MPINA AKALIA KUTIKAVU, SPIKA DKT. TULIA ATOA MAAGIZO "UMELIDHARAU BUNGE NA SPIKA''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 246

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 2 месяца назад +15

    Anajua hamchukuagi hatuaa kwa hyo nakupongeza Baba mpina Mungu na asimame na wewe aminaaaaaaaaaaa

  • @japhetsimon9188
    @japhetsimon9188 2 месяца назад +10

    Hata kama Mpina ameita press conference kabla,lakini alichoongea na kuwakilisha kwako Kina mashiko, tendeni haki juu ya hili,acheni kubeba mafisadi

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 2 месяца назад +23

    Hadhi ya Bunge haiwezi kushushwa na Mpina kama Bunge linasimamia maslahi ya wananchi! Hadhi ya bunge itashuka iwapo litakumbatia double standards kwenye maamuzi yake

    • @davidtuya9586
      @davidtuya9586 2 месяца назад

      Tutasimama na mpina mlinda mali za taifa

  • @FrankTemba-c6g
    @FrankTemba-c6g 2 месяца назад +8

    Spika ajitambui wananchi hatuna maji utafuti kifungu lakini mpina kasema ukweli umechukia

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 2 месяца назад +8

    Mimi nilidhani spika atatuletea majibu aliyowakilisha mpina. Ni ya uongo? Au ni kweli. ? Wameshaanza kulindana. Tulijuwa tu . Yatatokea haya.

  • @ferdinandmakore5002
    @ferdinandmakore5002 2 месяца назад +8

    Sisi tunasimama na Mpina.

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 2 месяца назад +18

    Tulia wewe una matatizo upo apo kwajiri ya ccm sio Wana nchi Wananchi ni kivuli tuuu ila unashida sana wewe

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 2 месяца назад +12

    Mpina ni kichwa chenye akili kubwa na kujiamini hongera Mpina

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 месяца назад +7

    Mpina oyee ❤

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 2 месяца назад +6

    Hapo spika hakuna ulichoongea ukaeleweka tunachokiona nondo za mopina zimekuchanganya hata wewe, huu ni ukweli usiopingika , WATANZANIA sio mabwege kama mnavyofikiria huko kwene kijiwe chenu cha kahawa , maana kwa sisi watanzania hatuoni kama kitu kinaitwa bunge ; s oma sasa huo ushahidi wake , sio kutoa mkwara ili kesho akuogope ,huyu itakua sio MP😢😢INA tunaemjua sisi ,

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 2 месяца назад +5

    Wewe Spika toa judgement yako. Sema Mpina ni muongo au sivyo. Sema Bashe na Mwigulu walifanya sawa au siyo sawa. Ni kwamba, Luhaga Mpina amekuwahi ili wewe Spika usije ukafukia uozo huo. Very good Luhaga Mpina

  • @hafidhame6433
    @hafidhame6433 2 месяца назад +4

    Daah labda mm sijaelewa lkn alichokifanya bashe ni kwa ajili ya wananchi na alichokiongea mpina ni kwa ajili ya wamilik wa viwanda wa tanzania,,

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 2 месяца назад +22

    Uyuuu mama nae shida sana wanambeya mtusaidie 2025

    • @siamollel6051
      @siamollel6051 2 месяца назад

      Amewateka ufahamu,,Watu wa Mbea ni waoga sana,,Hasa kwenye kutetea haki zao

    • @kabelwasalim6305
      @kabelwasalim6305 2 месяца назад

      @@siamollel6051huwajui watu wa mbeya hata kidogo

    • @kabelwasalim6305
      @kabelwasalim6305 2 месяца назад

      Apo ungekuwa wewe spika ungefanya nn mkuu

    • @siamollel6051
      @siamollel6051 2 месяца назад

      @@kabelwasalim6305 Bashe akae bench kwa uchunguzi

    • @ezammwakisambwe-t8u
      @ezammwakisambwe-t8u Месяц назад

      We ngoja tyuu🏋️‍♂️🏋️‍♂️🏋️‍♂️

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 2 месяца назад +7

    Hivi kumbe spika wetu bado anaamini bunge lake lina hadhi!! Jamani kweli Tanzania ina mambo... hata siamini

