Daah kwer so poa mwache kiba aitwa king hii ngoma inanikumbusha enzi izo nipo zang mwanza nlikua na mtoto mmoja mkar sana sema yeye alikua anasoma alikua ananipenda sana ila mimi sasa nlikua namuogopa kwa sabab alikua anasoma
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Hii nyimbo na Kinyulinyuli zinanikumbusha maumivu makali sana. Kipindi zinatoka , ndio kipindi Dem wangu ananiambia ana mimba lakini si yangu. Na anasema ameamua hivyo kwasababu sitakuwa na uwezo wa kuitunza familia yake itakayokuja kwa maana anataka watoto wake wawe katika familia bora kwa maana ya magari na majumba ya kifahari. Kilichotekea sasa, alienidharau ndio nimekuwa maisha bora , nina ghorofa ya maana ,Ndinga kali kadhaa,na miradi kama yote,nimepata watoto kwingine na wote wanasoma international schools Alhamdulillah. Yeye sasa,anasota na kashaachwa. Mwisho anarudi kuniomba msaada alienidharau.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole Sana Mimi nimeisikiliza nimelia,niliingilia nayo ukumbini 2013 nilipofunga ndoa na mumewangu leo kaniacha naangalia pekeyangu,mungu ampunguzie adhabu za kaburi😢😢😢
2023 nmetafuta huu wimbo uliniliwaze hakika napita mapito magum kdgo afu nna mke na ana mtoto tumboni na nataraji mwezi July tupate mtoto na huu ni mwez march na nikiangalia kushoto na kulia sion wapi napata pesa😭😭 Eee mungu nijaalie mm pamoja na mke wng, yatapita tu
Iyi nyimbo wakati imetoka nilikua high school wazazi wangu walikuwa na malengo mengi kwa ajili yangu ila dah😢 leo iyi wote awapo am fighting my self😢najisikia kulia sana
yeah i still listen this song, is one of the best bongo music i have heard. wonderful and meets exactly my taste of music. for me is in my favourite list forever.
Mbka 2021 bado naikubali mana mi nakiba kama chupi na tako. Sauti tuu inanikoshaga atali toka kitambo anz izo za shule nkisikia kiba weeee mbka ham inanigiaga kira mara
Kama bado wimbo huu unakukumbusha mbali gonga like hapa❤
Bro adi nimesubscribe
Daah kwer so poa mwache kiba aitwa king hii ngoma inanikumbusha enzi izo nipo zang mwanza nlikua na mtoto mmoja mkar sana sema yeye alikua anasoma alikua ananipenda sana ila mimi sasa nlikua namuogopa kwa sabab alikua anasoma
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Hii nyimbo na Kinyulinyuli zinanikumbusha maumivu makali sana. Kipindi zinatoka , ndio kipindi Dem wangu ananiambia ana mimba lakini si yangu. Na anasema ameamua hivyo kwasababu sitakuwa na uwezo wa kuitunza familia yake itakayokuja kwa maana anataka watoto wake wawe katika familia bora kwa maana ya magari na majumba ya kifahari.
Kilichotekea sasa, alienidharau ndio nimekuwa maisha bora , nina ghorofa ya maana ,Ndinga kali kadhaa,na miradi kama yote,nimepata watoto kwingine na wote wanasoma international schools Alhamdulillah.
Yeye sasa,anasota na kashaachwa. Mwisho anarudi kuniomba msaada alienidharau.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
2024 who is here 😂❤🎉🎉🎉🎉🎉
also me
I'm here 🎉🎉🎉
Kkkk
🙌
Im here 25/12/2024
Nice Song
I'm still listening Until 2024
🇨🇩❤️🇹🇿
Ngoma ya kitambo sana...big up kiba.you are true king🎉❤
2025 hapa toka 🇨🇩 Congo ici 💥💥🎉🎉
Daaaah hii ngoma atali sana 🔥 2023
Nilisikiliza sana ili goma na mwanangu PIPIRO,leo mwamba katangulia mbele za haki.
Endelea kumpzika salama ndugu yangu😭
Ali Kiba is an african king who doesnt get recognition he deserves.
