Part5_Ni sisi tulileta kikombe cha babu,Kanumba hajafa anaishi|ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Tumwombee sana huyu Mtumishi kuzimu Ina hasira kwa siri zao kutolewa... Tumsuppot pia asife moyo kwenye huduma
Barikiwa sana kaka Jacktan naweza sema huyu Mtumishi,Mungu alimtoa kwa kazi za shetani hili ushuhuda wake utuinue kwa maombi
Kutumia jina la Yesu pasipo Imani Ni bure...Ushuhuda mkubwa sana huu.YESU TUSAIDIE
Now I understand why the church is like that today following from Kenya🇰🇪🇰🇪
True
True Majority are into Devilish stuff 💯 percent ..
Asante kwa kuahuru kujieleza ili tujifunze kwako, nasubiri muendelezo nakufatilizia toka kenya 🇰🇪 glory to God 🙏.
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu.
This is too, much revelation, Jesus Christ,help us.
Tufanye kitu tumrudishe kanumba duniani na mdogo wake
Mathayo 7:7-8
Marko 11:24
Luka 10:19
Isaya 58:6
Luka 1:37 Kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana Kwa Mungu
Kweli hakuna kisichomshinda yesu
Anaeza yoote mwana WA mungu
Kwani pia mdogo wake alichukuliwa
@@janenjeri8442 ndiyo mpka baba yake yaan nyiee huruma daah
Mbinu 30 za kusamabaratisha kanisa. Promover tv twaomba mpe muda mwengine azielezee kwa undani.
Efrahim Mwansasu Mungu ambariki
Ama kweli mtu akiamuwa kuokoka aokoke sawasawa la si hivyo atatumika na shetani kama wakala au agenti wake bila kujua(blind witch)
Part 6 please 🙏 I am watching from🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Yaani kumbe ndio maana makanisa hayana uwezo LAKINI sasa Yesu amekuja mwenyewe kututetea watumishi wake
Coronavirus ilitoka china. West Kilimanjaro? Talaka zipo kabla ya kristo?
Ubarikiwe sana Jactan na mtumishi wa Mungu yani uyu ushuhuda kuna sehemu ya maisha yangu kabisa niliwahi kuishi na mengine nayashuhudiya kwa sasa Mungu wetu asifiwe kwasababu ameniokowa Jactan sina chakukupa ila Mungu baba wa walio wake akuhudumiye kiroho na kimwili 🥺🥺
Amen
Loliodo ndio nini aki sielewi apo
@@peninahmwendwa2519 kule kwa babu walikunywa kikombe cha jero
Yesu nakupenda naomba ulinzi wako
Huu ushuhuda nimeona upendo wa Yesu kwa jinsi shetani anavyo tuwinda mchana na usiku 😭 eeeh Yesu tuhurumie watoto wako
yesu alisema naenda tamitumiya roho mutakatifu imikinge mungu eko karibu na sisi usifazaike mungu eko na sisi kila saha 🙏🙏
Hivi makanisa yanaelewa hayo wachungaji mko wapiiiiii watu wanyoa viduku. Wanavaa vitu vya ajabu .kutaka madaraka.kupenda fedha nk acheni
Eeeee Mungu wa Ibrahim asante kwa kumuepusha kikombe kichafu Ephraem Mwansasu lala kwa Aman mchungaj Mwansasu
BWANA tulinde na nguvu za shetani, barikiweni sana watumishi wa BWANA
Asante.sana.mutumishi.kwa.ushuhuda.wako.mimibinafisi.nakubari.hayomafundisho.mungu.azidi.kukurinda
Jamani jamani nimeitafuta toka asubui yani uwiii Yesu tuokoe
Efrahim Righton Mwansasu.....umwema sana Mwokozi wetu Bwana Yesu 💯❣️❣️❣️
..😍YESU ni BWANA...REPENT CHURCH...Dear Christians we must stop play church...We are in Warfare...WAKE UP CHURCH...Un témoignage très édifiant ..nul ne pourra dire qu'il ne savait pas !...Tu kimbiliye kwa YESU CHRISTU...On reconnaît la voix du SAINT-ESPRIT dans son serviteur... Bwana Jacktan , Mungu akuongezeye , aksanti Sana❤️...
merci beacoup
Walokole wenzangu tukazane na maombi na tumshikilie yesu kwabidii
Tumuombee sana Hutu mtumishi kwani vita ni Kali kwake kwani ametoa sili za kuzimu tunaomba mbunu 30 za kusambalatisha kanisa
Ukweli tumshikilie huyu yesu ndie tumaini tu
Very shocking...
