HUU URADI UTAKUTAJIRISHA MNO NA HUTOISHI MASIKINI NAMASIKU HAYA MATUKUFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 150

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 4 месяца назад +2

    Wallah darsa za Shekh Othman nazifuatilia sana na zimenifusha kwenye baadhi ya magumu na changa moto kadhaa

  • @MwatumuHusseni
    @MwatumuHusseni 2 месяца назад +1

    Mashallah ustadh Allah akujalie afya njema na uzima uzidi kutufaidhisha na mawaidha

  • @zainakidile3826
    @zainakidile3826 5 месяцев назад +2

    Alhamdulilah mawaidha mazuri nitaanza yakufanyia kazi kwa uwezo wa mungu atabariki ameen

  • @aminakhalif399
    @aminakhalif399 5 месяцев назад +1

    Subhanaallah Allahu Akbar asante kwa darsa yako sheikh

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 Год назад +10

    Wallahu kila unachokisema shekh tunakifanyia kazi Alhamdulillah na hatuchoki tunaendea nahatutochoka kwa hili kwa faida yetu hapa dunia mpaka Akhera unatupa Alimu kubwa wallahi tunakupenda kwa ajili ya Allah
    Allah akupe umri mrefu wenye barka nakheri na Family yako Amin yarab Alamin 🤲🤲🤲Shukran

  • @JumaZahoro2000
    @JumaZahoro2000 Год назад +6

    Allah Akulipee Kila La kheri sheikh Othman Michael.
    Nasikiliza sana mawaaidha Yako, Unanitia Nguvu Snaa Kuna mda nawavimbia watu😅 Sina lolote ispokua Kwa maneno Yako KUHUSU KUMSWALIA MTUME TUUU.

  • @halimamohammed6410
    @halimamohammed6410 Год назад +13

    Allah akujaze elimu .yenye kutunufaisha na sie
    Nakupenda sheikh kwa ajili ya Allah na m.mungu akupe umri mrefu wenye kher na barka ndani yke

  • @AshuraIssa-oc6gp
    @AshuraIssa-oc6gp 11 месяцев назад +2

    Alah akupe kila LA her I dunian na akhera

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly1948 Год назад +6

    Mashallah Allah akujaze kheri hakika kila utufundishayo na sisi tunayafanyia kaz na tunapata manufaa ndan yake

  • @HakizimanaSalima-sg7cv
    @HakizimanaSalima-sg7cv 10 месяцев назад +1

    Jazzakallahu khayra Ya Sheikh Othmane Michel

  • @hawazainshah63
    @hawazainshah63 Год назад +2

    Allah akulipe Kila la kheri shekh nilimswalia mtume hakika nilifanya siku3hakika nilikuwa nililala niana vitu vingi San vilivo ndan ya mwil Wang na baadh nilijaaliwa kutoa na nikawa napambana San kwa ajili ya mama yang na Niko nae mbali wallah shekh ninakushukur sansan Sina la kukulipa ila Allah pekee

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 Год назад +3

    Nakuombea mwisho mwema shekh othman maycko mwezi Mungu akupe mwisho mwema inshaallah niombe na wewe

  • @shamiukaniki3656
    @shamiukaniki3656 Год назад +3

    Alhamdullallah nakushukuru sana Shekh jazakallah khairah

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 Год назад +4

    Jazzakka Allah khyern

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana1383 Год назад +2

    Assalamu Alaykum shukran mwarimuwetu Hatunacakukuripa ni Allah diye atakayekuripa tunashukuru kwaduwa

  • @zahraahmed972
    @zahraahmed972 Год назад +6

    Mwenyezimungu akupe kheri duniani na akhera ,Aamin

  • @mummeira3887
    @mummeira3887 Год назад +1

    Sheikh othman.ametuachia zawadi kubwa sana na yenye faida.tunakushukuru sana Allah akujaalie umri mrefu uzidi kutuelimisha.inshaallah.kwa kila mwenye kufuata haya hatajutia ataiona faida yake.swala ya mtume inatufungulia mambo mazuri ndani yake ukifuata vilivyo.

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi Год назад +1

    Allah atufanyie wepes shekhe hakuna leo nimekumbuka sana na inshaallah allah nakujali huwa ni mwenyekusikiliza na nitafanya kazi aamin tuma amni

  • @user-tl1hr1my7z
    @user-tl1hr1my7z 6 месяцев назад +1

    Mungu akupe kher shewangu kwa masomo mazur

  • @JohaUwimana-co2bu
    @JohaUwimana-co2bu Год назад +1

    Shukran san sheh wetu kwakutuelimisha Allah azidi kuku hifadhi hapa duniyani n'a adher

  • @hadijandope6991
    @hadijandope6991 Год назад +3

    In shaa Allah aaaameen. JazakAllah kwa mawaidha yako. Allah Barik.

