GARDNER:BIFU YA RUGE NA JAYDEE/NILIPOTEZA WATU WENGI/KUSAGA AKIKATAA NISIENDE WASAFI SITAENDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2022
  • #wasafi #millardayo #diamondplatnumz #cloudstv @Got Talent Global #harmonize #rayvanny

Комментарии • 82

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 11 месяцев назад +10

    Ninaona kama.huyu ndg Gardner ana hofu ya Mwenyezi Mungu sana!..Safi sana..

  • @annajohn175
    @annajohn175 17 дней назад

    Asante kwa maisha yako.yenye hadithi.nzuri.Gadner Pumzika.kwa Amani

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo2807 Год назад +13

    Unajua kuhoji vizuri Susan... very professional.Keep it up girl.👌👏👏

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x 22 дня назад

    Aisee Suzan Makenzi nilikuwa naye shule moja. Alikuwa anajua sana Kiingereza. Very good Suzan

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga4655 Год назад +3

    Gardener una spirit kama ya kwangu naweza kukuacha nikaja kukwambia baada ya kurudia kosa

  • @safarivahocha8077
    @safarivahocha8077 24 дня назад +1

    Captain Gardner G Habash no more. This was one of his best interviews

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +5

    Jamani Gadner umenikumbusha Vivian Tilya mdogo wangu,rafk daaah!😭😭😭

    • @nin6324
      @nin6324 Год назад +1

      My Mkwawa School Mate… she had an amazing voice. Rest Easy Vivian

  • @u61097
    @u61097 Год назад +2

    nice i like gardner

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga4655 Год назад +8

    Gardener we ni mstaarabu sanaa character ulizonazo najiona Mimi kabisaa. Mme wangu tunaishi nae distance si mnajua ndoa hizi za Bluetooth nikakuta msg za mchepuko kwa simu yake nkatoa machozi usiku ule nkapiga moyo konde nkaondoka bila kumwambia niliona ngoja niwe na subra nkaondoka nikarudi baada ya wiki 2 Kila nkitaka kumwambia Kuna Kuna kitu kinaniambia acha utajua mambo mengi zaidi. Nlikuja kumwambia baada ya miaka miwili huku tunapiga story za kawaida tu namwambia huku nimerelax nacheeka Sasa ye ndo kimoyo kinamdunda anawaza nliweza vipi kukaa na hilo jambo miaka 2

  • @philibertshayo5010
    @philibertshayo5010 Год назад +1

    why the word CAPTAIN🔥. That's Lit Intro🔥

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Год назад +7

    Huyu Dada kajaaliwa sana kuhoji vitu vya msingi na katulia sana.

  • @AllyMaya-yj3xd
    @AllyMaya-yj3xd 22 дня назад

    Pumzika kwa aman bro

  • @jacksoncharles8780
    @jacksoncharles8780 Год назад +3

    Dada nenda wasafi you gonna be a star

    • @audaxmlowa9953
      @audaxmlowa9953 19 дней назад

      Wasaf hawawezi kuwa na kichwa kama hicho namaanisha sio aina ya wanahabari inayo deal nao

  • @mamuumamuu7743
    @mamuumamuu7743 24 дня назад +1

    innallillahi wainaillahi rajiuun 😢

  • @Haytham-ip3ou
    @Haytham-ip3ou 25 дней назад +6

    Still watching 2024 now you're no more captain rest in peace bro

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 25 дней назад +2

    INNALillah wainnaa lillahi rajiun

  • @janecolleter
    @janecolleter 21 день назад

    Mungu ampumzishe kwa aman 😢

  • @latifammbaga8560
    @latifammbaga8560 20 дней назад

    Innalilah Wainnalilah Rajiiun

  • @neddohmtui
    @neddohmtui 25 дней назад +2

    RIP

  • @lusseraymond5449
    @lusseraymond5449 24 дня назад +1

    RIP BR

  • @ShabaniHussein-if9rl
    @ShabaniHussein-if9rl 25 дней назад

    Innalilah wainnalillah rajiun.

