THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2024
  • Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.

Комментарии • 105

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Месяц назад +4

    Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥

  • @Yegon254
    @Yegon254 Месяц назад +10

    Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 4 дня назад

    BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Месяц назад +3

    Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿

  • @qserick7799
    @qserick7799 Месяц назад +6

    Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 Месяц назад +1

    Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!

  • @thomasshello8138
    @thomasshello8138 Месяц назад +3

    Bonge moja la show, Mo is the best

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 17 дней назад

    Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo

  • @Don_mountana
    @Don_mountana Месяц назад +1

    Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo

  • @MackameHassani
    @MackameHassani Месяц назад +4

    Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb Месяц назад +6

    Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku

  • @obbymweucy4424
    @obbymweucy4424 Месяц назад +11

    Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️

  • @godfreykiama1930
    @godfreykiama1930 Месяц назад +3

    return of supermen..!!

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Месяц назад +2

    Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 Месяц назад +2

    My best story teller

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi Месяц назад

    Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.

  • @gnmbi
    @gnmbi Месяц назад +6

    Mchopanga azeeki

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts Месяц назад +3

    Super Men.... Hii nimeisubir sana

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 Месяц назад +1

    Appreciation Kwa jay more

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 Месяц назад +2

    J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 Месяц назад +2

    My brother my cousin Jay Moe ✊🏾

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa Месяц назад +4

    Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....

    • @jumazahoro3537
      @jumazahoro3537 Месяц назад +1

      Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man

    • @joelasu2984
      @joelasu2984 Месяц назад +1

      D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢

    • @amandusmark3060
      @amandusmark3060 25 дней назад

      D tayari.

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 Месяц назад +2

    My role model mbakiaji

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media 26 дней назад

    Superman

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni Месяц назад +1

    one of the best MC in this industry

  • @martinmwambembe6943
    @martinmwambembe6943 Месяц назад +1

    Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb Месяц назад

    Eh Jay moe ni story teller mzuri sana

  • @thomasgunje7640
    @thomasgunje7640 Месяц назад +2

    SO FAMOUS

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa Месяц назад +1

    More technics, more flavour, hatari fire 🔥

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 Месяц назад +1

    Top 5 dead or alive, mo technix

  • @marcowelano2245
    @marcowelano2245 Месяц назад

    aisee sina deni

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 Месяц назад +1

    J mo brain in the house

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Месяц назад +1

    Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Месяц назад +1

    Juma mchopanga, nakukubali brother

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313 Месяц назад

    One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉

  • @Kitaautange
    @Kitaautange Месяц назад

    Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Месяц назад

    Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 29 дней назад

    #Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 25 дней назад

    One of my idol

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Месяц назад

    Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥
    Story 3

  • @JacksonOchieng-dt7xo
    @JacksonOchieng-dt7xo Месяц назад

    Big up sana Jay

  • @hiphopoldschoolkalama1405
    @hiphopoldschoolkalama1405 Месяц назад +1

    Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu Месяц назад +2

    🔥🔥🔥👊

  • @MrishoMussa-bx8ws
    @MrishoMussa-bx8ws Месяц назад +3

    Mo saluti xana kk

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 Месяц назад +1

    Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary

  • @MaryamRajab-vb6sx
    @MaryamRajab-vb6sx Месяц назад

    The story teller himself mo the classic

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 Месяц назад

    Best Interview 2024

  • @edsonniwagira9569
    @edsonniwagira9569 Месяц назад

    Noma

  • @BoNoBo_Tlm
    @BoNoBo_Tlm Месяц назад +1

    Best interview,hongereni sana

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 Месяц назад +1

    Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Месяц назад +2

    Anko MO

  • @evanceburton4364
    @evanceburton4364 Месяц назад +3

    Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Месяц назад +2

      Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia

    • @johnrichard5482
      @johnrichard5482 29 дней назад

      Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 Месяц назад

    Moe 🙏

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 Месяц назад

    LEGEND 🤟

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 Месяц назад

    Tumemsubiri sana hyu

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Месяц назад +1

    Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Месяц назад +4

    J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,

  • @sokastreet
    @sokastreet Месяц назад

    So famous

  • @patrickmwakasungu7121
    @patrickmwakasungu7121 Месяц назад +1

    💪

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 Месяц назад

    Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai

    • @mabudaissere2295
      @mabudaissere2295 Месяц назад

      Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr Месяц назад +2

    Damme pind liko moto Sana

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Месяц назад

    Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤

  • @astonchiba5037
    @astonchiba5037 Месяц назад +1

    Moho mbakiaji🔥🔥💪

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media Месяц назад

    Naaam 😅 moo technic

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi Месяц назад

    Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Месяц назад

    Top 3 dead or alive

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara4329 Месяц назад

    Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Месяц назад

      Haha mzee umepambana sana 🙌🏾

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga1673 Месяц назад +1

    Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Месяц назад

      Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 Месяц назад +2

    Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.

  • @lusungumkolla6672
    @lusungumkolla6672 Месяц назад +1

    Pop corn zije

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 Месяц назад

    Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅

  • @iddbahati5245
    @iddbahati5245 Месяц назад +3

    Guys who is evid??

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 Месяц назад +1

    Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Месяц назад

    Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla608 Месяц назад

    Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.

  • @user-dj5wb1lc1q
    @user-dj5wb1lc1q Месяц назад

    Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Месяц назад +1

      Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Месяц назад

      ​@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Месяц назад

    interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.

  • @lucaskomba7125
    @lucaskomba7125 Месяц назад

    Bonge ya madini

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Месяц назад

    Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Месяц назад

      Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Месяц назад +2

      English haiepukiki punguza ushauri

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n Месяц назад

    Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange