THE CLASSIC JAY MOE PT 1 EP 2:LANGA ALINILIZA SANA/NAZIZI ALINIPA JINA HILI/BEEF NA ZAHRANI/MAJANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Sehemu ya pili ya simulizi za Jay Moe katika safari yake ya maisha ya kimuziki hapa anazungumzia mengi ikiwemo namna Nazizi wa Kenya alivompachika jina la Jay Mo,Beef zake na Zahrani na Langa na mengine mengi

Комментарии • 99

  • @ericktona3638
    @ericktona3638 4 месяца назад +10

    Huyu jamaa ni muandishi haswaa
    1: ukisikiliza alichoandika Mvua na jua utakubaliana na mimi kuwa mle aliumiza kichwa sana
    2: kama unataka demu aisee aliandika kusifia madem kitu ambacho alichotaja mle hadi sasa hizo sehem kuna madem wakali haswa
    3: Maisha ya boarding Aisee mle vitu alivoandika sisi tuliosoma boarding tunajua nini alisema 😂😂 ni ukwel mtupu
    4: Sasa akajaa kuuwa haswa kwenye Story 3 aisee 😂😂🙌
    5: Sikiliza I need Money 😂 vers moja kachapa kingeleza tüpü Afu kimenyoka haswaaaa
    6: Maliza Famous afu uje nitajie mwandishi wako bora wa hip-hop kumpita Super man 😂😂😂
    4:

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 4 месяца назад +16

    Wasanii wa zamani wanajuwa kufanya interview wanaongea vzr ,positive kabisa

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 4 месяца назад +5

    Mo Tech Mo Fleva…..Best Storyteller best interview 2024, hizo zitakazokuja labda iwe ya Prof J au Majani au Mr. J.

  • @shedrackminja7334
    @shedrackminja7334 4 месяца назад +6

    KUVI niaje mwamba kazi nzuri, ombi langu kwako ni uturahisishie na sisi mara moja moja uwe unatag hizo nyimbo unazokuwa unawasikilizisha kweny wasani kweny presentation. Najua nyingi hazitokuwa kweny online platforms cause ni oldies 😂, Ila fanya mambo mwamba KUVI much respect brother 💪🏾.

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 4 месяца назад +7

    Jamaa yuko vizuri kwanzia kichwani shukurani kwa jabir kwa kutuletea vichwa

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 4 месяца назад +1

      Kabisa hawa watu wenye akili ndio wanatakiwa kuhojiwa sio unahoji mtu anaongea upuuzi

  • @NoahMalanga
    @NoahMalanga 4 месяца назад +5

    Jay to the mo, Mo technique, Mo fleva, Mo famous.....Living legend

  • @user-xm9wr1lk4t
    @user-xm9wr1lk4t 4 месяца назад +3

    Albums zake zote mbili ninazo ya kwanza ni ulimwengu ndiyo mama na mawazo ya jay moe

  • @leonardcharles3169
    @leonardcharles3169 4 месяца назад +5

    Wanamziki wa kizazi Cha kati wanatakiwa kujifunza sana kutoka Kwa jay Moe, hususani Nidhamu

  • @kyambahacharles-mr4zk
    @kyambahacharles-mr4zk 4 месяца назад +4

    Much respect sana kwako brother, ndiyo msanii wa kwanza kwangu kutoa hela yangu ya Pocket money ya shule kununua tape yake ya ulimwengu ndiyo mama Ile ni mshambaaa..., mshikaji noma sana.

  • @saveklima4494
    @saveklima4494 4 месяца назад +1

    Jay moe Mback yard, we ni msanii mahiri sana unajua sana. Unatakiwa kuungana na wasanii wengine kuunda chuo cha rap na historia ya bongo Rap. The Interview iko poa sana. Nawasikiliza toka Hamburg

  • @wilsonrichardmabala6616
    @wilsonrichardmabala6616 4 месяца назад +4

    One of the best interview, jamaa mkali sana sana...

