NIKKI MBISHI:WASANII NJAA WANAFIKI/WABOVU WENGI/JOHMAKINI/NIKI WA PILI/NEY WA MITEGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 71

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman188 4 года назад +12

    NIKI MBISHI MOJA KATI YA MC BORA WA MUDA WOTE TZ 🎤👑

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai5336 4 года назад +1

    Nikki mbishi nakutambua you are the hottest rapper ryt now bongo hao wengine mambwiga tu

  • @sizakitego4374
    @sizakitego4374 4 года назад +3

    Dah nimependa sana hii interview kwasababu hapo zamani Baghdad alikua msanii na alikua na bifu na niki mbishi lakini leo amemuhoji vizuri sanaaa

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 3 года назад

      Mexicana Lacavella

  • @allexlunny7795
    @allexlunny7795 4 года назад +3

    kama nimepauka nipake mafuta au niache kama ulivyo nikuta noma sana mzee wa makavu live

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 4 года назад +2

    Unju unajua kuelezea kitu kika eleweka zaidi big up

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад

      Wanamyima dili wakisema ni mbishi

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 4 года назад +6

    Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK

  • @mulisaemmanuel8728
    @mulisaemmanuel8728 4 года назад +1

    Nooma sana, unju hapa kigali tunakupenda bro keep it up

  • @inocentmbowe4160
    @inocentmbowe4160 4 года назад +2

    Nikki namkubali sana

  • @softcoolupdate5472
    @softcoolupdate5472 3 года назад

    Nikki mbishi ni sehemu ya manabii wa hiphop bongo na bongo flava kwa ujumla wake

  • @blaisejongo3925
    @blaisejongo3925 4 года назад +2

    mbishi noma

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba7357 4 года назад +1

    nikki amesema kitu makini sana kwenye content. lyricsism

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 4 года назад +2

    B.A.G.H.D.A.D 🔥🔥🔥🔥

  • @amonijajila1218
    @amonijajila1218 4 года назад +3

    Respect mabrother unjuu

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 4 года назад +2

    Appreciates u bob I wish 1dei nijekuwa presenter with yah in times fm

  • @constantinenzigilwa8513
    @constantinenzigilwa8513 4 года назад

    nakukubali broo nikki B

  • @alijuma7401
    @alijuma7401 2 года назад

    Genius

  • @babubomba8563
    @babubomba8563 4 года назад +4

    Tunaomba mwendelezo wake

  • @youngmilionare2118
    @youngmilionare2118 2 года назад

    My brother UNJU 👊 saluty broo

  • @gideonjulius9782
    @gideonjulius9782 3 года назад

    Underground Legendary

  • @2nyoorap67
    @2nyoorap67 4 года назад

    Nakubali unju

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 4 года назад

    Vita y Bengaz Under ground King 🤴

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba7357 4 года назад

    nikki bhana mambo yake😂😂.
    Anajua sana kwenye midundo mr. unju.

  • @nakalikyumile4370
    @nakalikyumile4370 4 года назад +2

    Nicki mbishi akili kubwa vichwa ka hivi ndo vinatakiwa

  • @barakamtesigwa3097
    @barakamtesigwa3097 4 года назад +8

    Na madder kila intaview sio tu the bar tender rafudhi tam mpaka wanauliza umekaa pemba

    • @nelsonmasolwa8343
      @nelsonmasolwa8343 4 года назад

      nawaambia mi ni born herehere jembe zaiid ya john pia dear niko strong sina fear

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd 4 года назад +1

    Namkubali uyuu jamaa kawa chana kabisa

  • @abburakkaan5694
    @abburakkaan5694 4 года назад

    Mimi ingekua sio magufuli nisingeichakua CCM maisha yangu yote na kizazi changu ila mimi jana NK mbishi c chagui CCM namchagua MAGUFULI

  • @hassansamata5995
    @hassansamata5995 4 года назад

    Unjuuu mkali wao

  • @shareefkamtande4692
    @shareefkamtande4692 4 года назад +1

    Nikki mbishi

  • @mr25d99
    @mr25d99 4 года назад +3

    Huyu jamaa ni kwel jina liko mahali kwake yani ni M’bishi wa ukwel

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад +1

      Ni mbishi na mkweli ndio maana mafans wanampenda

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai5336 4 года назад +1

    Majina kibao sio

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu446 4 года назад +1

    Haka kajipu haka balaa

  • @scariothagreat
    @scariothagreat 4 года назад +1

    jamaa ni mtawala sio kiongozi😂😂😂

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 4 года назад

    Unju Bin UNUK....!!