  • @anisasalim7905
    @anisasalim7905 Год назад +4

    Asalam Aleikum Warahmatullahi wabarakatu RAMADHAN KARIM WA SAUM MAQBUL mashaallah shukran sheikh kwa kutupa faida jazaka ALLAH kheir AMIN shukran

  • @nhamoabdalanze341
    @nhamoabdalanze341 Год назад +4

    Nashukuru kwakutueka wazi na dua ya mafanikio insha-allahu kher sheikh nasi pia tupate mafanikio, from mocambique Montepuez.

    • @MansulaAbdul-kw1cz
      @MansulaAbdul-kw1cz 8 месяцев назад

      Asalam aleikum shekh samahani naomba kuuliza kichezo cha jichoni mkono wa kushoto linamaanagani?

  • @aminathabagome4827
    @aminathabagome4827 Год назад +1

    Asante sana alhamdulilah Mwenyezi Mungu akufunguliye Milango ya pepi inshaallah

  • @mwanamisidini1950
    @mwanamisidini1950 Год назад +2

    Mashallah tabarakah llahu shekhe mungu akuzidishie barakah inshallah

  • @SabahZainab-uk1fm
    @SabahZainab-uk1fm 4 месяца назад

    Mashallah shukran sana sheikh kwa adhkar hizo mungu akufungulie mpango wa jannah akupe uzima na afya uzidi kutufundisha yarabi .

  • @SITIMOHAMED-tx2ri
    @SITIMOHAMED-tx2ri Год назад +12

    mashaallah! Ni kweli sheikh uradi una manufaa makubwa nilifika kuota nna mbawa kubwa kila nikisema laailaha ila llah ndo nazidi kupaa juu

  • @bakarialimahaba9946
    @bakarialimahaba9946 Год назад +2

    Shukran ustadh

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura7268 Год назад +1

    Allah Akba,Allah Ajbar shukran saana sheikh

  • @bingasamali8054
    @bingasamali8054 Год назад +2

    Mungu akulinde na wabaya Ili uzidi kutuelimisha

  • @fatumahassan7273
    @fatumahassan7273 10 месяцев назад +1

    Mashallah ustadhi wetu

  • @eshamohd7268
    @eshamohd7268 Год назад +2

    Manshallah shukran jazzilla

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 Год назад +6

    MashaAllah
    Allah akupe umri na Afya Sheikh wetu

  • @mariamissa9405
    @mariamissa9405 Год назад +1

    Jazakallahu kheir

  • @user-bu4gn6ij2i
    @user-bu4gn6ij2i 11 месяцев назад +1

    Jazakkallah kheri

  • @yassinikatabaro5474
    @yassinikatabaro5474 Год назад +1

    Ahsante sana molla akulipe kila lenye kheli

  • @al_huda_theguidance5034
    @al_huda_theguidance5034 Год назад +4

    Maa"shaa"Allah sheikh, watching from Dubai... Jee naweza Sema hii idhkari nikiwa kwenye siku zangu ama lazima niwe msafi

    • @smoothieramadhan7900
      @smoothieramadhan7900 Год назад +2

      Ukiwa kwenye siku zako unasoma adhkari kama kawaida isipokua hutakiwi kusali ama kushika quran

    • @al_huda_theguidance5034
      @al_huda_theguidance5034 Год назад +1

      @@smoothieramadhan7900 Ahsante Sana, Hili jambo limenisumbua Sana. Nakutakia siku njema

    • @broumaiyyah8018
      @broumaiyyah8018 Год назад +3

      Ulichokatazwa n kuswali kushika Qur an kuingia mskitin kufanya tendo la ndoa bas.Adhkar unafanya na fanya sna ten sna

    • @al_huda_theguidance5034
      @al_huda_theguidance5034 Год назад +1

      @@broumaiyyah8018 ahsante

  • @user-ci5xx5bp6m
    @user-ci5xx5bp6m 5 месяцев назад

    Wallah sheikh hutba zako zinaniliza kila nikickiliza subhana'llah😊😊😊 Allah akulipe zaidi

  • @yasmeenjaphary1812
    @yasmeenjaphary1812 Год назад +2

    Sheikh shukran Sanaa Allah akupe mwisho mwema...

  • @ashuraseif3020
    @ashuraseif3020 Год назад +3

    Allah Akulipe kheri nyingi Sheikh wetu.

