Part5_Ni sisi tulileta kikombe cha babu,Kanumba hajafa anaishi|ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 130

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 2 года назад +12

    Tumwombee sana huyu Mtumishi kuzimu Ina hasira kwa siri zao kutolewa... Tumsuppot pia asife moyo kwenye huduma

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад +20

    Barikiwa sana kaka Jacktan naweza sema huyu Mtumishi,Mungu alimtoa kwa kazi za shetani hili ushuhuda wake utuinue kwa maombi

  • @judithminja770
    @judithminja770 2 года назад +5

    Kutumia jina la Yesu pasipo Imani Ni bure...Ushuhuda mkubwa sana huu.YESU TUSAIDIE

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 2 года назад +17

    Now I understand why the church is like that today following from Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 2 года назад +6

    Asante kwa kuahuru kujieleza ili tujifunze kwako, nasubiri muendelezo nakufatilizia toka kenya 🇰🇪 glory to God 🙏.

  • @LENAHKAVUTHAOFFICIAL
    @LENAHKAVUTHAOFFICIAL 8 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu.

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 2 года назад +3

    This is too, much revelation, Jesus Christ,help us.

  • @japhetthabit9428
    @japhetthabit9428 2 года назад +7

    Tufanye kitu tumrudishe kanumba duniani na mdogo wake
    Mathayo 7:7-8
    Marko 11:24
    Luka 10:19
    Isaya 58:6
    Luka 1:37 Kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana Kwa Mungu

    • @eunicemsigo9677
      @eunicemsigo9677 2 года назад

      Kweli hakuna kisichomshinda yesu
      Anaeza yoote mwana WA mungu

    • @janenjeri8442
      @janenjeri8442 Год назад

      Kwani pia mdogo wake alichukuliwa

    • @khadijamwenda1851
      @khadijamwenda1851 Год назад

      ​@@janenjeri8442 ndiyo mpka baba yake yaan nyiee huruma daah

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 2 года назад +3

    Mbinu 30 za kusamabaratisha kanisa. Promover tv twaomba mpe muda mwengine azielezee kwa undani.

  • @geofreyalexander1382
    @geofreyalexander1382 2 года назад +5

    Efrahim Mwansasu Mungu ambariki

  • @eldkibeh
    @eldkibeh Год назад +3

    Ama kweli mtu akiamuwa kuokoka aokoke sawasawa la si hivyo atatumika na shetani kama wakala au agenti wake bila kujua(blind witch)

  • @lisaozokalonji7655
    @lisaozokalonji7655 2 года назад +3

    Part 6 please 🙏 I am watching from🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 2 года назад +4

    Yaani kumbe ndio maana makanisa hayana uwezo LAKINI sasa Yesu amekuja mwenyewe kututetea watumishi wake

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 2 месяца назад

    Coronavirus ilitoka china. West Kilimanjaro? Talaka zipo kabla ya kristo?

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 года назад +7

    Ubarikiwe sana Jactan na mtumishi wa Mungu yani uyu ushuhuda kuna sehemu ya maisha yangu kabisa niliwahi kuishi na mengine nayashuhudiya kwa sasa Mungu wetu asifiwe kwasababu ameniokowa Jactan sina chakukupa ila Mungu baba wa walio wake akuhudumiye kiroho na kimwili 🥺🥺

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 года назад +3

    Yesu nakupenda naomba ulinzi wako

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 2 года назад +4

    Huu ushuhuda nimeona upendo wa Yesu kwa jinsi shetani anavyo tuwinda mchana na usiku 😭 eeeh Yesu tuhurumie watoto wako

  • @glodynkondo9800
    @glodynkondo9800 2 года назад +4

    yesu alisema naenda tamitumiya roho mutakatifu imikinge mungu eko karibu na sisi usifazaike mungu eko na sisi kila saha 🙏🙏

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 2 года назад +1

    Hivi makanisa yanaelewa hayo wachungaji mko wapiiiiii watu wanyoa viduku. Wanavaa vitu vya ajabu .kutaka madaraka.kupenda fedha nk acheni

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda9223 11 месяцев назад +1

    Eeeee Mungu wa Ibrahim asante kwa kumuepusha kikombe kichafu Ephraem Mwansasu lala kwa Aman mchungaj Mwansasu

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 года назад +3

    BWANA tulinde na nguvu za shetani, barikiweni sana watumishi wa BWANA

  • @violethadeus5376
    @violethadeus5376 Год назад +1

    Asante.sana.mutumishi.kwa.ushuhuda.wako.mimibinafisi.nakubari.hayomafundisho.mungu.azidi.kukurinda

