DHIKRI KUTOKA TUMBATU ZNZ WAMFURAHISHA MUFTI WA TANZANIA MAULIDI TADHAMUN KWA SHEIKH WA MKOA 2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 47

  • @MerabaqshAbdulaziz-w5i
    @MerabaqshAbdulaziz-w5i Час назад +1

    MAA Shaa Allah Dhikri na Mashairi na Qaswida Nzuri sana

  • @khadijaahmed6420
    @khadijaahmed6420 11 месяцев назад +3

    Bismillah MaShaAllah
    Hakuna faraja kubwa kama kumswalia al habiby Nabii Muhammad SAW

  • @user-sb3bp9yz5v
    @user-sb3bp9yz5v 10 месяцев назад +2

    Mashaa allah mungu awalipe kheri awabashirie pepo inshaa allah.

  • @mudaththirkhamis
    @mudaththirkhamis 11 месяцев назад +1

    Hii tumbatu kwa dhikri zanzibar mzima hakun wanaowaweza wanaume wananguruma kwa ajil ya mtume Muhammad s.a.w

  • @Shabalala99275
    @Shabalala99275 Год назад +3

    Wanaume wananguruma hao❤ah mamb hayooo ❤

  • @dimariajrdimaria
    @dimariajrdimaria 2 месяца назад

    Innalilah wanna ilah rajighun
    Mngu awaswamehe watoto hao kwan hawajuw wanachokifanya
    Sheikh pumzika salama umefany kila kitu katk hii dunia

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 10 месяцев назад

    اللهم صل على الحبيب مصطفى محمد صلى الله عليه وسلم ماشااللهpendeza kabisa

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 6 месяцев назад

    E mwana adam ibilisi Ana nguvu tujihadhari nae ishaallah.

  • @shaqyromar7735
    @shaqyromar7735 4 месяца назад

    Aaaaaaaaa kuna wasomi watatokeaaaa watapinga dinii ya Mola jaaliya 😢😢😢😢😢😢😢

  • @wsfclassic
    @wsfclassic 11 месяцев назад

    Mashaallah nyumban kwetu❤❤❤

  • @kherimakame212
    @kherimakame212 Год назад

    mashallah tunakupat vizur maalim makame kutok mbalungini

  • @saidsalum8747
    @saidsalum8747 Год назад

    Mashallah.....

  • @hafanabdallah3112
    @hafanabdallah3112 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤masha allah

  • @ustadhirajabu5736
    @ustadhirajabu5736 Год назад

    Maashaallah

  • @MwachumNgweshani
    @MwachumNgweshani 5 месяцев назад

    Bora muwaulize na ss watujuze

  • @RamadhanRubiki
    @RamadhanRubiki 5 месяцев назад

    Natoa. Machozi. Nyimbo. Kwa. Dalili. Ya. Kiyama. Mtume. Amesema

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 11 месяцев назад

    Mara ya pili mchukue wale watoto wasaidie kuitikia

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 11 месяцев назад

    Hio ndio tumbatu sio copy

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 11 месяцев назад

    Dini ya kucheza na kinyoa ndevu

    • @fakihassani3
      @fakihassani3 10 месяцев назад +1

      Na haikamiliki kwa kufuga ndevu

    • @user-oc8uo9rl3u
      @user-oc8uo9rl3u 10 месяцев назад

      Mawahabi wachokozi

    • @alawikihema8676
      @alawikihema8676 6 месяцев назад

      kuweka ndevu sio dini hata RickRose ana ndevu na sio muislam au hata Calpeters alikuwa muislamu ? maana nae alikuwa anafuga ndevu

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 6 месяцев назад

    Ya Allah sio ya mohamady e iblis usipoteze wa islam.

  • @ibniabdalla4817
    @ibniabdalla4817 Год назад

    Hakika ya bidaa ni motoni

    • @user-oc8uo9rl3u
      @user-oc8uo9rl3u 10 месяцев назад +1

      Ni Tabiina hao walikwenda Madina wakakuta kaburi la Mtume saw Lina miezi 3 tangu afarki wewe kaa tu na uwahabi wako.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 8 месяцев назад

      Kana kwamba Pepo Namoto Unatoa Wewe. Haya Uingie Peponi Pekeyako Tuone Kama Wepesi Kama Unavyosema

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Год назад +1

    Bidaa hiyo mwanaume unalegeza mabega ni haram

    • @salumumohamedi2472
      @salumumohamedi2472 Год назад

      Tulia ww we fata yako sisi tuache na bidaaa zetuuu kwa mungu ndio tutajua nani alikua anafanya bidaaa

    • @ustadhirajabu5736
      @ustadhirajabu5736 Год назад

      Umeona bidaa hiyo tu...lakini kutumia yutubu sio bidaa

    • @SeifbinAziz
      @SeifbinAziz Год назад

      Uyo anajuw kitu bidaa au anaongea tu

    • @SeifbinAziz
      @SeifbinAziz Год назад

      Ww fata yako tu tuach na ubidaa wako

    • @mahammoudhaji
      @mahammoudhaji Год назад

      Umekwisha zingatia huo ujumbe unaotolewa.

  • @aljabery.binruz
    @aljabery.binruz Год назад

    Ndugu Abdallah bidaa ndio nn,?Maumee Mohammed swa hakusafiri hija na ndege,basi nenda na migu hadi mecca ukahiji

    • @fakihassani3
      @fakihassani3 10 месяцев назад

      Usimuulize hajielewi huyo wala hajui asemalo mana hata yeye na aseme wapi Mtume kapanda boda boda?lkn yeye mwenyewe saa zote anapanda,hawa hawajui walisemalo na ukiona mtu anakosoa watu jua elimu yake ndogo