  • @MuhammadAli-ih5cv
    @MuhammadAli-ih5cv Год назад +2

    Shehe mashaallah allah akubarik ila hawa wanaosema hamna kuomba dua ukainua mkkono inakueje

  • @rehemamuwawa6848
    @rehemamuwawa6848 Год назад +3

    Shukran sana jazaka Allah ukheir

  • @fatuntunzwenayo-gj9vo
    @fatuntunzwenayo-gj9vo Год назад +2

    Mashallah tabarakallah allah akujaze kheri

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Год назад +1

    Alhamdulilah sherk kwa darsa zako zimenisaidia xna

  • @salmamaliki-4845
    @salmamaliki-4845 Год назад +2

    Shukrani sanaa binafsi naona faida Wallaahtufanyeni kwa iman

  • @joycebongo9275
    @joycebongo9275 10 месяцев назад +1

    Mashallah Allah atujaalie mema

  • @blackbeautymaulid3190
    @blackbeautymaulid3190 Год назад +4

    Aaaamin rabir alaamin shekhe kweli nilimswalia mtume na nikaswali swalatlhajja na nikaswali swalat witri hakika inshallah nimefanikiwaa🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰❤❤❤mungu akupe imani ya kuendelea kutufunza katika imani inshaallah❤❤❤❤

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 6 месяцев назад

    Allah akupe maisha marefu sheikh Othman micheal

  • @ndayizeyenusla5935
    @ndayizeyenusla5935 Год назад +2

    Jazakallah kheir

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 Год назад +1

    Allah akulipe kheri sheikh wangu yaani hadi macozi yananilenga maconi

  • @zammalik2956
    @zammalik2956 Год назад +2

    Mashallah mashallah mashallah Hongera sannaaa Allah akubarik akujaalie kila la kheri Inshallah pamoja sanna

  • @bihatibuhuzeima5245
    @bihatibuhuzeima5245 Год назад +1

    Mashallah Allah akupe umri mrefu

  • @user-os2ss6zl5x
    @user-os2ss6zl5x 7 месяцев назад +1

    Masllah Allah

  • @mwanaishachiro7051
    @mwanaishachiro7051 Год назад +1

    Allah akujalie yenye kheri na akuepushie yenye shari

  • @juweriaahmed956
    @juweriaahmed956 Год назад +1

    Shukran Shekh Allah akuzidishie .

  • @bintbanj3990
    @bintbanj3990 Год назад +1

    wallah hii Andhkar niliisoma kipind cha ujauzito wangu ulikuwa wakat wa kujifungua umefika nilimuomba Allah anipunguzie uchungu niliwekewa drip ya uchungu nikawa nasoma adkar hii uchungu ukapungua kabisa nikawa najiskia kawaida

  • @maryamsaleh8661
    @maryamsaleh8661 9 месяцев назад

    Jazaka llahu khayr shekh mashallah

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад +3

    Maashaallah maashaallah

  • @MafarhyaZumbe
    @MafarhyaZumbe Год назад +1

    Mwenyezi mungu akulinde

  • @abuuslater9242
    @abuuslater9242 Год назад +3

    Jazakallahu Kheyra ya Ustadh 🙏🙏🙏

  • @SwabraMwanamgeni-zc3hl
    @SwabraMwanamgeni-zc3hl Год назад +1

    Inshaalah Allah akujaze

  • @user-tn4rg2ip5q
    @user-tn4rg2ip5q 4 месяца назад

    Asalam alaikum warahmatulhah wabarakatuh shekh Tunamuomba Allha azidishe afya akulipe kwa mema unayotupa Mimi Niko Burundi nafata sana mafundisho Yako nanimezitumiya sana mu ramadhani Ila huwenda mipangiliyo sikufatisha vizuri ninashida Ila sijafaanukisha

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Год назад +1

    Bismillah MashaAllah ❤❤❤❤❤

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 Год назад +2

    Tunazidi kushukuru kutokana na darsa muhim!

  • @MansulaAbdul-kw1cz
    @MansulaAbdul-kw1cz 8 месяцев назад +1

    Assalam alekumki

  • @nhamodavid2055
    @nhamodavid2055 Год назад +2

    Subhanallah

  • @selemanikidagonda601
    @selemanikidagonda601 Год назад +1

    Wallah mnaosoma comment yang wallah thuma wallah swalat alannabi ni nizaidi ya mengi unayofkiria mazuri toa muda kaa mwite allah na mtume wake utaamini

