THE CLASSIC JAY MOE PT 1 EP 2:LANGA ALINILIZA SANA/NAZIZI ALINIPA JINA HILI/BEEF NA ZAHRANI/MAJANI
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Sehemu ya pili ya simulizi za Jay Moe katika safari yake ya maisha ya kimuziki hapa anazungumzia mengi ikiwemo namna Nazizi wa Kenya alivompachika jina la Jay Mo,Beef zake na Zahrani na Langa na mengine mengi
Huyu jamaa ni muandishi haswaa
1: ukisikiliza alichoandika Mvua na jua utakubaliana na mimi kuwa mle aliumiza kichwa sana
2: kama unataka demu aisee aliandika kusifia madem kitu ambacho alichotaja mle hadi sasa hizo sehem kuna madem wakali haswa
3: Maisha ya boarding Aisee mle vitu alivoandika sisi tuliosoma boarding tunajua nini alisema 😂😂 ni ukwel mtupu
4: Sasa akajaa kuuwa haswa kwenye Story 3 aisee 😂😂🙌
5: Sikiliza I need Money 😂 vers moja kachapa kingeleza tüpü Afu kimenyoka haswaaaa
6: Maliza Famous afu uje nitajie mwandishi wako bora wa hip-hop kumpita Super man 😂😂😂
4:
Wasanii wa zamani wanajuwa kufanya interview wanaongea vzr ,positive kabisa
Mo Tech Mo Fleva…..Best Storyteller best interview 2024, hizo zitakazokuja labda iwe ya Prof J au Majani au Mr. J.
KUVI niaje mwamba kazi nzuri, ombi langu kwako ni uturahisishie na sisi mara moja moja uwe unatag hizo nyimbo unazokuwa unawasikilizisha kweny wasani kweny presentation. Najua nyingi hazitokuwa kweny online platforms cause ni oldies 😂, Ila fanya mambo mwamba KUVI much respect brother 💪🏾.
Jamaa yuko vizuri kwanzia kichwani shukurani kwa jabir kwa kutuletea vichwa
Kabisa hawa watu wenye akili ndio wanatakiwa kuhojiwa sio unahoji mtu anaongea upuuzi
Jay to the mo, Mo technique, Mo fleva, Mo famous.....Living legend
Albums zake zote mbili ninazo ya kwanza ni ulimwengu ndiyo mama na mawazo ya jay moe
Wanamziki wa kizazi Cha kati wanatakiwa kujifunza sana kutoka Kwa jay Moe, hususani Nidhamu
Sahihi kabisa
Much respect sana kwako brother, ndiyo msanii wa kwanza kwangu kutoa hela yangu ya Pocket money ya shule kununua tape yake ya ulimwengu ndiyo mama Ile ni mshambaaa..., mshikaji noma sana.
Jay moe Mback yard, we ni msanii mahiri sana unajua sana. Unatakiwa kuungana na wasanii wengine kuunda chuo cha rap na historia ya bongo Rap. The Interview iko poa sana. Nawasikiliza toka Hamburg
One of the best interview, jamaa mkali sana sana...
Jay Moe yuko mbele ya muda sana.
It's true bro....sisi Kenya J ikiambatana M tayari wewe ni J moe❤
Respect sana kwa #Jay #Moe
Huyu Jamaa ni Talented sana ni mmoja kati ya Good Storyteller. Ishi sana Brother #So #Famous..🙏🏾🙏🏾.
Endelea Kupeperusha Bendera..🇹🇿🇹🇿🇹🇿
mzee safi sana unajua kumuacha mtu aongoe inakua safi sana ..
Huyu jamaa Ana consistency ya ajabu hajawahi kushuka Kama marapper wengine wa Bongo ✌️✌️
JMore siyo poa Nuksi
Interview bors kabisa mzee jabir kuvichaka....naomba mum mumlete noorah babastyles inshaallah ❤️
Gud kaka jay mo anajua kunyosha maelezo
Daah respect sana Faza huyu Jamaa namkubali sana natamani nije nimuone live aise nimpe salamu
Shule ni jambo la msingi sanaa wasanii walosoma wanajua nini chakuongea na kuandika pia
Much respect bro jay mo yupo gado xanaaa kunyosha maelezo
Story 3 tofauti mzee wa kuvi iguse
Hongera kwake jay Mo kwa kuendelea kujiweka vizuri.
Jmore Ukipenda Mbakiaji Ww ni Moja ya Washika kipaza Wenye kuogopwa ktk Hip hop ya bongo ni full package Nyota Yako siyo Mchezo Wajina Juma kiloboto analijua Hilo ww sooo...More Tec
Nadhani Jay Moe hana nyota kali..maana kwa uwezo wake!alipaswa awe na heshima kubwa zaidi ya hii aliyonayo
Kipindi Jmore anaingia ktk game Nature alikuwa Wamoto Majina Yao ya yanafanana Michano tofauti radha Kila Mmoja anayo kukawa na battle ya chini Kwa chini Juma yupi anatokea pande zp
@@nicholausmbilinyi3587kabisa mkuu
Live kabisa
Mwana yupo mbele ya mda sana so Namkubari sana iyo Bishooo Enz izo ilikuwa noma so much Respect Buddha.
