Wallahu kila unachokisema shekh tunakifanyia kazi Alhamdulillah na hatuchoki tunaendea nahatutochoka kwa hili kwa faida yetu hapa dunia mpaka Akhera unatupa Alimu kubwa wallahi tunakupenda kwa ajili ya Allah Allah akupe umri mrefu wenye barka nakheri na Family yako Amin yarab Alamin 🤲🤲🤲Shukran
Allah Akulipee Kila La kheri sheikh Othman Michael. Nasikiliza sana mawaaidha Yako, Unanitia Nguvu Snaa Kuna mda nawavimbia watu😅 Sina lolote ispokua Kwa maneno Yako KUHUSU KUMSWALIA MTUME TUUU.
Allah akulipe Kila la kheri shekh nilimswalia mtume hakika nilifanya siku3hakika nilikuwa nililala niana vitu vingi San vilivo ndan ya mwil Wang na baadh nilijaaliwa kutoa na nikawa napambana San kwa ajili ya mama yang na Niko nae mbali wallah shekh ninakushukur sansan Sina la kukulipa ila Allah pekee
Sheikh othman.ametuachia zawadi kubwa sana na yenye faida.tunakushukuru sana Allah akujaalie umri mrefu uzidi kutuelimisha.inshaallah.kwa kila mwenye kufuata haya hatajutia ataiona faida yake.swala ya mtume inatufungulia mambo mazuri ndani yake ukifuata vilivyo.
Aaaamin rabir alaamin shekhe kweli nilimswalia mtume na nikaswali swalatlhajja na nikaswali swalat witri hakika inshallah nimefanikiwaa🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰❤❤❤mungu akupe imani ya kuendelea kutufunza katika imani inshaallah❤❤❤❤
wallah hii Andhkar niliisoma kipind cha ujauzito wangu ulikuwa wakat wa kujifungua umefika nilimuomba Allah anipunguzie uchungu niliwekewa drip ya uchungu nikawa nasoma adkar hii uchungu ukapungua kabisa nikawa najiskia kawaida
Asalam alaikum warahmatulhah wabarakatuh shekh Tunamuomba Allha azidishe afya akulipe kwa mema unayotupa Mimi Niko Burundi nafata sana mafundisho Yako nanimezitumiya sana mu ramadhani Ila huwenda mipangiliyo sikufatisha vizuri ninashida Ila sijafaanukisha
Wallah mnaosoma comment yang wallah thuma wallah swalat alannabi ni nizaidi ya mengi unayofkiria mazuri toa muda kaa mwite allah na mtume wake utaamini
Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh wetu,nimeshaanza kumsalia mtume wetu Muhammad Sala Aleyhi Wasalam sasa siku ya tatu hivi ,kila nikimswalia nawashwa na mwili mzima sana
Unawadanganya tu hakuna uradi wa kutajirisha watu yetu ni dini siyo freemason.sema uradi wa kukupa rizki pana.rizki pana ni pamoja na afya watoto mali elmu.allah haombwi utajiri anaombwa rizku waasia tapeli tu wewe.
Wallah darsa za Shekh Othman nazifuatilia sana na zimenifusha kwenye baadhi ya magumu na changa moto kadhaa
Mashallah ustadh Allah akujalie afya njema na uzima uzidi kutufaidhisha na mawaidha
Alhamdulilah mawaidha mazuri nitaanza yakufanyia kazi kwa uwezo wa mungu atabariki ameen
Subhanaallah Allahu Akbar asante kwa darsa yako sheikh
Wallahu kila unachokisema shekh tunakifanyia kazi Alhamdulillah na hatuchoki tunaendea nahatutochoka kwa hili kwa faida yetu hapa dunia mpaka Akhera unatupa Alimu kubwa wallahi tunakupenda kwa ajili ya Allah
Allah akupe umri mrefu wenye barka nakheri na Family yako Amin yarab Alamin 🤲🤲🤲Shukran
M
Aamiin yaa rabbi
Aamyn yaarabbiy
Mahra hujambo
@@bigmanfish6346 sijambo Alhamdulillah
Allah Akulipee Kila La kheri sheikh Othman Michael.
Nasikiliza sana mawaaidha Yako, Unanitia Nguvu Snaa Kuna mda nawavimbia watu😅 Sina lolote ispokua Kwa maneno Yako KUHUSU KUMSWALIA MTUME TUUU.