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 4 года назад +8

    Bangdad una akili saaana! Una maswali yenye logic sana

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 4 года назад +1

    Kweli unafiki halafu mie mwenyewe sifagilii Mambo ya hivyo

  • @amanimakovya2228
    @amanimakovya2228 4 года назад

    Dr unju

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 4 года назад

    #nikkimbishi

  • @dekamotionpictures2132
    @dekamotionpictures2132 4 года назад

    👍

  • @danieldeogratus1683
    @danieldeogratus1683 4 года назад +4

    18:10 nimeshtuka sana na nikajiuliza media zetu zinafanya kazi ya kupromote lugha yetu vizuri kabisa sasa huyo jamaa sijaelewa anaongea lugha Gani.

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 года назад

      Huyo jamaa ni mkongo

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi2331 4 года назад +1

    3:50🤣🤣🤣

  • @adamsengo3138
    @adamsengo3138 4 года назад +2

    Yeah na unafki unaoendelea kwenye umoja wa unafki 🤣🤣🤣🤣

  • @thomasmathias7237
    @thomasmathias7237 4 года назад

    Baba Malcolm X, Zohani, Bobani,

  • @msatijunior6304
    @msatijunior6304 4 года назад

    Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop

    • @johncavishe353
      @johncavishe353 4 года назад

      We wako watu kama chindo man anachana atar ww ufatlii game vzri

  • @josephdonald6199
    @josephdonald6199 4 года назад

    Mbishi noma sana..😂😂😂😂😂😂😂

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo6057 4 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂mambo ya unafiki Sio

  • @marianamacha3452
    @marianamacha3452 4 года назад +1

    😆😆😆 na we umo kwenye lile group? Unaogopa utaitwa mnafki😃😃😃

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 года назад +1

    Unju unasema humuoni Nay ktk level z u MC wakat yy anatengeneza hela na humkaribii..

    • @napster2558
      @napster2558 4 года назад +3

      Ishu n u MC si ela

    • @hellyally4395
      @hellyally4395 4 года назад +2

      hela gani anatengeneza ww

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 4 года назад +1

      Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..

    • @scariothagreat
      @scariothagreat 4 года назад +1

      @@abdulmohd6880 tulia ww huelew chochote

    • @mussangonya6179
      @mussangonya6179 4 года назад +1

      Mbish ndio best uyo ney boya

  • @yassinijuma4708
    @yassinijuma4708 4 года назад

    Unju wewe nizaidi yanoma me nawaona hawa madogo wanaoruka ruka tu man

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 4 года назад +2

    Nk nakukubal sana ila k2moja unazngua sometimes

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi2331 4 года назад

    18:9 😂😂😂😂

  • @chaulee20c58
    @chaulee20c58 4 года назад +1

    ruclips.net/video/mw8sfeIgq44/видео.html
    tazama maajabu ya acha lizame remix nandy ft harmonize

  • @hushbtz3310
    @hushbtz3310 4 года назад

    Wanaharakati wote Gusa link ruclips.net/video/6dhYJpLCkew/видео.html Kusikia michano

  • @gasperallute23
    @gasperallute23 4 года назад +2

    Bin Upupu

  • @helmanfabian4427
    @helmanfabian4427 4 года назад +1

    Unju punguza kuchonga

  • @great__sheik6391
    @great__sheik6391 4 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 4 года назад +1

    Sitaki kuwa nyota nataka kuwa mwezi

  • @mtumweusy4652
    @mtumweusy4652 4 года назад

    Nikki mbishi kawa Nikki michambo,
    Bora Nikki wa pili maana Nikki wa kwanza Hana mchongo,