    • @user-qy5pj5xw4g
      @user-qy5pj5xw4g 2 месяца назад

      Kwaiyo mnapo mwathibu mbunge kwakuto huthiria vikao kumi simnakua mmewakomoa wananchi jimboni kwake Yani mnajiita wasomi lakini kumbe vilazatuu

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 2 месяца назад +10

    Kawapiga nondo mnasema utovu wa nidham upi wakati umemdai ushahidi kakuletea ulijuwa atashidwa kuleta sasa kaleta kipi kosa watu wote wanasubir ukweli nyie mnataka kumbeba Bashe sio tutaonana 2025 yaani hili bunge wee mdada mungu anakuona na adhiakiwi.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Mtandao wa ulaji ni mrefu ndio maana lazima wabebane kwa kufichiana maovu

    • @saidmussongo1527
      @saidmussongo1527 2 месяца назад

      Bashe katulia anajuakinachoendelea

    • @BakariIssa-nx3yf
      @BakariIssa-nx3yf 2 месяца назад

      Maccm nimajizi wanalindana

  • @Geeztalker
    @Geeztalker 2 месяца назад +7

    Yaani Spika ni mtumishi wa umma ila hataki kuwekwa kwenye shinikizo na umma kwenye majukumu yake,alaaa..

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад +1

      Huyu spika sijui anashida Gani hatetei kabisa upande wa wanachi

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 2 месяца назад +2

    "Mpina we forever", ohh Mpina mkombozi wa nchi. None but Mpina🇹🇿💎💎

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 2 месяца назад +1

    Jamaniii msimlaumu spika YEYE ndio alisema mpina apeleke ushahidi.bunge Lina kanuni na sheria bungeni. Amekiuka kanuni za bunge mpina hakutakiwa kuongea hadharani kwanza angesubiri majibu ya bunge.

  • @leonardsebunga7187
    @leonardsebunga7187 2 месяца назад +2

    Mmmh,kwa maoni yangu mpina pamoja kuonekana kukosea bunge lisitake kuficha kuwapa taarifa watz ukweli uliopo ktk hoja badala ya kukimbilia kumshughulikia mpina tunachoshwa na mambo ya kulinda waovu.

  • @amosmerama3680
    @amosmerama3680 2 месяца назад +3

    😂😂😂 et kumkosea SPika heshima😃😃
    Looooh my country tz

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 2 месяца назад +1

    Anajua hunauchungu na Watanzania Masikini ndiyo maana,,Nanyie hamjamuweka mpina bungeni wananchi ndo wamemuweka Bungeni kuwatetea

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 месяца назад +2

    Aangalie walivyohamaki, hawataki kuguswa, spika mpaka sauti inatetemeka,
    Hongera mpina kwa kuwa toa jasho,

    • @Benardkituka
      @Benardkituka 2 месяца назад

      Hajaonyeaha dharau ndani ya Bunge jamani

  • @SaidOmary-fd3bj
    @SaidOmary-fd3bj 2 месяца назад +5

    MPINA ALICHOFANYA ANAJUA MAMBO MENGI YANAKWAMISHWA HAPO

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb 2 месяца назад +5

    Duh spika anamlinda bashe hata kama kalidanganya bunge hii bwana

  • @user-xy6ed7ve6r
    @user-xy6ed7ve6r 2 месяца назад +3

    Mmeshindwa kujadili alichosema Mh. Mpina mnajadili Mh. Mpina, hapa ndipo tulipo angukia

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 2 месяца назад +3

    Nchi hii mtu akisema ukweli anafatiliwa sana sijui kwa nini du mungu tusaidie

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Sababu wote ni hao hao wanalindana ndio maana hatuwezi kuibadilisha hii nchi mpaka tuitoe hii chama cha chukua chako mapema

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 2 месяца назад +4

    Hii nchi inaelekea wapi? MUNGU utuongoze

  • @BavaBava-lz8vf
    @BavaBava-lz8vf 2 месяца назад +3

    Mpina yupo sawa,zaidi kuliko ww kilaza spika,

  • @kifenditimothy7094
    @kifenditimothy7094 2 месяца назад +1

    Another strong credit for Mpina

  • @jacksonjudicate9388
    @jacksonjudicate9388 2 месяца назад +3

    Bongo ukianza kusimamia HAKI NA UKWELI unaonekana UNAVUNJA SHERIA NA UTARATIBU wa Nchi

  • @user-zr9sj8sf3w
    @user-zr9sj8sf3w 2 месяца назад +4

    Bunge la makofi ,makelel tu kwnn

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 месяца назад +2

    Kwa hiyo aliyosema Mpina ni kweli au sio kweli?