Masha allah
MashaAllah
Masha Allah 🙏🙏🙏
Allah akujaze elimu .yenye kutunufaisha na sie
Nakupenda sheikh kwa ajili ya Allah na m.mungu akupe umri mrefu wenye kher na barka ndani yke
Aamynn
Alah akupe kila LA her I dunian na akhera
Mashallah Allah akujaze kheri hakika kila utufundishayo na sisi tunayafanyia kaz na tunapata manufaa ndan yake
Zeina hujambo
Jazzakallahu khayra Ya Sheikh Othmane Michel
Allah akulipe Kila la kheri shekh nilimswalia mtume hakika nilifanya siku3hakika nilikuwa nililala niana vitu vingi San vilivo ndan ya mwil Wang na baadh nilijaaliwa kutoa na nikawa napambana San kwa ajili ya mama yang na Niko nae mbali wallah shekh ninakushukur sansan Sina la kukulipa ila Allah pekee
Nakuombea mwisho mwema shekh othman maycko mwezi Mungu akupe mwisho mwema inshaallah niombe na wewe
Alhamdullallah nakushukuru sana Shekh jazakallah khairah
Jazzakka Allah khyern
Assalamu Alaykum shukran mwarimuwetu Hatunacakukuripa ni Allah diye atakayekuripa tunashukuru kwaduwa
Mwenyezimungu akupe kheri duniani na akhera ,Aamin
Jazakallah khairy
Vp zahra
Sheikh othman.ametuachia zawadi kubwa sana na yenye faida.tunakushukuru sana Allah akujaalie umri mrefu uzidi kutuelimisha.inshaallah.kwa kila mwenye kufuata haya hatajutia ataiona faida yake.swala ya mtume inatufungulia mambo mazuri ndani yake ukifuata vilivyo.
Allah atufanyie wepes shekhe hakuna leo nimekumbuka sana na inshaallah allah nakujali huwa ni mwenyekusikiliza na nitafanya kazi aamin tuma amni
Mungu akupe kher shewangu kwa masomo mazur
Shukran san sheh wetu kwakutuelimisha Allah azidi kuku hifadhi hapa duniyani n'a adher
In shaa Allah aaaameen. JazakAllah kwa mawaidha yako. Allah Barik.
Asalam Aleikum Warahmatullahi wabarakatu RAMADHAN KARIM WA SAUM MAQBUL mashaallah shukran sheikh kwa kutupa faida jazaka ALLAH kheir AMIN shukran
Vp anisa
Nashukuru kwakutueka wazi na dua ya mafanikio insha-allahu kher sheikh nasi pia tupate mafanikio, from mocambique Montepuez.
Asalam aleikum shekh samahani naomba kuuliza kichezo cha jichoni mkono wa kushoto linamaanagani?
Asante sana alhamdulilah Mwenyezi Mungu akufunguliye Milango ya pepi inshaallah
Mashallah tabarakah llahu shekhe mungu akuzidishie barakah inshallah
Mashallah shukran sana sheikh kwa adhkar hizo mungu akufungulie mpango wa jannah akupe uzima na afya uzidi kutufundisha yarabi .
mashaallah! Ni kweli sheikh uradi una manufaa makubwa nilifika kuota nna mbawa kubwa kila nikisema laailaha ila llah ndo nazidi kupaa juu
Mashallah
Maashallah laahaula Wala quwwata illa billah
Maasha Allah
Ndoto haijengewi hoja
Ibilisi huyo anakunyemelea Pole pole
@@abuurayaan3902 sio kila ndoto obilisi maalim
Shukran ustadh
Allah Akba,Allah Ajbar shukran saana sheikh
Mungu akulinde na wabaya Ili uzidi kutuelimisha
Mashallah ustadhi wetu
Manshallah shukran jazzilla
MashaAllah
Allah akupe umri na Afya Sheikh wetu
Jazakallahu kheir
Jazakkallah kheri
Ahsante sana molla akulipe kila lenye kheli
Maa"shaa"Allah sheikh, watching from Dubai... Jee naweza Sema hii idhkari nikiwa kwenye siku zangu ama lazima niwe msafi
Ukiwa kwenye siku zako unasoma adhkari kama kawaida isipokua hutakiwi kusali ama kushika quran
@@smoothieramadhan7900 Ahsante Sana, Hili jambo limenisumbua Sana. Nakutakia siku njema
Ulichokatazwa n kuswali kushika Qur an kuingia mskitin kufanya tendo la ndoa bas.Adhkar unafanya na fanya sna ten sna
@@broumaiyyah8018 ahsante
Wallah sheikh hutba zako zinaniliza kila nikickiliza subhana'llah😊😊😊 Allah akulipe zaidi
Sheikh shukran Sanaa Allah akupe mwisho mwema...
Yasmeen hujambo
Allah Akulipe kheri nyingi Sheikh wetu.
Vp ashura
Shehe mashaallah allah akubarik ila hawa wanaosema hamna kuomba dua ukainua mkkono inakueje
Shukran sana jazaka Allah ukheir
Mashallah tabarakallah allah akujaze kheri
Alhamdulilah sherk kwa darsa zako zimenisaidia xna
Shukrani sanaa binafsi naona faida Wallaahtufanyeni kwa iman
Allaah akulipe sambaa mwenzangu
Salma vp
Mashallah Allah atujaalie mema
Aaaamin rabir alaamin shekhe kweli nilimswalia mtume na nikaswali swalatlhajja na nikaswali swalat witri hakika inshallah nimefanikiwaa🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰❤❤❤mungu akupe imani ya kuendelea kutufunza katika imani inshaallah❤❤❤❤
Mashallah
Allah akupe maisha marefu sheikh Othman micheal
Jazakallah kheir
Allah akulipe kheri sheikh wangu yaani hadi macozi yananilenga maconi
Mashallah mashallah mashallah Hongera sannaaa Allah akubarik akujaalie kila la kheri Inshallah pamoja sanna
Mashallah Allah akupe umri mrefu
Masllah Allah
Allah akujalie yenye kheri na akuepushie yenye shari
Shukran Shekh Allah akuzidishie .