  • @user-xo4re6ip9t
    @user-xo4re6ip9t 4 месяца назад +3

    Jay Moe yuko mbele ya muda sana.

  • @erqmusic5973
    @erqmusic5973 4 месяца назад +2

    It's true bro....sisi Kenya J ikiambatana M tayari wewe ni J moe❤

  • @gRaY_S9N
    @gRaY_S9N 4 месяца назад +1

    Respect sana kwa #Jay #Moe
    Huyu Jamaa ni Talented sana ni mmoja kati ya Good Storyteller. Ishi sana Brother #So #Famous..🙏🏾🙏🏾.
    Endelea Kupeperusha Bendera..🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nehemia397
    @nehemia397 4 месяца назад +3

    mzee safi sana unajua kumuacha mtu aongoe inakua safi sana ..

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 4 месяца назад +5

    Huyu jamaa Ana consistency ya ajabu hajawahi kushuka Kama marapper wengine wa Bongo ✌️✌️

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 4 месяца назад +3

    Interview bors kabisa mzee jabir kuvichaka....naomba mum mumlete noorah babastyles inshaallah ❤️

  • @Umma-j7c
    @Umma-j7c 6 дней назад

    Gud kaka jay mo anajua kunyosha maelezo

  • @Lg4343
    @Lg4343 4 месяца назад +2

    Daah respect sana Faza huyu Jamaa namkubali sana natamani nije nimuone live aise nimpe salamu

  • @mashakamakoba7955
    @mashakamakoba7955 4 месяца назад +2

    Shule ni jambo la msingi sanaa wasanii walosoma wanajua nini chakuongea na kuandika pia

  • @Umma-j7c
    @Umma-j7c 6 дней назад

    Much respect bro jay mo yupo gado xanaaa kunyosha maelezo

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 4 месяца назад +2

    Story 3 tofauti mzee wa kuvi iguse

  • @peterjohn8405
    @peterjohn8405 4 месяца назад +1

    Hongera kwake jay Mo kwa kuendelea kujiweka vizuri.

  • @ndesafanamfala5800
    @ndesafanamfala5800 4 месяца назад +7

    Jmore Ukipenda Mbakiaji Ww ni Moja ya Washika kipaza Wenye kuogopwa ktk Hip hop ya bongo ni full package Nyota Yako siyo Mchezo Wajina Juma kiloboto analijua Hilo ww sooo...More Tec

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 4 месяца назад +2

      Nadhani Jay Moe hana nyota kali..maana kwa uwezo wake!alipaswa awe na heshima kubwa zaidi ya hii aliyonayo

    • @ndesafanamfala5800
      @ndesafanamfala5800 4 месяца назад +1

      Kipindi Jmore anaingia ktk game Nature alikuwa Wamoto Majina Yao ya yanafanana Michano tofauti radha Kila Mmoja anayo kukawa na battle ya chini Kwa chini Juma yupi anatokea pande zp

    • @simonmwakifuna1287
      @simonmwakifuna1287 4 месяца назад

      ​@@nicholausmbilinyi3587kabisa mkuu

    • @amonijajila1218
      @amonijajila1218 4 месяца назад +1

      Live kabisa

  • @antonyyohana6148
    @antonyyohana6148 4 месяца назад +1

    Mwana yupo mbele ya mda sana so Namkubari sana iyo Bishooo Enz izo ilikuwa noma so much Respect Buddha.

  • @chandengao8795
    @chandengao8795 4 месяца назад +3

    Akina mo walisoma music wengine katika mchakato wa maisha wengine walipata kipwampwam Cha mziki hawajui wengine walofanya mziki kabla yake.
    Nadhan haja ipo ya kuwatumia hawa watu kwenye kuunda kozi za muziki kwenye vyuo mbalimbali nchini
    Maneno yake ukiyachunguza yapo juu ya wakati

    • @hiphopoldschoolkalama1405
      @hiphopoldschoolkalama1405 4 месяца назад

      Jamaa wamesoma. Hawa wa sasa ni balaa tupu.

