Billnass ft Roma Mkatoliki - Funga Geti [Official Music Video] Sms 8671238 to 15577 Vodacom Tz

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #Billnass #FungaGeti #RomaMkatoliki
    (C) Nenga
    Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/billnass
    Written & Performed by Billnass & Roma Mkatoliki
    For Booking : billnass16@gmail.com
    - Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
    Follow Billnass on:
    / billnass
    / bill_nass
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 1,3 тыс.

  • @franklugalamila4473
    @franklugalamila4473 5 лет назад +35

    Jamni hiyi ngoma Kali naombeni like namimi

  • @wisstonchinzima5151
    @wisstonchinzima5151 5 лет назад +1

    Funga geti wewe wanaume wapo kazin @billness unetisha #billnengaaaaaaaa

  • @diamondplatnumz4172
    @diamondplatnumz4172 4 года назад +9

    Roma my favorite rapper 😎👌

  • @allanweriss4597
    @allanweriss4597 5 лет назад +1

    Ii ngoma mamaeee imechafua kitaa

  • @kingzforeal6421
    @kingzforeal6421 5 лет назад +125

    Kama na wew umerudia tena kipande cha Roma like apa

  • @rahelmilami1271
    @rahelmilami1271 5 лет назад

    daaaaaaa tishaaaaaa sana💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @mtetezimellody5161
    @mtetezimellody5161 5 лет назад +5

    Wayaaaaaaaa kama unamkubali BILL NAS NA ROMA weka like twende sawa

  • @IbraPedia
    @IbraPedia 5 месяцев назад +2

    Its 2024 still Roma Mkatoliki Bars ina hit kwa masikio. Hey there watu mlio 2089 mpo? Soma reply uone 😂

  • @tonybestsenior8874
    @tonybestsenior8874 5 лет назад +14

    Ngoma Kali sana! Roma umeflow poa sana! Alafu chorus ya hii ngoma tamu sana

  • @mahrizainobaranchas7589
    @mahrizainobaranchas7589 5 лет назад

    Nenga mafioso noma zaidi ya noma ... Tunawapata vizuri sana huku Germany

  • @alexnicksonsudi6252
    @alexnicksonsudi6252 5 лет назад +10

    Kama unamkubali bill nass gonga like twende
    Kitu kikali sana mzee

  • @jizomontana1899
    @jizomontana1899 5 лет назад

    Dogo unaimba hatare mda wako huu 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hamiduwamu8355
    @hamiduwamu8355 5 лет назад +8

    duh nimekubali ROMA alivyopita na hii beat 🙌🙌

  • @jamaltz1780
    @jamaltz1780 5 лет назад

    Noma sana Nenga wacha tufunge geti yeeeah Baba.Ipo vizuri sana

  • @petermaina8063
    @petermaina8063 5 лет назад +124

    ROMA NI ENGINEER WA MUZIKI, GONGA LIKE KAMA WAMPENDA ROMA MKATOLIKI

  • @janethjacob4460
    @janethjacob4460 5 лет назад

    nakusikiliza hapa upo na baba mzazi djaro arungu..... noma sanaaa upo vizur billnengaaaaaa....oooyoooo

  • @DbashTV
    @DbashTV 5 лет назад +52

    Daaaah hiyo Verse ya Roma nimeilewa kichizi...Gonga Like kubwa kama umeilewa pia.
    NJOO KWANGU UTAZAME INTERVIEW YA QBOY MSAFI NIMEMHOJI

  • @heronchovemakiki7227
    @heronchovemakiki7227 5 лет назад

    ngoma ya mwaka hii umetisha billnass aka mzungu mzee

  • @theprince2548
    @theprince2548 5 лет назад +6

    Ngoma ipo fresh wanangu wapi like za 254

  • @danieljohn3836
    @danieljohn3836 5 лет назад +1

    ngoma kaka mikono juuu kama umemuelewa Bengal👋👋👋

  • @wemakingdaily1462
    @wemakingdaily1462 5 лет назад +11

    Gonga like kama unamkubali Roma💥💥💥💥👑👑👑👑💥💥💥

  • @magemekalo5038
    @magemekalo5038 5 лет назад

    Fireeeee!!!!!!,Wewe romaaaa wewee,duuh!!!! Fireeee

  • @damiduro7582
    @damiduro7582 5 лет назад +6

    N E E N G A !!

