MPINA AKASIRIKA! AMVAA SPIKA TULIA BILA WOGA - ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE na MWIGULU
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- MPINA AKASIRIKA! AMVAA SPIKA TULIA BILA WOGA - ATANGAZA KUMBURUZA MAHAKAMANI WAZIRI BASHE na MWIGULU
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Ww uko sahihi wamekuonea wananchi tupo pamoja kwamaelezo yako ww ukweli umeuweka wazi walikuwa hawataki wananchi tujue huo ufisadi uliyofanyika kwenye sukari
Ccm majambazi tu, Mimi Sina chama chama changu kilikuwa ni magufuli tu basi. Mtetezi wetu alituacha wengine wanateteana huko huko juu. Nasema ukweli ipo siku makonda atakuwa Raisi wa nchi hii, tumeona mungu anamtumia yule kaka, natamani kabla hajawa Rais aje auongoze mkoa wa mbeya tunamtamani sana huyo mwamba
Tuko pamoj.mpina.namimi.niko.siciem.kwahiro.hapana.razima.tufanye.msbadriko.ya.kura
The. Only Mp anayeweza kusimamia achokielewa bila uchawa
Viongozi vigogo wa bunge wanapitisha miswada, wanaangalia wananufaika je na mambo ya ovyo na ubadhirifu yanayofanya waziri. Kwa mfano, kampuni ya stationery na waziri kuuza chakula ipewe kibali cha kuingiza tani elfu 60 , hapo ni utakatishaji wa pesa
Bunge letu mbadilike isiwe kika kitu Ndiyooop !
Kimeumana na bado hajasema mpakà 20025 itakua imeiva 😅😅😅
Kinachoonekana kwa Mpina ni kukosea approach. Anamwaga sn mchele.
Hoja hujibiwa kwa hoja waje na hoja pia
kaaen myamalize kwan bunge ndio mhimili Wanch natunategemea maendeleo mkubwa yatokane namhimili
Itabid tue mfano kama Kenya hinizarau kubwa sana kuka namajambazi
Piga za kichwa wamekuonea sana box la kura litawajibisha hao usijali
Kama wewe umeebuwa na dudu na umeonekana kuwa umesemakweli alindwe alofanya hata spika atakuwa ni mkosa kipande wako
Kuna upigaj mkubwa sana upande wa wazir kilimo napia wazir wa fedha naye yupo anatufanyia mambo ya kutuumiza wananchi Sasa ruhaga mpina kumfungia vikao kumi na Tano nikuona ameongelea upigaj nakuona watanzania wanyonge watajua kua serkali ilioko inawapigaji watanzania tumkumbke magufur aliwaambia watz kua ccm imejaza majizi Leo ndo haya
Mtanzania mnyonge ni wewe peke yako sisi wengine sio wanyonge. Spika yupo sahihi na hakutoa maamuzi Bali amesimamia Sheria. Sheria za Bunge ndiyo zimemhukumu Mpina
Mh. Mpina unazidi kupotea!!! Unasema hukusikilizwa wakati kamati imekuita na kukuhoji!! Usiudanganye umma ndugu yangu.
Kwahiyo hapa unamshitaki Mh. Spika kwa Nani?
Hoja zako mheshimiwa Ni dhaifu Sana! Unasema wabunge hawajaandaliwa kuchangia hoja yako wakati wabunge walichangia Tena kwa kina kabisa!! Ungekaa kimya ingekua umechukua uamuzi wa Busara Sana Mh.
Jeshi la mtu mmoja
Sipika na kundi lake la kubebana
AChana nao Mhe. Mpina, mambo ya nchi hii saana, maana viongozi wa nchi hii ni wanaangalia mafumbo yao na maslahi ya watoto wao ba familia zao tu
nauliza wabunge tunaenda wapi wazawa wenyeji atukuletwa kwa meli Wala treni wabunge ambao sura yao aiambatani na sura alisi ya Tanganyika tutawatoa mamlakani wakina Bashe na wengineo wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa
Tulikupeleka uingereza masomo hii ni halali
ila mpina umekua na speed kubwa Sana, you had to relux
bx kama Ndio Bashe Hali peke yake Naspika yumo Nawabunge baaazi ila tulia mpina acha wapigaji wapge ila ipo siku wata kukumbuka
Bashe ana kitu anaficha
Nahisi kuna jambo kubwa sana naona kwenye Sukari hakika iundwe kamati.
BASHE UNALINDWA NA TULIA KWA UFISADI WAKO
Punguza kauli zako mpina Huseni bashe yuko sahihi naona unatafuta comment mtandaon
Majiz aliowasema magufur kua niwapiga dili hususan ktk ccm chama tawara je kwann kamati ilikuja namaon ya sipika sio maoni na maamuzi ya kamati
Mimi naona ww hufuatilii bunge linavyoendelea kwa sasa bado wanaongelea sukari kwa huyo huyo Mh Bashe
Uwe unasikiliza vizuri kwenye bunge LIVE please
Kwendryaaaaa
Boys wewe, hata hujielewi.
