NIKKI MBISHI : MIMI na MAJANI hatuna Tatizo Labda Yeye ndio Anatatizo na Mimi/Twitter Wajinga wengi.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 95

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Год назад +19

    Mi hua napenda tu Unju anavyojibu maswali calm and easy unaweza kuhisi amejibu kwa dharau lakini ukichunguza Vizuri unakuta amejibu sahihi kabisa." Genius"

  • @nehemiahmguluka1996
    @nehemiahmguluka1996 Год назад +12

    Unju Bin Unuq 🔥🔥🔥The Greatest of all time!!! (G.O.A.T)

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande7734 Год назад +6

    Wanajua kuwa sikuwahi kuogopa nilismama imala na skuwahi kuongopa Kwanza pande zao stimbagi Dr unju Nikki mbishi Nikki wapili sweet mangi unnnnnnnjuu🎙️🎙️🎙️🎙️

  • @stevemwachi254
    @stevemwachi254 Год назад +5

    Salute kwa UNJU BIN UNUKI...Karne ninayoishi mimi ya mziki Nikki ni mmoja kati ya manabii ninaosikiza na kueleza habari za vitavu vyao..Mzee wa makavu.

  • @Kitaautange
    @Kitaautange 28 дней назад

    Hio ngoma Unju anaongelea ya Jay moe lord na da hustler ilifanywa na chzn brain ilikua inaitwa Unforgettable🔥🔥

  • @yasinazam116
    @yasinazam116 Год назад +5

    I was waiting for this interview unju interview zake ni za kijanja sana kuliko yoyote bongo

  • @jimmyx8412
    @jimmyx8412 Год назад +4

    Nawaomba wote tunaoitazama hii twenden tumsapoti mwamba tununue K.I.G.U the mixtape

  • @d.i.o
    @d.i.o Год назад +3

    You can be a Godfather, but u can't be "GOD" father!! Nikki always on point!!

  • @justerclement6437
    @justerclement6437 Год назад +1

    Handsome boy wetu kutoka kanda maalumu, mara tuajivunia wewe mkurya wetu Genius, mwanaume na nusu kichwani ni GB 360

  • @mosesabwao2673
    @mosesabwao2673 Год назад +1

    nimependa hii show, from Kenya,,Nikki ako poa sana,,big up,,ni kama show flani ya Kimamtoni hivi,,HIPHOP kwa mbele

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Год назад +1

    Unju bhana we genius

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 Год назад +7

    Baba Malcolm 🔥

  • @daddyarfaksadi
    @daddyarfaksadi Год назад +3

    Nliiskiza lakin ilipotea..imerud tena 💯💯💯💥💥💥💯💯💯

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Год назад +4

    Huyu jamaa Bana kujiita mbishi kweli ni mbishi yani Kwanza unavotarajia akujibu ni tofauti na swali,, oyaa uyu jamaa ni nguzo really ya hip hop ilobaki kuanzia mwonekano, saut pia uandishi halafu ndio raper ambaye mauzo ya ukubwa wa muziki wake sio Sawa na ukubwa wa muziki wake lkn hajajikuta kwene maanguku ya Kula unga

  • @GamechangerTz
    @GamechangerTz Год назад +2

    Sijutii Kuchoma Bando Langu Nimeenjoy Sana Kusema Ukweli 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 Год назад +1

    Genius man.....

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr Год назад +2

    Unju nmependa sana soggy doggy anavyo uliza maswali yak mtu fran anafatlia sana game letu The industry bonge Moja la kipind top in town

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Год назад +1

    "Safisha kwanza kinywa mwanangu ndio uwaze BreakFast"

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Год назад +5

    Oya ilo swali sasa la "WASANII WA SASA WANAO-RAP" majibu yake nimecheka sana 😁😁😂😂😂

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Год назад

    This guy is a legend!! Big up NIKKI Mbishi

  • @erqmusic5973
    @erqmusic5973 Год назад

    Kweli bro...bora ufunguke,bora ukate pipe tu🔥🙏❤️

  • @SAYMON794
    @SAYMON794 4 месяца назад

    Nakuwelewa ninja mbishi

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 Год назад +2

    Huyu ndiyo mwana hiphop sasa

  • @derickmshana3916
    @derickmshana3916 Год назад +4

    "You can be a godfather but not a god,father"

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Год назад

    Hahahahahhahahaa unju una akili mingi sana, eti nilitaka Belle arekodiwe kufunga agenda ya kikao. Hahahaha unenichekesha shana...unaenda kimtindo wako. respect Kigu.

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth Год назад

    Nakubal sana kaka mkuu... mungu akuweke baba nathan a.k.a baba malcom

  • @zakiakijo2290
    @zakiakijo2290 Год назад +1

    Zohaan Uuunju.