Unasemaje kuhusu waisilamo
Na huyo babu na hicho kikombe anamaanisha nini sijaelewa. Lakini hata hivyo huu ushuda nimkubwa sana ubarikiwe sana Jacktan
babu hakutoka mbinguni,walimleta toka kuzimu bila yeye kujitambua
Mtumishi wa Mungu jactan Mungu akuinue sana kweli najifunza mambo mengi sana kwa ushuhuda wa huyu pastor Bwana akutunze sana mtumishi wa Mungu
Amen
Naomba namba ya huyu pastor
Muulize Mutu kama KANUMBAwatu wakiomba Kanumba anaweza akarudi
Mi nadhani hata mzee magu wamemchota hawa jamaa tusubiri tu time will tell
Kabisa kabisa
hahahahahaa kikombe cha babu hata m nilijua huu ni mapngo wa shetan, yan kupona kwa shetan tutumie sn akili
Kwa Kanumba ni SAwa Mdogo wake pia alikufa. Aliyoyasema hata wasimuliaji wengine washayasema hata mfalme zumarid amewahi tamka na anayajua
Mfalme zumaridi ashindwe kwa jina la Yesu
Ushuhuda mkubwa sana
Amen mtumishi JACKTAN shuhuda hizi zina tuelimisha na kutuimarisha kiroho barikiwa sana na huduma yako izidi kuinuka kwa viwango vya juu mno
Mungu akubariki saana Jack Kwa shuhuda,🙏
Hao watumishi Wanaenda kwa hiari yao au wanaingizwa kwa lazima.?
:-)be bleesd
Tunajengwa kiimani sana
Ipo siku KANUMBA atarudi dunini na atamtumikia MUNGU wa kweli
Hivyo ndivyo unavyotamani,ungekuwa Mungu ingewezekana
I believe so let the holy spirit of Jesus Christ activate iwe ushuhuda kwa dunia mzima
Mbona kavaa bangili ya shanga mkononi si husemwa shanga ni sign ya kuzimu?tupe jibu
WANAWAKE TUNAWEZA NDANI YA YESU
Shuhuda zako na mafundisho yako yamekuwa baraka Sana kwangu kwakweli.Nimejifunza vingi Sana hasa kwenye kitengo nilichopo Cha deliverance and healing.Swali langu ni hili mtumishi! Kwanini mliamua kumbambikizia binti wa watu kesi( lulu) na huku nyie ndio mlimchukua kifreemason?! Kwani mngemchukua TU hata akiwa amelala kwake peke yake ingeshindikana mpaka mkamuweka na binti wa watu aonekane yeye ndio kamuua?!
Utasikia yesu wa kuhan musa Mungu wa suguye duh nimeelwa baba
yeah
Namaanisha Kanumba,kwanini msingemchukua TU Kwa njia nyingine labda akiwa kalala kwake peke yake mkaona mumbambikize binti wa watu ( lulu)kesi isiyomhusu maana bado Kuna baadhi wanaamini Lulu alimuua Kanumba Kwa bahati mbaya😭😭😭
Asante sana kutufunza
Barikiwa mpakwa mafuta wa MUNGU ALIYEHAI
Mbarikiwe sana PTOMOVERTV 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
So which means my dad ako mahali anatumika na kuzimu, before his death akiwa mgonjwa alikua ana behave exactly venye umesema tu pdt Amieli, he was just saying funny funny things akiziona na watu hawakua wanaziona, wakati alikufa damu ilikua yatoka kwa mdomo na pua, so....can we pray n bring him back or its too late, he died 2010
Nahiyo kacha aliyo ivaa sini shanga hizo natunasikia kuwa shanga ni za kuzimu
Si kazi yetu kujua jamen mhimu ni ujumbe anao tupea
Kaka mwambie asi vae iyo shanga
Hizo saa, simu kubwa na bangili za maajent wa makanisani huwa zinaonekana kwa macho ya nyama?
ndiyo
Wanaokimbilia maji na vitambaa mombasa wajifunze na ufunuo huu.