    • @paulchaula2583
      @paulchaula2583 4 месяца назад

      Watu n walimu was mziki Ila sio Wana mziki no content kabisa kumbe wapo watu wenye content na wanaishi nao

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga5288 4 месяца назад +2

    Jay Moe 🎉🎉

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 4 месяца назад +1

    🙌🏾

  • @pewaabagenge
    @pewaabagenge 4 месяца назад

    Nimependa hii podcast JayMo, big up Naz.

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 4 месяца назад

    Trueeeee, we grew up listening to jay, story tatu was huge back n made major impacts on our lives

  • @georgemathew9326
    @georgemathew9326 3 месяца назад

    Broh naomba kuonana na wewe Jay Moe

  • @surveyexpeditorstanzania429
    @surveyexpeditorstanzania429 4 месяца назад

    This is definitely one of the best interview ever! Kuvi unajua sana kutafuta info asee. Jay Moe smart sana!

  • @deopogbajr1304
    @deopogbajr1304 4 месяца назад

    Anko jay moe unatema madini ki professor alaf juu suit chin moccasin, umepoa kiutu uzima kabisa yani salute ankol.

  • @frankkilemile2980
    @frankkilemile2980 4 месяца назад +1

    Tunaomba tuletee huyu mwamba na nusu Crazy King GK mtu hatareee sana ewe mr Kuv Fact🙏

    • @boniphace1
      @boniphace1 4 месяца назад

      Crazy GK hatari kabisa

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 4 месяца назад +2

    Brother fanya kutuletea DIZASTA VINA tulishe ubongo kk please

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 4 месяца назад +1

    Madini yakitema tutafanya docuseries 1 day

  • @TwahiliMkanjela
    @TwahiliMkanjela 4 месяца назад

    Napenda kumuita MO Technic

  • @kibisionlinetv
    @kibisionlinetv 4 месяца назад +1

    Nafatilia sanaaa sijawahi comment ila jamaaa yuko vizuri

  • @barakamalanga4977
    @barakamalanga4977 4 месяца назад

    Nakukubali tangu zaman big up mbakiaji

  • @Yegon254
    @Yegon254 4 месяца назад

    I am eagerly waiting for part 2

  • @Mtamaduni14
    @Mtamaduni14 4 месяца назад

    Best interview best Mcee much love from kenya nmekua shabiki wa jay mo toka wayback

  • @nsajigwajuliusmwakatobe
    @nsajigwajuliusmwakatobe 4 месяца назад

    Jay moo yupo vizur kwa upande reall hip pop

  • @lucaspius1048
    @lucaspius1048 4 месяца назад

    Big up to jaymoe, nakumbuka album yake ya kwanza ilikua moja ya album zangu kali kabisa ambazo niliwahi kumiliki wakati huo.

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 4 месяца назад

    Interview yeee

  • @stephenmwita5857
    @stephenmwita5857 4 месяца назад

    The interview was lit,Jaymoe kept it real

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 4 месяца назад +1

    Wasanii wa sahv empty head kbs

  • @mpaligwajunior7835
    @mpaligwajunior7835 4 месяца назад

    Mo teckinic Mo fravel 💥💥

  • @leonardmavulla675
    @leonardmavulla675 4 месяца назад +1

    Mo majakumu haipatiakani Ktk platform za music na mtoto wa mjini Remix pure one black ft Ay nazitafuta sana

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 4 месяца назад +3

    Buana Jabiri tuletee king crazy Gk

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 месяца назад +1

      Nasikia eti yupo kwenye msongo wa mawazo na anatumia sembe sana ila ni tetesi zipo tu.
      Ila ni legend sana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Hayuko tayari yeye mwenyewe mana nmimualika hafiki

