Bingwa wa Dhikri Akinguruma Ndani ya Tumbatu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Hesmin TV 0719907770
    Best of Live Streaming in Zanzibar
    #qassida
    #best
    #africa
    #qur
    #mawaidha
    #happy #film #livestream #live #qur-an

Комментарии • 248

  • @salummakame2617
    @salummakame2617 2 месяца назад +7

    Allah wape umri mrefu mashehe wetu wasiyumbishwe na Masalafi kama yanavyokoment utumbo

  • @BashiruMussa-p2l
    @BashiruMussa-p2l Месяц назад +2

    Aisee huyo shekhe yup vzr kwa zikili mashaallah

    • @HesminTV
      @HesminTV  Месяц назад

      Asante sana karibu HesminTV kwahuduma Bora za Live katika shuhuli mbali mbali kwamawasilia piga simu no 0615800080 au 0719907770

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 Месяц назад +1

    Santa Santa Mashallah

  • @mohdhassansaleh1322
    @mohdhassansaleh1322 3 месяца назад +7

    Waislam tusomeni Ili tuweje gharam na Hali ila kwa hpa muridi wote Maua yenu hyo like it as muridi

  • @alibakarali
    @alibakarali 3 месяца назад +3

    Maoni yangu dhikri mbona mnacheza Kama ngoma,mtoa mashairi mashallah.

  • @HamzaAhmed-dy6fx
    @HamzaAhmed-dy6fx 3 месяца назад +3

    Allah atuongoze sote tuone haki tuweze tuifwata, na atuonyeshe baatwil tuweze kuiepuka. Ameen thumma ameen

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 3 месяца назад +8

    MashaAllah mashairi mazuri...Allah akupe umri kwa kudhikirisha

  • @OmarIbrahim-c9i
    @OmarIbrahim-c9i 3 месяца назад +6

    Ni vibaya kumtukana mwislamu mwenzako nduguyo kwa imani

    • @swabrinaali5047
      @swabrinaali5047 3 месяца назад

      Utapata huyo alomuita mwezake hivo hata madrasa hakwenda

  • @nurdinhoza
    @nurdinhoza 3 месяца назад +2

    Nyie wenye elim tupeni tafsili ya hukokunguruma tujue mmemwamniann allah

  • @SalumMzee-cw8do
    @SalumMzee-cw8do 3 месяца назад +5

    Mambo mema matamu na yapenda haya moyon mwangu,,marhaba Sheikh sauti yk ina tuingia Imani nyoni mwetu

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 3 месяца назад +3

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raaajiuuuun!!

  • @nurdinhoza
    @nurdinhoza 3 месяца назад +2

    Mashayr yalikuwepo nakunguruma jee? Swahabagani alikua bingwa wa kunguruma

  • @AmirliAmirli-p1z
    @AmirliAmirli-p1z 3 месяца назад +9

    Wallah uislam rahaaa mashallah

  • @HajiHaji-p3i
    @HajiHaji-p3i 3 месяца назад +2

    Kama Iman yako nikufanya uamini hiki bac fany

  • @ibrahimbajiji1961
    @ibrahimbajiji1961 3 месяца назад +1

    Ya rabbi wasemee hawajui wafanyano

    • @hhassan1094
      @hhassan1094 3 месяца назад

      Weye unajuwa uyafanyayo ?

  • @HalfanAbdallah-x4p
    @HalfanAbdallah-x4p 3 месяца назад +2

    Mawahabi mpoooo najuwa mtanena pia

  • @AyubaNassor
    @AyubaNassor 3 месяца назад +2

    Mnaopinga hiidhikiri hebu linganisheni na bongofleva mseme lililobora

  • @djzkhankb3754
    @djzkhankb3754 3 месяца назад +2

  • @MohdMtende
    @MohdMtende 3 месяца назад +7

    Haya mashairi yanimaliza kweli mashallah jamaa yupo vzr

    • @mrsabdul-mz8hh
      @mrsabdul-mz8hh 3 месяца назад +3

      Nakumbuka Nyumbani
      Kila ikifka mfunguo 6 mwez 25 yaaaaniiii ilikua naona Raha mpaka basi
      Mashallah 🥰 nawackiliza nikiwa Oman ❤

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 3 месяца назад +2

      Mwaka wa 1980 1981 na kuendelea ilikuwa mwezi wa ramadhani siku kumi na Tano na kuendelea tukiwa Kenya mjii wa Mombasa tukimaliza swalah ya taraweeh wakati huo redio Zanzibar inashika Kenya ilikuwa tukiburudika usiku wa ramadhani....

