Ayaya ------SPINCE SESEME ft ALIKIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 424

  • @deogratiusbizimana5526
    @deogratiusbizimana5526 10 месяцев назад +51

    Kama bado wimbo huu unakukumbusha mbali gonga like hapa❤

  • @AminJuma-fb2pn
    @AminJuma-fb2pn Год назад +13

    Daah kwer so poa mwache kiba aitwa king hii ngoma inanikumbusha enzi izo nipo zang mwanza nlikua na mtoto mmoja mkar sana sema yeye alikua anasoma alikua ananipenda sana ila mimi sasa nlikua namuogopa kwa sabab alikua anasoma

  • @hamisifuko4281
    @hamisifuko4281 7 месяцев назад +5

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Hii nyimbo na Kinyulinyuli zinanikumbusha maumivu makali sana. Kipindi zinatoka , ndio kipindi Dem wangu ananiambia ana mimba lakini si yangu. Na anasema ameamua hivyo kwasababu sitakuwa na uwezo wa kuitunza familia yake itakayokuja kwa maana anataka watoto wake wawe katika familia bora kwa maana ya magari na majumba ya kifahari.
    Kilichotekea sasa, alienidharau ndio nimekuwa maisha bora , nina ghorofa ya maana ,Ndinga kali kadhaa,na miradi kama yote,nimepata watoto kwingine na wote wanasoma international schools Alhamdulillah.
    Yeye sasa,anasota na kashaachwa. Mwisho anarudi kuniomba msaada alienidharau.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @Jipendelee255
    @Jipendelee255 10 месяцев назад +49

    2024 who is here 😂❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @stevenstewartchihusi8709
    @stevenstewartchihusi8709 10 месяцев назад +15

    Nice Song
    I'm still listening Until 2024
    🇨🇩❤️🇹🇿

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 2 месяца назад +1

    Ngoma ya kitambo sana...big up kiba.you are true king🎉❤

  • @YoungProfessionel
    @YoungProfessionel Месяц назад +2

    2025 hapa toka 🇨🇩 Congo ici 💥💥🎉🎉

  • @b.o.bmicharazo8112
    @b.o.bmicharazo8112 Год назад +18

    Daaaah hii ngoma atali sana 🔥 2023

  • @sylvanosalumu5840
    @sylvanosalumu5840 7 месяцев назад +3

    Nilisikiliza sana ili goma na mwanangu PIPIRO,leo mwamba katangulia mbele za haki.
    Endelea kumpzika salama ndugu yangu😭

  • @ManirambonaFreddy
    @ManirambonaFreddy Год назад +8

    Ali Kiba is an african king who doesnt get recognition he deserves.

  • @ivankipobota3162
    @ivankipobota3162 Год назад +2

    Spince mwenyezi mungu akubariki Na akulinde popote ulipo Na hata Kama umeacha kuimba bado uko juu ubarikiwe Sanaa

  • @mchiadarsizm1052
    @mchiadarsizm1052 6 лет назад +33

    2013 ngoma ilikuwa Fire 🔥🔥🔥hii tukicheki kwenye TV ya shule kila j pili lazma ipigwe kwenye ZINAZO HIT EATV...!!!! 26/11/2018

    • @mjunicharles1198
      @mjunicharles1198 Год назад

      Wiiiiii mbar huko sisi inatoka tuko nayo ilkua 2012 nilkua form one enzihzo tunajiona malibra

    • @elisonguomoshi3354
      @elisonguomoshi3354 Год назад

      Leo ni miaka 5 imepita tangu u'comment, nami nime'comment leo❤

    • @LawrenceAnyange-ng2lu
      @LawrenceAnyange-ng2lu Месяц назад

      Hii Ngoma ilikuwa Kali sana 2013 after my form four

  • @DanielPariit
    @DanielPariit Год назад +7

    Good sana alikiba twaenda nayo 2024❤🤙🤙🤙🤙🤙

  • @adamidrisa9370
    @adamidrisa9370 6 лет назад +77

    daa hii nyimbo inanikumbusha nikiwa na mtoto m1 mzur sana wa kiarabu,,alkua hataki makuu hata km sina ananifariji kwa hii nyimbo