  • @azizalydiaaziza6051
    @azizalydiaaziza6051 5 лет назад

    jamani mai na chonde nawapendaga sana hawa watoto kama vile mapacha😘

  • @hassanyare4403
    @hassanyare4403 5 лет назад +8

    The song is fire 😮

  • @marrymlay2152
    @marrymlay2152 5 лет назад

    Na kwa stail hii bora tufunge geti kwakua mai zumo yupo 💣💥💣💥💣💨

  • @yessirskiiis
    @yessirskiiis 5 лет назад +4

    Mob support and love from KENYA ⚠️💯💯💯💯💯💯🚨🚨💯💯🚨🌙😌

  • @davidkabwe6769
    @davidkabwe6769 5 лет назад

    Roma unajua sana broo mpaka na kuchukia aiseee Roma noma

  • @topistermghoi7585
    @topistermghoi7585 5 лет назад +18

    Roma mkatoliki never disappoints 🇰🇪

  • @dommydee9648
    @dommydee9648 5 лет назад

    Nenga kama nilovyo kwambia ukiendelea ivyo miaka mia uto chuja....ngoma kali kideo kikali ....uutupe nn mzee .... #FUNGAGETI YEERRRRREEEE

  • @kassimnangale6967
    @kassimnangale6967 5 лет назад +8

    Mai Zumo na Chonge Dee katika Ubora wao😂😂😂😂

  • @jumahumphrey3656
    @jumahumphrey3656 5 лет назад

    Namikubaligi sana mie mijamaa mmezitendea haki mb zangu😎😎

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 5 лет назад +6

    Roma's verse🙌🙌🙌

  • @nilliusignas8329
    @nilliusignas8329 5 лет назад

    Mai wewe in shidaaaah!!!

  • @najmamussa3221
    @najmamussa3221 5 лет назад +151

    Nani kamwona mai zumo😜

  • @monicajoseph7253
    @monicajoseph7253 5 лет назад

    Waambie mtaaa wapil wafunge getiiiii,tunapita majangiliiiiii aaaaaaw hatareeeeee fire ngoma kali baba

  • @willywajson7302
    @willywajson7302 5 лет назад +537

    kama umemuona MAI acha like hapa naka una mkubali Mai acha like pia

  • @cwedertza3975
    @cwedertza3975 5 лет назад +1

    Njoo tufunge geti na nengaaaaaaa umetisha kichupa kikal adi so powa

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer 5 лет назад +4

    Funga getiiiiii @nenga noma sana

  • @jamilijuwly1564
    @jamilijuwly1564 5 лет назад

    Huhu wimbo wananifukahisha awa watoto

  • @deedollarsdeedollars9909
    @deedollarsdeedollars9909 5 лет назад +2

    Ni bora wa swal kunut Bill x Roma..Kazi nzur

  • @innocentmsimbe6332
    @innocentmsimbe6332 5 лет назад

    Roma wewe ni soldier

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 5 лет назад +11

    Kama nimemuona Mai wa uncle Zumo ... Billnass umeua nakukubali sana 🔥🔥

    • @totobaya9643
      @totobaya9643 5 лет назад +1

      Asha Ally Jamani Mai Kazuri sana!!

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 5 лет назад

      @@totobaya9643 Sanaa😍

  • @willinjowritter206
    @willinjowritter206 5 лет назад

    roma aikujengwa siku moja mwanangu umetishaa

  • @charitythegolden729
    @charitythegolden729 4 года назад +3

    2:11 I get the meaning of ROMA
    Walin'tupa kwa bahari,
    Nifilie mbali,
    Narudi na Samaki nawapa.

  • @paskalinaakonaayherman9990
    @paskalinaakonaayherman9990 5 лет назад

    Nakubali nyimbo za billnas never give up jmn Nakupendaga bure billnas

  • @sadcommpalestina516
    @sadcommpalestina516 5 лет назад +10

    BILL NENGA wew n 🔥🔥🔥🔥 ROMA hujawah niangusha mzee

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 5 лет назад

    Mh.....noma sana mmepita sana roma kanifurahusha kachange kbisa yan kweli we msanii