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 2 года назад +3

    Jamani jamani nimeitafuta toka asubui yani uwiii Yesu tuokoe

  • @ntulikasunga3548
    @ntulikasunga3548 2 года назад +1

    Efrahim Righton Mwansasu.....umwema sana Mwokozi wetu Bwana Yesu 💯❣️❣️❣️

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 2 года назад +3

    ..😍YESU ni BWANA...REPENT CHURCH...Dear Christians we must stop play church...We are in Warfare...WAKE UP CHURCH...Un témoignage très édifiant ..nul ne pourra dire qu'il ne savait pas !...Tu kimbiliye kwa YESU CHRISTU...On reconnaît la voix du SAINT-ESPRIT dans son serviteur... Bwana Jacktan , Mungu akuongezeye , aksanti Sana❤️...

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 2 года назад +4

    Walokole wenzangu tukazane na maombi na tumshikilie yesu kwabidii

    • @glorympuwa9599
      @glorympuwa9599 2 года назад

      Tumuombee sana Hutu mtumishi kwani vita ni Kali kwake kwani ametoa sili za kuzimu tunaomba mbunu 30 za kusambalatisha kanisa

    • @eunicemsigo9677
      @eunicemsigo9677 2 года назад

      Ukweli tumshikilie huyu yesu ndie tumaini tu

  • @nakiwalahjulliet9208
    @nakiwalahjulliet9208 2 года назад +3

    Very shocking...

  • @wiz-nelonawela9194
    @wiz-nelonawela9194 Год назад

    Unasemaje kuhusu waisilamo

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 2 года назад +3

    Na huyo babu na hicho kikombe anamaanisha nini sijaelewa. Lakini hata hivyo huu ushuda nimkubwa sana ubarikiwe sana Jacktan

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      babu hakutoka mbinguni,walimleta toka kuzimu bila yeye kujitambua

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 2 года назад +3

    Mtumishi wa Mungu jactan Mungu akuinue sana kweli najifunza mambo mengi sana kwa ushuhuda wa huyu pastor Bwana akutunze sana mtumishi wa Mungu

  • @ConsolatherGeorge-hl1oc
    @ConsolatherGeorge-hl1oc Год назад

    Naomba namba ya huyu pastor

  • @alfrednyamnini7352
    @alfrednyamnini7352 2 года назад +1

    Muulize Mutu kama KANUMBAwatu wakiomba Kanumba anaweza akarudi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 2 года назад +2

    Mi nadhani hata mzee magu wamemchota hawa jamaa tusubiri tu time will tell

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 года назад +1

    hahahahahaa kikombe cha babu hata m nilijua huu ni mapngo wa shetan, yan kupona kwa shetan tutumie sn akili

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад +1

    Kwa Kanumba ni SAwa Mdogo wake pia alikufa. Aliyoyasema hata wasimuliaji wengine washayasema hata mfalme zumarid amewahi tamka na anayajua

    • @aprilking8250
      @aprilking8250 2 года назад +2

      Mfalme zumaridi ashindwe kwa jina la Yesu

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 2 года назад +8

    Ushuhuda mkubwa sana

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 года назад +5

    Amen mtumishi JACKTAN shuhuda hizi zina tuelimisha na kutuimarisha kiroho barikiwa sana na huduma yako izidi kuinuka kwa viwango vya juu mno

  • @macamezungu7031
    @macamezungu7031 2 года назад +2

    Mungu akubariki saana Jack Kwa shuhuda,🙏

  • @alfrednyamnini7352
    @alfrednyamnini7352 2 года назад +1

    Hao watumishi Wanaenda kwa hiari yao au wanaingizwa kwa lazima.?

  • @evelyneedward373
    @evelyneedward373 2 года назад +2

    :-)be bleesd

  • @shamim-shammy
    @shamim-shammy 2 года назад +2

    Tunajengwa kiimani sana

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 года назад +2

    Ipo siku KANUMBA atarudi dunini na atamtumikia MUNGU wa kweli

    • @aloycesilwela3485
      @aloycesilwela3485 2 года назад

      Hivyo ndivyo unavyotamani,ungekuwa Mungu ingewezekana

    • @wkjshsxbbsbs6392
      @wkjshsxbbsbs6392 2 года назад

      I believe so let the holy spirit of Jesus Christ activate iwe ushuhuda kwa dunia mzima