    • @cabylake2320
      @cabylake2320 Год назад +2

      Ongera saaaan

    • @SamiraSaid-l8d
      @SamiraSaid-l8d Год назад +4

      Jamni hiii nyimbo inanikubusha balii sana jamni jamni 😢😢😢😢

    • @kuamino
      @kuamino Год назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @kins8045
      @kins8045 Год назад

      ​@@SamiraSaid-l8d😮😮😮

    • @mohamedsalim52
      @mohamedsalim52 Год назад

      Ahahaaa....,😂😂😂😂

  • @yantaballyescober8023
    @yantaballyescober8023 2 года назад +22

    From Cinderella to Ayaya till now 2022🔥🔥

  • @jnyarubamba88
    @jnyarubamba88 Год назад +15

    Hii ngoma inanifanyaga nimkumbuke marehem x wangu...apumzike kwa amani

    • @ASHAKILLO-cu1ft
      @ASHAKILLO-cu1ft Год назад +3

      Pole Sana Mimi nimeisikiliza nimelia,niliingilia nayo ukumbini 2013 nilipofunga ndoa na mumewangu leo kaniacha naangalia pekeyangu,mungu ampunguzie adhabu za kaburi😢😢😢

    • @SMCTRADER-b4t
      @SMCTRADER-b4t Месяц назад

      ​@@ASHAKILLO-cu1ft pole sana

  • @skynerabdulkadir6098
    @skynerabdulkadir6098 5 лет назад +27

    Kiba is KING..Natambaa nao 2020💪💪

  • @GyaviraLaurean
    @GyaviraLaurean Год назад +10

    2023 tuloiludia hii ngoma tujuane

  • @omarhussein7571
    @omarhussein7571 Год назад +14

    2023 nmetafuta huu wimbo uliniliwaze hakika napita mapito magum kdgo afu nna mke na ana mtoto tumboni na nataraji mwezi July tupate mtoto na huu ni mwez march na nikiangalia kushoto na kulia sion wapi napata pesa😭😭
    Eee mungu nijaalie mm pamoja na mke wng, yatapita tu

    • @adilaibrahim2069
      @adilaibrahim2069 Год назад

      Mambo yameendaje

    • @ryncellar1145
      @ryncellar1145 Год назад

      Mnaendeleaje?Natumaini Kila kitu kilikuwa sawa

    • @jocktanwilfred9874
      @jocktanwilfred9874 Год назад

      Vipi HALI ya shem na wewe kwa Sasa?? Bila shaka mungu aliwaepusha na magumu zaid ya yale

    • @abeidjudo5030
      @abeidjudo5030 4 месяца назад

      🙄​@@ryncellar1145

  • @yasriatibo599
    @yasriatibo599 2 месяца назад +1

    24/11/2024, hi yembo Ina kumbo kumbo😢😢😢

  • @michaelisara
    @michaelisara Месяц назад +4

    Wangapi Bado mnasikiliza Huo Wimbo Tujuane Kwa Like

  • @salehemkala7775
    @salehemkala7775 8 лет назад +44

    kiba tuletee kama huu tena tumeupenda sana

  • @HunterMan-i6g
    @HunterMan-i6g Год назад +5

    Amini kaka hata mm inanikumbusha mbali sn wametisha.

  • @waltermwakombe5790
    @waltermwakombe5790 2 года назад +16

    Who is with me 2022 still on my Playlist

  • @OtondiOkondo
    @OtondiOkondo Месяц назад

    2024 Bado uu wimbo unanikumbusha Jane wangu ata cjui alienda wap

  • @koalaness8921
    @koalaness8921 5 лет назад +14

    Sounds and beats za zamani zilikuwa ni nzuri sana ... hats off kwa producers wa zamani...

