Bwana yesu asifiwe jaman kwamajina naitwa aisha selemani mwenyeji wa dar salaam lakini kwasasa niko omani naumri wa miaja 20 nateseka sana mimi pamoja na familia yangu nabii kiboko ya wachaw naomba unisaidie kama kuna nguvu zagiza zinazo notesa mim na familia yangu naomba hao eachawi wote iwateketeze katiks jina la yesu
Baba wewe ishi TU huna baya kwangu Mimi umenipa kibari na uponyaji wa ndowa yangu bado haijatokea ila naamini itakuwa natoka Zanzibar nakuja Ibadan namaanisha
Yani watu mume pigwa upofu wamacho bilakujua
Mbna ile namba ya tukipiga tunaambiwa imefungiwa jamnii
Piga spana Mtumishi.
Bwana yesu asifiwe jaman kwamajina naitwa aisha selemani mwenyeji wa dar salaam lakini kwasasa niko omani naumri wa miaja 20 nateseka sana mimi pamoja na familia yangu nabii kiboko ya wachaw naomba unisaidie kama kuna nguvu zagiza zinazo notesa mim na familia yangu naomba hao eachawi wote iwateketeze katiks jina la yesu
Nabii nisaidie
Mchongo majizx
Wajinga ndio waliwao afadhal ametimliwa nchini kwenu
Baba wewe ishi TU huna baya kwangu Mimi umenipa kibari na uponyaji wa ndowa yangu bado haijatokea ila naamini itakuwa natoka Zanzibar nakuja Ibadan namaanisha
Baba nabii naomba unitabirie baba familiayetu atuelewani upande wakwa baba na kwa mama pia nitabirie nabii.
Daddy nami niko Bujumbura ninakufata 100/100
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba mjuku angu Alick apoke uponyaji huko aliko nyumbani Malawi Amen
BARIKIWA sana mtumishi wa Mungu ALIYE hai
Bwana yesu asifiwe nimekuelewa sanaaa binafsi ninamatatizo ya tumbo silielewi (2) watoto na baba yao wafunguliwe
Baba naitwa Eliza naomba unitabirie
Naomba namimi uniponye nisaidi baba
Ntapataje namba za mtumishi nashida
Mungu fungua njian zangu
Amina amina baba
Namm piya uchumi wangu
Amina
Nitafanikiwa kwa lazima
Baba naomba msada wako
Tabit nasisi
🙏🙏
Naomba nitabirie baba
Mjini kisomo.
Rehema ipite