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 2 года назад +1

    Mbona kavaa bangili ya shanga mkononi si husemwa shanga ni sign ya kuzimu?tupe jibu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад +1

    WANAWAKE TUNAWEZA NDANI YA YESU

  • @pastorteddywaziri5754
    @pastorteddywaziri5754 Год назад

    Shuhuda zako na mafundisho yako yamekuwa baraka Sana kwangu kwakweli.Nimejifunza vingi Sana hasa kwenye kitengo nilichopo Cha deliverance and healing.Swali langu ni hili mtumishi! Kwanini mliamua kumbambikizia binti wa watu kesi( lulu) na huku nyie ndio mlimchukua kifreemason?! Kwani mngemchukua TU hata akiwa amelala kwake peke yake ingeshindikana mpaka mkamuweka na binti wa watu aonekane yeye ndio kamuua?!

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 года назад +1

    Utasikia yesu wa kuhan musa Mungu wa suguye duh nimeelwa baba

  • @pastorteddywaziri5754
    @pastorteddywaziri5754 Год назад

    Namaanisha Kanumba,kwanini msingemchukua TU Kwa njia nyingine labda akiwa kalala kwake peke yake mkaona mumbambikize binti wa watu ( lulu)kesi isiyomhusu maana bado Kuna baadhi wanaamini Lulu alimuua Kanumba Kwa bahati mbaya😭😭😭

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 года назад

    Asante sana kutufunza
    Barikiwa mpakwa mafuta wa MUNGU ALIYEHAI
    Mbarikiwe sana PTOMOVERTV 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤

  • @evaodero2138
    @evaodero2138 2 года назад

    So which means my dad ako mahali anatumika na kuzimu, before his death akiwa mgonjwa alikua ana behave exactly venye umesema tu pdt Amieli, he was just saying funny funny things akiziona na watu hawakua wanaziona, wakati alikufa damu ilikua yatoka kwa mdomo na pua, so....can we pray n bring him back or its too late, he died 2010

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 2 года назад +1

    Nahiyo kacha aliyo ivaa sini shanga hizo natunasikia kuwa shanga ni za kuzimu

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 2 года назад +2

      Si kazi yetu kujua jamen mhimu ni ujumbe anao tupea

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 2 года назад +2

    Kaka mwambie asi vae iyo shanga

  • @fridberthahaule9489
    @fridberthahaule9489 2 года назад +1

    Hizo saa, simu kubwa na bangili za maajent wa makanisani huwa zinaonekana kwa macho ya nyama?

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 2 года назад +1

    Wanaokimbilia maji na vitambaa mombasa wajifunze na ufunuo huu.

  • @obadiajonas9889
    @obadiajonas9889 2 года назад +1

    Kweri vita ni kali sana mungu atusaisie

  • @sharonwalubengo7628
    @sharonwalubengo7628 2 года назад +1

    Part six tafadhali nimesikia kenya

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад +1

    Icho amevaa mukono wa kulia kina faida gani kwake ?

    • @geofreyalexander1382
      @geofreyalexander1382 2 года назад +5

      Wewe imekutatiza nini kusikia ushuhuda. Shetani ameshakuteka unaacha kusikiliza maneno muhimu unaangalia bangili.

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba 2 года назад

    Mma yangu alikunywa hicho Kiko maskini wa Mungu Toka Kipindi hicho alipona kabisa kabis, tulipoona watu wanafariki sana mama alisema sitokufa maana mimi Sikujua kuwa Ni mpango wa shetani

  • @graceshayo1347
    @graceshayo1347 2 года назад

    Wakin buludoza wakin chifu jmn MUNGU atusaidie kwa kweli na wamejaza watu mpk huruma kwa kweli

  • @joycyfuraha4394
    @joycyfuraha4394 2 года назад

    Asante Sana kwaushuhunda mim nilitaka kujuwa kuusu izo vaccine za corona

  • @myself4128
    @myself4128 2 года назад

    Mitume wapo 12 tuuu na wale wanaitwa Tenashara na wote walifundishwa na Yesu mwenyewe!! hao manabii ni waongo tuu....

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 2 года назад +1

    Mngu akubariki Sana mtumishi

  • @nduwamungujerry7447
    @nduwamungujerry7447 2 года назад +1

    Asante kwa ushuhuda

  • @alafflo5998
    @alafflo5998 2 года назад

    Please I've looked for other videos of this guy part 1,2,3,4 can't see. Please send me the links

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI: ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0lc4qnBrRK4eWo9MSriG5pd

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 2 года назад +1

    Following...