  • @mathewpugili1974
    @mathewpugili1974 11 лет назад +10

    huwa cpendi kucfia ila hii song alikiba amesimama sana big up

  • @mtalaimasasira6678
    @mtalaimasasira6678 3 года назад +4

    bonge la ngoma kweli alikiba NI king kiba nikikumbuka hii ngoma nakumbuka mbali sana

  • @innocentgeorge1117
    @innocentgeorge1117 Год назад +1

    Hiiii nyimbo nilikua naitafuta daaah imenikumbusha mbali sanaaa HADIA kipenz daaah saiv sjui ukowap

  • @esterpaul6314
    @esterpaul6314 Год назад +14

    Cjui kwann nikickiaga nyimbo za zaman nackia kulia 😢

    • @Lg4343
      @Lg4343 4 месяца назад +2

      yani hio hadi mimi aisee ni unakuwa memories za zamani daah

    • @esterpaul6314
      @esterpaul6314 4 месяца назад +1

      @@Lg4343 we acha tu machoz yanatoka na kwel nakua nawaza mambo ya zaman

    • @GidionEligi
      @GidionEligi 3 месяца назад

      Ni zamani hiyo

    • @sultanmswahilitv4864
      @sultanmswahilitv4864 2 месяца назад

      Zina memories kali sana

    • @banyanyawenslaus5951
      @banyanyawenslaus5951 Месяц назад

      Kwani sio Mimi ytu😢

  • @armylee360youtube
    @armylee360youtube 10 месяцев назад +5

    Listening still 2024❤

  • @ajabudavid3040
    @ajabudavid3040 9 месяцев назад +1

    Iyi nyimbo wakati imetoka nilikua high school wazazi wangu walikuwa na malengo mengi kwa ajili yangu ila dah😢 leo iyi wote awapo am fighting my self😢najisikia kulia sana

    • @africangirls482
      @africangirls482 8 месяцев назад

      Keep fighting bro mungu atakusumamia pole sana

  • @lovirinaa
    @lovirinaa Год назад +3

    🥺feel like crying miss home

  • @gerhard712
    @gerhard712 10 лет назад +27

    yeah i still listen this song, is one of the best bongo music i have heard. wonderful and meets exactly my taste of music. for me is in my favourite list forever.

  • @Dinosucre10
    @Dinosucre10 5 лет назад +13

    Who is here in 2019??
    I love this song

  • @evaruhago4573
    @evaruhago4573 4 года назад +25

    Old is gold..much love, Ali Kiba forever

  • @fundi_maiko
    @fundi_maiko Год назад +1

    Dah,,,hili dude linanikumbusha mwaka 2013,,Wueh,,,mpaka leo bado naipenda

  • @fundi_maiko
    @fundi_maiko Год назад +1

    Spinnce Sesame ni mwanangu sana kitambo tu,, 2024, Dar-es-Salaam beib

  • @gerhard712
    @gerhard712 11 лет назад +9

    asante sana for this wonderful song. is one of my favourite songs in the last months.

  • @mutwirinkanatareallifevlog7549
    @mutwirinkanatareallifevlog7549 6 лет назад +13

    hey huzuni sana ninao sana nlikuwa na rafiki msupa maze alikufa nlisikia hii ngoma kwake usiku maaaaan so sad....

  • @koalaness8921
    @koalaness8921 7 лет назад +10

    these kind of songs bongo amna sikuiz... so tasty... nyimbo zinakupa gud mood... kina dushelele, kidela ....

  • @pekamwangi
    @pekamwangi 6 месяцев назад

    Yooohhh! Banger from waaaayyyy back! Here in July 2024 🔥🔥🔥

  • @2pacmakaveli495
    @2pacmakaveli495 Год назад +2

    ❤❤❤❤I used to love this 🎵

  • @mariamissa4186
    @mariamissa4186 7 лет назад +25

    Duuu kitambo sana ishapita kama miaka 5nikawa enz zileeeeeeeeee laha sana

    • @hawapro7009
      @hawapro7009 7 лет назад +1

      Mariam Issa we Acha tu Ss hiv maisha ya Magu noma sn

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 лет назад +6

    alikiba mrudishe spence kwenye game kaka bado anaweza mziki wake mpaka leo mtamu kuna nyingine kaimba dully ngoma kali nayo

  • @meeks8581
    @meeks8581 Год назад +2

    King doing Kings thing.

  • @abdirahmanafada93
    @abdirahmanafada93 11 лет назад +18

    best song ayaya!!!