Spince mwenyezi mungu akubariki Na akulinde popote ulipo Na hata Kama umeacha kuimba bado uko juu ubarikiwe Sanaa
2013 ngoma ilikuwa Fire 🔥🔥🔥hii tukicheki kwenye TV ya shule kila j pili lazma ipigwe kwenye ZINAZO HIT EATV...!!!! 26/11/2018
Wiiiiii mbar huko sisi inatoka tuko nayo ilkua 2012 nilkua form one enzihzo tunajiona malibra
Leo ni miaka 5 imepita tangu u'comment, nami nime'comment leo❤
Hii Ngoma ilikuwa Kali sana 2013 after my form four
Good sana alikiba twaenda nayo 2024❤🤙🤙🤙🤙🤙
daa hii nyimbo inanikumbusha nikiwa na mtoto m1 mzur sana wa kiarabu,,alkua hataki makuu hata km sina ananifariji kwa hii nyimbo
Ongera saaaan
Jamni hiii nyimbo inanikubusha balii sana jamni jamni 😢😢😢😢
😂😂😂😂😂😂
@@SamiraSaid-l8d😮😮😮
Ahahaaa....,😂😂😂😂
From Cinderella to Ayaya till now 2022🔥🔥
Hii ngoma inanifanyaga nimkumbuke marehem x wangu...apumzike kwa amani
Pole Sana Mimi nimeisikiliza nimelia,niliingilia nayo ukumbini 2013 nilipofunga ndoa na mumewangu leo kaniacha naangalia pekeyangu,mungu ampunguzie adhabu za kaburi😢😢😢
@@ASHAKILLO-cu1ft pole sana
Kiba is KING..Natambaa nao 2020💪💪
2023 tuloiludia hii ngoma tujuane
2023 nmetafuta huu wimbo uliniliwaze hakika napita mapito magum kdgo afu nna mke na ana mtoto tumboni na nataraji mwezi July tupate mtoto na huu ni mwez march na nikiangalia kushoto na kulia sion wapi napata pesa😭😭
Eee mungu nijaalie mm pamoja na mke wng, yatapita tu
Mambo yameendaje
Mnaendeleaje?Natumaini Kila kitu kilikuwa sawa
Vipi HALI ya shem na wewe kwa Sasa?? Bila shaka mungu aliwaepusha na magumu zaid ya yale
🙄@@ryncellar1145
24/11/2024, hi yembo Ina kumbo kumbo😢😢😢
Wangapi Bado mnasikiliza Huo Wimbo Tujuane Kwa Like
kiba tuletee kama huu tena tumeupenda sana
Huo wimbo siyo wa Alikiba
Amini kaka hata mm inanikumbusha mbali sn wametisha.
Who is with me 2022 still on my Playlist
I'm here. This song is fire
2024 Bado uu wimbo unanikumbusha Jane wangu ata cjui alienda wap
Sounds and beats za zamani zilikuwa ni nzuri sana ... hats off kwa producers wa zamani...
I swear
Producers were creative compare to nowdays
huwa cpendi kucfia ila hii song alikiba amesimama sana big up
bonge la ngoma kweli alikiba NI king kiba nikikumbuka hii ngoma nakumbuka mbali sana
Hiiii nyimbo nilikua naitafuta daaah imenikumbusha mbali sanaaa HADIA kipenz daaah saiv sjui ukowap
Cjui kwann nikickiaga nyimbo za zaman nackia kulia 😢
yani hio hadi mimi aisee ni unakuwa memories za zamani daah
@@Lg4343 we acha tu machoz yanatoka na kwel nakua nawaza mambo ya zaman
Ni zamani hiyo
Zina memories kali sana
Kwani sio Mimi ytu😢
Listening still 2024❤
Iyi nyimbo wakati imetoka nilikua high school wazazi wangu walikuwa na malengo mengi kwa ajili yangu ila dah😢 leo iyi wote awapo am fighting my self😢najisikia kulia sana
Keep fighting bro mungu atakusumamia pole sana
🥺feel like crying miss home
ndio naitazama hapa
yeah i still listen this song, is one of the best bongo music i have heard. wonderful and meets exactly my taste of music. for me is in my favourite list forever.
Who is here in 2019??
I love this song
Old is gold..much love, Ali Kiba forever
Dah,,,hili dude linanikumbusha mwaka 2013,,Wueh,,,mpaka leo bado naipenda
Spinnce Sesame ni mwanangu sana kitambo tu,, 2024, Dar-es-Salaam beib
asante sana for this wonderful song. is one of my favourite songs in the last months.
hey huzuni sana ninao sana nlikuwa na rafiki msupa maze alikufa nlisikia hii ngoma kwake usiku maaaaan so sad....
Pole jamaa
these kind of songs bongo amna sikuiz... so tasty... nyimbo zinakupa gud mood... kina dushelele, kidela ....
