Part2_Ni sisi tulitengeneza mafua ya ndege na bonde la ufa |ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 фев 2022
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 98

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 2 года назад +23

    Kwa YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote duniani,YESU KRISTO ndio BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine.Asante kwa Kazi ya msalabani

  • @rehemakipesile4930
    @rehemakipesile4930 2 года назад +11

    Daaaah, ulimwengu wa giza una mazito ya kutisha, Asante Mungu wangu kwa kunificha.🙏🙏

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 2 года назад +12

    Aki Yesu kweli ndiye Kimbilio la mwanadam. Asante Jacktan

  • @maxmillahnafula8279
    @maxmillahnafula8279 2 года назад +6

    Ubarikiwe sana mutumishi wa MUNGU kwa izi shuhuda zinajenga watu wengi kwa imani🙏🙏🇰🇪

  • @kennethogonda2947
    @kennethogonda2947 2 года назад +2

    Hii inadhibitisha wazi kuwa uislamu ni dini ya Shetani. Njia ya kuingia mbinguni ni Yesu Kristo pekee. Ahsante sana Jacktan.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 2 года назад +5

    Waa! dunia hii tunakaa inamaovu mingi sana,,Eeh Bwana Yesu KRISTO turehemu.

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 2 года назад

      ukiw tyr kwa maomb na sala na kufunga nijulishe nikuunge kweny group la maomb, whtsap

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 2 года назад +9

    Learning alot
    This reminds me of sheikh Omari Mnyeshani
    Following from Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @salimaechessa8933
    @salimaechessa8933 2 года назад +6

    Shuhuda hii ni ya kutisha,Mungu aturehemu na atupe nguvu za kumshinda shetani

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 2 года назад +6

    Shuhuda yako hiyo unaelezea vizuri sana

  • @sharonwalubengo7628
    @sharonwalubengo7628 2 года назад +7

    Kama huyu alisamehewa hata mimi leo nimeamini toba yangu yesu amesikia

    • @neemameshack4909
      @neemameshack4909 Год назад

      Mathayo 11:28 isaya 1:18. Hakuna la kumshinda Yesu na hqkuna dhambi isiyo samehela

  • @fraternitesecondaire7073
    @fraternitesecondaire7073 5 месяцев назад +1

    THIS TESTIMONY MAKE ME CRYING AND LOOKING MY GOD IMMEDIATELY. MY GOD PLEASE FORGIVE ME FOR ALL I'VE DONE WRONG FOR ALL I DID IN MY LIFE. I'M IN IN FRONT OF YOU MY GOD TO ASK FORGIVENESS AND REQUEST TO BLESS ME AND MY FAMILY.

  • @jacklinejoseph2729
    @jacklinejoseph2729 2 года назад +5

    Hakuna Mungu ila Yesu kristo mnazareti anaestahil kuabudiwa

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 2 года назад +4

    YESU nisaidie Dunia Ina mambo mengi magumu Baba bila wewe mm siwezi

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 2 года назад

      ukiw tyr kuach dhamb kabsa na kuish kwa iman ya mungu nijulshe ntakuunga group la maomb na kufunga

  • @mwangazakanganga8110
    @mwangazakanganga8110 2 года назад +4

    Asante Bwana Yesu kwa kuniokoa!
    Yoh 3:16

  • @user-dd7iy4ky1h
    @user-dd7iy4ky1h 4 месяца назад +1

    Umeyapitia San Kaka mungu nikuu kuliko huo hata hivyo nijasili San na mungu nilikua upande wako

  • @gideonzachayo9283
    @gideonzachayo9283 2 года назад +6

    MUNGU akubariki mkurugenzi wangu wa idala ya Uinjilisti, inatisha.

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 2 года назад

      kw maomb na kufunga kwa mwenye iman kbsa ya kuacha dhambi nitext

  • @emmanuelhatangimana3431
    @emmanuelhatangimana3431 Год назад +3

    Amina amina amina mungu wetu wambinguni asifiwe sana.

  • @fridahmulongo2697
    @fridahmulongo2697 2 года назад +3

    Waah makubwa haya kusilimishwa na kupokezwa swala kwa maji hii story inasisimua kwa kweli

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 года назад +3

    Ameeeeeeen barikiweni ndugu watumishi wa BWANA

  • @LoFi_120
    @LoFi_120 2 года назад +7

    Kwa jinsi inavyo sisimua, muda unaonekana mchache nusu saa kama dk5.

  • @naomimunanga6363
    @naomimunanga6363 2 года назад +3

    Humm hiyo yanitisha kweli yani ndugu ulitenda hauo yote naungali unaishi kweli mungu nimkuu sana. nangoja kuskusikia hadi mwisho wa storry am frome Kenya.