  • @boniphectoboniphace7187
    @boniphectoboniphace7187 5 лет назад +13

    Bonge la kichupaaaaaaaaaa kama umeielewa like zangu tafadhali

  • @iccraponera2685
    @iccraponera2685 5 лет назад

    Ngoma Iko Pouwa Sana Salute Kwako Billnass

  • @medrokivike4107
    @medrokivike4107 5 лет назад +2

    Nenga ni kama nenga funga getiii

  • @jacksoncristian5829
    @jacksoncristian5829 5 лет назад

    Sanaaaa.....ngoma iko lentaaaa.....Roma kapaua ase n kwkw kwkw kwkw again

  • @irenemacha3438
    @irenemacha3438 5 лет назад +3

    Nimekusikiliza kwa baba mzazi hua nairudia Kila siku

    • @kenyaboy961
      @kenyaboy961 5 лет назад +2

      Irene Macha kama Mimi pia huwa natudia tena Hapo Nenga kama Nengaaa

  • @gaudencemaumba7594
    @gaudencemaumba7594 5 лет назад

    Romaaaa umeeeeeuuuua mzee babaaa, humu haujachana. Umechanikaaaaaaa

  • @kennedyisaiah7856
    @kennedyisaiah7856 5 лет назад +4

    Mad respect billnas

  • @kasanamdonga1730
    @kasanamdonga1730 5 лет назад +1

    Bill Nenga eeehhh hapana hiii ngoma umeuah yaan hainiish hamu ya kuangaliah yaan nikieka bundle tu lazima niangalie kwanza ili nifirah naongeza xaana views mwanangu BILL NENGA bonge la ngoma

    • @totobaya9643
      @totobaya9643 5 лет назад +1

      kasa NAMDONG'A ngoma kali sana ukiskiliza unatamani kurudia tena

  • @yohanamuumbe4628
    @yohanamuumbe4628 5 лет назад +2

    bongo kumenoga bil leta vitukali nooma sana!!

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 5 лет назад

    Mai yuko serious Ile Ile Daaah... Hyu mtoto ni kipaji asee

  • @juliusmsoma8469
    @juliusmsoma8469 5 лет назад +37

    Roma najua mpaka Sio poa Huyo tach mwenyewe ndoo hasemeki

  • @lamekiramadhani7449
    @lamekiramadhani7449 5 лет назад

    Hii ilipaswa kuwa number 1 on trending

  • @mathiasmarko7268
    @mathiasmarko7268 5 лет назад +9

    Roma katisha 🙌🙌🙌

  • @angelamohamed9396
    @angelamohamed9396 5 лет назад

    Ili goma kali asee.... Kama unakubaliana nami like afu ndo vile tunachukua Tano

  • @mrh2812
    @mrh2812 5 лет назад +8

    gonna like Kama umemuona mai wa ank zumo

  • @geofreygkivamba9110
    @geofreygkivamba9110 5 лет назад

    Super Fan here nimejaribu kutafuta kasoro ya hii video sijaiona congraturation tushafunga mageti

  • @mussasamwel8077
    @mussasamwel8077 5 лет назад +13

    Kama umemuona mai gonga like hapa

  • @faridahmustafa3866
    @faridahmustafa3866 5 лет назад +1

    Hawa watt wamefanana Sana 😘

  • @mwandehamadi8649
    @mwandehamadi8649 5 лет назад +77

    roma nyimbo kama yako bro khaa umemfunika nenga

  • @isaackdamiano2905
    @isaackdamiano2905 5 лет назад

    MZEE waaa tagi yu bavu naaaaaa Raaapa romaa nomaaaa

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 5 лет назад +5

    Hiki kichupaaaaa ni mofayaaaaaaa kama unaamini hii ngoma itasumbua Acha like yako hapooo 👇