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 3 месяца назад +1

      Miaka yenye neema ilikuwa tukiwasikiliza sanaa watumbatu kwa dhikri zao....Machozi inanitoka kwa rahaa zilizopita

    • @mngwalimngwali669
      @mngwalimngwali669 3 месяца назад +2

      Hapa tumbatu jongowe zawiyani makao makuu ya dhikri

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 3 месяца назад

      Nasikiza nikiwa dubai​@@mrsabdul-mz8hh

  • @AllyIdd-f6o
    @AllyIdd-f6o 3 месяца назад +2

    Dhikri itaendelea hadi kiama

  • @SuleimanPandu-z1u
    @SuleimanPandu-z1u 3 месяца назад +2

    Mashaaalllah yupo vizur mungu amzidishie

  • @nurdinhoza
    @nurdinhoza 3 месяца назад

    Nyie wazee mcheni allah hiyo sio dhikr nakama nidhikir tupetafsili

    • @AmriSharifu
      @AmriSharifu 3 месяца назад

      Afadhali yako wewe unaetaka kujue kaende kwenye chuo zao wakupe dalili kuliko walio maliza Hadith zoote yaan vitabu vyoote,

  • @aljabrsaleh4378
    @aljabrsaleh4378 3 месяца назад +2

    Ujue hukmu ya kutikisa mwili ni ktk mtindo wa shaytwan na wafuasi wake hawajamaa allah awaongoze

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd 3 месяца назад +1

    Swahaba wangefanya haya hii dini isingetufikia

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r 3 месяца назад

      Mawazo fekiiiii hahahahaha

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l 3 месяца назад

      @@rajabumsuya-hg8jd kweli maana huu ni mchezo km wakata viuno,mauzinde

    • @alwyabdallah3021
      @alwyabdallah3021 3 месяца назад

      Nani alikwambia walifanya zaidi ya haya mbn huwataji

    • @AmriSharifu
      @AmriSharifu 3 месяца назад

      Kwani imekufikiaje ambacho unashaangaa

  • @saidhaji1858
    @saidhaji1858 3 месяца назад +1

    Hii ni ibada gani wanyofanya hawa!! Ibada ambayo hakuijua mtume, maswahaba wala matabiina na wala hawaijua Aimatulhudaa..
    Huu unaonesha kma ni uzushi ktk dini yetu. Allah Atuongoze cc na wao..

    • @latif15
      @latif15 3 месяца назад

      @@saidhaji1858 kutembea kwa hatua nzuri ni ibada na kuzungumza kwa sauti nzuri ni ibada sasa nadhani ukitaka kujua ibada kuwa mja mwema ni ibada sasa tafuta ujue nini ni ibada.

    • @HassanHossein-jz3mb
      @HassanHossein-jz3mb 3 месяца назад

      Kwahiyo dhikir mtume na maswahaba hawakuijua kama hawa kuijua wala tusinge fanya hiv acha ushia rejea vuzur din wijue

    • @latif15
      @latif15 3 месяца назад

      @@HassanHossein-jz3mb أَلا بِذِكْرِ اللَّهِ تَطْمَئِنُّ الْقُلُوبُ

    • @alwyabdallah3021
      @alwyabdallah3021 3 месяца назад

      Ibada ni swla na swaumu ila hiyo ni mazazi ya mtume watu wapo pamj wanamsifia na kujuzana mazazi yake jinsi gani yalikuwa

    • @AmriSharifu
      @AmriSharifu 3 месяца назад

      ​@@alwyabdallah3021nini maana mazazi

  • @MbogoAthuman-w8v
    @MbogoAthuman-w8v 3 месяца назад +1

    Huwezi hukumu ndugu yako mweslamu bna mwenyez mungu ndo anae jua kma wanapata dhambi bna

    • @Mussarashidi-b4f
      @Mussarashidi-b4f 3 месяца назад

      Ndugu yangu hawa mawahabi kaziyao matusi na wanajiona wao wamebashiri wa pepo niyao wana laana na walimu zao

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 3 месяца назад +5

    SubhanaAllah SubhanaAllah acheni kupotosha watu hapo hakuna hata moja katika dini ya kiislam ilifundisha hayo wanayofanya hapo

