Billnass X Meja Kunta - Huna Baya [Official Video]
HTML-код
- Опубликовано: 20 апр 2020
- #Billnass #MejaKunta #HunaBaya
(C) Nenga
Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/billnass
Written & Performed by Billnass & Meja Kunta
For Booking : billnass16@gmail.com
- Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
Follow Billnass on:
/ billnass
/ bill_nass
. BillnassTZ
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
African Sound "Huna Baya" Official Music Video by Billnass X Meja Kunta Видеоклипы
Billnass na singeli..sikutarajia hii.. MUCH LOVE FROM KENYA
Kama umesikia morrison
Gonga link🙏🙏
Meja Kunta nafikiri ndiye mwimbaji wa Singeli aliyeweza kukuna mtima wangu!
Nampenda sana Mejakunta namuona mbaliiii...
Hatareeee🔥🔥🔥🔥🔥 meja unazidi kupaa babaakeee💃💃💃 saw Shem wetu kwa kivuruge nandy akeee👌👌👌 likes wapiiiiiii🔥🔥🔥🔥😘😘
Kuhusu bilnass sina tatizo na ww mkuu ila meja humu umeua sana
Meja ubunifu 10% katika 100% kila siku anarudia rudia nyimbo na melody tu
Japo ni nyimbo zake ila anazingua anatakiwa ajitambue kutoa vitu vizuri akiwa kama msanii
Bilizi hii, umezingua baba we ungechana tu humu meja amefunika humu, ungechana ingependeza sana, au mnaonaje jaman
wapi like kwa billinaas na meja kunta kitu kimetaradadi kinyama👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
NILIFANYA MAPEZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI SEHEMU YA 12
ruclips.net/video/1rF3x6lETMs/видео.html
USISAHAU SUBSCRIBE LIKE COMMENT NA SHARE
Singeli kimataifa zaidi
Kama unakulibana na mimi Weka like apa twende sawa
Meja unaweza sanaa nyimbo angekuachia umarizie wewe tu
Meja Unajua Sana Mwanetu
Hii ngoma umeua yaan umemtia nenga kwenye kidosho
Shida na dhiki 😘😍😘 napenda pale unapomwaga radhi ....utaumia mikono kwa kumwaga radhi ....unabaya
Washkaji zangu wa Kenya lete likes kwa billnass
Safi nenga na msanii wangu was singeli meja kunta ngoma imetulia ni yeyeyeeee
Akhaaa kwa wimbo kanipa raha mim jaman😊
Tuliomjua meja kunta baada ya kiki dondosheni liker hapa
nenga nakuelewa sana🔥🔥🔥🇨🇦🍁 fei toto master wa mpira from home ZANZIBAR❤️🔥🔥🔥💪
Oya unafagilia kingeli ngeli uongo😃😃😃
@@abrizoaziz7655 yeah hahaha
Meja umeiwezea hii Ngoma💯💯💯💯💯💯
Harmonize wewe nikipaji umetujulisha mziki wa singeli ni wetu sote wewe na Pro jay
jamani i am a big fan of Nenga naombeni likes zenu basi dah☄️☄️☄️
Billinandy big up broo wapi Kenyans🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Here 🤚
Katishaaaaaa
🙌🏼🙌🏼
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✋✋✋
Bwana bwana #Nenga kama #Nenga huwa hajawahi kukosea.
Unajishauwa nn wakati bado unalal seblen💥💥💥💥
Hii ngoma inaweza kuipoteza CORONA 😢 TIBA tosha. Kuma mamake
ruclips.net/video/2XmepsWj5_E/видео.html
Watch my latest upload and rate it out of 1⃣0⃣😋
Meja kiboko weuweeeeeee 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Meja you killed it
Ngoma Kali kinowmaaaah meja kunta naskia kama vionjo vya wanga wabaya
Safi sana🤟
Kama umependa hii song gonga like hapa👍
Upo vizuri sanh nandy na hao jmaa wa beba jeneza duhh
Meja wafanya kazi njema ndugu
Shemejiii umeuwa umu so poa...meja mwanangu we mkali utoi jasho
Shabiki wa yanga piga kelele🔥🔥
Ambao wanawaza ngoma ya kuingilia kwenye haruc zao na wakaletewa huna bana piga keleeeee
Ngoma Kali Hapa Billnass Kaonyesha Mashabiki Uwezo Na Kipaji Kikubwa Alichonacho Sio Kwamba Ana Rap Tu Hata Singeli Anaweza Fanya! #HunaBaya
Wanangu eeeeeeee mieee like mbili tuuu nikalale cna tamaaaaaaaaa
Mdogo mdogo mpaka singeli ifiki kimataifa gonga like tuifikishe
credit to harmonize
ruclips.net/video/xkdbqiN_VNs/видео.html
Subscribe..
