Very nice . Harusi za mi kelele ndio huvunjika haraka . Mwana fa yiu are like me. Sipendi kuchangia harusi. Oa kulingana na uwezo wako. And that is islam
Hiyo kuhusu watoto ume hit the jackpot that’s how to raise smart and bold individuals. Kuchapa na kukaripia hakufundishi kunajenga nidhamu ya uoga na pia kuziba mianja ya ubongo. Mwana FA is one of the smartest dudes in TZ so fucking OP kwenye parenting, skills za kuishi and a beast MC . Hands down mwana FA.
Nimeitazama hii interview live. Ninaitazama tena mara ya 5 hapa You tube na nitaendelea kuiangalia zaidi. Mwana Fa umesimama kama Mwanaume wa kweli sio kama Mvulana aliyeoa. Hii ni interview Bora kwangu. Hongera Twiny Tira Hassan.
Hamis.Wakati tuko shule Tanga School sijawahi kujua kama unapitia changamoto za haya uliyoyaeleza hapa.Always ulikuwa na furaha machoni ,always smiling. kupitia interview hii ama hakika nimejifunza kitu kikubwa. On top of all those challenges,lakini ulipata ujasiri wa kupambana mpaka kufika ulipofika. To me,this is my best interview kuwahi kuiona.Through your past ups n downs,nawaona wanao wakikuwa ktk malezi na uangalizi mwema wa baba na mama yao.God bless you bro in everything you do for you,your wife,Malaika/Malika and the younger child..Inshaalah
Huyu mtu nskumbuka tuko mawaingu record bon lov aliwahi kusema kitu kuhusu huyu niseme tu alimwambia hivi Hamis nakuona mbali sana cku huyo tulikua na mahemu stiv 2k
Mwana FA umepitia maisha kama yangu kabisa yani hadi leo huwa mtu akiniuliza kwenu ni wapi huwa na bakia kumtajia mji tu afu na mwambia kwangu nimejenga mahali flani hapo ndio kwangu.. Thankx God for our hustlin dah kweli maisha hufanana. Nipo Ulaya sasa hivi nasaka maisha n by the Way natokea 254 nawapenda Sana Tanzania, Asante sana Mwana FA msalimie AY ur big fun right here One Love n Jah Guide Us 4rever
Mwana Fa, historia yako inasikitisha mno! But, you are a great person! God bless you always and your family!Was impressed to listen, with tears along! Wau, you are great
Kuhusu principles, actually zipo,ila KWA watu wengi haziexist na hawapendi kuxifahamu.Kwamba mwanamke anweza kukusababishia uharibifu na mwingine mafanikio,ziko sababu ila sisi tunaoana KWA macho na hekima tupu za kibinadam.Ndoa in taasis kubwa kuliko tunavyoichukulia.
Wakongwe wa Bongo, Heroes of muziki wa kizazi kipya, mna kitu mliweka moyoni mwangu toka mwanzo. Mwana FA,such a touching life story. #NawapendaBure #KeepRising #MunguAwatendeeMema
You talk good FA i like that mzee baba tuko nyuma yako kuchambua na kujifunza #greatmainthinker pa1 na majanga yang nmegain cjatoka hivhv kwny hii interview #tira✌
yaani we broo ww uko ndani ya maisha yangu, na niliwahi kumwambia mamangu kuwa sitofanya harusi kubwa nitaenda tu kanisani nisindikizwe na wazaz tu, tukitoka hapo ndani ya tax tunarudi hom.
Watu wengi tunafeli maisha kwa kutaka kufanya vitu kwa sababu yakuwafurahisha, kuwanyoosha, kuwavimbia watu. Fanya unayo yaweza na yatao kupendeza. Vinginevyoo utaishia kua muigizaji.
Wewe ni zaidi yamume Bora kwa mke Bora wewe nizaidi yababa Bora kwawatoto iñshaallah nimfano Bora kioo Cha jamii umejilinda mbali nausanii lakini maisha yako hayajawahi kuonyesha wewe nimsanii
Hii imenifunza siwez kuacha mtt wangu nyuma maana hata cku moja pia bila hii story kunifunza nampenda sana mtt wangu siwez muacha nyuma mpaka naingia kaburin na namuombea mungu amkuze mpaka aoe nipo hai
Sio kweli, sio wanawake wote wako desperate kuolewa, i'm 33 yrs and single, wala sinaga mawazo ya kuolewa. Ila kuna family pressure na peer pressure sana huku kwetu africa.