Yooohhh! Banger from waaaayyyy back! Here in July 2024 🔥🔥🔥
❤❤❤❤I used to love this 🎵
Duuu kitambo sana ishapita kama miaka 5nikawa enz zileeeeeeeeee laha sana
Mariam Issa we Acha tu Ss hiv maisha ya Magu noma sn
alikiba mrudishe spence kwenye game kaka bado anaweza mziki wake mpaka leo mtamu kuna nyingine kaimba dully ngoma kali nayo
Mawazo yangu kma yko
Ni Mganga sasahivi WA kienyeji
King doing Kings thing.
best song ayaya!!!
Goma Kalisana
Alikiba kweli napenda ngoma zako❤❤❤❤
Video vixen ni mdogo wangu Kabisa,,,,big up aisha
Ntaupataje huu wimbo ni u download
Nyimbo Kari xan hii 2liichezaga kwenye sherehee ya ma bloo we2 2013
This was such a jam... Still is.
Mzikimzuri kama umetoka Leo napenda niwaone wakiiimba Pamoja huuwimbo king yooooooo😘😘😘😘💯
King kiba forever ❤
Huu wimbo kijijini kwetu kweny sherehe ilikuwa kama haijapgwa bas sherehe bado haijaisha
John Gasto d
wimbo huu namkumbuka mpenzi wang wakwanza kuwa naye kwenye mahusiano kiukweli nilikuwa nampenda sana
Daaa hii nyimbo inanikumbusha musoma enzi hizo.❤❤❤❤❤❤
Mbka 2021 bado naikubali mana mi nakiba kama chupi na tako. Sauti tuu inanikoshaga atali toka kitambo anz izo za shule nkisikia kiba weeee mbka ham inanigiaga kira mara
Kama unakubale kiba is KING best gonga like 2021
King of kings
Shoutout for the for sure he deserve to be a king nice voice 🔥🔥
2024😊😊❤ twende pamoja
King bado imewashikaaaaaa 2024
Kiba njoo hukuu yaani hii ngoma inanipaga raha sana .....
kipindihicho nikiwa mdogo Sana ndonikiwa nimeanza kukalili nyimbo kidogo daah
This is a sweet song you guys just created it
Who is this vixen?, she's so inviting
❤much love20003
Noma sana hii ngoma bado naenda nayo mpaka leo 2023
2021 nimeoyonatena❤️
it was my favourite with my beib even now it remind us our youth
Jmn alikiba zamn ulikuwa fire
Dah back to my primary days...
Mazuu Records kapotelea wapi kwenye game
bado nasonga nayo 2023
maisha yanasiri nzito sana yani jamaa huyu kaangukia kwenye uganga masikini alikuwa na ndoto za kufika mbali sana
nani ??
Onh😢jmn maskin 😢😢
Hii habari imeniuzunisha mnoo😢😢😢
Toka 2013 Wza old Vww had leo 2023 mziki mzuri
😭😭😭🙏🙏 R.i..p wasela zangu wote tuliopendana miaka hiyo
Hey 2020 people.
Kupitia huu wimbo namkumbuka x wang...r.i.p janathy
spince big up kaka pin ya ukweliiiiiiiiiiiii ile mbaya ayayaaa......... wavimbe wa pasuke bhass................
Ayaya 2022
🔥🔥🔥🔥
Dah nimekumbuka kitu acha tu maisha haya 🔥🔥🔥2024
Hii ngoma ilikuaga kali sana na Bado kali. Yuko wapi huyu jamaa Spince?
Kaka saivi nipo dar naendelea na majukum mengine sababu muziki wa bongo haulipi
@@mkongwemedia8015 dahhhhhhh ungejaribu Tena Kaka maana kipaji unacho na saiv mziki unalipa tofaut na mwanzo
Alikiba ana kumbushaga mbali kwa hii nyimbo
Inyimbo inanikumbushia mbali sana today 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
August 2023
Daah kiba noma wimbo had 2020 tunao
Jaman nmpenda uyu kaka alio imba na kiba macho yake yananimaliza kabsa
Shamsa Malima mtafute ila hayo macho anaumwa
Kama yako yanavonimaliza
Still we are 2023 🔥🔥🙌
Audiomac hawana hii
30 September 2024 nimeikumbuka hii ngoma nairudia rudia niwezavyo narudisha memory nyuma ili nisonge mbele zaidi❤
Jamaa waga anajua San kukonga mioyo ya watu
big tune this. very nice. Can't stop replaying it. from Nairobi.
wambuikimani21
Listen to Lexus namba sita songs
🤝🤝 2025 king kiba that is best music 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
The one of the best that days and still is one of best the One who did teach My he rest in peace i❤❤❤❤❤ you
2024,9,27 bado ipo juu amtafute uyu jamaa
2024 just got this master piece❤
Still listen for it
Wangapi tupo hapa 2021
Still watching 2019
Who is watching 2017 big up #spence #kingkiba good song