  • @justinjimmy679
    @justinjimmy679 2 месяца назад +3

    Spika kapokea bahasha😂😂😂😂

  • @kingngojea
    @kingngojea 2 месяца назад +1

    Mupina mungu akulinde utapigwa vita sana maana umekua mkwer sana hutak kupindisha ukwer

  • @kimalinganomhelela8377
    @kimalinganomhelela8377 2 месяца назад +10

    Namsihi sana Spika kulichukulia jambo hili kwa tahadhari na umakini mkubwa.Kwa sababu namna yoyote itakayotafsiriwa kumpendelea Waziri wa Kilimo itakiharibia mno chama chetu CCM.

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 2 месяца назад +3

    Nina wasiwasi na bunge, kama mbunge katoa hoja na inaonekana wazi ina mashiko, hapa hakuna haja ya kutoa malalamiko waseme tu bunge lisiwepo.

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 месяца назад +3

    2025 hatumtaki huyu spika kabisa pina hayo yote kayasema yatakuja kusemwa baadae huyo ni afukasti ni lazima atetewe

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 2 месяца назад

    Msema kweli simpenzi wa binaadamu nimpenzi wa Mungu Mpina tunakuombea tupo nyuma yako chukua hiyo🎉🎉🎉🎉 kwa kuwa mpinzani

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 2 месяца назад +3

    Aliyajua ndo maana kapiga kanzu kwa maksudi wananchi wajue mbivu na mbichi kala hayajamgeukia

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 2 месяца назад +4

    Tanzania wamezoa uwizi hakuna Haki wamezoa kukamata madada poa

  • @iysser
    @iysser 2 месяца назад

    Hiyo Hadhi ya Bunge, ipo kimaandishi, lakini naona sio Katika Utekelezaji. . . Wananchi wasubiri kwa huo Muda wenu mtakao amua nyinyi kuthibitisha na kujiridhisha, Hivi Hamjui kuwa wananchi Mnao waongoza wapo kwenye Hali ngumu, kwa kupanda Bei bila Sababu za Msingi ???

  • @lazaroeliphas8353
    @lazaroeliphas8353 2 месяца назад +1

    Mungu akusaidie mpinaa

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 2 месяца назад +1

    Spika Yuko sahihi wananchi tujue utaratibu Wa bunge na sheria itasaidia

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад

      Ww kilaza kweli.bunge lenyewe ni haramu lililotokana na kuvunja katiba ya nchi kwa kuvuruga uchaguzi wa 2020.na hii ni sawa na uhaini.je wale wabunge 19 wa chadema waliopo bungeni .Taasisi yetu kama hii inaongozwa kihuni ni hatari.

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 2 месяца назад +1

    It is very dangerous to be right when your government is wrong

  • @EmanuelIsaya-sg8bk
    @EmanuelIsaya-sg8bk 2 месяца назад

    Hili bunge Lina heshima gani? Bunge limeshindwa kuisima.ia serikali na kuwatetea wananchi wamekua wakiangalia matumbo yao tu. Wapuuzi Sana.

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 2 месяца назад +1

    Hapa ndiyo naelewa Sasa Kwamba Sheria zimetungwa kutetea nani hasa hizi za hapa nchini

  • @barikigodson6295
    @barikigodson6295 2 месяца назад +1

    Pamoja na hayo yote je Mpina ushahidi alioutoa ni sahihi??mbona huelezei Spika??