@@faaali244 wala hata sio swala la kula bata, watu tumekulia ktk mazingira tofauti, tunatofautiana. Mi binafsi sina plan za kuolewa kabisa. Umri wowote mtu anaweza kuolewa ilimradi kampata mwanaume mwenye hofu ya mungu na upendo wa kweli.
Kweli brother I love you brother bcoz unasema ukweli nina miaka 14 sasa na sikufunga arusi wala sitamani hiyo ni mkataba wa watu wasio na hekima na mm pia na mpenda sana mke wangu
nime anza kufatilia mwana fa nipo std 6 sasahivi nimehitimu chuo kikuu 4 years ago , nimesikia interview zake nyingi sana ila leo nimesikia vitu vipya vingi sana Hongera mtangazaji,
Mzee Mohamed mwinjuma mjato babaake mwanafa mwalimu wangu wa gitaa alinifundisha gitaa wakati akiwa anaimba malindi bendi ukikaa nae huez jua ka alitelekeza kichwa hivi ila maisha Yana Siri nying
Jipinde tu Uwe Karibu na mola wako jilazimishe KWA kweli kama haupo hivyo,maana una mtizamo mzuri wa kidini.na watoto wako walee kidini zaidi utafaulu.
Unakila sababu ya kua ulivyo huenda mungu alikupisha huko ili uwe Bora zaidi wewe nimfano wadhahabu huwezi kung'aa bila kupitia huko maana dhahabu Bora niile yenyemng,'ao zaidi ya zingine
Mwana FA a.k.a Binam amepitia maisha km yngu kiukweli nimeisikiliza interview hii yaan kuna vitu nimejifunza lkn ht mm niishi na watoto wngu km rafiki zangu
Habari ninesoma vitu vingi kwa huyu jamaa si mashairi tu bali anaakili kuliko neno akili wote tumwite ninjaaaaaa. Gonga like
Kweli kaka
Ndio unajuwa leo au
Ndio mana Anaitwa Mwanafalsafa
Very nice . Harusi za mi kelele ndio huvunjika haraka . Mwana fa yiu are like me. Sipendi kuchangia harusi. Oa kulingana na uwezo wako. And that is islam
definately
Hiyo kuhusu watoto ume hit the jackpot that’s how to raise smart and bold individuals. Kuchapa na kukaripia hakufundishi kunajenga nidhamu ya uoga na pia kuziba mianja ya ubongo. Mwana FA is one of the smartest dudes in TZ so fucking OP kwenye parenting, skills za kuishi and a beast MC . Hands down mwana FA.
Nmeipenda hii interview.Napenda busara za Mwana FA.He is always on point
"😍Sikumuoa mke wangu ili tuachane"
Nimeitazama hii interview live. Ninaitazama tena mara ya 5 hapa You tube na nitaendelea kuiangalia zaidi. Mwana Fa umesimama kama Mwanaume wa kweli sio kama Mvulana aliyeoa. Hii ni interview Bora kwangu. Hongera Twiny Tira Hassan.
Bravo 👏
THE BETTER YOU - Jiwa Hassan mardo yanga reo
Dah kaka hii ndio interview za kuangalia kiukweli I like
Hamis.Wakati tuko shule Tanga School sijawahi kujua kama unapitia changamoto za haya uliyoyaeleza hapa.Always ulikuwa na furaha machoni ,always smiling.
kupitia interview hii ama hakika nimejifunza kitu kikubwa.
On top of all those challenges,lakini ulipata ujasiri wa kupambana mpaka kufika ulipofika.