  • @minnahbanks6255
    @minnahbanks6255 5 лет назад

    huu wimbo nimeuelewa sana hongereni kwa kazi nzuri

  • @abelinhojohnson342
    @abelinhojohnson342 5 лет назад +345

    Kama umemwona mai zumo gonga like

  • @subiransasi8029
    @subiransasi8029 5 лет назад

    watoto wanafanana Hawa mpaka sio vizuri

  • @ZjNesto
    @ZjNesto 5 лет назад +4

    Kama una mkubali roma gonga like yako hapa 💯🌈

  • @ibrahimjames6414
    @ibrahimjames6414 5 лет назад

    Waaambie mtaa wapili🙌🙌🙌🙌

  • @wemakingdaily1462
    @wemakingdaily1462 5 лет назад +15

    Gonga like kama unamkubali Billnass 😚👑👑👑💥💥💥💥💥💥💥

  • @onlinetv9972
    @onlinetv9972 5 лет назад

    Wayaaaaaaaaaaaa kitaaan kimenuka wazeeee ngoma pambe khattttttareee

  • @kenzokimambi7922
    @kenzokimambi7922 5 лет назад +11

    kilichonifuraisha na MAI wa ZUMO yumo,au nimemfananisha jamani

  • @bedsonjohn2051
    @bedsonjohn2051 5 лет назад

    Billnas mshukulu Roma ngoma ime kuwa poa zaid

  • @barbiemdoo6598
    @barbiemdoo6598 5 лет назад +5

    Love from 🇦🇹🇦🇹🇦🇹🇦🇹

  • @frolamartin8003
    @frolamartin8003 5 лет назад

    roma weee revolutionalist achana na mambo ya kaolewa

  • @mbogomia5737
    @mbogomia5737 5 лет назад +78

    Jaman mm namkubal nenga na Roma kama naww unawakuba kama mm naomben like zenu

    • @shady5653
      @shady5653 5 лет назад

      Subcribe my channel

  • @raymondomary781
    @raymondomary781 5 лет назад

    Nimependa mlivoamua kushirikisha hao watoto!!mmechangia kuboresha vipaji vyao!! Msisahau kuna ma wengne wengi!! Ni mpenz Wa gospel ila nimevutiwa ma huo wimbo umeona umuhimu Wa watoto na vipaj vyaoo

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe9520 5 лет назад +10

    yechu yechu!!! funga get men!! babakoooo

  • @danielkileo3240
    @danielkileo3240 5 лет назад

    Billinas unajua mpaka unaboa...Respect braza one

  • @franckphocas8136
    @franckphocas8136 5 лет назад +14

    Alikiba kasababisha tuipate nyimbo yako uko vizuli endeleen kuwa marafki na kiba ss tuta kusapoti mpka kufa

    • @hamzahemedi2146
      @hamzahemedi2146 5 лет назад

      Franck Phocas licha ya Ali kiba Nenga Tunamuelewa Ktambo Tangu Ngoma Yke Ya Kwnza Dem Gan Aliyomshirikisha Barnaba

  • @sophiajackson7489
    @sophiajackson7489 5 лет назад

    kama umeielewa hiii ngoma dondosha shavu hapa

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 лет назад +11

    Moja kati ya wanamziki wanaofanya vizuri ni nenga

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 5 лет назад

    Mia jamani Mai nakupenda wewe uko juu baby mungu akuongoze yani uko sirias khaaa

  • @hilarysamwel4499
    @hilarysamwel4499 5 лет назад +5

    mulize demu wako navaa boxer gani'''''''''' kama unamkubali billnas gonga like

  • @hamisisuley6362
    @hamisisuley6362 5 лет назад +1

    Oyyaaaaaaaaaah shida zaidi ya njaaa mzee baba

  • @godfreygodson3524
    @godfreygodson3524 5 лет назад +5

    Nomaa san funga geetiiiii

  • @pablososoft2458
    @pablososoft2458 5 лет назад

    Ngoma Kali Sana. Ila musiwahusishe watoto wadogo na bunduki .

  • @officiallmondi4656
    @officiallmondi4656 5 лет назад +15

    jaman bonge ya ngoma anaemkubali huyu niggaar billnas nenga funga geti gonga liks hapa

  • @chancegtallalam6906
    @chancegtallalam6906 5 лет назад

    Leo ndo nimeweza kuwatofautixha hawa watoto mtoto WA zumo na WA madee japo ni kazi aisee

  • @begaca
    @begaca 5 лет назад +183

    Gonga LIKE KWA BILLNASS KAMA UMRELEWA NGOMA

  • @stoneboy3469
    @stoneboy3469 5 лет назад

    Ngoma kariii sana pongezi kwenuu

  • @jkeyikashindi2471
    @jkeyikashindi2471 5 лет назад +50

    billnas yeah😄 beautiful song

    • @jkeyikashindi2471
      @jkeyikashindi2471 5 лет назад

      kaharibu kama nini comment au piga comment zako apa jeuna mkubali Billnas 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥I'm@Jkeyi

  • @sebastianunstopable8501
    @sebastianunstopable8501 5 лет назад

    Brother nenga mafilonjo never fail .... Roma uajawah koseaaa gonga like wanang Wa geto

  • @mohamedsadiki1575
    @mohamedsadiki1575 5 лет назад +6

    hii nyimbo nai download kwasabab ya roma kauwa kinyama

  • @mokiwatv1206
    @mokiwatv1206 5 лет назад

    Hiiiii ebwanaa eeeh Kwan nenga ananyimbo mbya aaaah haijaw kutokea iyo kila ngoma Kali , hit sas HIV kila mtaa inanuka Kam kinyesi tunafunga geti tu