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki8958 16 дней назад

    Pumzika Kwa amani KAZI umemaliza Gardina Capeten 😢

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 Год назад +1

    Naona ushawapiga chini dizzim online

  • @edefridalivigha6049
    @edefridalivigha6049 24 дня назад +1

    Pumnzika kwa amani mpendwa

  • @nangatv7258
    @nangatv7258 Год назад +5

    Gardena ananenepa mashavu kwaajir ya pombe kali😢😢😢

    • @nahanakadiri3969
      @nahanakadiri3969 Год назад +1

      Daaah!wewe jamn????amenenepa Nini eti???!acha izo bana

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 25 дней назад

    ALICHOSEMA GADNER WANAUME WENGI WA KARNE TUKO IVYO,,HATUSEMI TU,, NA HATUOI KWA KUPENDA,,NI KWAKUWA WAJIBU TU TOKA KWA MUNGU,,,,KUKOSA IVYO........

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 27 дней назад

    Omg he is gone😢 JAHAZI is gone

  • @user-xz8xu1is3f
    @user-xz8xu1is3f 23 дня назад

    Ttz lko ww ni mwaka 2000 ss wa 90 mpk harusi tukaudhuria

  • @raphaeljohnrobert7476
    @raphaeljohnrobert7476 28 дней назад

    Yametimia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Год назад +4

    Hv huyu dada katoka dizzim tv???

  • @salimakida95
    @salimakida95 25 дней назад

    Kwani wewe mwandishi hujui kiswahili?

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +3

    🙄

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад +1

    We outta time ehh

  • @abbasjuma64
    @abbasjuma64 25 дней назад

    Hiki kipindi mbona sikioni tena

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Год назад +1

    Kapiteeeeeen

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад +5

    Mi leo ndo najua lady Jaydee alikua na mahusiano na Gardner😂😂kweli Kuna watu wasiri wallah😂😂😂

    • @mastidiadionis3335
      @mastidiadionis3335 Год назад +4

      Mbona walifunga na ndoa kabisa.

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 Год назад +10

      usijali ni umri wako

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Год назад +6

      Kha!🤣🤣🤣🤣 siri hiyo vipi? Ndoa ilitetemesha Dar,kweli tumezeeka😅

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 Год назад +1

      @@neemayatosha1618 dada weee a beach wedding at kunduchi** jamaniii🤣🤣🤣 haya mambo tungekuwa tunaonyeshwa mbele wala tusingekuwa tunatoka jashooo kuyaandaa tungefanya vitu simple,vidogo kwishnehii wallah""wengi ni wahanga wa talaka huku mtaani SEMA tuu ndiyo matukio yetu yanaishia mtaani kwa vile siyo maarufu ndo nafuu yetu.

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Год назад +1

      @@blandinamyinga9489 🤣🤣 umejua kunichekesha ni kweli,wengine wanabaki na madeni ya kutosha alafu baada ya mwaka mkiwa bado mnadaiwa mnaachana.

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 24 дня назад

    Mmewabania wengi kwenye sanaa Mungu kaanza kazi yake amina

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Год назад

    .

  • @raymondmuga7542
    @raymondmuga7542 Год назад +3

    Nobody drink coffee at night tho

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад +3

    Kwani malkia Karen ni mtoto wa lady jaydee na Gardner?? Mi nahisi Kuna maswali mengi hujauliza😂😂😂unakatisha uhondo..nahisi hii interview angefanya Millard ayo tungejua mengi kweli,.dada jitaidi kujifunza namna ya kuuliza maswali in sequence, itakusaudia media yako kukua,ni ushauri tuu😔

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +3

    Huyo kusaga clouds ni ya urithi kifamilia na wasafi ndiyo yake halisi

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x 22 дня назад

    Aisee Suzan Makenzi nilikuwa naye shule moja. Alikuwa anajua sana Kiingereza. Very good Suzan