    • @HassanHossein-jz3mb
      @HassanHossein-jz3mb 3 месяца назад

      @@swalehaltooq5233 kwani hapo anatajw mungu au anatajw Nan maan hapo ametajwa mungu na pia ametajwa mtume sasa unavyo sema hakuna hata moja lilo fundishw kweny unakosea kwasabab hapo hakuna ushirikina ulio tajwa acheni kudanganya watu

    • @HalfanAbdallah-x4p
      @HalfanAbdallah-x4p 3 месяца назад +2

      😂😂😂😂😂 A cha upuuzi soma kwanza

    • @alwyabdallah3021
      @alwyabdallah3021 3 месяца назад +1

      Weka lako la maana bc kama hili ni la upotoshaji

    • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
      @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 3 месяца назад +1

      Unaonaje kama utawafata uwaambie uwaelekeze au wakuelekeze

    • @JumaGishanga
      @JumaGishanga 3 месяца назад +1

      Wewe sawa gofu la nyumba tafuta utamu wa moyo ukiupata utanyamaza ان ابراهيم الاوح حليم

  • @Freeedom-e4h
    @Freeedom-e4h 3 месяца назад +1

    Duuu

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 3 месяца назад +2

    Hakuna dhikir ya hivi kwenye dini, adhkari zinajulikana

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r 3 месяца назад +1

      Sunna zipo nyingi chagua ambayo kwako nyepesi fanya

    • @HassanHossein-jz3mb
      @HassanHossein-jz3mb 3 месяца назад

      Una maan gani kwamba hamna dhikir ya hiv

    • @JumbiSecondary
      @JumbiSecondary 3 месяца назад

      MashaLLLAH hizi ni Sunnah ambazo zimebakia kwetu? Wengi zimewashinda.

    • @hamidrashid225
      @hamidrashid225 3 месяца назад

      Wewe ni mjinga namba Moja . Kwan apo kosa lipo wapi ?? Ukitaka kupinga kitu tafta hoja na kitu gan kimekatazwa.

    • @Rukaka_jr
      @Rukaka_jr 3 месяца назад

      @@hamidrashid225 wee ndo jahiru murakab, kuna adhkar gan ya kukohoa kama harmonize? 🚮🚮🚮

  • @rajabujuma9030
    @rajabujuma9030 3 месяца назад +1

    Mashallah,kazi iendelee kama kazi.

  • @HalimaOmari-mb5bi
    @HalimaOmari-mb5bi 3 месяца назад +2

    Kwashwida

  • @hudhairfaki1217
    @hudhairfaki1217 3 месяца назад +1

    Bidaa😢

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 3 месяца назад +1

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

    • @alwyabdallah3021
      @alwyabdallah3021 3 месяца назад

      Na wewee kacheze kama mchezo mzuri umeuona shida ninib

  • @headboy7768
    @headboy7768 3 месяца назад +1

    Hivi hahahahaahaha ndio kitu gani 😅😮

  • @MahamuduBoi
    @MahamuduBoi 3 месяца назад +1

    Mtume yu nyoyoni mwetu daima

  • @ChaumaraAli-z5i
    @ChaumaraAli-z5i 3 месяца назад +1

    Jamani uzushi sio ushu mambo ya kidini

  • @AyubaNassor
    @AyubaNassor 3 месяца назад +1

    Tatizo ni kufanya haya msikitini

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 3 месяца назад +2

    ALLAAAAAAAAH

    • @SalumuMkwalula-y7j
      @SalumuMkwalula-y7j 2 месяца назад

      Hakuna cha maana tuisome dini jamani mung atuongoze hiyo sio dhikri tafadhal

  • @Adinani-gg4dm
    @Adinani-gg4dm 3 месяца назад +1

    Diamond hanging ndani

  • @HasanAlly22-un2ng
    @HasanAlly22-un2ng 3 месяца назад +1

    Subhanallah duh hii khatari sana watu hawataki kusoma dini yao na kuifuata sasa kila mmoja anafanya anavyotaka. Mwenye akili iliyotimia anajiuliza kweli maswahaba wa mtume walikua hivi nadhani kila mwenye ufahamu uliekamilika anajua, muogopeni Allah

    • @AmriSharifu
      @AmriSharifu 3 месяца назад

      Wee kwa akili yako hapo unawazidi woote elimu pole saana.au wanafanya bila dalili pole kwa msiba wako.ni vizuur ufanyie kazi ulichosoma na uzidi kusoma,