  • @peninahkariuki1136
    @peninahkariuki1136 2 года назад +4

    Waa ushuhuda mzito sana,still following from 🇰🇪🙏

  • @cizaaline3416
    @cizaaline3416 2 года назад +5

    Baba mchungaji na mama mchungaji muombe bila kuchoka kwasababu watoto wenu wanawindwa na chetani

  • @annamulenda6652
    @annamulenda6652 2 года назад +2

    Asante sana Mtumishi wa Mungu azindi kukulinda.. lakin naomba afundishe kwakina.. sikwakutaja vizimba hapa lakin kwakusema malagafi.. Kwamaneno Ya Sheik Omary Mnyeshani.. halafu kama mtu anaomba inabidi ajue ilikuomba sahihi.. Asante.. maoni yangu...

  • @myself4128
    @myself4128 2 года назад +4

    Sheikh Omar mnyeshani aliwahi kuongelea Kipimo cha ACD

  • @wilsonkakili2481
    @wilsonkakili2481 2 года назад +4

    Huyu jamaa usiende naye speed hana siri nyingi kwenye hile dini itakayowaelela motoni waumini wake wote

  • @florafaustine4637
    @florafaustine4637 2 года назад +2

    Mmmh nimeamini kuna mapepo yanayovaa umbo LA binadamu.
    Ahsante sana promover tv

  • @noellanduwimana51
    @noellanduwimana51 2 года назад +3

    Kaka yangu jactan mungu akubariki kwa kazi ya Bwana

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 2 года назад +2

    You have blessed me and you have make me to love jesus more

  • @madinamuzei5520
    @madinamuzei5520 2 года назад +1

    Nimeshukuru sana kwa ushuhuda wako kaka

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 2 года назад +3

    Powerful, asante kwa taarifa

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 2 года назад +1

    Dah!!!
    Dunia bila kuwa na YESU KRISTO ni balaa

  • @ambassadorkateme5903
    @ambassadorkateme5903 2 года назад +7

    Mr Jactan be wide in interrogation with this man don't stay silent, it is better to ask some questions and ensure that he talks everything. Usiwe mchungaji kupitiliza muulize mdadisi watu wanataka wajue ili wamgeukie Bwana Yesu

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад +3

      Asante, endelea kufuatilia utasikia maswali na majibu

  • @agnethpaul3596
    @agnethpaul3596 2 года назад +1

    Ulinzi wa YESU NI HAKIKA.

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690 2 года назад +2

    Toba ya lazima daa hii nayo ni kali sana

  • @joycemanyilizu4945
    @joycemanyilizu4945 2 года назад +1

    Mungu akusaidie sana ktk safar ya kumtumikia yesu

  • @baya7067
    @baya7067 2 года назад +3

    Yesu tuokoe wanadamu kwa huruma zako

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 2 года назад +3

    Jamaa atakuwa alipata div 1 ya point 7. Ni ana knowledge

  • @franciskimani3255
    @franciskimani3255 2 года назад

    Am really blessed, thank you man of God for teaching us. People need to see and hear the truth. Thank you for the revelation

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w 2 года назад +2

    Ushuhuda mkubwa jamani huu yani jamaa huyu alipotea hivyo hivyo tu

  • @bariuezekiel5841
    @bariuezekiel5841 2 года назад +2

    No. 4 Leo

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 года назад

    Amen God bless you brother God is awesome 🙏

  • @hoseakissilla-kw9os
    @hoseakissilla-kw9os Год назад +1

    Yesu tusaidie

  • @sophiajonas3459
    @sophiajonas3459 Год назад +1

    Ohhhhhhhh my God help us and our children.

  • @johnbosconiyibigira7811
    @johnbosconiyibigira7811 2 года назад +3

    Thank you Jacktan

  • @virginiakanana7677
    @virginiakanana7677 Год назад +1

    Waaah

  • @Simopaul97
    @Simopaul97 2 года назад +1

    Mr Jactan ninakuombea sana BWANA YESU KRISTO akulinde. Maana kama si mafunuo BWANA aliyokupa kuanzisha channel hii tusingeyajua haya. Hakika yanatupa kujidia KRISTO YESU. Vita yako sio ndogo lkn simama na BWANA na kila silaha itakayoinuka juu yako haitofanikiwa na kila ulimi ktk hukumu utahesabiwa kuwa mkosa. Isaya 54:17

  • @johnbosconiyibigira7811
    @johnbosconiyibigira7811 2 года назад +2

    Laaa hii ni yamwaka kabisa

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w 2 года назад

    Yani this man of God has a good memory

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 года назад +2

    Jamani vina tisha

  • @irenewilfred7767
    @irenewilfred7767 2 года назад +1

    Mmmh. Mungu tulinde

  • @chaseborgia
    @chaseborgia 2 года назад +1

    Homa ya bonde la ufa iliua ng'ombe na binadamu, mafua ya ndege nao ulikuwa tishio.