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 2 месяца назад +3

    Mpina anaijua nchi yetu alicho kifanya anajua yatokayo tokea kwani ukigusa waziri kwenye masilai ya watu wakubwa unajinyonga mwenyewe mpina usichoke kuwa mkweri kwenye nchi yako ubunge ni majaliwa mungu atakupa ubunge mbinguni wewe kazania wanyonge wako pamoja nawe akuna mbunge anae mpigia kula mbunge mwingine jimboni wote wanawekwe na watu

  • @Benardkituka
    @Benardkituka 2 месяца назад

    Sheria bwana! Haya ameyafanya nje ya bunge,angemdharau akiwa ndani ya bunge sawa!! Hii yote nikutaka kumlinda waziri wa Kilimo,nakumzima mtetezi wawananchi,ila Mwenyezi Mungu yupo,Wananchi humo mjengoni tunawafahamu Wabunge wachapakazi na wapiga meza,Mpina piga kazi Wananchi wako tuko pamoja,hali ni mbaya eti!!

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 2 месяца назад +1

    Hili ndiyo Bunge la CCM unatakiwa kila kitu ndiyo

  • @user-sc8cg8iw7d
    @user-sc8cg8iw7d 2 месяца назад

    Mungu asimame na mpina

  • @pumarice2710
    @pumarice2710 2 месяца назад +1

    Ongea ukweli mpina ukweli humuweka mtu huru.

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 месяца назад +2

    Uhuru wa vyombo vya habari

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 2 месяца назад +2

    bunge ya chama kimoja

  • @geey7893
    @geey7893 2 месяца назад +2

    ANGECHANGISHA HELA ZA KUMCHUKULIA FORM SAMIA MNGEMHTAKI KUWA ANAFANYA RUSHWA? MBWA NYIE

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c 2 месяца назад +5

    Mngejikita kumjibu Mpina ndio hayo mengine yakafatia

  • @furahaleonard-iv9ey
    @furahaleonard-iv9ey 2 месяца назад +2

    Mawaziri wanasema uongo na hakuna kitu mnacho wafanya

  • @EzekielLaizer-hj3ri
    @EzekielLaizer-hj3ri 2 месяца назад

    Ccm tambueni mpo kwa dhamana na kuwatetea wanyonge c kuwatetea mafisadi

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 2 месяца назад +2

    Hasa kama kakusosea, lKwani hoja yake haina mashiko??

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Harafu bunge la.Tanzania si wote ni ndugu ni watanzania pendaneni jamani leteni.hoja.bila.hila.bila.chuki bila husuda wala wivu.jamani watanzania.tupendane

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i 2 месяца назад

    Mnao msifia mbunge Mpina
    Mnampoteza mnapenda kulaumu tu kwa sababu hamuipendi CCM lakini kiukweli mpina amekosea

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo 2 месяца назад +2

    Ko mnatudanganyaga kumbe si ndio.

  • @EzekielLaizer-hj3ri
    @EzekielLaizer-hj3ri 2 месяца назад

    Spika unatia aibu kwenye kiti chako nilidhani waziri ndio anawajibishwa mpina tenaaaa jamani

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 2 месяца назад

    Watanzania tumesimama na mpina mpina mungu akulinde simama katika kweli watanzania wamekwelewa

  • @tungarazalucas1478
    @tungarazalucas1478 2 месяца назад

    Reportya cag mbona mko wanyonge heshima mtapataje

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 2 месяца назад

    Bunge la mchongo, wabunge wengi wa mchongo kazi kupiga meza tu, spika wa mchongo, hii nchi ukisema ukwel lazima utafutwe na uchukuliwe hatua haram za katiba mbovu. Riport ya CAG hakuna aliechukuliwa hatua why? Kulindana n.k🙌
    Tutasimama na Mpina

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 2 месяца назад +1

    Mpina hoyeeeeee

  • @jacksonmars7894
    @jacksonmars7894 2 месяца назад

    Inawezekana aliona spika huwezì ukafanya maamzi yoyote japo Mpina alikosea kwenda kwa wana Habari

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 2 месяца назад +6

    Naona spika katoa maamuzi sahihi. Sijui Mpina alihofu nini asisubiri kwanza yeye ameamua kumwaga mchele hadharani. Ila nahisi kwa uzoefu wa mfumo wetu wa utawala amehofu uwezekano wa kulindana maana ameituhumu serekali ya ccm moja kwa moja ,na tuhuma zake zinaendana na hoja za Lisu kuhusu sukari. Sasa kwa chaguzi hizi zinazokuja,na sukari ni nyeti kwa kila mwananchi, inaweza kutumiwa kama hoja ya upinzani kutafuta kura.Nadhani Mpina anajua analofanya.Si bahati mbaya.