Mungu atulinde
Kweri vita ni kali sana mungu atusaisie
Part six tafadhali nimesikia kenya
Icho amevaa mukono wa kulia kina faida gani kwake ?
Wewe imekutatiza nini kusikia ushuhuda. Shetani ameshakuteka unaacha kusikiliza maneno muhimu unaangalia bangili.
Mma yangu alikunywa hicho Kiko maskini wa Mungu Toka Kipindi hicho alipona kabisa kabis, tulipoona watu wanafariki sana mama alisema sitokufa maana mimi Sikujua kuwa Ni mpango wa shetani
Wakin buludoza wakin chifu jmn MUNGU atusaidie kwa kweli na wamejaza watu mpk huruma kwa kweli
Asante Sana kwaushuhunda mim nilitaka kujuwa kuusu izo vaccine za corona
Mitume wapo 12 tuuu na wale wanaitwa Tenashara na wote walifundishwa na Yesu mwenyewe!! hao manabii ni waongo tuu....
Mngu akubariki Sana mtumishi
Asante kwa ushuhuda
Please I've looked for other videos of this guy part 1,2,3,4 can't see. Please send me the links
ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI: ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0lc4qnBrRK4eWo9MSriG5pd
Following...
Nahitaji nambari yako ya simu tafadhali
hata unice nina wasiwasi kama si nguvu ya MUNGU
Waah!!! Saitani ashidwe milele
Ubalikiwe mutumishi kwashuhuda nzito kaka jakitan mungu akubarki kwa kaz nzuri kwakwel mungu atusaidie na atutie nguvu
Pia hata nami kabisa zina nielimisha , Mungu akubariki sana Mtumishi . nikiwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kwa kuwa huyu mwokovu sasa anajua na kwamba kwa vile Kanumba walikuwa naye, je ana uwezo wa kumrudisha kwa maombi?
kaka jack barikiwa sana na BABA
Amen
AMEN
Kwa nn hawataji majina ili tuokoke?
Kaka jactan YESU akutunze na kukubariki ulisema huyu ni mch naomba nisaidi namba yake ninashida kuu mno ninahali mbaya muno
Fatilia mpaka tamati sehemu ya mwisho atatoa namba yake
Simtutajie hao manabii wa uongo?
Mbona umevaa kacha?
Niliona Nabii mmoja ametoka Nigeria hivi karibuni ana kacha mkononi
Huyo ni mganga wa kienyeji
SwALI LANGU MISIKITINI MLI SHINDWA KUWA POTOSHA WAISLAM AU MLIKUWA MNA WAOGOPA?
Mti wenye matunda ndiyo unapigwa mawe, Sasa jiulize kwann hawakuwa wanajihusisha kuvunja kanisa akil kumkichwa mpokee YESU
Cca Lucifer msikiti anaumiliki
naomba namba za mtumishi jmn
Mungu tusitiri na huyu mwovu ibilisi
Mimi sijasikia uyu kaka ameokoka aje part ya ngapi njo ameshuudia aliokokaje ?
Aliumbuka Kanisanii ndipoo Akaokoka Hapo hapo wezie Alio tumwanao walikufa Mwingine Alilud kuzimm
Embu acha utani upako tenaaaa
Navile Lulu alifugwa jamani kumbe mlimuchukua
Oh Mwansasu aiseh
Amina
Thanks God bls you all.
Mungu saidia watu wako.
Itaendele lini pt6
Kesho
Kabisa.Kesho
Htr sana
Duh!
0
Ahsante mtumishi Jacktani, nikitaka kumuuliza swali huyo mtumishi namba zake ni ngapi? Maana kuna maswali yananitatanisha jamani
Fatilia mpaka sehemu ya mwisho atatoa namba yake
😭😭😭
Umesema kweli kabisa. Kanisa la baba godi mwanza yapo hayo Kalebi kawajaza Sana mimba waumini wa kanisa la baba godi
Muongo sanaa.kk umekpka