TAZAMA WATU WA TUMBATU WAKIMPOKEA SHEIKH WALID KWA DHIKRI YAO YA KITUMBATU ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • April 28,2023 ni Ziara ya Dhikri pamoja na Maulidi itakayofanyika Shangani Mkokotoni Kaskazini Unguja katika Kijiji cha Shangani Mkokotini.
    Ziara hii ina zaidi ya Miaka 50 ambayo imeasisiwa na Marhum Sheikh Hajji Bin Muhammad Bin Jumaa
    Sheikh Hajji Bin Muhammad Bin Jumaa ni mwana Twariqatul Qaadiriyya, amesoma kwa Wanawazuoni wakubwa mbalimbai Unguja akiwemo mmoja wapo ni Sheikh Suleiman Muhammad Bin Alawiy, na amezaliwa 1888 na amefariki 1997 Unguja Shangani.
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 66

  • @ner-bilmahfudh167
    @ner-bilmahfudh167 Месяц назад

    Sheikhe alobeba mwamvuli tupo nae kila hadhra salute kwake kutoka zama za 90.. mungu awaeke ndugu zetu

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 Год назад +8

    Allaaaah masufi hao na heshima kubwa kwa wanazuoni Allah atukutanishe na bwana mtume yaumal qiyama

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Ahal Al Bidaa!!

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +4

      We ka hupendi tulia we kwani nani kesho kiama Allah atahukumu kikubwa fata utaratibu unaouna sahihi,

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 Год назад +1

      @@jumakapilima7295 mie munanishangaza sana nyie hivi mnajiona nyie ndo watu wa peponi eee wacheni upuuzi na kama mushajua hiyo ni bidaa lazima muangalie? Mbona mnakuwa wachochezi katika dini nyie mnasoma vzr lkn? Hivyo vitabu vyenu munaviona lkn vimejaa uvundo lkn hatuna muda, wa kukufuatilieni

    • @sharaful-anaam138
      @sharaful-anaam138 Год назад

      Tena uvundo wenu upo wazi wazi watu wamenyamaza kimya munaachwa tu na ujinga wenu kila mmoja aijue mipaka yake

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@sharaful-anaam138 Ahal Al Bidaa

  • @saidothman2521
    @saidothman2521 Год назад +2

    Mashaallah karibu sana Sheikh Walid katika mashina ya wanazuonibwa visiwa hivi na itapendeza ukihudhuria katika ziara za mfungo sita inshaala turuke na kufurahi kumswalia rasuli

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +2

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Swalallahu Alayhi Wassallaam ❤

  • @rezicky
    @rezicky Год назад +1

    MA SHAA ALLAH ALLAH AKUWEKE AKONDOLEE HASADI SHEIKHE HALID

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 Год назад

    Mashallah

  • @ahmadshariff7529
    @ahmadshariff7529 Год назад

    Barakallah

  • @QueenSania-x1v
    @QueenSania-x1v Год назад

    Maahallah...

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 Год назад

    Maa shaa ALLWAH

  • @rahimaessa2552
    @rahimaessa2552 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @USSIIDDI-qn7od
    @USSIIDDI-qn7od Год назад

    Bidaa katika Dini ni giza ambalo limewafanya wengi wasielewe wapi wanaelekea! Allaah mtukufu atukinge na upotovu

  • @naasoromadai6210
    @naasoromadai6210 Год назад +1

    Sio Tumbatu hiyo ni SHANGANI MKOKOTONI ZANZIBAR

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Год назад +3

    Mtihani mijitu mizimaa ovyo

    • @x7hia
      @x7hia 6 месяцев назад

      Hasbiyallahu waneemal wakeel

  • @farhanomar2094
    @farhanomar2094 Год назад +1

    raha zetu hizi #kisuunzi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +1

    Ahal Al Bidaa!!

    • @Randomcattvideos
      @Randomcattvideos Год назад

      Kwanza unafuata nini hapo kwani mpaka uongee si ukae kimya

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Год назад

      Kakojoe Ukalale Tafadhwali. Tunakuheshimu Usije Ukapigwa Nakitu Kizito.

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 7 месяцев назад

    Masufi hapo huna lakuwaambiya

  • @Halima-zx4pg
    @Halima-zx4pg Год назад

    Akufata uchawi wasilam wote ni ndugu

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Год назад +3

    Wacheza tarabu au naona wakata viuno daa ahlu bidaa mchenie allah

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +2

      Mbona unachuki sana ka wamekosea waombee waongoke sa ukianza kashfa tena

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Год назад

      Sasa ww ndio muogope Allah wamekata wapi viuno ww ni hasidi na chuki kwa waisilamu wenzako

    • @Randomcattvideos
      @Randomcattvideos Год назад

      Ulivyokua huna akili unalopoka ovyo kaa unakunya vile

    • @karimsadik7235
      @karimsadik7235 Год назад

      Wanakula miziki eti hio nayo ni Ibaada??

    • @EtihadBega
      @EtihadBega Год назад

      Bidaa ni kipi hapo

  • @karimsadik7235
    @karimsadik7235 Год назад

    Unakuta hapo hata swala bado lakini wapo tu na kucheza miziki, wengine hata swala hawajui maskini, na mkubwa badala ya kuwambia ukweli kwamba wapo kwenye Haram, anafurahia tu miziki

    • @SalmaRajab-v5s
      @SalmaRajab-v5s 8 месяцев назад

      Huo sio mziki amini unachokimini 2:50

    • @SalmaRajab-v5s
      @SalmaRajab-v5s 8 месяцев назад

      Na kaa ukijua Allah ndio mjuzi

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Год назад

    Kaimu Sheikh wa mkoa wa Dsm ni kiongozi wa Mrima Tanganyika.

  • @myonlineteacheracademy8207
    @myonlineteacheracademy8207 Год назад

    Kwa kweli ukiwa Sufi baada ya massa 2 tu ushakua chizi

    • @alialbusaidi5433
      @alialbusaidi5433 Год назад

      Uislam haujatufundisha kuwaida waislam wenzetu kwa majina mabaya.

  • @abdulmalikmohamed732
    @abdulmalikmohamed732 Год назад

    Uislam ndo umefundisha hv!!! Hebu toeni hoja na dalili kutetea hili

  • @fatmatraashidu8522
    @fatmatraashidu8522 5 месяцев назад

    Chekini na hayo Majingaa Yanayopinga Uradii🤣🤣🤣

  • @YakubuRajabu
    @YakubuRajabu Год назад

    Wewe hujui kitu kàa na bidaa yako

  • @shamsaelbeity8250
    @shamsaelbeity8250 Год назад +1

    Shekh vipi umefata uchawi nini huko?

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Год назад +1

      ili amroge nani sasaa.!?

    • @idrissamohamed1100
      @idrissamohamed1100 Год назад +2

      Umejuaje kama nawe humo?

    • @yahayaally9193
      @yahayaally9193 Год назад +2

      Inawezekana nawe miongoni nwao walozi umejuaje kama cmiongoni mwao kuwa making na kauli zisizokua na stara

    • @yahayaally9193
      @yahayaally9193 Год назад +2

      Uwezikuujua uchawi kama c mlozi mwisho wore tutarejea kwa Allah kila MTU na amaliyake kama mchawi mwizi munongo wewe na munguwako matendo yako na kaulizako ndizo zitakazokuvusha kwa allah

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Kaurogoe basi huo uchawi au unauogopa

  • @karimsadik7235
    @karimsadik7235 Год назад

    Ujinga mtupu

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Год назад

    Mashallah

  • @yusuphyusuph3623
    @yusuphyusuph3623 Год назад

    mashaallah