Gardener we ni mstaarabu sanaa character ulizonazo najiona Mimi kabisaa. Mme wangu tunaishi nae distance si mnajua ndoa hizi za Bluetooth nikakuta msg za mchepuko kwa simu yake nkatoa machozi usiku ule nkapiga moyo konde nkaondoka bila kumwambia niliona ngoja niwe na subra nkaondoka nikarudi baada ya wiki 2 Kila nkitaka kumwambia Kuna Kuna kitu kinaniambia acha utajua mambo mengi zaidi. Nlikuja kumwambia baada ya miaka miwili huku tunapiga story za kawaida tu namwambia huku nimerelax nacheeka Sasa ye ndo kimoyo kinamdunda anawaza nliweza vipi kukaa na hilo jambo miaka 2
@@neemayatosha1618 dada weee a beach wedding at kunduchi** jamaniii🤣🤣🤣 haya mambo tungekuwa tunaonyeshwa mbele wala tusingekuwa tunatoka jashooo kuyaandaa tungefanya vitu simple,vidogo kwishnehii wallah""wengi ni wahanga wa talaka huku mtaani SEMA tuu ndiyo matukio yetu yanaishia mtaani kwa vile siyo maarufu ndo nafuu yetu.
Kwani malkia Karen ni mtoto wa lady jaydee na Gardner?? Mi nahisi Kuna maswali mengi hujauliza😂😂😂unakatisha uhondo..nahisi hii interview angefanya Millard ayo tungejua mengi kweli,.dada jitaidi kujifunza namna ya kuuliza maswali in sequence, itakusaudia media yako kukua,ni ushauri tuu😔
Ninaona kama.huyu ndg Gardner ana hofu ya Mwenyezi Mungu sana!..Safi sana..
Asante kwa maisha yako.yenye hadithi.nzuri.Gadner Pumzika.kwa Amani
Unajua kuhoji vizuri Susan... very professional.Keep it up girl.👌👏👏
Qqq1¹
Aisee Suzan Makenzi nilikuwa naye shule moja. Alikuwa anajua sana Kiingereza. Very good Suzan
Gardener una spirit kama ya kwangu naweza kukuacha nikaja kukwambia baada ya kurudia kosa
Captain Gardner G Habash no more. This was one of his best interviews
Jamani Gadner umenikumbusha Vivian Tilya mdogo wangu,rafk daaah!😭😭😭
My Mkwawa School Mate… she had an amazing voice. Rest Easy Vivian
nice i like gardner
Gardener we ni mstaarabu sanaa character ulizonazo najiona Mimi kabisaa. Mme wangu tunaishi nae distance si mnajua ndoa hizi za Bluetooth nikakuta msg za mchepuko kwa simu yake nkatoa machozi usiku ule nkapiga moyo konde nkaondoka bila kumwambia niliona ngoja niwe na subra nkaondoka nikarudi baada ya wiki 2 Kila nkitaka kumwambia Kuna Kuna kitu kinaniambia acha utajua mambo mengi zaidi. Nlikuja kumwambia baada ya miaka miwili huku tunapiga story za kawaida tu namwambia huku nimerelax nacheeka Sasa ye ndo kimoyo kinamdunda anawaza nliweza vipi kukaa na hilo jambo miaka 2
ikawaje
Ukiona Ivo na wew malaya
@@user-jn2qj5wf6c story yako nzur nilitmn nijue iliishia wapi tuendelee
55
why the word CAPTAIN🔥. That's Lit Intro🔥
Huyu Dada kajaaliwa sana kuhoji vitu vya msingi na katulia sana.
Pumzika kwa aman bro
Dada nenda wasafi you gonna be a star
Wasaf hawawezi kuwa na kichwa kama hicho namaanisha sio aina ya wanahabari inayo deal nao
innallillahi wainaillahi rajiuun 😢
Still watching 2024 now you're no more captain rest in peace bro
INNALillah wainnaa lillahi rajiun
Mungu ampumzishe kwa aman 😢
Innalilah Wainnalilah Rajiiun
RIP
RIP BR
Innalilah wainnalillah rajiun.
Pumzika Kwa amani KAZI umemaliza Gardina Capeten 😢
Naona ushawapiga chini dizzim online
Pumnzika kwa amani mpendwa
Gardena ananenepa mashavu kwaajir ya pombe kali😢😢😢
Daaah!wewe jamn????amenenepa Nini eti???!acha izo bana
ALICHOSEMA GADNER WANAUME WENGI WA KARNE TUKO IVYO,,HATUSEMI TU,, NA HATUOI KWA KUPENDA,,NI KWAKUWA WAJIBU TU TOKA KWA MUNGU,,,,KUKOSA IVYO........
Omg he is gone😢 JAHAZI is gone
Ttz lko ww ni mwaka 2000 ss wa 90 mpk harusi tukaudhuria
Yametimia
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
Hv huyu dada katoka dizzim tv???
swali zuri sana
Kwani wewe mwandishi hujui kiswahili?
🙄
We outta time ehh
Hiki kipindi mbona sikioni tena
Kapiteeeeeen
Mi leo ndo najua lady Jaydee alikua na mahusiano na Gardner😂😂kweli Kuna watu wasiri wallah😂😂😂
Mbona walifunga na ndoa kabisa.
usijali ni umri wako
Kha!🤣🤣🤣🤣 siri hiyo vipi? Ndoa ilitetemesha Dar,kweli tumezeeka😅
@@neemayatosha1618 dada weee a beach wedding at kunduchi** jamaniii🤣🤣🤣 haya mambo tungekuwa tunaonyeshwa mbele wala tusingekuwa tunatoka jashooo kuyaandaa tungefanya vitu simple,vidogo kwishnehii wallah""wengi ni wahanga wa talaka huku mtaani SEMA tuu ndiyo matukio yetu yanaishia mtaani kwa vile siyo maarufu ndo nafuu yetu.
@@blandinamyinga9489 🤣🤣 umejua kunichekesha ni kweli,wengine wanabaki na madeni ya kutosha alafu baada ya mwaka mkiwa bado mnadaiwa mnaachana.
Mmewabania wengi kwenye sanaa Mungu kaanza kazi yake amina
.
Nobody drink coffee at night tho
Just say you don't but some people do
Not everybody sleeps at night
Kwani malkia Karen ni mtoto wa lady jaydee na Gardner?? Mi nahisi Kuna maswali mengi hujauliza😂😂😂unakatisha uhondo..nahisi hii interview angefanya Millard ayo tungejua mengi kweli,.dada jitaidi kujifunza namna ya kuuliza maswali in sequence, itakusaudia media yako kukua,ni ushauri tuu😔
Hapana, jeed
Eeehhhhh
Mtangazaji anajua anachokifanya saaaana tatizo wewe ulikuwa hujazaliwa ndio maana huyajui unayoyauliza
Jay Dee hajawah kuwa na mtoto
Careen co mtoto wa Jaydee bana,ana Mama yake Carin
Huyo kusaga clouds ni ya urithi kifamilia na wasafi ndiyo yake halisi
Nawe nenda Karithi
Una evidence au umeropokwa tu
Wasafi siyo ya chibu?
@@asifiwekitunga4655 siyo yake ukitaka kachunguze huyo ni mkurugenzi tu kama alivyokuwa ruge clouds
@@asifiwekitunga4655 asilimia kubwa anamiliki kusaga
Aisee Suzan Makenzi nilikuwa naye shule moja. Alikuwa anajua sana Kiingereza. Very good Suzan