To me,this is my best interview kuwahi kuiona.Through your past ups n downs,nawaona wanao wakikuwa ktk malezi na uangalizi mwema wa baba na mama yao.God bless you bro in everything you do for you,your wife,Malaika/Malika and the younger child..Inshaalah
Nakupenda sana kakaangu mwana F.A
uwasijutii kumaliza mb zangu kuangalia interview za mwana fa najifunza vingi kutokakwake big up broo
Huyu mtu nskumbuka tuko mawaingu record bon lov aliwahi kusema kitu kuhusu huyu niseme tu alimwambia hivi Hamis nakuona mbali sana cku huyo tulikua na mahemu stiv 2k
Mwana FA umepitia maisha kama yangu kabisa yani hadi leo huwa mtu akiniuliza kwenu ni wapi huwa na bakia kumtajia mji tu afu na mwambia kwangu nimejenga mahali flani hapo ndio kwangu.. Thankx God for our hustlin dah kweli maisha hufanana. Nipo Ulaya sasa hivi nasaka maisha n by the Way natokea 254 nawapenda Sana Tanzania, Asante sana Mwana FA msalimie AY ur big fun right here One Love n Jah Guide Us 4rever
Mwana Fa, historia yako inasikitisha mno! But, you are a great person! God bless you always and your family!Was impressed to listen, with tears along! Wau, you are great
“Napoteza nini kusema tu samahani.” Great point
Hakiiiii nimejikuta nampenda mwanafa ghafla kiukweli unastahili kuitwa mume sahihi
Mwana FA wew ni gwiji nakuchuliaga kma mtu wa kuigwa na Taasis🔥🔥
Kweli nimeamini utu uzima dawa, nimekukubali Sana bro kwani Ni point juu ya point
Kuhusu principles, actually zipo,ila KWA watu wengi haziexist na hawapendi kuxifahamu.Kwamba mwanamke anweza kukusababishia uharibifu na mwingine mafanikio,ziko sababu ila sisi tunaoana KWA macho na hekima tupu za kibinadam.Ndoa in taasis kubwa kuliko tunavyoichukulia.
Daah ninge pata mume kama wewe ❤❤👏👏👏👏👌
Asia hata mimi nina sifa kama binamu nahisi na faa by kidu
Njo
Unachokitaka hukipati anayekipata hakitumii🙌🏻
Wakongwe wa Bongo, Heroes of muziki wa kizazi kipya, mna kitu mliweka moyoni mwangu toka mwanzo.
Mwana FA,such a touching life story.
#NawapendaBure #KeepRising
#MunguAwatendeeMema
Nimeowa pia na harusi yangu ilikuwa watu watano tu na sijutii na watu walijua nimeoa, big Up Mwana FA
Mwana Fa unajibu poa mno huchoshi, vijana tujifunze jmn mambo haya yawe kwetu
.....the intelligence in this fa guy is on another level
Embwana mambo vp hapo big up sn mnao watch this video daaaa si mchezo babukubwa huyu jamaa namkubali hatari.
MUNGU naomba na mm anipe NDOA wala sio harusi
Mwanafa wewe ni roll model kwangu maisha uliopitia na kuishi na sawa na mimi big up sana brother
Mimi nilisikitika niliposikia aliambiwa mama yake amefariki na hakuwahi kuona hata kaburi lake na hajui hata lilipo.
You talk good FA i like that mzee baba tuko nyuma yako kuchambua na kujifunza #greatmainthinker pa1 na majanga yang nmegain cjatoka hivhv kwny hii interview #tira✌
yaani we broo ww uko ndani ya maisha yangu, na niliwahi kumwambia mamangu kuwa sitofanya harusi kubwa nitaenda tu kanisani nisindikizwe na wazaz tu, tukitoka hapo ndani ya tax tunarudi hom.
Watu wengi tunafeli maisha kwa kutaka kufanya vitu kwa sababu yakuwafurahisha, kuwanyoosha, kuwavimbia watu. Fanya unayo yaweza na yatao kupendeza. Vinginevyoo utaishia kua muigizaji.
My best interview ever..
Point sana. Ila naona wote mna mapengo ya asilia.
Unajua familia yake?
Mwanaharakati Alafu Mwanafalsafa, love u bro...
