MAPITO ya MFANYABIASHARA ASKOFU MONABANI -HASARA ZAIDI ya BIL.19 KUPORWA KIWANDA na KITUO cha MAFUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2024
  • MAPITO ya MFANYABIASHARA ASKOFU MONABANI -HASARA ZAIDI ya BIL.19 KUPORWA KIWANDA na KITUO cha MAFUTA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 32

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @naishiyemollel7478
    @naishiyemollel7478 Месяц назад +2

    Hahaha ujanja mwingi mbele giza my brother Monaban, keep it up Baraka my kaka, mzee Titus hayupo basi Simamieni vitu vyake kwa ufasaha...... Rest in peace Titus Aaron Mollel

  • @JSSTATIONERY
    @JSSTATIONERY Месяц назад

    Mungu ni mwema utazidishiwa zaidi ya hivo. Nimejifunza kitu kutoka Mungu akubariki sana kwa historia yako tunatoka mbali sanaa

  • @joshuamtinangi6958
    @joshuamtinangi6958 Месяц назад +1

    Yesu Kristo alisema.
    Ukitaka kunifuata uza mali zako zote uwagawie maskini.
    Sasa wewe unachanganya mambo.
    Nilikufundisha taratibu za kununua mali ya umma lakini wewe ukajimilikisha na baadaye ukaanza taratibu za kununua.
    Serikali iliona umefanya makosa.
    Serikali ukikosea inakuadhibu.
    Mungu (kanisa) ukikosea na kutubu unasamehewa.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Месяц назад +2

    HISTORIA kama hiyo inasaidia kuwapa MOYO vijana,maana vijana wa leo wanataka maisha ya short cut,mimi na monaban tulikuwa pamoja NMC arusha!!

  • @Excellent1Michael
    @Excellent1Michael Месяц назад

    Background music ipo juu sana

  • @leonardkoloneli147
    @leonardkoloneli147 Месяц назад +1

    Mungu akutie nguvu

  • @kassimualli1755
    @kassimualli1755 Месяц назад +2

    Sasa mbona umedhulumu na umeshindwa kesi?

  • @user-pe7it2yf6f
    @user-pe7it2yf6f Месяц назад +2

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад

    Pole sana Baba Askofu Molel, kwanza ulizaliwa na nyota ya pekeee ukiwa mtoto wa nne kwa wazazi, ukitanguliwa na wadada 3! Mama anajua siri za watoto wakingali tumboni, ni kama Esau na Yakobo mapacha lkn kila mtoto na chake mama alimjua MUNGU, muimbaji wa nyimbo kanisani. Alikutengeneza na ukajitambua, kutoka kwenye umaskini kama nilivyo wengine, bado una nguvu, MUNGU atakurejeshea haki zako za msingi, pambana mpaka ufikie pazuri, mtumishi. AMEEN.

  • @user-tw2du7bx8p
    @user-tw2du7bx8p Месяц назад +1

    Mungu nu mwema anakupigania

  • @loserianmaoi3607
    @loserianmaoi3607 29 дней назад

    Background sound is really annoying..acha ama punguza

  • @mosepaul3886
    @mosepaul3886 Месяц назад +1

    Global tv mmelipwa hela ili mumfanyie interview kumsafisha

  • @heribuberwa2372
    @heribuberwa2372 Месяц назад +3

    Thomas Laiser hakuwahi kuwa Mkuu wa KKKT

  • @petertemu7136
    @petertemu7136 Месяц назад +1

    Aavhe utapeli Kwanza

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Месяц назад +2

    Aache utapeli aende kwa Mungu akatubu aachane na dunia

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Месяц назад

    Tell me
    We’re do you get?

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Месяц назад +2

    Eneo hilo ulilipataje?

  • @joshuamtinangi6958
    @joshuamtinangi6958 Месяц назад

    Nmc tulikufundisha ku add value kwenye product zako.
    Uliwalipa Nmc Milling charge na wala hatukununua mahindi yako.
    Tulikutajirisha na kukutunzia mali zako kwa uaminifu mkubwa.
    Mwisho wake ulitutoa kwa namna ya kikatili.

  • @praygodarmstrong7670
    @praygodarmstrong7670 Месяц назад

    WTF Celine Dion song as a background sound 😂😂😂

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Месяц назад

    Haya yote ukitaka yasikutokee jalibu kua umenyooka katika Mapito yako ya kimaisha ili usiweke uhasama na visasi kwa watu ili kesho na kesho kutwa wasije kukufanyia Mambo mabaya

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Месяц назад

    Wa 97????

  • @user-mh5ld4fp6y
    @user-mh5ld4fp6y Месяц назад

    Me ni KKKT mbona simjui ni Askofu wa Dayosisi gani ??
    au mwandishi umekosea??

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Месяц назад

    Bagamoyo oyeee,,huyu jamaa km mm ningelikuwapo karibu picha ingekuwa muzuri sana,,wee bwege huyu s kaka Yako,wee mjinga mjinga usiogope nzi wakati unauza utumbo,,,pole sana my professor umeonyesha uprofesa wako,,,Huyo bwege mpumbavu mwizi yy Huyo kwani hapo SI eneo lake kawambwa is former of parament na former minister,,,wanahitaji ulin,I mawaziri mastaafu na wabunge wastaafu,,,hizo Kodi zenu hazikifiki Hadhi ya dk kawambwa

  • @reubenndendya8345
    @reubenndendya8345 Месяц назад

    Hawa sio kkkt ila ni Askofu wa kkam

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Месяц назад

    Tuseme kapata hasara zaidi ya Bilioni 100😂 Hasara ambayo imesababishwa na ujinga wake mwenyewe. Atulie dawa iingie.

  • @user-qq6zu3no4z
    @user-qq6zu3no4z Месяц назад

    WATAKUPAKA MATOPE YOTE ILI TU KRISTO ASIONEKABE

  • @nassontunyande1109
    @nassontunyande1109 Месяц назад

    Naomba nyoosha maelezo soko la kariakoo lilijengwa mwaka gani? 1979 ndiyo lilianza kubuniwa? Unamkumbuka mbunifu wa hilo soko? Na unamkumbuka mkandarasi aliyelijenga? Mbona unajikweza for nothing?

    • @knowledgeispower1118
      @knowledgeispower1118 Месяц назад

      Haya maswali yako ya kimaskini achana nayo tafuta pesa..ungekuwa na hela haya maswali hauwezi uliza maswali kama haya

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 Месяц назад

    Malii za watoto wa taitas kua na aibuu mzeee