PART-1: SIMULIZI ya BINTI YAMLIZA HADI LILIAN MWASHA-"BABA HAKUTAKA NISOME, ALINITOLEA SIME ANIUE!''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • PART-1: SIMULIZI YA BINTI YAMLIZA HADI LILIAN MWASHA-"BABA HAKUTAKA NISOME, ALINITOLEA SIME ANIUE!''
    KWENYE SEHEMU ya kwanza ya HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu Lilian Mwasha amepiga stori nyingi na Grace, binti wa Kitanzania aliyepitia msoto ikiwemo kunyanyaswa na baba yake mzazi na kumzuia hadi kupata elimu.....
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 108

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 Год назад +12

    Dah tazama dunia mama wakambo katokea kuwa mzuri baba mzazi kawa na roho ya ukatili daima kizuri hakidumu mungu mkubwa maskini mama wakambo katokea kuwamwema nandio mungu kampenda zaidi alhamdulilah

  • @lauramhulu3310
    @lauramhulu3310 Год назад +9

    Haya mambo yapo mm mwenyewe nimeishi maisha kama sina wazazi ila namshukulu Mungu Nimekuwa 🙏🙏🙏🙏

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +6

    The pain in this story heart wrenching. Na kuna watoto wanafanyiwa kila kitu lakini hawana shukrani. I wish some wangejua wanayopitia wengine

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 Год назад +1

    I saw this on tiktok, huwa napenda kusikiliza simulizi za watu tofauti, zinafundiaha sana. Thanks da Lily.

  • @hallykanze6693
    @hallykanze6693 Год назад +5

    😢 Yani ume nikumbusha mengi sana nilio yapitia nikiwa mdogo! But you know what! MUNGU yupo Kwa ajili yetu😢 forgive and release them. Sio rahisi kusamehe but tell God to help & heal you.

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Год назад +3

    Pole sana dd angu Allah akuzidishie subraa afyaa njema na akufarij nafsi yako yarabiy
    Chozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu

  • @josephinejohn7838
    @josephinejohn7838 Год назад +1

    Yan mashangaz jmn khaaaa...Mungu anisaidie nisiwe shangaz mbaya maisha yangu yotee

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Год назад +1

    Pole sana dada yangu mungu Atakubariki Ameen 🤲🇹🇿🇬🇷

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 Год назад +1

    Pole sana mdogo wangu grace naomba nipate no zako ntakacho jaliwa tugawane

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Год назад +4

    Hii story inalizaa nyie 😭😭😭😭😭💔💔💔

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 Год назад

    Pole sana dada japo NAMI nimeyapitia haya namshukuru Mungu na namuomba kila siku aniondolee roho ya uchungu na maumivu

  • @glorylymo958
    @glorylymo958 Год назад

    Pole Sana dear,,,watu wenye roho mbaya Kama uyo shangazi yako awatakiwi kufa mapema,,,wanatakiwa waone ukuu wa mungu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +3

    Pole sis story yako kama yang but mungu nimwema don't give up

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Год назад +1

    Dad pole dada angu usilaumu mpk leo upo hapo ni mpng wa mungu, Mungu anakupenda sana na mm nakupenda umenifundish kitu kikubwa na kitaish moyoni mwang milele

  • @aikalucky5747
    @aikalucky5747 Год назад +1

    May God bless you sis Lily kwa kumruhusu huyu dada kutoa ya moyoni ,,anapona kwa kuongea

  • @marymunisi5801
    @marymunisi5801 Год назад +1

    Daaah!!! Sijawahi kutoa comment lkn leo nimelia sn imenibidi niandike...pole sn kpz umepitia mazito sn ktk umri mdogo...umenifanya nimkumbuke mama angu aliniachaga mapema sn nilipitia mengi magumu....ila kwa sasa namshukuru Mungu saaaana nimeuona wema wake...na ninazidi kuuona...usikate tamaa Bado Mungu anakuwazia mema

  • @hildamasonda6528
    @hildamasonda6528 Год назад +1

    Ndio Mana biblia inasema tushukuru kwa kila Jambo Mungu nakushukuru Mungu kwa kila Jambo Mungu wasaidie watoto wote wanaoishi katika mazingira magum 😭😭😭😢😢hii imeniliza sanaa