Baba nandy Hana baya hapa
😊😊😎👌👌Sema na hao wajuba wakibongo wametisha sana🤣🤣🤣🤣🤣.... Ni yeyeyeeeeee ee 🤸meja uje uniazime kapensi kako nna shida nako 🏃🏃🏃🏃
Uyu meja alifanya lamaana kufa me sikuwaga namjua ila katisha
Nimekuja hapa coz billnas u support harmonize sometym am ur fan now frm🇰🇪🇰🇪
welcome TANZANIAN
Yule mdada aliyejishika tako aisee😍
Noma sana kama unawakubali mikono juu
meja umeanza kuzingua unarudia mistari ya kwny nyimbo yako ya marioo umeweka umu kuwa na vitu tofauti tuendelee kusapoti mzki wako
Nenga is one of my very best artist💗💗💗💗
Meja king of singeli🔥🔥🔥
Meja kunta hatarii fire kaua bilnas humu siyo kwako
Uyu meja kunta kipaji anacho🔥🔥🔥
Ngoma kalii 💕💕💕
Mwenzenu sauti tu yq meja kunta nipo hoi🔥🔥🔥🔥🔥
Like zao jamn🔥🔥🔥
Kweli kabisaa Mzee baba
NILIFANYA MAPEZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI SEHEMU YA 12
ruclips.net/video/1rF3x6lETMs/видео.html
USISAHAU SUBSCRIBE LIKE COMMENT NA SHARE
Chafu chukm
hanatix
@@mmbkizito854 *haya ndio mambo matano mhimu unayopaswa kuyajua kwenye maisha yako ya kila siku* .
ruclips.net/video/ktFMVOUwhVc/видео.html
*SUBSCRIBE LIKE NA SHARE*
Noma sanaa
Marehemuuuu woooozaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tatizooo iloo🔥🔥
Morrisonnnnnn
Nanusu
Bill nenga hoyeee hatar fire
Iko poa sana jamani nimeipenda bureeeeee
Ila niwaogop hao majamaaaa🏃🏃🏃
Neeeeeeengaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥😎
Kama unaamini Meja na billnas wameisanitaizi singeli gonga like
Twende namba 1 kwenye trendi.
Billnas noma kabisa tunakubali kutoka kila kona
Naombeni like zen kwa billnass (chikuma)
Much love from Kenya billnass... this is definitely a hit
Tuko hapa juu yako shemeji wa taifa la Kenya na Tanzania #billnass
Meja mbona hunavuta pumzi kwa nguvu. Fanya sana mazoezi ya pumzi
Noma meja fell ranked ♨️♨️
TUJUWANE WA BILLNASS GONGA LIKE
Billnass ❤️❤️❤️
@@rukiamsomi6869 mamb
@@jamiladugiro7400 Poa nambie my
Mzr
pgam sana
Nyimbo nzuli sema munaalibu na Hawa wanawake wanaocheza nyimbo hizi wanaume ndio wanacheza vizuli
Balaa🔥🔥
dooh peace imetulia aseee
Huna baya ngoma ya wiki🔥
Nengaaaaaaaaaaaaaa
Team nenga wacha like hapa
Stay home well with this Billnandies song😂😂
NILIFANYA MAPEZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI SEHEMU YA 12
ruclips.net/video/1rF3x6lETMs/видео.html
USISAHAU SUBSCRIBE LIKE COMMENT NA SHARE
Hatari nbb
Ooooyoooo Bilnangaaaaaaaaa
Nenga kumbe mtuhatar kwnye singer
Ngoma Kalii, Meja Kunta umeuwaa Mze Baba 🔥🔥🔥🙌 BILLNANDY
Jamaniiii #like kwa #Mamu na #Nandy zidondoshwe hapo chini
Bonge LA ngomaaa BG up sn meja
Kubwa kaka zangu napenda Sanaa🎶🎙️
Bilnass&Meja👌imekaa poa sana😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍😙😙😙
Kama una mkubali Billnass kwa mara nyingine ebu gonga like hapa
Sana tu anajua
Hii ngoma kali sana
@@iddymbaga5399 bababa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥huna baya
Wapi like za Wakulungwa wazee wa majeneza😂😂😂😂🔥🔥🔥
Jamani sijawahi pataga like kwa Bilnass
bilnas hajaelekea kuimba singel so fani yko baki kule kule bro
Mwaka huu singelii watauwanaa
Mi wanangu naomba like za wabeba majeneza.... Maana wanatukumbusha tutakufa siku moja, Hivyo inabidi tuishi vzr
Oy oy nipo Zimbabwe huku huku pia linasoma hili goma like zenu jamani hata 10 tu
Ndeip
Mamb n moto woyoooooo kelel tat kwa bill akeeeee Shem wetuuuuuuuuuuuuu #stayathome
Like kwa marehemu meja kunta
Hajafa meja...n hizi kiki zao za kisenge
Bitch 👎👎👎
Fankuro😏
Billnass number one fun🔥🔥
Nice
Nakubali
Ambao wako shaziiii woyooooo
Billnass hii ngoma na kilo 4 mzee baba
Likes za nenga zipitie apa kwa idea kubwa ya wazee wa suti na jeneza
Umetisha mwamba
Kama Unaiskiza Singeli Ukisoma Comments Like Hapa
Mm hapa mzee
OURENMEN
Huna baya 🔥🔥🔥🔥
Umetisha
Kama Huna Baya Naomba Like
Ubunifu mkubwa sana umefanyika kama unamkubali billnass gonga like
Billnas ww ni noma sana