    • @MohamediMgono-s2i
      @MohamediMgono-s2i 2 месяца назад

      Alimlad anatajwa Allah na mtume Muhammad me sion ubaya

  • @IdrisasaidiMhunga
    @IdrisasaidiMhunga 3 месяца назад +2

    Ninacho jua hakuna mhabi anae patana mzazi hicho ndio kipimo Cha mhabi Sasa kama una Lana huwez jua maana ya hicho na ukiona mtu ana mkfurisha muislm mwenzie kasomea kwenye RUclips hana mwlm Wala shekhe imamu Aly amesema hakupata kushindana mhunga ila alikua akishidwa lakini akibishana na mjuz mara nyingi alikua akishinda Sasa hapo niwa jinga

  • @AMUUNEWVISSION
    @AMUUNEWVISSION 3 месяца назад +1

    Kuna tofauti gani na kanisani apa

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r 3 месяца назад

      Kanisani huchanganyika wake nawaume navinanda huwemo napia hawavai mavazi yaheshima

    • @FatahSaleh6268
      @FatahSaleh6268 3 месяца назад

      Utofaut upo mkubwa sana ukitaka kujua hayo soma brother 🙏 halafu utajua au kama huwez kusoma ulizia kwa watu wanao Juan wakuelezee ndipo utajua utofaut uliopo apo katika dhikri na kanisani 😂😂😂

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 3 месяца назад

      Kanisani wanataja mtume pia pengine ushawai kuwasikia

  • @ChaumaraAli-z5i
    @ChaumaraAli-z5i 3 месяца назад +1

    ndege ngamia na wanyama wabaria hummh uongo mtupu upotevu

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r 3 месяца назад

      Mtume sisawa nawewe

    • @HassanHossein-jz3mb
      @HassanHossein-jz3mb 3 месяца назад

      Upotevu gani hembu nenda ukasome dini vizur maan hapo hujui hata kinacho kusudiwa waislam tusomeni tujue dini ninini sio tuna kurupuka tu kuongea tu hiv kam niupotevu hata hiy dini isinge tufikisha hapa

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l 3 месяца назад

      @@HassanHossein-jz3mb nani alokwambia kuimba ndo kusoma dini?dini gn imefundisha kucheza singeli

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 3 месяца назад +2

    Bakathir huyo

  • @sadrupandu5948
    @sadrupandu5948 3 месяца назад +1

    Tatizo lenu mawahabi hamtakikusoma nando maana mnazipinga ibada kama hizi

    • @abdulrahmanmohamedali5110
      @abdulrahmanmohamedali5110 3 месяца назад

      Kama umesoma vizuri lete hadithi sahihi ya mtume akifanya dhikri kama hii au masahaba wake

  • @AbdulMutta
    @AbdulMutta 3 месяца назад +3

    Mungu atawalaani san wallah wanaopinga haya

    • @abdul-qadirkhamis2518
      @abdul-qadirkhamis2518 3 месяца назад +2

      Sio kweli,nakuhusia kama ninavyiloihusia nafai yangu...ikhtilafu Mungu kaziumba, hata uumbaji wake Mungu Basi kaweka katikka mfumo wa ikhtilafu ili tuweze kutafakari,,,angalia jua na mwezi,,, kulia kushoto, mke mume,ardhi mbingu,afya maradhi,mweupe mweusi,nzito nyepesi,usiku mchana,.,sunni,qadiria,Sufi,salafi,ibadhi.....hakuna anaejipa asilimia mia kwamba yupo perfect ...Mungu atakwenda kutulipa Kila jambo kutokana na hoja....anaeswali ataulizwa ulikua ukiswali kwa lengo gani,anaefunga,zaka,hijja kadhaalika....kwaio Mungu atakwenda kuwaalipa thawabu watu kwa hoja na atakwenda kuwaadhibu kwa hoja....acha kauli hio ni mbay mno na ukosefu wa elimu.