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад +1

    Alhamdulillah pole sana sana

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Год назад +1

    Jamani ma shangazi hawa wakatili sana dah kuna watu wanapitia haya mambo mpaka leo hii pole sana Mungu amekuona yameisha hayo

    • @TheSalma1999
      @TheSalma1999 Год назад +1

      Huyo shangazi ni mbwa kabisa kuna nafasi yake motoni na huyo baba yako ni mbwa kabisa binadamu sisi ni wakatili sana bora uishi na wanyama porini kuliko binadamu baba yako huyo mama wa kambo Mungu ampe baraka nyingi asante mama kwa upendo wako

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад

    Duuh pole kabisa Mungu ni mwema atakupanguza machozi

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 Год назад +1

    Pole sana dada

  • @dianadavid244
    @dianadavid244 Год назад +1

    Haaaa mungu mtie nguvu uyu dada maana ndo nimeanza kusikiliza story lkn nimelia sana roho yangu inauma sana

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Ubarikiwe sana dada Lilian

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 Год назад

    pole dada umeniliza tangu umeanza kusimulia mpak unamaliza kusimulia

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 Год назад +1

    Binadamu wengine ni hatari sana halaf ukute huyo mtu kwenye nyumba za Ibada hawakosi 😭😭

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 Год назад

    Pole sana najikuta naliya to😭😭

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Год назад

    Kama uko vizur mwombee dua mwite shekhe aombe dua ya marehemu pls itakua bora sana

  • @suleimanomary9683
    @suleimanomary9683 Год назад

    Pole sana dada tunaomba part 2

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 Год назад +2

    sasa ndio umeficha sura nini mbona sasa hiko kivuli hakifichi sura anavyoongea akisogea sura inaonekana. aliyeedit hii video akajifunze upya

  • @annastaziaandrea7144
    @annastaziaandrea7144 Год назад

    Pole sana da yangu

  • @abdihalimosman9721
    @abdihalimosman9721 Год назад

    Pole sana dadaangu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    Pole sana 😭💔 Maisha haya Dah 😢 watu wanapitia magumu sana.

  • @antonmbwile3316
    @antonmbwile3316 Год назад +1

    Lini hiyo part 2 maana history nikari haswa mpaka kwa wanawake

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974

    hii ni hard talk aswaaa
    Pole dada kwa mitihani

  • @mwatummselem2411
    @mwatummselem2411 8 месяцев назад

    Jamani wacha nilinye jamani

  • @groryjackson4486
    @groryjackson4486 Год назад +1

    Grace, umejua kuniliza😭😭😭😭😭

  • @winfrencemutheki5477
    @winfrencemutheki5477 Год назад

    WA!!! Is this true story? Lake really!!! Nimelia kichwa cha niuma. Ukifikiria unapitia, yapo mengine inakulazimu Yako uyawekepepeni

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Год назад

    pole sana

  • @anithahalicy2715
    @anithahalicy2715 Год назад

    Pore sana dada yangu

  • @letsgrowwithm4620
    @letsgrowwithm4620 Год назад

    Mimi pia nimepitia asilimia nyingi ya maisha ya huyu dada na mm nilikuwa najihudumia mwenyewe

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 Год назад

    Mbona kama umri alotaja haviendani maana ana miaka 28 af mwaka 1998 akaanza shule sorry lakini no bad intentions

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Mbona siioni pat tu

  • @stellahmakundi5430
    @stellahmakundi5430 Год назад +1

    😭😭😭😭😭

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Год назад

    Kufiwa kuna uma sana pole mamy

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 Год назад

    Party 2 isichelewe jamani 😢

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Kweli inauma sana mpka machozi yananitoka

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 Год назад

    Nyie me nimeanza Kulia na haijaisha 🥺🥺🥺😭😭

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Год назад

    Pole sana ❤️

  • @wemapanga1547
    @wemapanga1547 Год назад +1

    Daah nimelia mwenywe maana najua maisha bila mama inauma, wapumzike kwa Amani mama zetu waliotangulia

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 Год назад

    SubhanAllah

  • @sarahmsuya250
    @sarahmsuya250 Год назад +1

    Yani binadamu hatuna huruma

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Yaani nimeumia sana machozi yananitoka

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Год назад +1

    Jamani mama zako wote 3 wanakufa kweli jamani dunia ina mitihani are you serious huyo baba sitaki hata kumsikia

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад

    Maskini wee aah uchungu kweli kabisa pole mwanangu

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Год назад

    Daaah kuna watu wanachangamoto sana yani unaona afazali yako

  • @nadineshimirimana7483
    @nadineshimirimana7483 Год назад

    Pole sana 😭😭😭😭

  • @joycemageta4876
    @joycemageta4876 Год назад

    Kuna mama wa kufikia unawez sema ndo wazzi.

