TAZAMA WATU WA TUMBATU WAKIMPOKEA SHEIKH WALID KWA DHIKRI YAO YA KITUMBATU ZANZIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- April 28,2023 ni Ziara ya Dhikri pamoja na Maulidi itakayofanyika Shangani Mkokotoni Kaskazini Unguja katika Kijiji cha Shangani Mkokotini.
Ziara hii ina zaidi ya Miaka 50 ambayo imeasisiwa na Marhum Sheikh Hajji Bin Muhammad Bin Jumaa
Sheikh Hajji Bin Muhammad Bin Jumaa ni mwana Twariqatul Qaadiriyya, amesoma kwa Wanawazuoni wakubwa mbalimbai Unguja akiwemo mmoja wapo ni Sheikh Suleiman Muhammad Bin Alawiy, na amezaliwa 1888 na amefariki 1997 Unguja Shangani.
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com...
RUclips: / @babdeomiladu
Sheikhe alobeba mwamvuli tupo nae kila hadhra salute kwake kutoka zama za 90.. mungu awaeke ndugu zetu
Allaaaah masufi hao na heshima kubwa kwa wanazuoni Allah atukutanishe na bwana mtume yaumal qiyama
Ahal Al Bidaa!!
We ka hupendi tulia we kwani nani kesho kiama Allah atahukumu kikubwa fata utaratibu unaouna sahihi,
@@jumakapilima7295 mie munanishangaza sana nyie hivi mnajiona nyie ndo watu wa peponi eee wacheni upuuzi na kama mushajua hiyo ni bidaa lazima muangalie? Mbona mnakuwa wachochezi katika dini nyie mnasoma vzr lkn? Hivyo vitabu vyenu munaviona lkn vimejaa uvundo lkn hatuna muda, wa kukufuatilieni
Tena uvundo wenu upo wazi wazi watu wamenyamaza kimya munaachwa tu na ujinga wenu kila mmoja aijue mipaka yake
@@sharaful-anaam138 Ahal Al Bidaa
Mashaallah karibu sana Sheikh Walid katika mashina ya wanazuonibwa visiwa hivi na itapendeza ukihudhuria katika ziara za mfungo sita inshaala turuke na kufurahi kumswalia rasuli
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Swalallahu Alayhi Wassallaam ❤
MA SHAA ALLAH ALLAH AKUWEKE AKONDOLEE HASADI SHEIKHE HALID
Mashallah
Barakallah
Maahallah...
Maa shaa ALLWAH
❤❤❤❤❤❤
Bidaa katika Dini ni giza ambalo limewafanya wengi wasielewe wapi wanaelekea! Allaah mtukufu atukinge na upotovu
Akuongoe ww mpumbv usio na akili
@@ahmadmadaai1357 hawa
Aswali kila kitu bida
Chekini na huyo Mjingaaa🤣🤣🤣
Sio Tumbatu hiyo ni SHANGANI MKOKOTONI ZANZIBAR
Mtihani mijitu mizimaa ovyo
Hasbiyallahu waneemal wakeel
raha zetu hizi #kisuunzi
Ahal Al Bidaa!!
Kwanza unafuata nini hapo kwani mpaka uongee si ukae kimya
Kakojoe Ukalale Tafadhwali. Tunakuheshimu Usije Ukapigwa Nakitu Kizito.
Masufi hapo huna lakuwaambiya
Akufata uchawi wasilam wote ni ndugu
Wacheza tarabu au naona wakata viuno daa ahlu bidaa mchenie allah
Mbona unachuki sana ka wamekosea waombee waongoke sa ukianza kashfa tena
Sasa ww ndio muogope Allah wamekata wapi viuno ww ni hasidi na chuki kwa waisilamu wenzako
Ulivyokua huna akili unalopoka ovyo kaa unakunya vile
Wanakula miziki eti hio nayo ni Ibaada??
Bidaa ni kipi hapo
Unakuta hapo hata swala bado lakini wapo tu na kucheza miziki, wengine hata swala hawajui maskini, na mkubwa badala ya kuwambia ukweli kwamba wapo kwenye Haram, anafurahia tu miziki
Huo sio mziki amini unachokimini 2:50
Na kaa ukijua Allah ndio mjuzi
Kaimu Sheikh wa mkoa wa Dsm ni kiongozi wa Mrima Tanganyika.
Kwa kweli ukiwa Sufi baada ya massa 2 tu ushakua chizi
Uislam haujatufundisha kuwaida waislam wenzetu kwa majina mabaya.
Uislam ndo umefundisha hv!!! Hebu toeni hoja na dalili kutetea hili
Fuata njia yako unayoona yakufaa huku hulazimishwi
Kungekuwa hakuna haja ya kukumbushana@@officialmutrahlg2484
Chekini na hayo Majingaa Yanayopinga Uradii🤣🤣🤣
Wewe hujui kitu kàa na bidaa yako
Shekh vipi umefata uchawi nini huko?
ili amroge nani sasaa.!?
Umejuaje kama nawe humo?
Inawezekana nawe miongoni nwao walozi umejuaje kama cmiongoni mwao kuwa making na kauli zisizokua na stara
Uwezikuujua uchawi kama c mlozi mwisho wore tutarejea kwa Allah kila MTU na amaliyake kama mchawi mwizi munongo wewe na munguwako matendo yako na kaulizako ndizo zitakazokuvusha kwa allah
Kaurogoe basi huo uchawi au unauogopa
Ujinga mtupu
Kama ujinga c waache na ujinga wao😢
Mashallah
mashaallah