Akina mo walisoma music wengine katika mchakato wa maisha wengine walipata kipwampwam Cha mziki hawajui wengine walofanya mziki kabla yake.
Nadhan haja ipo ya kuwatumia hawa watu kwenye kuunda kozi za muziki kwenye vyuo mbalimbali nchini
Maneno yake ukiyachunguza yapo juu ya wakati
Jamaa wamesoma. Hawa wa sasa ni balaa tupu.
Watu n walimu was mziki Ila sio Wana mziki no content kabisa kumbe wapo watu wenye content na wanaishi nao
Jay Moe 🎉🎉
🙌🏾
Nimependa hii podcast JayMo, big up Naz.
Trueeeee, we grew up listening to jay, story tatu was huge back n made major impacts on our lives
Broh naomba kuonana na wewe Jay Moe
This is definitely one of the best interview ever! Kuvi unajua sana kutafuta info asee. Jay Moe smart sana!
Shukran sana
Anko jay moe unatema madini ki professor alaf juu suit chin moccasin, umepoa kiutu uzima kabisa yani salute ankol.
Tunaomba tuletee huyu mwamba na nusu Crazy King GK mtu hatareee sana ewe mr Kuv Fact🙏
Crazy GK hatari kabisa
Brother fanya kutuletea DIZASTA VINA tulishe ubongo kk please
Nakuunga Mkono
Madini yakitema tutafanya docuseries 1 day
Napenda kumuita MO Technic
Nafatilia sanaaa sijawahi comment ila jamaaa yuko vizuri
Nakukubali tangu zaman big up mbakiaji
I am eagerly waiting for part 2
Best interview best Mcee much love from kenya nmekua shabiki wa jay mo toka wayback
🙌🏾
Jay moo yupo vizur kwa upande reall hip pop
Big up to jaymoe, nakumbuka album yake ya kwanza ilikua moja ya album zangu kali kabisa ambazo niliwahi kumiliki wakati huo.
Interview yeee
The interview was lit,Jaymoe kept it real
Wasanii wa sahv empty head kbs
Mo teckinic Mo fravel 💥💥
Mo majakumu haipatiakani Ktk platform za music na mtoto wa mjini Remix pure one black ft Ay nazitafuta sana
Zinapatikana hizo chimbo mzee
Buana Jabiri tuletee king crazy Gk
Nasikia eti yupo kwenye msongo wa mawazo na anatumia sembe sana ila ni tetesi zipo tu.
Ila ni legend sana
Hayuko tayari yeye mwenyewe mana nmimualika hafiki
Inshallah ipo siku atakubali kuja
Siku akikubali basi itakuwa poa sana
Dah ai no fim me deixou
🚀🚀🚀
hizo brand za nguo hajapronounce vizuri exept paul smith
moe hatari sana akuchoshi story zimenyooka
🙌
Kaka angu kabisa ww... nakubal sana
Mo Techniques !
Nimesubiri kwa muda kusikiliza wale jamaa toka SOLID GROUND FAMILY walitoa wimbo kwa jina Asubuhi, Mchana na Usiku
Make sure jumamos J moe anatokea
Nazizi First Lady wa Rap
Jay moo nuksii
Moo mwamba ....
Lugombo hakujuaga kama huo wimbo alikuwepo Jay Moe 😂😂
Upi huo?
Comment ya kwanza kabisa
Mshikaji ni mshambaaa kumbe ni mbabaishajiii
Mark 2 B aka Simba dah
Ulimwengu ndio mama na ile album ya Mangwair mpaka leo ukisikiliza ni km simetoka leo
2pac wa bongo
Bab kubwa moe
K
JIPANGE
mbona huja mhoji kuhusu baba levo Ile inshu mpaka akaingilia moni au atarejea Tena?
Tuletee Dizasta vina
J to the Mo😂😂😂😂😂😂
KUVI umemwacha Jmo atiririke na content alizo jipanga nazo sana,uja mchimbua kindaki ndaki...alikutanaje na FA na ingekuwa Vp?Vip ngwea walikutana vp?alikuwa mkali ndio ila nani ali mfanya aone kama awezi alipo ingia kwenye gem?
Ww hapo una maswali yako ambayo si mbaya ukiandika hapa nkakuulizia ,pili tutakua na Part 2 hadi 3 if possible ana vitu vingi,tatu ukimkatisha anaweza akasahau alichotaka ku adress mwenyewe kwanza kabla ya maswali yetu pia wapo ambao uki
Katisha wanapiga kelele hapa hapa 😀
Tmu na nusu motek
kuweka you tube na watu kuskiza sasa mbona mnakata sehemu ya mziki ya mtu anayehojiwa
Nyimbo kasikikize kwenye account yao mkuu ,hapa zina hakimiliki hatuwezi kutumia boss
Huyu bro ni mtu na nusu
Mbona umekata kipande cha langa na jmo...bongo miyeyusho sana