MPINA AKASIRIKA! AMVAA SPIKA TULIA BILA WOGA - ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE na MWIGULU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • MPINA AKASIRIKA! AMVAA SPIKA TULIA BILA WOGA - ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE na MWIGULU
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 93

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama 3 месяца назад +4

    Ww uko sahihi wamekuonea wananchi tupo pamoja kwamaelezo yako ww ukweli umeuweka wazi walikuwa hawataki wananchi tujue huo ufisadi uliyofanyika kwenye sukari

  • @DavidMeshack-c6s
    @DavidMeshack-c6s 3 месяца назад +3

    Ccm majambazi tu, Mimi Sina chama chama changu kilikuwa ni magufuli tu basi. Mtetezi wetu alituacha wengine wanateteana huko huko juu. Nasema ukweli ipo siku makonda atakuwa Raisi wa nchi hii, tumeona mungu anamtumia yule kaka, natamani kabla hajawa Rais aje auongoze mkoa wa mbeya tunamtamani sana huyo mwamba

  • @LeonardmatiasWiliamu
    @LeonardmatiasWiliamu 2 месяца назад

    Tuko pamoj.mpina.namimi.niko.siciem.kwahiro.hapana.razima.tufanye.msbadriko.ya.kura

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 3 месяца назад +2

    The. Only Mp anayeweza kusimamia achokielewa bila uchawa

  • @dottomanyesha9692
    @dottomanyesha9692 2 месяца назад

    Viongozi vigogo wa bunge wanapitisha miswada, wanaangalia wananufaika je na mambo ya ovyo na ubadhirifu yanayofanya waziri. Kwa mfano, kampuni ya stationery na waziri kuuza chakula ipewe kibali cha kuingiza tani elfu 60 , hapo ni utakatishaji wa pesa
    Bunge letu mbadilike isiwe kika kitu Ndiyooop !

  • @Merry99Mabugu
    @Merry99Mabugu 2 месяца назад

    Kimeumana na bado hajasema mpakà 20025 itakua imeiva 😅😅😅

  • @jumakizija829
    @jumakizija829 3 месяца назад

    Kinachoonekana kwa Mpina ni kukosea approach. Anamwaga sn mchele.

  • @fanuellingson
    @fanuellingson 3 месяца назад +3

    Hoja hujibiwa kwa hoja waje na hoja pia

  • @HEMEDFURAHISHA
    @HEMEDFURAHISHA 3 месяца назад

    kaaen myamalize kwan bunge ndio mhimili Wanch natunategemea maendeleo mkubwa yatokane namhimili

  • @abubakarizakaria6041
    @abubakarizakaria6041 3 месяца назад

    Itabid tue mfano kama Kenya hinizarau kubwa sana kuka namajambazi

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw 2 месяца назад

    Piga za kichwa wamekuonea sana box la kura litawajibisha hao usijali

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 2 месяца назад

    Kama wewe umeebuwa na dudu na umeonekana kuwa umesemakweli alindwe alofanya hata spika atakuwa ni mkosa kipande wako

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 3 месяца назад +3

    Kuna upigaj mkubwa sana upande wa wazir kilimo napia wazir wa fedha naye yupo anatufanyia mambo ya kutuumiza wananchi Sasa ruhaga mpina kumfungia vikao kumi na Tano nikuona ameongelea upigaj nakuona watanzania wanyonge watajua kua serkali ilioko inawapigaji watanzania tumkumbke magufur aliwaambia watz kua ccm imejaza majizi Leo ndo haya

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 месяца назад

      Mtanzania mnyonge ni wewe peke yako sisi wengine sio wanyonge. Spika yupo sahihi na hakutoa maamuzi Bali amesimamia Sheria. Sheria za Bunge ndiyo zimemhukumu Mpina

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 месяца назад

      Mh. Mpina unazidi kupotea!!! Unasema hukusikilizwa wakati kamati imekuita na kukuhoji!! Usiudanganye umma ndugu yangu.

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 месяца назад

      Kwahiyo hapa unamshitaki Mh. Spika kwa Nani?

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 месяца назад

      Hoja zako mheshimiwa Ni dhaifu Sana! Unasema wabunge hawajaandaliwa kuchangia hoja yako wakati wabunge walichangia Tena kwa kina kabisa!! Ungekaa kimya ingekua umechukua uamuzi wa Busara Sana Mh.