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 3 месяца назад +2

      Usiseme atawalaani wanaopinga
      Khitilafu ipo Tangia Enzi na Enzi na Mtume hakuwaombea mabaya walokua wanakhtalifiana
      Na mtu akienda kinyume anawaombea sio kutoa laana😊

    • @mtorokhamis3015
      @mtorokhamis3015 3 месяца назад

      Acha kuwapa laana wenzio ww

    • @AmriSharifu
      @AmriSharifu 3 месяца назад

      Ikipanda ikakosa pa kushuka inaishia hewani au.....,unadhani kaelimu kako hapo unawazidi walioko hapo woote.pole saana ukasome ndo muwe mnatoa hukumu na makadhwi ni watatu,wawili moton mmoja peponi.

  • @matikhatib6188
    @matikhatib6188 3 месяца назад +1

    Jamani musiwe munatukana watu someni ili mupate elimu ya dini jee mtume aliposomewa twalaalibaduru ilikuwa nn

  • @Freeedom-e4h
    @Freeedom-e4h 3 месяца назад +1

    Shirik hiyo

  • @FahmiAbubakar-ym6xw
    @FahmiAbubakar-ym6xw 3 месяца назад +1

    Mashllh allah akujalie husnul hatima

  • @FahmiAbubakar-ym6xw
    @FahmiAbubakar-ym6xw 3 месяца назад +1

    Mawahabi kazi kwenu haya mambo mema

  • @makameSimai
    @makameSimai 3 месяца назад +1

    Mhh jamani Nini tunajifunza hapo? Ndege na wanyama wa baria au ni hayo mashairi huku ni kujifurahisha na kufanya mazoezi ya viungo TU.

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 3 месяца назад +1

    Usichokijua ww wafate wenyew uwaulize unaonaje kama wangekuwa wanaimba bongo fleva

  • @Salimudhahabu-j8o
    @Salimudhahabu-j8o 3 месяца назад +1

    Tatizo wamenusa kuimsoma ndio maana kunatofauti ya moja na mbili sasa wao ni mojaa ndio mana kazi Yao moja tu ongezen kaazi ya kuwarudisha watu walio potea kwenye njia sio Kila siku bidaa tu hakuna bidaa hapa wewe unao dai bidaa lingania kurudisha watu kwenye njia sio wasi mama na moja tu mbili wamuachia nani

  • @himidomy4077
    @himidomy4077 3 месяца назад +3

    Nyie mnaokoment ujinga mungu atawapa Lana kubwa cc tup twamsifu mtume wetu nyinyi mnasem ujinga dah😢

  • @FatmaAman-s8q
    @FatmaAman-s8q 3 месяца назад +1

    mashallah alah akubariki we baba

  • @YahayaIdarusi-tf8dy
    @YahayaIdarusi-tf8dy 3 месяца назад +3

    Maashaallah

  • @swalehsalim5576
    @swalehsalim5576 3 месяца назад +1

    Uislamu uchizi kweli 😂😂

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 3 месяца назад +2

    Wallahi kila mtu na Fanni yke

  • @saidahamid1178
    @saidahamid1178 3 месяца назад +3

    Mashallah ❤

  • @khamissaid5525
    @khamissaid5525 3 месяца назад +3

    Mashallahhhh

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 3 месяца назад +2

    Masha Allah

  • @RAMZANJumma-hr3ff
    @RAMZANJumma-hr3ff 3 месяца назад +1

    Mawahabi inawauma sana kumsifu mtume....wanataka tuwasifu wao

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah001 3 месяца назад

    MANENO KAYATOA KWA KITABU CHA BARZANJI KINA UPUZI MWINGI SANA NDANI YAKE NDIO WAJINGA KAMA WANA KITUMIA, ALLAH AWAONGOZE KATIKA UISLAMU ULIO ACHWA MTUME S.A.W

    • @YahayaIdarusi-tf8dy
      @YahayaIdarusi-tf8dy 3 месяца назад

      Ushadanganywa zako huko ebu lete upuuzi mmoja wapo

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 3 месяца назад

      Mpuuzi nimamaako

    • @latif15
      @latif15 3 месяца назад

      Hilo ni tusi litasimama mbele yako kama kweli muislamu Allah atakusameh ​@@hamisimkulu6571

    • @kheiramour2973
      @kheiramour2973 3 месяца назад +1

      Iyo elimu aliyokuwa nayo barzanji ww huipat mpk kufa ndugu pole

    • @haithamdahillard8746
      @haithamdahillard8746 3 месяца назад

      ​@@hamisimkulu6571usimtusi mamake. Wazee wote waliyakubali pengine kasoma haya. No huyo shetwani na mashetwani wenzake wanaotia watu motoni na kuwaita makafiri wameanza Zama hizi. 😂😂😂