  • @oscaropicho
    @oscaropicho Год назад +3

    Alikiba kweli napenda ngoma zako❤❤❤❤

  • @shamsikheri7507
    @shamsikheri7507 Год назад

    Video vixen ni mdogo wangu Kabisa,,,,big up aisha

  • @ericksongoodlife6903
    @ericksongoodlife6903 Месяц назад +1

    Ntaupataje huu wimbo ni u download

  • @willysadala8267
    @willysadala8267 2 года назад +1

    Nyimbo Kari xan hii 2liichezaga kwenye sherehee ya ma bloo we2 2013

  • @Ivanune
    @Ivanune 4 года назад +7

    This was such a jam... Still is.

  • @aluwiyeabdul5649
    @aluwiyeabdul5649 4 года назад +2

    Mzikimzuri kama umetoka Leo napenda niwaone wakiiimba Pamoja huuwimbo king yooooooo😘😘😘😘💯

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Год назад +3

    King kiba forever ❤

  • @johngasto7751
    @johngasto7751 6 лет назад +37

    Huu wimbo kijijini kwetu kweny sherehe ilikuwa kama haijapgwa bas sherehe bado haijaisha

    • @mrmoneyhelman7507
      @mrmoneyhelman7507 5 лет назад +1

      John Gasto d

    • @aminabaraka1467
      @aminabaraka1467 4 года назад

      wimbo huu namkumbuka mpenzi wang wakwanza kuwa naye kwenye mahusiano kiukweli nilikuwa nampenda sana

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 11 месяцев назад

    Daaa hii nyimbo inanikumbusha musoma enzi hizo.❤❤❤❤❤❤

  • @asinathmuhidini4046
    @asinathmuhidini4046 3 года назад +1

    Mbka 2021 bado naikubali mana mi nakiba kama chupi na tako. Sauti tuu inanikoshaga atali toka kitambo anz izo za shule nkisikia kiba weeee mbka ham inanigiaga kira mara

  • @etonline2214
    @etonline2214 3 года назад +3

    Kama unakubale kiba is KING best gonga like 2021

  • @josephnyanje163
    @josephnyanje163 2 года назад +5

    Shoutout for the for sure he deserve to be a king nice voice 🔥🔥

  • @atukuzwesanga4982
    @atukuzwesanga4982 11 месяцев назад +4

    2024😊😊❤ twende pamoja

  • @HarunaFundii-lw1zr
    @HarunaFundii-lw1zr 4 месяца назад

    King bado imewashikaaaaaa 2024

  • @mariamhusseja5005
    @mariamhusseja5005 5 лет назад +4

    Kiba njoo hukuu yaani hii ngoma inanipaga raha sana .....

  • @DaudiRioba
    @DaudiRioba Год назад +1

    kipindihicho nikiwa mdogo Sana ndonikiwa nimeanza kukalili nyimbo kidogo daah

  • @tariqmsalm1498
    @tariqmsalm1498 8 лет назад +7

    This is a sweet song you guys just created it

  • @johnpeter745
    @johnpeter745 4 месяца назад

    Who is this vixen?, she's so inviting

  • @SophiaMassawe-o6e
    @SophiaMassawe-o6e Год назад +1

    ❤much love20003

  • @josemournh6534
    @josemournh6534 2 года назад +4

    Noma sana hii ngoma bado naenda nayo mpaka leo 2023

  • @salhakassim5712
    @salhakassim5712 4 года назад +3

    2021 nimeoyonatena❤️

  • @TopTabz-w6r
    @TopTabz-w6r Месяц назад

    it was my favourite with my beib even now it remind us our youth

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf 7 лет назад +15

    Jmn alikiba zamn ulikuwa fire

  • @dommyofficial9533
    @dommyofficial9533 9 месяцев назад

    Dah back to my primary days...

  • @samwelirobert2576
    @samwelirobert2576 3 года назад +1

    Mazuu Records kapotelea wapi kwenye game

  • @TumainiMabula-cr8dg
    @TumainiMabula-cr8dg Год назад +2

    bado nasonga nayo 2023

  • @doctorhuruma9695
    @doctorhuruma9695 Год назад +2

    maisha yanasiri nzito sana yani jamaa huyu kaangukia kwenye uganga masikini alikuwa na ndoto za kufika mbali sana

  • @elishacharles3073
    @elishacharles3073 Год назад +1

    Toka 2013 Wza old Vww had leo 2023 mziki mzuri

  • @santosclassic9935
    @santosclassic9935 Год назад

    😭😭😭🙏🙏 R.i..p wasela zangu wote tuliopendana miaka hiyo

  • @Notyoouagain
    @Notyoouagain 4 года назад +2

    Hey 2020 people.

