisa ya kiroho

  • @Binti1801
    @Binti1801 Год назад +2

    Mtangazaji, umesikia uyo mtu alikua mzungu, ukasema 'aleluya'.....naomba niulize why umesemq 'aleluya'? Thanks

    • @claudia1500
      @claudia1500 Год назад +2

      Hahahahaaa.....u've got brains

    • @Binti1801
      @Binti1801 Год назад

      @@claudia1500 😁😁😁

    • @mcback4384
      @mcback4384 Год назад

      Kweli hapo kwenye uzungu hata mimi sijaelewa, Mungu na Malaika zake pia wanaweza kuwa weusi sababu katuumba binadamu kwa sura na mfano wake, Yesu alikua mweusi

  • @katarinachristopher8562
    @katarinachristopher8562 Год назад

    Asante Mungu

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 2 года назад

    Kifo n kama umelala pale unapokuwa umempokea Yesu na kuishi maisha anayoyataka yy sio jina tu la ukristo kinyume cha hapo kifo kinatisha

  • @demetrianangela7793
    @demetrianangela7793 Год назад +1

    Thank you Jesus!🙏🙏🙏🙌

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 года назад

    Hivi kuna haja Gani Mtu uzungumze kiswahili mara kingereza . Mtu unatoa ushuhuda . Wakati anaemzungumzia alikua Nae kwenye ulimwengu Wa Roo alikua anazungumza Nae kiswahili. Sasa mbwembwe za nini Mara kizungu Mara kiswahili.

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 Год назад

      Kingereza ni lugha nzuri sana na tamu kuongea, ukiijua unatamani na kujisikia kuongea muda wote.

  • @maryswai625
    @maryswai625 Год назад

    kaka Max je kumuimbia Mungu?
    una sauti nzuri sana

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 2 года назад

    Ulipata Neema ya kumuona Yesu umeokoka?

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi1603 Год назад

    I believe his story 💯 % .

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад

    Wanawake tuna roho mbaya sn

  • @mzikimina3753
    @mzikimina3753 Год назад

    Jamani mimi naamini mungu ila hii story ya uyo mtu na uyu kaka mhhh ninachoweza sema aliota uko usingizini cha msingi uliumwa mungu akakuponya ashukuliwe

    • @mcback4384
      @mcback4384 Год назад +1

      Kwanini unapangia watu past zao? Hakushawishi