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 месяца назад +1

      Inshallah ipo siku atakubali kuja

    • @nyemondagalla608
      @nyemondagalla608 4 месяца назад +1

      Siku akikubali basi itakuwa poa sana

  • @nassoloabdala8836
    @nassoloabdala8836 4 месяца назад

    Dah ai no fim me deixou

  • @msavageisco5897
    @msavageisco5897 4 месяца назад

    🚀🚀🚀

  • @mshangaf1726
    @mshangaf1726 4 месяца назад

    hizo brand za nguo hajapronounce vizuri exept paul smith

  • @expeditormkoka3609
    @expeditormkoka3609 4 месяца назад +1

    moe hatari sana akuchoshi story zimenyooka

  • @georgerogath374
    @georgerogath374 4 месяца назад

    🙌

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth 4 месяца назад

    Kaka angu kabisa ww... nakubal sana

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 4 месяца назад

    Mo Techniques !

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 4 месяца назад

    Nimesubiri kwa muda kusikiliza wale jamaa toka SOLID GROUND FAMILY walitoa wimbo kwa jina Asubuhi, Mchana na Usiku

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 4 месяца назад

    Make sure jumamos J moe anatokea

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 4 месяца назад

    Nazizi First Lady wa Rap

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby 4 месяца назад

    Jay moo nuksii

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 4 месяца назад

    Moo mwamba ....

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 месяца назад +1

    Lugombo hakujuaga kama huo wimbo alikuwepo Jay Moe 😂😂

  • @ZakayoReuben-ow9tz
    @ZakayoReuben-ow9tz 4 месяца назад

    Comment ya kwanza kabisa

  • @muddymassah8998
    @muddymassah8998 4 месяца назад

    Mshikaji ni mshambaaa kumbe ni mbabaishajiii

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 4 месяца назад

    Mark 2 B aka Simba dah

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 4 месяца назад

    Ulimwengu ndio mama na ile album ya Mangwair mpaka leo ukisikiliza ni km simetoka leo

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137 4 месяца назад

    2pac wa bongo

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 4 месяца назад

    Bab kubwa moe

  • @Umma-j7c
    @Umma-j7c 6 дней назад

    K

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media 4 месяца назад

    JIPANGE

  • @ramamsukuma
    @ramamsukuma 4 месяца назад

    mbona huja mhoji kuhusu baba levo Ile inshu mpaka akaingilia moni au atarejea Tena?

  • @uwezokinahi7870
    @uwezokinahi7870 4 месяца назад

    Tuletee Dizasta vina

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 4 месяца назад

    J to the Mo😂😂😂😂😂😂

  • @blessedtabatasengelight
    @blessedtabatasengelight 4 месяца назад +1

    KUVI umemwacha Jmo atiririke na content alizo jipanga nazo sana,uja mchimbua kindaki ndaki...alikutanaje na FA na ingekuwa Vp?Vip ngwea walikutana vp?alikuwa mkali ndio ila nani ali mfanya aone kama awezi alipo ingia kwenye gem?

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Ww hapo una maswali yako ambayo si mbaya ukiandika hapa nkakuulizia ,pili tutakua na Part 2 hadi 3 if possible ana vitu vingi,tatu ukimkatisha anaweza akasahau alichotaka ku adress mwenyewe kwanza kabla ya maswali yetu pia wapo ambao uki
      Katisha wanapiga kelele hapa hapa 😀

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato 4 месяца назад

    Tmu na nusu motek

  • @MohamedAhmed-yi7qz
    @MohamedAhmed-yi7qz 4 месяца назад

    kuweka you tube na watu kuskiza sasa mbona mnakata sehemu ya mziki ya mtu anayehojiwa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад

      Nyimbo kasikikize kwenye account yao mkuu ,hapa zina hakimiliki hatuwezi kutumia boss

  • @TwahiliMkanjela
    @TwahiliMkanjela 4 месяца назад

    Huyu bro ni mtu na nusu

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 4 месяца назад

    Mbona umekata kipande cha langa na jmo...bongo miyeyusho sana