  • @JosephatLusambo
    @JosephatLusambo 3 месяца назад

    Jeshi la mtu mmoja
    Sipika na kundi lake la kubebana

  • @dottomanyesha9692
    @dottomanyesha9692 2 месяца назад

    AChana nao Mhe. Mpina, mambo ya nchi hii saana, maana viongozi wa nchi hii ni wanaangalia mafumbo yao na maslahi ya watoto wao ba familia zao tu

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 2 месяца назад

    nauliza wabunge tunaenda wapi wazawa wenyeji atukuletwa kwa meli Wala treni wabunge ambao sura yao aiambatani na sura alisi ya Tanganyika tutawatoa mamlakani wakina Bashe na wengineo wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 2 месяца назад

    Tulikupeleka uingereza masomo hii ni halali

  • @DannyWiston-xo4hx
    @DannyWiston-xo4hx 3 месяца назад +1

    ila mpina umekua na speed kubwa Sana, you had to relux

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад +1

    bx kama Ndio Bashe Hali peke yake Naspika yumo Nawabunge baaazi ila tulia mpina acha wapigaji wapge ila ipo siku wata kukumbuka

  • @josephkamatha407
    @josephkamatha407 3 месяца назад +2

    Bashe ana kitu anaficha

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 3 месяца назад +2

    Nahisi kuna jambo kubwa sana naona kwenye Sukari hakika iundwe kamati.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 месяца назад

    BASHE UNALINDWA NA TULIA KWA UFISADI WAKO

  • @MussaPailya
    @MussaPailya 3 месяца назад +3

    Punguza kauli zako mpina Huseni bashe yuko sahihi naona unatafuta comment mtandaon

    • @AthumanDauda
      @AthumanDauda 3 месяца назад +1

      Majiz aliowasema magufur kua niwapiga dili hususan ktk ccm chama tawara je kwann kamati ilikuja namaon ya sipika sio maoni na maamuzi ya kamati

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 3 месяца назад +1

      Mimi naona ww hufuatilii bunge linavyoendelea kwa sasa bado wanaongelea sukari kwa huyo huyo Mh Bashe
      Uwe unasikiliza vizuri kwenye bunge LIVE please

    • @celinamosha9420
      @celinamosha9420 3 месяца назад

      Kwendryaaaaa

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 3 месяца назад

      Boys wewe, hata hujielewi.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 3 месяца назад

      Chawa pori wewe

  • @ahmesaofficial9611
    @ahmesaofficial9611 2 месяца назад +1

    😢

  • @DannyWiston-xo4hx
    @DannyWiston-xo4hx 3 месяца назад +1

    Huwez, kuwa chawa maisha yako, mimi ni ccm ila we need to change

  • @DavidMeshack-c6s
    @DavidMeshack-c6s 3 месяца назад +1

    Mheshimiwa wewe ni jembe pamoja na kuwa upo chama cha majambazi, Selikali yetu ilitakiwa kuwa na viongozi wafuatao: p makonda, mpina mwenyewe, tundu lisu, John heche, Mzee majaliwa, msukuma, sugu, na wengine ambao nitawasema baadaye. Waache watutese vichinjio tunavyo

  • @kaponasalum3648
    @kaponasalum3648 2 месяца назад +1

    Soma vipengele vyote, Mimi bado hujaniwashawishi, hebu fichua kwanza maovu yako wakati ukiwa Waziri wa Mali Asili na Utalii.

  • @sadikingonyani8124
    @sadikingonyani8124 3 месяца назад +2

    Kwa nini nayo malalamiko hukuyafanya BUNGENI? Unatafuta umaarufu wa KISIASA wananchi

    • @hassanbigilenyema6178
      @hassanbigilenyema6178 3 месяца назад +1

      unachekesha kwan ulikuwa haufuatilii kinachoenedelea bungeni, siyo lazima ucomment ndugu,

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 3 месяца назад

      Du! bado tu.

    • @AthumanDauda
      @AthumanDauda 3 месяца назад +1

      Kwan mpk anafukuzwa bungen ukujua tatizo nchii inawajinga weng

    • @rajabumtuga7372
      @rajabumtuga7372 3 месяца назад

      Hakupewa nafas ya kujieleza bingeni. Hata aliyo elez kweny kamat hayajazungumziw bungen

    • @josephkamatha407
      @josephkamatha407 3 месяца назад

      Hakupewa nafasi ya kutetea ushahidi wake

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 3 месяца назад

    Kwahiyo wa tz tulivyokuwa tunateseka na sukari wewe mpina ulikua unafaidika?Bashe amechukua hatua za dharula wananchi tupate sukari.Hivyo viwanda vinatutesa na bei zao za sukari ni kubwa.

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 3 месяца назад

    Wew upo sahihi ungeAmia chadema Tuu

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz 3 месяца назад +1

    Hasira yote hiyo niakukosa Posho,, posho ya vikao 15 simchezo😅😅😅😅😅😅

    • @rajabumtuga7372
      @rajabumtuga7372 3 месяца назад

      Toa uthibitisho wa hilo unalo ongea kama alivotoa uthibitisho mh. Mpina hapo.