    • @MaseleMwenda2016
      @MaseleMwenda2016 Год назад

      Sheikh Hilo Dua tuwekee hapa tulisome. Inshallah mwenyezi Mungu azidi kukubariki

    • @selemanikidagonda601
      @selemanikidagonda601 Год назад

      Swalat alannabiy tu hakuna dua mambo mengi mbona

  • @user-tr6dq9md7n
    @user-tr6dq9md7n Год назад +1

    Nataka nijuwe urarid ambao ukiufanyaatakuliipa deni unayemdai

  • @shabanbakar4719
    @shabanbakar4719 Год назад +1

    Mashaaallahhh

  • @user-wd7pv8pz7s
    @user-wd7pv8pz7s 8 месяцев назад +1

    Mm nahitaji niwe mwansfunz wako

  • @aminamohammed6298
    @aminamohammed6298 Год назад +1

    Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh wetu,nimeshaanza kumsalia mtume wetu Muhammad Sala Aleyhi Wasalam sasa siku ya tatu hivi ,kila nikimswalia nawashwa na mwili mzima sana

    • @shahidumaulidi9721
      @shahidumaulidi9721 Год назад +1

      Masha Allah endelea kumswalia mtume usiache " Allah anakutia nuru na giza linaondoka nuru inatawala " utajikuta maradhi yote yamepotea

    • @halimamohamed8667
      @halimamohamed8667 Год назад +1

      Istighfar,,thn mswalie mtume S.A.W,,hutowashwa

  • @evelynengilah523
    @evelynengilah523 Год назад

    Amen

  • @aminarashidi5649
    @aminarashidi5649 Год назад +1

    Shekh Naomba uyarudie haya maneno kuyaandika Ili tupate kuyatamka vizuri 🙏

  • @user-es6rr8mt6b
    @user-es6rr8mt6b Год назад

    Huyosheikh mm simpendi anonikana tabia zake nzuri hana lolote

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 Год назад

      Vp khadija

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 5 месяцев назад

      Muhm kupendwa na Allaah c wewe

    • @user-hw2ri4ft6t
      @user-hw2ri4ft6t 5 месяцев назад

      Hata mtumie wetu hakupendwa na wote kwaiyo SI jambo la ajabu ww endelea tu kumchukia

  • @jamilafuad-5702
    @jamilafuad-5702 Год назад

    Mashallah ujumbe mzur sanaaaa...mashallah mashallah

  • @madinamahuba
    @madinamahuba Год назад

    Ustadh samahan mimi nimeisoma mara 7 yaan wiki majibu yanachukua muda mrefu au mungu kujibu maombi kwenye sala ya mtume

  • @evelynengilah523
    @evelynengilah523 Год назад

    Mashallah

  • @fahimhajialadina742
    @fahimhajialadina742 Год назад

    Asalamalaikum...sheikh ameongea ukweli kabisa jaribu ujione .

  • @athumanimvula3718
    @athumanimvula3718 Год назад +1

    Ahsantum

  • @user-gv1be4on9y
    @user-gv1be4on9y 6 месяцев назад

    Shekhe naomba unitumie huo uradi

  • @King.of_football466
    @King.of_football466 5 месяцев назад

    Wakati wowote nisome au kuna muda maalum?

  • @theresiaphilipo2090
    @theresiaphilipo2090 Год назад

    Ostazi naomba hizo Dua niandikiwe kwenye screen kwa kutamka mdomoni umeniacha

  • @hamisibengula8491
    @hamisibengula8491 5 месяцев назад

    Hiii mpaka mtuandikiwa maana ni mtihani kwetu

    • @HashmirMohaamad
      @HashmirMohaamad 4 месяца назад +1

      Lailah Ila anta subhanaka ini kuntum minadhwaalimin

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Год назад +2

    Masheikh wa ice cream mtihani mitupu

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Год назад +1

    Jamani ukiswali tahajud utahitaji kuswali swalati Hajja?.

    • @saburimvano3514
      @saburimvano3514 Год назад +1

      Naam,waweza kuanza na sunnat haja kisha ukafuatisha tahajud

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      @@saburimvano3514 asante sana. Mwenyezi Mungu akubariki

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 8 месяцев назад +1

    Unawadanganya tu hakuna uradi wa kutajirisha watu yetu ni dini siyo freemason.sema uradi wa kukupa rizki pana.rizki pana ni pamoja na afya watoto mali elmu.allah haombwi utajiri anaombwa rizku waasia tapeli tu wewe.

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 5 месяцев назад

      Soma tafsiri ya suratu nuuh utaona dhikri ya kutajirisha

  • @evelynengilah523
    @evelynengilah523 Год назад

    Amen

  • @flowerbee5704
    @flowerbee5704 Год назад

    Mashallah

    • @flowerbee5704
      @flowerbee5704 Год назад

      Mwenyezi Mungu amujaliye kila heri. Mashallah

  • @rehemampili3923
    @rehemampili3923 Год назад

    Mashallah