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 2 месяца назад

      Tulishaunda tume nyingi ktk taifa letu kinachofuata nikupoteza kelele ktk mfumo wa ccm hiyo lmeisha usalama wa taifa ni mfumo wa ccm mbunge ni WA ccm kamati ni ya ccm lnakamati kuu ni ya ccm mkubwa ktk ya mbunge na waziri nani mkubwa kwahiyo mpina ategemee aibu wataitwa wawili kwisha hiyo limeisha kwa ccm Hilo la mpina na huyo waziri wa viwanda tujenge mengine haya yashaundiwa kamati ya kupoteza muelekeo wa Hilo jambo la sukari oneeni mengine alisema msigwA big brain can't drive small brain that was msigwA word from Tanzania Palament during mix voice into Tanzania Palament before ccm leadership push all opposition outside of tanzanian palament so that ccm only can remain into palament house

    • @maxmaphie6097
      @maxmaphie6097 2 месяца назад

      Kitakula kwenu subirini tu! Jifunze Kwa Ndugai...Aliyeko hai alifanya Kila kitu kuonyesha umwamba wake Kwa wapinzani Leo Yuko wapi? Ni suala la muda tu

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 2 месяца назад

      Kwa Nini mnaishi kwa hofu, mashaka na kutojiamini?

    • @JumaAbdalla-xm9pb
      @JumaAbdalla-xm9pb 2 месяца назад

      Hii nchi haipo kwa ajili ya wananchi

    • @JumaAbdalla-xm9pb
      @JumaAbdalla-xm9pb 2 месяца назад

      Kama kawaida yao wabunge wao ni kupiga makofi tuu

  • @barikigodson6295
    @barikigodson6295 2 месяца назад

    Mpina anazidi kuwa shujaa mnapotaka kumpa adhabu tunataka kusikia alichokifanya ni sahihi au sio sahihi kwa vigezo vizuri vya sheria na sio kumpa adhabu bwana Luhaga

  • @user-sc8cg8iw7d
    @user-sc8cg8iw7d 2 месяца назад

    Mpina Hana kosa sie Wana nchi tunajua

  • @BrightnessYohana-ft8rr
    @BrightnessYohana-ft8rr 2 месяца назад

    Tulia , sisi wananchi ndo tuko field ,muacheni MPINA afanye kazi yake

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 2 месяца назад

    Document yeyote ikishs ingia bungeni inakuwa Mali uma (public document)mimi naamini mpina hajakosea yupo sahihi, na alifanya
    Hivyo kwanialijua ukwe utafichwa na Spika.. Mpina amekuwa mbuzi ya kafara

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry 2 месяца назад

    Mpina na mungu, spika na kamati yako mtachagua wa kumtumikia.

  • @user-hq5qx1hu2x
    @user-hq5qx1hu2x 2 месяца назад

    Inasemekana bunge linasimama kutetea maslahi ya mafisadi na sio wananchi.mfano report ya CAG kutochukulia hatua

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 2 месяца назад

    kuna tatizo gani nyaraka kuwekwa ili wananchi wazione ikiwa wabunge wanawakilisha wananchi?

  • @user-hq5qx1hu2x
    @user-hq5qx1hu2x 2 месяца назад

    Huo NI kweli wananchi tunasimama na mpina kiti cha spika kimegeuka kua mahakama

  • @isaacmwaseba9972
    @isaacmwaseba9972 2 месяца назад

    Kuna sehemu ya nchi hii ni wengi lakini ndio chanzo cha watu wanaofanya taifa lionekane la ovyo. Ndio mpina na wenzie. Yaani anapinga kushushwa kwa bei ya sukari.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 месяца назад +1

    Kazi kweli kweli

  • @alphoncekahayi8719
    @alphoncekahayi8719 2 месяца назад

    Wewe jibu hoja , je ushahidi wa Mpina ni wa kweli? Acheni kulindana

  • @saidmussongo1527
    @saidmussongo1527 2 месяца назад

    Hii ni kutetea upande wa Bashe. Hatutegemei mabadiliko

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 2 месяца назад

    Hapo mlilenga kuficha ukweli mpina kawaumbua

  • @rwezimulastephen3713
    @rwezimulastephen3713 2 месяца назад +1

    Mpina hukujua hayo kuwa ni makosa kuzungumzia taarifa uliyowakilisha bungeni hukutakiwa kuzungumzia?