  • @eldkibeh
    @eldkibeh Год назад

    Nahitaji nambari yako ya simu tafadhali

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    hata unice nina wasiwasi kama si nguvu ya MUNGU

  • @peninahmwendwa2519
    @peninahmwendwa2519 2 года назад +1

    Waah!!! Saitani ashidwe milele

  • @queenmwaweya9691
    @queenmwaweya9691 2 года назад

    Ubalikiwe mutumishi kwashuhuda nzito kaka jakitan mungu akubarki kwa kaz nzuri kwakwel mungu atusaidie na atutie nguvu

  • @simonnsengiyumva1000
    @simonnsengiyumva1000 2 года назад +1

    Pia hata nami kabisa zina nielimisha , Mungu akubariki sana Mtumishi . nikiwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 2 года назад

    Kwa kuwa huyu mwokovu sasa anajua na kwamba kwa vile Kanumba walikuwa naye, je ana uwezo wa kumrudisha kwa maombi?

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 2 года назад +1

    kaka jack barikiwa sana na BABA

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 года назад +1

    AMEN

  • @marchymaziku6234
    @marchymaziku6234 2 года назад

    Kwa nn hawataji majina ili tuokoke?

  • @isaacochieng6354
    @isaacochieng6354 2 года назад

    Kaka jactan YESU akutunze na kukubariki ulisema huyu ni mch naomba nisaidi namba yake ninashida kuu mno ninahali mbaya muno

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад +1

      Fatilia mpaka tamati sehemu ya mwisho atatoa namba yake

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 2 года назад

    Simtutajie hao manabii wa uongo?

  • @edithajohn4563
    @edithajohn4563 2 года назад

    Mbona umevaa kacha?

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 2 года назад

    Niliona Nabii mmoja ametoka Nigeria hivi karibuni ana kacha mkononi

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 2 года назад

    SwALI LANGU MISIKITINI MLI SHINDWA KUWA POTOSHA WAISLAM AU MLIKUWA MNA WAOGOPA?

    • @jessicanchimbi9419
      @jessicanchimbi9419 Год назад

      Mti wenye matunda ndiyo unapigwa mawe, Sasa jiulize kwann hawakuwa wanajihusisha kuvunja kanisa akil kumkichwa mpokee YESU

    • @MathayoMulumbi
      @MathayoMulumbi 2 месяца назад

      Cca Lucifer msikiti anaumiliki

  • @mgangaruban9383
    @mgangaruban9383 2 года назад

    naomba namba za mtumishi jmn

  • @gloryr9497
    @gloryr9497 2 года назад

    Mungu tusitiri na huyu mwovu ibilisi

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад

    Mimi sijasikia uyu kaka ameokoka aje part ya ngapi njo ameshuudia aliokokaje ?

    • @gloryidelya9899
      @gloryidelya9899 2 года назад

      Aliumbuka Kanisanii ndipoo Akaokoka Hapo hapo wezie Alio tumwanao walikufa Mwingine Alilud kuzimm

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 года назад

    Embu acha utani upako tenaaaa

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад

    Navile Lulu alifugwa jamani kumbe mlimuchukua

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 года назад

    Oh Mwansasu aiseh

  • @jescambogoma8394
    @jescambogoma8394 2 года назад

    Amina

  • @naomimunanga6363
    @naomimunanga6363 2 года назад

    Thanks God bls you all.

  • @juliekhaeli8560
    @juliekhaeli8560 2 года назад

    Mungu saidia watu wako.

  • @harunigaitani338
    @harunigaitani338 2 года назад +1

    Itaendele lini pt6

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 года назад

    Htr sana

  • @starluzenja9861
    @starluzenja9861 2 года назад

    Duh!

  • @georgiaapson7425
    @georgiaapson7425 2 года назад

    0

  • @macklinakabyazi3036
    @macklinakabyazi3036 2 года назад +1

    Ahsante mtumishi Jacktani, nikitaka kumuuliza swali huyo mtumishi namba zake ni ngapi? Maana kuna maswali yananitatanisha jamani

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      Fatilia mpaka sehemu ya mwisho atatoa namba yake

  • @IANA2030
    @IANA2030 2 года назад

    😭😭😭

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад

    Umesema kweli kabisa. Kanisa la baba godi mwanza yapo hayo Kalebi kawajaza Sana mimba waumini wa kanisa la baba godi

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 2 года назад

    Muongo sanaa.kk umekpka