  • @KhalfanAbdalla-x7u
    @KhalfanAbdalla-x7u 3 месяца назад +1

    Hawa jamaa wanafanya mazoezi ya viungo

    • @hhassan1094
      @hhassan1094 3 месяца назад

      Hakuna tatizo kufanya mazoezi

  • @SWAALEHBAKARIALLY
    @SWAALEHBAKARIALLY 3 месяца назад +1

    Mashallh

  • @alimau7939
    @alimau7939 3 месяца назад +2

    Wengi wao hapo ni wanga(wachawi)

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 3 месяца назад

      Ulishawashuhudia au wadhania to 😢😢😢

    • @alimau7939
      @alimau7939 3 месяца назад

      @@saidmwakulika706 ata na ww huenda ni miongoni mwao

  • @jumaomar8419
    @jumaomar8419 2 месяца назад +1

    Kila mtu na upeo wake wa elimu

    • @HesminTV
      @HesminTV  Месяц назад

      Asante sana karibu Hesmin TV best

    • @HesminTV
      @HesminTV  Месяц назад

      Kwa huduma Bora za Live katika Shuhuli mbali mbali kwamawasiliano piga Simu No 0615800080
      Hesmin TV ---- No limit's Technology

    • @bin_makky
      @bin_makky Месяц назад +1

      Jna lake nani hyu sheikh naitaka ile nyengne alamtara

  • @صابرهعلي-ك1د
    @صابرهعلي-ك1د 3 месяца назад +1

    Mashallah 🙏

  • @OmarIbrahim-c9i
    @OmarIbrahim-c9i 3 месяца назад +2

    Huyu sheikh mwachenie amsifu Muhammad kadri anavyo weza,

  • @Abdallahmohamed72
    @Abdallahmohamed72 3 месяца назад

    Mijibaba mikubwa wenye umri mkubwa wanafanya mambo kama watoto wadogo hakuna dini kama hiyo katika uislamu wanacheza wanaruka ruka mashetani hao

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 3 месяца назад +3

    Mpaka cheee Asubuhi...dhikri rahaaa

  • @MwanaidBakar-g7f
    @MwanaidBakar-g7f 3 месяца назад +2

    Hao wanao tukana maulid kwanza wawafate wanaojuwa wafahamishwe elimu inanjia ndefu ndipo kila mtu anafata njia yake anayoona inafaa achen kutukan mahalifa

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l 3 месяца назад

      @@MwanaidBakar-g7f halifa yupi kaleta maulidi?hakuna elimu ya maulidi

  • @alimau7939
    @alimau7939 3 месяца назад

    Kama hiyo ndio dini watu wote wangeenda peponi

  • @BukhariRajabuSea
    @BukhariRajabuSea 3 месяца назад +1

    Uwi silam autaki muenziyo kumwita. Kafiri

  • @muminamohammed9357
    @muminamohammed9357 3 месяца назад +1

    Kama wewe mtoto huwezi kutaja mungu na mtume wacha wazee wataje wanajua maana yake

  • @ChaumaraAli-z5i
    @ChaumaraAli-z5i 3 месяца назад

    Hawa jamaa wazush mno maulid ni ni uzushi

  • @mzulwa2006
    @mzulwa2006 3 месяца назад

    Sasa huyu ni bingwa wa mashairi au bingwa wa zikri kweli dini imepotea

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 3 месяца назад

    HII NI IBAADA! AU UJINGA TU

  • @Abdallahmohamed72
    @Abdallahmohamed72 3 месяца назад

    Sasa hahaaahaha iko kwenye quran wacheni upuzi katika dini hii ya kislamu wamepotea hao

  • @SaidOthman-n5l
    @SaidOthman-n5l 3 месяца назад

    Mseje mkatokwa na mashuzi tu hapo

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 3 месяца назад

    Hawa machizi Nini?😮😮😮 Duuuuh

    • @FatmaAman-s8q
      @FatmaAman-s8q 3 месяца назад

      www unae waambia haw ni machiz na ww pia chiz kam uliumwa na allah wa viume wot

  • @SaidOthman-n5l
    @SaidOthman-n5l 3 месяца назад

    Wakata viuno naona

  • @IshaqaHamza
    @IshaqaHamza 3 месяца назад

    Wahabi mnataka tuwasifu bb zenu? ambao pia mmekosa radhi zao sababu mihemuko na jazba zenu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 3 месяца назад

    Kumbe haya ndio maulid!mm nilikuwa sijuwi mwenzenu!kama ndio yalivyo basi hayana tofauti na kindumbaki!