wallah hii Andhkar niliisoma kipind cha ujauzito wangu ulikuwa wakat wa kujifungua umefika nilimuomba Allah anipunguzie uchungu niliwekewa drip ya uchungu nikawa nasoma adkar hii uchungu ukapungua kabisa nikawa najiskia kawaida
Maasha Allah
Jazaka llahu khayr shekh mashallah
Maashaallah maashaallah
Mwenyezi mungu akulinde
Jazakallahu Kheyra ya Ustadh 🙏🙏🙏
Inshaalah Allah akujaze
Asalam alaikum warahmatulhah wabarakatuh shekh Tunamuomba Allha azidishe afya akulipe kwa mema unayotupa Mimi Niko Burundi nafata sana mafundisho Yako nanimezitumiya sana mu ramadhani Ila huwenda mipangiliyo sikufatisha vizuri ninashida Ila sijafaanukisha
Bismillah MashaAllah ❤❤❤❤❤
Tunazidi kushukuru kutokana na darsa muhim!
Assalam alekumki
Subhanallah
Wallah mnaosoma comment yang wallah thuma wallah swalat alannabi ni nizaidi ya mengi unayofkiria mazuri toa muda kaa mwite allah na mtume wake utaamini
Sheikh Hilo Dua tuwekee hapa tulisome. Inshallah mwenyezi Mungu azidi kukubariki
Swalat alannabiy tu hakuna dua mambo mengi mbona
Nataka nijuwe urarid ambao ukiufanyaatakuliipa deni unayemdai
Mashaaallahhh
Shukurani Alhamdulillah
Mm nahitaji niwe mwansfunz wako
Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh wetu,nimeshaanza kumsalia mtume wetu Muhammad Sala Aleyhi Wasalam sasa siku ya tatu hivi ,kila nikimswalia nawashwa na mwili mzima sana
Masha Allah endelea kumswalia mtume usiache " Allah anakutia nuru na giza linaondoka nuru inatawala " utajikuta maradhi yote yamepotea
Istighfar,,thn mswalie mtume S.A.W,,hutowashwa
Amen
Shekh Naomba uyarudie haya maneno kuyaandika Ili tupate kuyatamka vizuri 🙏
Assalamu alaikum warrahmatullah wabarakatuh rudisha clip nyuma andika
Lailaha illah anta Subhanaka inny kuntu minadhwalimin,,,,,, hii hapa iyo adhkar ya Yunnus
Nenda duka la vitab vya dini kanunue kitab cha adkar utakuta
@@jamillahaidha8184 shukran
@@jamillahaidha8184 shukran
Huyosheikh mm simpendi anonikana tabia zake nzuri hana lolote
Vp khadija
Muhm kupendwa na Allaah c wewe
Hata mtumie wetu hakupendwa na wote kwaiyo SI jambo la ajabu ww endelea tu kumchukia
Mashallah ujumbe mzur sanaaaa...mashallah mashallah
Jamila hujambo
@@bigmanfish6346 alhamdulliah
@@jamilafuad-5702 uko wapi jamila
@@jamilafuad-5702 jamila Mbona Umenyamaza
@@bigmanfish6346 sina muda niko busy na watot pacha
Ustadh samahan mimi nimeisoma mara 7 yaan wiki majibu yanachukua muda mrefu au mungu kujibu maombi kwenye sala ya mtume
Endelea kuomba usichoke
Mashallah
Asalamalaikum...sheikh ameongea ukweli kabisa jaribu ujione .
Ahsantum
Shekhe naomba unitumie huo uradi
Wakati wowote nisome au kuna muda maalum?
Ostazi naomba hizo Dua niandikiwe kwenye screen kwa kutamka mdomoni umeniacha
Hiii mpaka mtuandikiwa maana ni mtihani kwetu
Lailah Ila anta subhanaka ini kuntum minadhwaalimin
Masheikh wa ice cream mtihani mitupu
Jamani ukiswali tahajud utahitaji kuswali swalati Hajja?.
Naam,waweza kuanza na sunnat haja kisha ukafuatisha tahajud
@@saburimvano3514 asante sana. Mwenyezi Mungu akubariki
Unawadanganya tu hakuna uradi wa kutajirisha watu yetu ni dini siyo freemason.sema uradi wa kukupa rizki pana.rizki pana ni pamoja na afya watoto mali elmu.allah haombwi utajiri anaombwa rizku waasia tapeli tu wewe.
Soma tafsiri ya suratu nuuh utaona dhikri ya kutajirisha
Amen
Mashallah
Mwenyezi Mungu amujaliye kila heri. Mashallah
Mashallah
perso