  • @plastidiacasmiry2234
    @plastidiacasmiry2234 Год назад +1

    Oh...kama Jeshi la Shetani humwita Yesu kristo KAFIRUNA...hivyo sitikisiki wakinitambilisha kwa jina la KAFIRI kwani ni mfuasi wa huyo wamwitao KAFIRUNA na najivunia kufanya hivyo.

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w 2 года назад +1

    Mimi hapo kwa majina ya kichawi

  • @mtumehosana7081
    @mtumehosana7081 Год назад

    Mtumishi ni kweli huko kuzimu Kuna makanisa Kama ya dunian yaan Kama ni TAG na huko kuzimu lipo? Maana Kuna ushuhuda mmoja wa magakale anasema makanisa yote yaliyoko dunian na kuzimu yapo kasoro sabato tu ndo haliko kuzimu. Kama ni kweli mim nataka niwe msabato.

  • @obadiajonas9889
    @obadiajonas9889 2 года назад

    Amina

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 года назад

    kwa wokovu wa maomb ya kwel kwa iman ya kuacha dhamb, nitext nkupe namb yang ili unipe namb nikuunge group la maomb

  • @florencemakanda7946
    @florencemakanda7946 2 года назад

    Je inamaana uganga upo na unafanya kazi mtumishi na ufafanuzi.

  • @aboobakke857
    @aboobakke857 2 года назад

    🤣🤣😂 safi xna

  • @realityearth7886
    @realityearth7886 2 года назад +3

    nilikuwa wakala wa shetani tangu nikiwa na miezi 3 don't forget

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda1851 Год назад

    Soda???? Nimekataa ulikunywa damu ya binadam

  • @macamezungu7031
    @macamezungu7031 2 года назад +1

    Duh Duniani luna mambo

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 2 года назад +1

    He speaking like shehk omar

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 2 года назад +1

    Wewe ni mkweli sana

  • @mathildekamwanya8298
    @mathildekamwanya8298 Год назад

    On ne sait plus que Dieu soit pas encore de Dieu que

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Mchungaji alikulaani pole saana

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 2 года назад +1

    Tuonyeshe Hilo kovu basi

  • @matridalule5614
    @matridalule5614 2 года назад

    Majina yote hayo unayakumbuka duh kiwukutu🤔

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 года назад

    jaman wapenda wokovu karbun katk group la maomb ya sala na kufunga tujikabidhi mbele za mungu, weka namb yako hapa ila uwe na iman ya kwel na uwe mwamin wa kuacha dhambi kwl.

  • @user-dd7iy4ky1h
    @user-dd7iy4ky1h 4 месяца назад

    😢

  • @yetumusic7748
    @yetumusic7748 2 года назад +1

    weka muendelezo

  • @mariamnamwa188
    @mariamnamwa188 2 года назад +1

    Hiyo time yote hakuwa ameamka ama alipotea jumla??

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 2 года назад

    Zodiac signs Jesus have mercy

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Hee ni mashekhe tuu Jamani jehanamu ni yao moja kwa moja

    • @fridahmulongo2697
      @fridahmulongo2697 2 года назад

      Wewe umepata wapi ruhusa ya kuhukumu?

    • @graceshayo1347
      @graceshayo1347 2 года назад

      @@fridahmulongo2697 Yan siy mashehe 2 hta waislam Ni jehamu 2

    • @fridahmulongo2697
      @fridahmulongo2697 2 года назад +1

      @@graceshayo1347 heri ww unayejua wa Jahamu na wa Peponi

  • @veronicalaiser8394
    @veronicalaiser8394 2 года назад

    Coca Cola ndiyo soda yao? Mmmh ndiyo hii tunayokunywa nini?

  • @Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm
    @Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm 2 года назад +1

    Mmh

    • @lohayyaato465
      @lohayyaato465 Год назад

      Hayo yanaukweli kabisa nimekuelewa vizuri Ila kuzimu ni wapi kwa kumbukumbu zako? Ni aridhini au angani

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w 2 года назад

    😷😷😷hilo jina ulilopewa

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 года назад

    jamn jmn km shetan ndo hiz mbinu zoooot ni lengo la mwanadam na hatusali hatuna iman jmn mmmmmmmmh tuombe sana, leteni namb jamn nko na group la maomb tuwe tunaomb na kufnga