    • @FatmaAman-s8q
      @FatmaAman-s8q 3 месяца назад

      wee unae mkan mtume na muumba wako utakua hunaimani na mungu

  • @BaaOmar-j4h
    @BaaOmar-j4h 3 месяца назад

    Wapingao hawana elimu ni wajinga tu, Hawa mawahabi, mwajua huu mswahafu ni bidaa au hamjui? Maana mtume (saw) hakupewa mswahafu ,pili, irabu zile fataha kasri dhuma sakna zote ni bidaa!! Mwajua Hilo??? Someni acheni chuki za kipumbavu !!! Madebe matupu nyie!!!

  • @SheillaKhamis
    @SheillaKhamis 3 месяца назад

    Povu la wahabi sasa

  • @husseinkhatib6864
    @husseinkhatib6864 3 месяца назад +1

    Huwezi kumwita muislam kafiri Kwa kudhikiri,

  • @JumbiSecondary
    @JumbiSecondary 3 месяца назад

    Hiyo ni Sunnah Mtume S. A. W. Kafanya watu wasifiche haki kwa matanio yao. Asiyejua aulize. Asiyepata mwalimu asafiri kumtafuta. Hata katika miji ya mbali. Asije akawacha haki kwa ujinga.

  • @awadhyahya1523
    @awadhyahya1523 3 месяца назад

    raha tupu ...mwenye roho ya kisokorokwinyo atoke hapa😂

  • @OmarIbrahim-c9i
    @OmarIbrahim-c9i 3 месяца назад

    Hivi mnapo towa maneno mabaya kwa ndugu zenu waislamu,madhehebu mengine watawaelewaje?si mnadhalilisha dino!!!!

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 3 месяца назад +8

    Bingwa gani huyu kafiri mzushu bidaa tu

    • @DohaQatar-w4t
      @DohaQatar-w4t 3 месяца назад +2

      Xio kafir ila uislam hamna Ayo mambo y skri z hivi maana anatamkaa laailaha ila Allah

    • @alijabu6226
      @alijabu6226 3 месяца назад

      Usimwite kafir ni makosa ucfate jazaba za nafc yako kuchukia ki2 mpka ukamyoa mwenzio katika dini ndugu

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 3 месяца назад +2

      Hatujafundishwa hivyo; kuwaita makafiri walotamka kalimatut tawhiid. Tuwaite tu kwa majina mengine, kama wazushi, wanaokhalifu sunna, wakosaji ktk dini na mengineyo.

    • @RamadhanAlly-y5s
      @RamadhanAlly-y5s 3 месяца назад

      Umjuwa kafiri ww unajuwa bidahaa ww

    • @RamadhanAlly-y5s
      @RamadhanAlly-y5s 3 месяца назад

      ​@@DohaQatar-w4tnani amesema akae acha mtajo wake atakuwa ndani yadhiki nenda surati twahaa kasome

  • @MagariUsed
    @MagariUsed 3 месяца назад

    Hahahaha eti bingwa wa dhikr!!!!!! Unajua dhikr ni kitu gani wewe?

  • @HdMshighaty
    @HdMshighaty 3 месяца назад

    nyie.mawahb.kinacho.waumm.nin.wakati.wamtum.mashair.yalikuepo.kwan.hapo.wanatukan.acheni.watu.watafut.kuzipig.dawa.nafis.zao

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 3 месяца назад +1

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 3 месяца назад

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 3 месяца назад

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 месяца назад

      Wapi uliposikia hayounayosema

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l 3 месяца назад

      @@KhamisJuma-mu4rm hakuna ibada hapo wanajivurahisha2 na michezo yao km ulivyo mchezo wa ng'ombe tuu au chandimu, kiufupi mazoezi2

    • @sadrupandu5948
      @sadrupandu5948 3 месяца назад

      Ivi wewe hamisi juma unajua allah alisema nini kitu ukiwa hukijui

    • @sadrupandu5948
      @sadrupandu5948 3 месяца назад

      ​@@SaidOthman-n5l wewe kasome kwanza ndipo ibada uzifananishe na michezo yenu ya kishetani