  • @happinessswai7020
    @happinessswai7020 Год назад

    😭😭😭so touching

  • @aishamatangamatangamatanga1344

    Daaah maisha hayaa 😭😭😥😥

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад

    Looo ADUI UYOOO MUNGU ATAKULIPIYA APA DUNIANI

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 Год назад

    Party 2 mbona hatuoni

  • @antonmbwile3316
    @antonmbwile3316 Год назад

    Jamani party tuu

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 Год назад

    Huyo baba Yako Yuko hai???

  • @alodiadiocless3546
    @alodiadiocless3546 Год назад

    Iseee nimeumia sana kupita kiasi pole sana mdogo wangu daaaa nimazito mnooo

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад +1

    Ila nimefurahi huyu dada ana matumaini anaongea kwa furaha

  • @Mamsocom
    @Mamsocom Год назад

    Part 2 ipo??

  • @iddahravity9369
    @iddahravity9369 Год назад

    Pole sn

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 Год назад

    Sioni party 2

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Год назад

    Subhan'Allah 😭💔

  • @emmilianamlewa3239
    @emmilianamlewa3239 Год назад

    Jamani ushuda huu unaimrisha wengine party2 lini hatuioni

  • @fridamassawe7367
    @fridamassawe7367 Год назад

    Kuna shida iko mahali

  • @athmannyhassany6365
    @athmannyhassany6365 Год назад +1

    Shangazi mmrembo sanaa napenda

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 Год назад +1

    Mungu wangu Kuna kitu hapo sio bure

  • @esperancenathali
    @esperancenathali Год назад

    Tunasubiri bado

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 Год назад +1

    MUNGU ndo pendo la watu dada

  • @lukiyakimolo3409
    @lukiyakimolo3409 Год назад

    Subuhana llah

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 Год назад

    Masikini

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Год назад

    Duuh hii Dunia ina mambo Lilian umekosea kumwambia atupe hiyo opena ni kumbukumbu tu ambayo atahadithia hata watoto wake

    • @victoriaelisante3351
      @victoriaelisante3351 Год назад

      No hiyo opesa anatakiwa kuichoma nakuiteketeza kwa moto huku akivunja madhabahu yaliyonenwa . Maana hicho pia nikifungo.

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 Год назад

      @@victoriaelisante3351 kama ukivunja hayo madhabu hata sio lazima utupe na kuchoma moto kwa mfano mwili uliochanjwa chale vipi utautupa uweke mwingine ila sio mbaya kila mtu na anavyoamini

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Год назад +1

    Uchunguuuuuuu jamaniii😭😭😭😭😭

  • @maryamhassan7000
    @maryamhassan7000 Год назад

    😭😭

  • @athmannyhassany6365
    @athmannyhassany6365 Год назад

    Lilian

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Год назад

    😭

  • @aisha-zu8vr
    @aisha-zu8vr Год назад

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 Год назад

    Duuu

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Год назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @julietkileo2018
    @julietkileo2018 Год назад

    Pole sana Dada

  • @sarahmsuya250
    @sarahmsuya250 Год назад

    Yani binadamu hatuna huruma

  • @susiephocus4219
    @susiephocus4219 Год назад

    😢😢😢😢😢

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 Год назад

    Duuu

  • @jescamoshi3821
    @jescamoshi3821 Год назад

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 Год назад +1

    Amen

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Pole sana mdogo wangu

  • @AminaYusuph-nd9iq
    @AminaYusuph-nd9iq Год назад

    😭😭😭😭😭

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Pole sana

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 Год назад +1

    😭😭😭😭

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Год назад

    😭😭😭😭😢😢😢

  • @rahmaomari5544
    @rahmaomari5544 Год назад

    😭😭😭🙌