THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.

Комментарии • 109

  • @Yegon254
    @Yegon254 4 месяца назад +10

    Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 4 месяца назад +4

    Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥

  • @ShakiriMaria
    @ShakiriMaria 6 дней назад

    King of story telller rhyms east Africa.......

  • @mutumbaroni7546
    @mutumbaroni7546 Месяц назад

    The best verse in bongo flava histry is from Jay moe on Jirushe

  • @qserick7799
    @qserick7799 4 месяца назад +6

    Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother

  • @kelvinkalangasa4454
    @kelvinkalangasa4454 14 дней назад

    Jay mo unajua sana 🎉🎉🎉

  • @Umma-j7c
    @Umma-j7c 3 дня назад

    Ebwana cyo poa wanangu jay mo fundi kinoma

  • @obbymweucy4424
    @obbymweucy4424 4 месяца назад +12

    Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️

  • @thomasshello8138
    @thomasshello8138 4 месяца назад +3

    Bonge moja la show, Mo is the best

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 месяца назад +3

    Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 4 месяца назад +1

    Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 3 месяца назад

    BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE

  • @Don_mountana
    @Don_mountana 4 месяца назад +1

    Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb 4 месяца назад +6

    Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa 4 месяца назад +4

    Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....

    • @jumazahoro3537
      @jumazahoro3537 4 месяца назад +1

      Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man

    • @joelasu2984
      @joelasu2984 4 месяца назад +1

      D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢

    • @amandusmark3060
      @amandusmark3060 4 месяца назад

      D tayari.

  • @godfreykiama1930
    @godfreykiama1930 4 месяца назад +3

    return of supermen..!!

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts 4 месяца назад +3

    Super Men.... Hii nimeisubir sana

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 4 месяца назад +2

    My best story teller

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 4 месяца назад +4

    Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 4 месяца назад +2

    My brother my cousin Jay Moe ✊🏾

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi 4 месяца назад

    Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 4 месяца назад +2

    J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 4 месяца назад +1

    Appreciation Kwa jay more

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa 4 месяца назад +1

    More technics, more flavour, hatari fire 🔥

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 4 месяца назад +2

    My role model mbakiaji

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 4 месяца назад +1

    Top 5 dead or alive, mo technix

  • @martinmwambembe6943
    @martinmwambembe6943 4 месяца назад +1

    Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313 4 месяца назад

    One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 4 месяца назад +1

    J mo brain in the house

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 4 месяца назад +1

    Juma mchopanga, nakukubali brother

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb 4 месяца назад

    Eh Jay moe ni story teller mzuri sana

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 4 месяца назад

    One of my idol

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 месяца назад +1

    Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 4 месяца назад

    Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿

  • @thomasgunje7640
    @thomasgunje7640 4 месяца назад +2

    SO FAMOUS

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 4 месяца назад

    Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai

    • @mabudaissere2295
      @mabudaissere2295 4 месяца назад

      Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 4 месяца назад

    #Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌

  • @gnmbi
    @gnmbi 4 месяца назад +6

    Mchopanga azeeki

  • @MaryamRajab-vb6sx
    @MaryamRajab-vb6sx 4 месяца назад

    The story teller himself mo the classic

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 3 месяца назад

    Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo

  • @BoNoBo_Tlm
    @BoNoBo_Tlm 4 месяца назад +1

    Best interview,hongereni sana

  • @Kitaautange
    @Kitaautange 4 месяца назад

    Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 4 месяца назад +2

    Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂

  • @JacksonOchieng-dt7xo
    @JacksonOchieng-dt7xo 4 месяца назад

    Big up sana Jay

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 4 месяца назад +1

    Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 месяца назад +1

    Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni 4 месяца назад +1

    one of the best MC in this industry

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr 4 месяца назад +2

    Damme pind liko moto Sana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Mzuka sana kaka

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 4 месяца назад

    Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥
    Story 3

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 4 месяца назад

    Tumemsubiri sana hyu

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media 4 месяца назад

    Superman

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 4 месяца назад

    Best Interview 2024

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 4 месяца назад +2

    🔥🔥🔥👊

  • @edsonniwagira9569
    @edsonniwagira9569 4 месяца назад

    Noma

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 4 месяца назад

    Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤

  • @MrishoMussa-bx8ws
    @MrishoMussa-bx8ws 4 месяца назад +3

    Mo saluti xana kk

  • @hiphopoldschoolkalama1405
    @hiphopoldschoolkalama1405 4 месяца назад +1

    Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 4 месяца назад

    LEGEND 🤟

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 4 месяца назад +2

    Anko MO

  • @evanceburton4364
    @evanceburton4364 4 месяца назад +3

    Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk

    • @2116-n
      @2116-n 4 месяца назад +2

      Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia

    • @johnrichard5482
      @johnrichard5482 4 месяца назад

      Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 4 месяца назад +1

    Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 4 месяца назад

    Moe 🙏

  • @patrickmwakasungu7121
    @patrickmwakasungu7121 4 месяца назад +1

    💪

  • @sokastreet
    @sokastreet 4 месяца назад

    So famous

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara4329 4 месяца назад

    Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад

      Haha mzee umepambana sana 🙌🏾

  • @astonchiba5037
    @astonchiba5037 4 месяца назад +1

    Moho mbakiaji🔥🔥💪

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n 4 месяца назад

    Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 4 месяца назад +4

    J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi 4 месяца назад

    Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media 4 месяца назад

    Naaam 😅 moo technic

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga1673 4 месяца назад +1

    Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад

      Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa

  • @iddbahati5245
    @iddbahati5245 4 месяца назад +3

    Guys who is evid??

  • @marcowelano2245
    @marcowelano2245 4 месяца назад

    aisee sina deni

  • @Chemba67
    @Chemba67 4 месяца назад +1

    Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Hahaha noma bro

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 4 месяца назад

    Top 3 dead or alive

  • @lusungumkolla6672
    @lusungumkolla6672 4 месяца назад +1

    Pop corn zije

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 4 месяца назад

    Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 4 месяца назад +2

    Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.

  • @2116-n
    @2116-n 4 месяца назад

    Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂

  • @user-dj5wb1lc1q
    @user-dj5wb1lc1q 4 месяца назад

    Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio

    • @2116-n
      @2116-n 4 месяца назад

      ​@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla608 4 месяца назад

    Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 месяца назад

    interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 4 месяца назад

    Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад

      Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 4 месяца назад +2

      English haiepukiki punguza ushauri

  • @lucaskomba7125
    @lucaskomba7125 4 месяца назад

    Bonge ya madini