  • @EmmanuelLekasango-rt1qx
    @EmmanuelLekasango-rt1qx 4 месяца назад

    Unjuuuu uko frsh sana kuJIBU maswali

  • @zackypapla5511
    @zackypapla5511 Год назад +1

    Hii interview nimeiludia kam ni wimbo

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 Год назад

    Duuh studio ni kali kinoma, kuna mjomba kaweka hela hapa

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 Год назад

    Too much noise on the background 😅

  • @mphotshoke7760
    @mphotshoke7760 Год назад +1

    Majani kweli mzungu ajui kiswahili 🤣🤣

  • @astongllo725
    @astongllo725 Год назад +2

    Con boi to the top father kabless✌🏿✌🏿✌🏿

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Год назад

    We unju umesababisha namm nimuite mtoto Wang MALCOM

  • @azorindege2556
    @azorindege2556 Год назад

    Ila Nikki yaan apande tu akapate experience barabarani means hana la kufanya ahahahha daaah

  • @nsumbaboy3549
    @nsumbaboy3549 Год назад

    Huyo ndo mkurya kweli

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa Год назад

    Interview kali sana 🔥🔥🔥

  • @millardmbaraka6114
    @millardmbaraka6114 Год назад

    Nash anapewa maua yake Kila mara haswa Nikki akiwa anahohijiwa this is big man @nash mbinafsi muongoza njia

  • @georgemagori1268
    @georgemagori1268 Год назад +2

    Soggy mnachelewa kuweka interview mapema online

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 Год назад

    Ila niwe mkweli tu, rap ya wakaz sijawahi ielewa, sio harap vzr, ila ile test ya rap yake bado sijaielewa

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Год назад

    Con boi pekee yake wengine hamna😆😆😆😆

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 Год назад

    Unjuu humskiliz ranga bosho ninjaa😏

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan5133 Год назад

    Do this dude still under management? Or Not .

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Год назад

    Akili mingi kwa kichwa cha unju usipime

  • @neemafesto-vw1ji
    @neemafesto-vw1ji Год назад

    You can be a godfather but not ..God ...father

    • @eliahswai1607
      @eliahswai1607 Год назад

      And you can be dog mother by the way

  • @jaysoncretus2983
    @jaysoncretus2983 11 месяцев назад

    Ndugu interviewer umetisha, and nikk mbisha unajitambuaa kaka nataman nikikua niwe kama wewe

  • @andrewsalmo-bq4hr
    @andrewsalmo-bq4hr Год назад +1

    Unju

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Год назад

    Respect

  • @edwinwilfred8343
    @edwinwilfred8343 Год назад

    Hii redio mbona kama ni mpya kwangu ,maana huku haishiki mwenye anajua anieleweshe

  • @nasrifrank581
    @nasrifrank581 Год назад +1

    Unjuuu

  • @salummaguo1950
    @salummaguo1950 Год назад

    Conboi ujakosea kabisa DR. Unjuuuuu

  • @brunofernandez6608
    @brunofernandez6608 Год назад

    Baba Malcolm

  • @trig5623
    @trig5623 Год назад

    Hili ni wazo la nikki mbishi🤔

  • @exsaverymachaninga6138
    @exsaverymachaninga6138 Год назад

    Unju........👊👊👊👊

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Год назад

    Niki

  • @millenniumtot4565
    @millenniumtot4565 8 месяцев назад

    IQ

  • @tundamasaga9530
    @tundamasaga9530 Год назад

    Mkuu mkuuu tuh ndio mkurugenz

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад

    Hiphop artist akili kubwa sana

  • @jumazinga941
    @jumazinga941 Год назад

    UNJU BN UNUQ mtu hatry sn 👊🏿

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Год назад

    👏👏👏

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 Год назад

    SAUTI YA JOGOO 💯✍🏽

  • @ambutrendtv4178
    @ambutrendtv4178 Год назад +9

    Nikki mbishi bado hajaelimika kuhusu digital platforms vzur,Ana fikra za kizaman ,ubinafsi ,CHUKI na choyo,ndomana UMASKIN haumuishi,NI mtu flan so negative

    • @Paplick9
      @Paplick9 Год назад

      Amini hivo yani but is life Kila mtu na anacho amini

    • @giovannikomba
      @giovannikomba Год назад +3

      Wewe ndio una chuki na negativity!! Negative attractive negative natural of attraction!! Kwani lazima umfualitulie kama humpendi achana nae sio fan wake! Yeye sio Hela apendwe na Kila mtu!! Wewe sio ulimfanya afanye mziki!!! Wewe kama ni tajiri huku unatafuta nini , it is a time of trading your business

    • @tundamasaga9530
      @tundamasaga9530 Год назад +1

      No!! C ivyo mkuu kanunue bidhaa yake uone kama atakunyima.unatakA kitonga.

    • @jumazinga941
      @jumazinga941 Год назад

      Hahahaha angekua na choyo angekua hauz angebak nazo kaz zake toa hera nunua kaz tena ndioo vzur utaku unapata taarifa za kaz mpya

    • @Zamanisana2024
      @Zamanisana2024 Год назад +3

      Nunua kazi wewe acha ujanja ujanja wewe hizo platforms hazimlipi zaidi ya kumnyonya na ana familia hilo ukumbuke yeye anauza Man to Man

  • @victormauggo
    @victormauggo Год назад

    Kuwa hip hop Mc haina maana ya kuwa mgumu wakina 2pac kitambo waliingia kutengeneza hela..join those platform ziwainue kipato ndio mana mkikutana na watu mnaonekana wachovu financial mnapata inferiority complex

  • @andrewsalmo-bq4hr
    @andrewsalmo-bq4hr Год назад

    Unju

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 Год назад

    Unju