Chawa pori wewe
😢
Huwez, kuwa chawa maisha yako, mimi ni ccm ila we need to change
Mheshimiwa wewe ni jembe pamoja na kuwa upo chama cha majambazi, Selikali yetu ilitakiwa kuwa na viongozi wafuatao: p makonda, mpina mwenyewe, tundu lisu, John heche, Mzee majaliwa, msukuma, sugu, na wengine ambao nitawasema baadaye. Waache watutese vichinjio tunavyo
Umemsahau "Taratibu"
Jembe limekulima wapi?hebu vaa nguo Acha tabia hiyo
Na Ibrahim Traore!!!
Soma vipengele vyote, Mimi bado hujaniwashawishi, hebu fichua kwanza maovu yako wakati ukiwa Waziri wa Mali Asili na Utalii.
Kwa nini nayo malalamiko hukuyafanya BUNGENI? Unatafuta umaarufu wa KISIASA wananchi
unachekesha kwan ulikuwa haufuatilii kinachoenedelea bungeni, siyo lazima ucomment ndugu,
Du! bado tu.
Kwan mpk anafukuzwa bungen ukujua tatizo nchii inawajinga weng
Hakupewa nafas ya kujieleza bingeni. Hata aliyo elez kweny kamat hayajazungumziw bungen
Hakupewa nafasi ya kutetea ushahidi wake
Kwahiyo wa tz tulivyokuwa tunateseka na sukari wewe mpina ulikua unafaidika?Bashe amechukua hatua za dharula wananchi tupate sukari.Hivyo viwanda vinatutesa na bei zao za sukari ni kubwa.
Wew upo sahihi ungeAmia chadema Tuu
Hasira yote hiyo niakukosa Posho,, posho ya vikao 15 simchezo😅😅😅😅😅😅
Toa uthibitisho wa hilo unalo ongea kama alivotoa uthibitisho mh. Mpina hapo.
Posho la nini mtu anajitoa kututetea Sisi mana Sukari bado bei ipo juu
Watu wengine bhana unafikiri mpina ana njaa kama za kwako..
mamamako
@@fabby1181 woote sisi chanzo chetu ni baba, halafu hapomahali unapopatukana, ndio tumepita wote,
Hakuna msukuma fala
Mbinu 161 ,tunajipanga 2025,wanajuana
Mpina yuko sahihi mungu yupo na wew
Wewe spika na wezi wenzako mafisadi mnamuonea mpina mnatuletea ushenzi wa awamu ya nne msifikiri sisi ni wapumbavu ndio maana hamumzungumzi vizuri john magufuli mwisho wenu unakuja hongera mpina tupo na wewe huyo bashe na wanaomuuga mkono wote nimafisadi mlaaniwe
Ni uwajibikaji wa Pamoja!!
Kuna watu nliwaambia kajala alipoludiana na harmo,ilikua ni mipango na hakuna mskuma fala, nadhani kwa wenye akiri wamejua namanisha nin
Akiri😂😂😂
Nenda chadema mbadirishane
Huyu jamaa ni the best one
Huyo Anania kutoka CCM
Huu ni mgogoro mkubwa
Sawa Sawa baba mpina hao mawaziri wezi tu
Duh huyu jamaa ni kichwa. Halafu wasukuma siyo mafala
Nashangaa huyu Fala ni msukuma wa aina gani.
Safi sana, Mungu upo.
Upo sawa mpina
Mungu akutangulie
Du
MPINA ANATETEA VIWANDA LAKINI WAZIRI BASHE ANATETEA WANANCHI.
PIMENI WENYEWE ANAYETUFAA.
Huwezi kutetea wananchi kwa kuvunja sheria ya nchi.
@@gabrielnjiapanda3710 SHERIA KANDAMIZI HIYO INAYOWAPA WENYE VIWANDA KUAGIZA SUKARI NA KUZALISHA SUKARI.
WANANCHI TUNATAKA SUKARI BEI CHINI NA SIYO SHERIA.
@@DeusdeditMichaelhata mataputapu ije tu!!!
Kuvunjwa kwa Sheria Ni vijiashiri vya matumizi ya rushwa na hujuma didhi ya wananchi, mweshimiwa mpina uko sasahihi.
@@erestizacharia4758 RUSHWA NI KUMPA MZALISHAJI WA SUKARI KUAGIZA SUKARI BADALA YA KUZALISHA.
NA HATA WALIPOTAKIWA KUAGIZA SUKARI HAO WENYE VIWANDA HAWAKUAGIZA HADI SUKARI IKAADIMIKA.
WANANCHI TUNATAKA UAGIZAJI SUKARI UWE BIASHARA HURIA, KILA MWENYE UWEZO WA KUAGIZA AAGIZE ILI BIDHAA IJAE SOKONI.
HAO WENYE VIWANDA WAMESABABISHA WATU KUNYWA UJI WA CHIMVI, ETI SHERIA!!!
💪💪🖐️
Huyu jamaa maneno yake yataishi! Tulia nampenda sana ila kwa mpina amenikosea sana
Kapimwe akili wewe huna lolote hara mwalimu wako mgeja amekukataa