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 3 месяца назад

      Posho la nini mtu anajitoa kututetea Sisi mana Sukari bado bei ipo juu

    • @RaisingPeoplesDestiny
      @RaisingPeoplesDestiny 3 месяца назад +1

      Watu wengine bhana unafikiri mpina ana njaa kama za kwako..

    • @fabby1181
      @fabby1181 3 месяца назад

      mamamako

    • @NuruJuma-zv3yz
      @NuruJuma-zv3yz 3 месяца назад

      @@fabby1181 woote sisi chanzo chetu ni baba, halafu hapomahali unapopatukana, ndio tumepita wote,

  • @DannyWiston-xo4hx
    @DannyWiston-xo4hx 3 месяца назад

    Hakuna msukuma fala

  • @FriddaUrasa
    @FriddaUrasa 3 месяца назад

    Mbinu 161 ,tunajipanga 2025,wanajuana

  • @benjaminphelecian7621
    @benjaminphelecian7621 3 месяца назад

    Mpina yuko sahihi mungu yupo na wew

  • @SimbabweSaid
    @SimbabweSaid 3 месяца назад

    Wewe spika na wezi wenzako mafisadi mnamuonea mpina mnatuletea ushenzi wa awamu ya nne msifikiri sisi ni wapumbavu ndio maana hamumzungumzi vizuri john magufuli mwisho wenu unakuja hongera mpina tupo na wewe huyo bashe na wanaomuuga mkono wote nimafisadi mlaaniwe

  • @DannyWiston-xo4hx
    @DannyWiston-xo4hx 3 месяца назад

    Kuna watu nliwaambia kajala alipoludiana na harmo,ilikua ni mipango na hakuna mskuma fala, nadhani kwa wenye akiri wamejua namanisha nin

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 месяца назад

    Nenda chadema mbadirishane

  • @DannyWiston-xo4hx
    @DannyWiston-xo4hx 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni the best one

  • @umlaith5202
    @umlaith5202 3 месяца назад

    Huyo Anania kutoka CCM

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 месяца назад

    Huu ni mgogoro mkubwa

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 3 месяца назад

    Sawa Sawa baba mpina hao mawaziri wezi tu

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 3 месяца назад

    Duh huyu jamaa ni kichwa. Halafu wasukuma siyo mafala

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 3 месяца назад

      Nashangaa huyu Fala ni msukuma wa aina gani.

  • @maryhando227
    @maryhando227 3 месяца назад

    Safi sana, Mungu upo.

  • @abubakarizakaria6041
    @abubakarizakaria6041 3 месяца назад

    Upo sawa mpina

  • @DaudMabumba
    @DaudMabumba 3 месяца назад

    Mungu akutangulie

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed 3 месяца назад

    Du

  • @DeusdeditMichael
    @DeusdeditMichael 3 месяца назад

    MPINA ANATETEA VIWANDA LAKINI WAZIRI BASHE ANATETEA WANANCHI.
    PIMENI WENYEWE ANAYETUFAA.

    • @gabrielnjiapanda3710
      @gabrielnjiapanda3710 3 месяца назад

      Huwezi kutetea wananchi kwa kuvunja sheria ya nchi.

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael 3 месяца назад +1

      @@gabrielnjiapanda3710 SHERIA KANDAMIZI HIYO INAYOWAPA WENYE VIWANDA KUAGIZA SUKARI NA KUZALISHA SUKARI.
      WANANCHI TUNATAKA SUKARI BEI CHINI NA SIYO SHERIA.

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 3 месяца назад

      ​@@DeusdeditMichaelhata mataputapu ije tu!!!

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 3 месяца назад

      Kuvunjwa kwa Sheria Ni vijiashiri vya matumizi ya rushwa na hujuma didhi ya wananchi, mweshimiwa mpina uko sasahihi.

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael 3 месяца назад

      @@erestizacharia4758 RUSHWA NI KUMPA MZALISHAJI WA SUKARI KUAGIZA SUKARI BADALA YA KUZALISHA.
      NA HATA WALIPOTAKIWA KUAGIZA SUKARI HAO WENYE VIWANDA HAWAKUAGIZA HADI SUKARI IKAADIMIKA.
      WANANCHI TUNATAKA UAGIZAJI SUKARI UWE BIASHARA HURIA, KILA MWENYE UWEZO WA KUAGIZA AAGIZE ILI BIDHAA IJAE SOKONI.
      HAO WENYE VIWANDA WAMESABABISHA WATU KUNYWA UJI WA CHIMVI, ETI SHERIA!!!

  • @remmymmewa307
    @remmymmewa307 3 месяца назад

    💪💪🖐️

  • @DannyWiston-xo4hx
    @DannyWiston-xo4hx 3 месяца назад

    Huyu jamaa maneno yake yataishi! Tulia nampenda sana ila kwa mpina amenikosea sana

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally 3 месяца назад

    Kapimwe akili wewe huna lolote hara mwalimu wako mgeja amekukataa