  • @AllyHaji-um1qd
    @AllyHaji-um1qd 7 месяцев назад

    Kupitia huu wimbo namkumbuka x wang...r.i.p janathy

  • @kiparamaisha2412
    @kiparamaisha2412 12 лет назад +7

    spince big up kaka pin ya ukweliiiiiiiiiiiii ile mbaya ayayaaa......... wavimbe wa pasuke bhass................

  • @mercijohn4665
    @mercijohn4665 2 года назад +2

    Ayaya 2022
    🔥🔥🔥🔥

  • @davidkabyemela8140
    @davidkabyemela8140 6 месяцев назад

    Dah nimekumbuka kitu acha tu maisha haya 🔥🔥🔥2024

  • @juniormbugi9938
    @juniormbugi9938 6 лет назад +3

    Hii ngoma ilikuaga kali sana na Bado kali. Yuko wapi huyu jamaa Spince?

    • @mkongwemedia8015
      @mkongwemedia8015 5 лет назад +1

      Kaka saivi nipo dar naendelea na majukum mengine sababu muziki wa bongo haulipi

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 3 года назад

      @@mkongwemedia8015 dahhhhhhh ungejaribu Tena Kaka maana kipaji unacho na saiv mziki unalipa tofaut na mwanzo

  • @EmilianKomba-sb4kn
    @EmilianKomba-sb4kn Год назад

    Alikiba ana kumbushaga mbali kwa hii nyimbo

  • @Salimoamisse-cm5hk
    @Salimoamisse-cm5hk 10 месяцев назад

    Inyimbo inanikumbushia mbali sana today 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @christinaallen7105
    @christinaallen7105 Год назад +1

    August 2023

  • @djchuse9099
    @djchuse9099 4 года назад +2

    Daah kiba noma wimbo had 2020 tunao

  • @shamsamalima6324
    @shamsamalima6324 6 лет назад +3

    Jaman nmpenda uyu kaka alio imba na kiba macho yake yananimaliza kabsa

  • @Hyden_tz
    @Hyden_tz Год назад +1

    Still we are 2023 🔥🔥🙌

  • @rhamlaally6930
    @rhamlaally6930 Год назад +2

    Audiomac hawana hii

  • @dullahkombo7295
    @dullahkombo7295 4 месяца назад

    30 September 2024 nimeikumbuka hii ngoma nairudia rudia niwezavyo narudisha memory nyuma ili nisonge mbele zaidi❤

  • @phaustine1096
    @phaustine1096 Год назад +1

    Jamaa waga anajua San kukonga mioyo ya watu

  • @wambuikimani21
    @wambuikimani21 12 лет назад +2

    big tune this. very nice. Can't stop replaying it. from Nairobi.

  • @tembamkwawi
    @tembamkwawi 28 дней назад

    🤝🤝 2025 king kiba that is best music 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @InshaafJabaar-l1w
    @InshaafJabaar-l1w 10 месяцев назад

    The one of the best that days and still is one of best the One who did teach My he rest in peace i❤❤❤❤❤ you

  • @abdulazizmohammed-fd5mj
    @abdulazizmohammed-fd5mj 4 месяца назад

    2024,9,27 bado ipo juu amtafute uyu jamaa

  • @mugendijohnie254
    @mugendijohnie254 10 месяцев назад

    2024 just got this master piece❤

  • @bahatieleson5508
    @bahatieleson5508 5 лет назад +2

    Still listen for it

  • @fabianmarco1651
    @fabianmarco1651 3 года назад +2

    Wangapi tupo hapa 2021

  • @aishamohamed4727
    @aishamohamed4727 5 лет назад +3

    Still watching 2019

  • @skytv2421
    @skytv2421 7 лет назад +5

    Who is watching 2017 big up #spence #kingkiba good song