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 2 месяца назад

    Kwani serikali hailikosei bunge kwa kutochukulia hatua mawaziri wanaotajwa na CAG, tuseme ni mpina tu aliyekosea bunge? Mbona umewapongeza serikali tu kwa kubaki speechless kwa sababu wamepigwa penyewe? Mbona sisi wananchi hutupongezi kwa kuvumilia tozo, uporaji wa serikali kwa ardhi ya wananchi, kufukuzwa kwa wamasai na ninyi wasemaji wetu mkiwa mmenyamaa?

  • @benjaminpaul9578
    @benjaminpaul9578 2 месяца назад

    Hata Sasa Bado hujakubali tu basi chunguzen ikiwa mbona ushahidi Bashe afanyweje? Kama mpina Yuko na ukweli asipewe adhabu yoyote

  • @Mosmwampa
    @Mosmwampa 2 месяца назад

    Heshima ya spika na wizi anaojaribu kuifichua Mpina lipi ni kubwa kwa maslah ya nchi? Hapo mwiz analindwa, ila alieona mwizi na kupiga kelele ndo kageuka kuwa mtuhumiwa

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 2 месяца назад

    Hahahha😂😂😂wabunge wetu bhana
    N kupiga makofi tu

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n 2 месяца назад

    Haufai kuwa spika lini sukari ilifikia 10,000? Acheni uhaya wani

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 2 месяца назад +1

    Tulia usipokuwa makini na hili swala heshima yako itashuka,ukweli ni kwamba hakuna mtanzania asiyejua kuwa mawaziri na viongozi wa serikali ni wezi wa pesa za umma,mpina ni mzalendo,natamani Mungu amfufue jpm huu ujinga usingekuwepo

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 2 месяца назад +3

    Hili ni zao la katiba ya kijinga ya kupasiana vyeo
    Huyu speaker wa mchongo tuamndamane aondoke bungeni.

  • @oskamsafiri2814
    @oskamsafiri2814 2 месяца назад

    Linchi hili ccm mnateteana wizi. Mpina yupo sahihi. Ccm mmechoka mtoke madarakani. Mmeshindwa kulipa hadi mafao yetu

  • @kasumunigwasa
    @kasumunigwasa 2 месяца назад

    Mpina kasema kweli lakini kakosea taratibu za Bunge lakini nahisi amefanya hivyo ili Wananchi wajue n'a kwa mtazamo wangu hizi sheria za Bunge zumetungwa kuwalinda mafisadi Ili wasijulikane

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926 2 месяца назад

    Huyu mpina angeshika nchi ingenyoooka

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 месяца назад

    SIONI KICHWA CHA KUFANANISWA NA MIPINA.

  • @saidpazi531
    @saidpazi531 2 месяца назад

    HIVI KUNA USIRI GANI KATI YA SS WANANCHI KUZIJUA NYARAKA ZA BUNGE NI KOSO KWELI.

  • @SimuliziZaOscar
    @SimuliziZaOscar 2 месяца назад

    Kwahiyo transparency hakuna tena

  • @tumainmkonyi8459
    @tumainmkonyi8459 2 месяца назад

    Bashe nimchapa kazi mpina hapo umechemka

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 2 месяца назад

    Bunge lilishakwisha hadhi siku nyingi tu.Msimuonee Mpina

  • @user-rz4rr9ow8i
    @user-rz4rr9ow8i 2 месяца назад

    Kwan walichaguliwa na sisi hao hata hatuwatambui

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 2 месяца назад

    Hamtoboi mpina anuzika popote.twende kwa data.