Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK
Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop
Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..
NIKI MBISHI MOJA KATI YA MC BORA WA MUDA WOTE TZ 🎤👑
Nikki mbishi nakutambua you are the hottest rapper ryt now bongo hao wengine mambwiga tu
Dah nimependa sana hii interview kwasababu hapo zamani Baghdad alikua msanii na alikua na bifu na niki mbishi lakini leo amemuhoji vizuri sanaaa
Mexicana Lacavella
kama nimepauka nipake mafuta au niache kama ulivyo nikuta noma sana mzee wa makavu live
Unju unajua kuelezea kitu kika eleweka zaidi big up
Wanamyima dili wakisema ni mbishi
Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK
Nooma sana, unju hapa kigali tunakupenda bro keep it up
Nikki namkubali sana
Nikki mbishi ni sehemu ya manabii wa hiphop bongo na bongo flava kwa ujumla wake
mbishi noma
nikki amesema kitu makini sana kwenye content. lyricsism
B.A.G.H.D.A.D 🔥🔥🔥🔥
Respect mabrother unjuu
Appreciates u bob I wish 1dei nijekuwa presenter with yah in times fm
nakukubali broo nikki B
Genius
Tunaomba mwendelezo wake
My brother UNJU 👊 saluty broo
Underground Legendary
Nakubali unju
Vita y Bengaz Under ground King 🤴
nikki bhana mambo yake😂😂.
Anajua sana kwenye midundo mr. unju.
Nicki mbishi akili kubwa vichwa ka hivi ndo vinatakiwa
Na madder kila intaview sio tu the bar tender rafudhi tam mpaka wanauliza umekaa pemba
nawaambia mi ni born herehere jembe zaiid ya john pia dear niko strong sina fear
Namkubali uyuu jamaa kawa chana kabisa
Mimi ingekua sio magufuli nisingeichakua CCM maisha yangu yote na kizazi changu ila mimi jana NK mbishi c chagui CCM namchagua MAGUFULI
Unjuuu mkali wao
Nikki mbishi
Huyu jamaa ni kwel jina liko mahali kwake yani ni M’bishi wa ukwel
Ni mbishi na mkweli ndio maana mafans wanampenda
Majina kibao sio
Haka kajipu haka balaa
jamaa ni mtawala sio kiongozi😂😂😂
Unju Bin UNUK....!!
Bangdad una akili saaana! Una maswali yenye logic sana
Kweli unafiki halafu mie mwenyewe sifagilii Mambo ya hivyo
Dr unju
#nikkimbishi
👍
18:10 nimeshtuka sana na nikajiuliza media zetu zinafanya kazi ya kupromote lugha yetu vizuri kabisa sasa huyo jamaa sijaelewa anaongea lugha Gani.
Huyo jamaa ni mkongo
3:50🤣🤣🤣
Yeah na unafki unaoendelea kwenye umoja wa unafki 🤣🤣🤣🤣
Baba Malcolm X, Zohani, Bobani,
Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop
We wako watu kama chindo man anachana atar ww ufatlii game vzri
Mbishi noma sana..😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂mambo ya unafiki Sio
😆😆😆 na we umo kwenye lile group? Unaogopa utaitwa mnafki😃😃😃
Unju unasema humuoni Nay ktk level z u MC wakat yy anatengeneza hela na humkaribii..
Ishu n u MC si ela
hela gani anatengeneza ww
Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..
@@abdulmohd6880 tulia ww huelew chochote
Mbish ndio best uyo ney boya
Unju wewe nizaidi yanoma me nawaona hawa madogo wanaoruka ruka tu man
Nk nakukubal sana ila k2moja unazngua sometimes
18:9 😂😂😂😂
ruclips.net/video/mw8sfeIgq44/видео.html
tazama maajabu ya acha lizame remix nandy ft harmonize
Wanaharakati wote Gusa link ruclips.net/video/6dhYJpLCkew/видео.html Kusikia michano
Bin Upupu
Unju punguza kuchonga
😂😂😂😂😂😂
Sitaki kuwa nyota nataka kuwa mwezi
Nikki mbishi kawa Nikki michambo,
Bora Nikki wa pili maana Nikki wa kwanza Hana mchongo,