FID Q : Bongo Flava Imepotea/Wenzetu Wanapenda Vya Kwao/Promota Wengi TZ hawana Bajeti....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • FID Q : Bongo Flava Imepotea/Wenzetu Wanapenda Vya Kwao/Promota Wengi TZ hawana Bajeti....

Комментарии • 33

  • @jumaanassib-oo3il
    @jumaanassib-oo3il Год назад +2

    Daaah! Father nimekuelewa sanaaa lkn wazo moja tu kwanini msiwe na weka seminar ya DJ's pamoja na Mapromota kuhusu kucheza mziki wa Bongo kwa kiasi kikubwa na pia hawa Mapromota hawawezi kuandaa show pasi na Government permit kwaiyo kwanini tusiwe na sheria maalumu na kanuni ya kuupa mziki wetu heshima na kukua zaidi .Serikali pamoja na Wadau ndio wanaweza kutushibisha radha ya mziki wa Bongo

  • @pena_tz
    @pena_tz Год назад +1

    wasanii wa bongo hamuwapendi wananchi kabisa, halafu mnataka tusikilize local music na kudai uzalendo. na nyie badilikeni kidogo

  • @yassirgk3954
    @yassirgk3954 Год назад

    sogy no one like u presenter mwenye skills za maswali yenye akili sio wasafi nusu kipindi chote wanamtaja diamond tu wanaboa

  • @pmanpjjp
    @pmanpjjp Год назад

    Mi naamini awakutani na vitu vizuri wanavyoovipenda may be best zenye mood au maproducer wanao amasisha game

  • @cypriannyamwamu
    @cypriannyamwamu Год назад

    Lakini mbona Watanzania huwa hawapendi wakenya kabisaa?
    Ni chuki au wivu?

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Год назад

    Sogg dog ni kilaka wa bongo fleva na Tasnia ya hbar na bongo fleva

  • @abubakarsalim6103
    @abubakarsalim6103 Год назад +1

    Respect the OG🇰🇪All the way. Fid Q is great but it is end of his Era.

  • @Wiliyamu
    @Wiliyamu Год назад

    PIGA makofi everytime he says "UMENIELEWA VUZURI"

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Год назад

    Sogg dogg sasa hivi yupo station gan

  • @abdulmasoud1921
    @abdulmasoud1921 Год назад +1

    Ivi uyo aliempatia Babu tale udoctor wa heshima kwanini asimpe uprofesa huyu king FID Q?

  • @riccomkali-eq8qr
    @riccomkali-eq8qr Год назад +2

    Fid q for life cruza kwaruza toka Kenya

  • @chidomar4958
    @chidomar4958 Год назад +2

    Mmh fid q simu king’ora😂

  • @bittersweet1683
    @bittersweet1683 Год назад +1

    Fid Q is the King in Africa he has a powerful msg not for average

  • @Wiliyamu
    @Wiliyamu Год назад

    MAKES SENSE WHY THIS GUY UWA DOES NOT DO MAHOJIANO MARA KWA MARA.....MZEE WA BUSARA SANA ..WHEN YOU TAKE TIME TO LISTEN

  • @dj26number2
    @dj26number2 Год назад +1

    Mapromota wengi wanao andaa show kama izo wengi sio wabongo ndio maana wasanii wetu wanakua wasindikizaji🙃

  • @platinummarcus1341
    @platinummarcus1341 Год назад

    Kwasababu msikilizaji wa rap yeyote yahitaji atleast unyake kitu flani. Nyimbo asilimia 80 ikiwa kiswahili atanyaka nn.

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 Год назад

    Maprokoter wabongo wanazinguwa Bahu tale salamu wote makuma

  • @beenismailofficialali2024
    @beenismailofficialali2024 Год назад +1

    that's true bro i like that 💯 fid q your the only one

  • @chappagold
    @chappagold Год назад +2

    Mjini fm 🔥🔥🔥🔥

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Год назад

    Mm ndio nilikupaaa kitambaa chakukufuta jashooo unakumbuka Sana’a ajaliii na babu kinkokoo akiwa natoka kwenye shooo yakooo wahuni 3 na madem wao walifali palepale

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Год назад +1

    Fid Q mwanza Mwanza

  • @directorballo9598
    @directorballo9598 Год назад

    Mpigapicha mshamba sana uyo kupitapita mbele ya camera Mwana mwanakijiji

  • @simbafadhili
    @simbafadhili Год назад

    jay melody ngoma zake zote ni moja tu. same menu inachosha

  • @abelhardware6445
    @abelhardware6445 Год назад

    Fd q ndio habari ya mjini jamani kama nikujivunia wasani wa hpp

  • @khamisyaa6927
    @khamisyaa6927 Год назад

    Fidq professor wa chuo kikuu cha ghetto

  • @riccomkali-eq8qr
    @riccomkali-eq8qr Год назад +1

    Fid q for life

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Год назад

    Na yy si ana rap na rap wenyewe ni wamarekani na zaidi weusi

  • @chinarailway4988
    @chinarailway4988 Год назад +1

    FID Q 🔥🔥🔥🔥

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Год назад

    Fid akili kubwa Sana we jamaa

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 Год назад

    Haina sauti live Why ?

  • @sanaanimaisha4072
    @sanaanimaisha4072 Год назад

    Huyu ni Fid Q, moja kati ya watu makini sana.