That's my roll model Man..Big Up. .nimeipenda from +254
Maneno yk mazuri bro nimepata kitu
Brother umeongea point kubwa ambayo nishawahi kusema, watu wanapenda arusi zaidi ya ndoa
Kuanzia leo sichangi tena harusi
Kabisaa
Tuchangie wagonjwa walio kosa ada na wenye majanga sio harusi
Chafu Mirro mi nikichanga harusi ujue nina hamu ya kwenda kucheza iokote na kula kuku kuku wa harus watamu bwana. Ila kama siji kula sichangiii
Kweli, kuchangia harusi ni kuulea uzembe.
😂😂😂😂😂
ila nikweli kabisa kaka upo vzuri san 🙏🥰🥰
Dah!!! Bro mbon kam mm kabs
FA 🔥🔥🔥🔥
Mashaallah nice interview I like this guy
Wewe ni zaidi yamume Bora kwa mke Bora wewe nizaidi yababa Bora kwawatoto iñshaallah nimfano Bora kioo Cha jamii umejilinda mbali nausanii lakini maisha yako hayajawahi kuonyesha wewe nimsanii
TIRA,mimi baado nakwambia uko vizuri,nakupenda mno.
Akili nyingi sana huyu jamaa,more than genius 👍👍👍👍
Mashaallah uko vizuri
Duu best FA interview
Hii imenifunza siwez kuacha mtt wangu nyuma maana hata cku moja pia bila hii story kunifunza nampenda sana mtt wangu siwez muacha nyuma mpaka naingia kaburin na namuombea mungu amkuze mpaka aoe nipo hai
This guy is deep , your so intelligent boss I truly admire you boss 🙏
Daaaaah umelelewa kama mimi baada ya mama kufariki...pole sana 😢 niwachache tunaelewa inavyo kuwa
Sana
Sana wengi hawahelew
Sio kweli, sio wanawake wote wako desperate kuolewa, i'm 33 yrs and single, wala sinaga mawazo ya kuolewa. Ila kuna family pressure na peer pressure sana huku kwetu africa.
Umenigusa sana
Tuko hapa endelea kuendelea kuenjoy kuwa single....
@@rahmaabdillahi2795 raha sana, no stress.
Nakuunga mkono kwa waume hawa wa leo siku zote nasema bora mtu kula bata kuolewa above 30 unajaliwa vitoto vyake viwili vitatu maisha yanasonga
@@faaali244 wala hata sio swala la kula bata, watu tumekulia ktk mazingira tofauti, tunatofautiana. Mi binafsi sina plan za kuolewa kabisa. Umri wowote mtu anaweza kuolewa ilimradi kampata mwanaume mwenye hofu ya mungu na upendo wa kweli.
Sawa bhana
The best interview ever
Mwanafa Mnyez Mungu akueke....
Tuko pamoja broo mm mwenyew sipend michango ya harusi
Good to hear that bro,samahani Ina maana nzito na inaimarisha relationship
Kweli brother I love you brother bcoz unasema ukweli nina miaka 14 sasa na sikufunga arusi wala sitamani hiyo ni mkataba wa watu wasio na hekima na mm pia na mpenda sana mke wangu
Binam wew ni mfano wa kuigwa kaka
Wakurya tunajambo la kujifunza hapo..
sitachoka kuaskiliza hii interview mwamba alinyoosha sana
I get u, Fa👏👏👏
Wow I love all his responses😘
Penda sana mwan FA kuhusu watoto kuwanao karibu
Binamu mwanya wako tu mie hoi😂😂
nime anza kufatilia mwana fa nipo std 6 sasahivi nimehitimu chuo kikuu 4 years ago , nimesikia interview zake nyingi sana ila leo nimesikia vitu vipya vingi sana Hongera mtangazaji,
safi sana mie sijachangisha namimi sichangiii
Maa shaa Allah
Interview nzuri Sana
Majibu yako vzr sana
Nimeipenda hii..!
Masha Allah tabarakaAllah
Cku nikishka maiki nakuamtangaza mnanii mwenye upeo mkubwa bac mwana fa ur the final
Hahahaha ongeza sauti mwana FA
Napenda sana tira
Asante sana kaka kwakutupa maarifa nimejifunza ki2 kwako barikiwa sana
My role model f.a tangu kitambo upo juu
That cool wewe mtu makini sio kiki mbarikiwe wote
Huyo mke kapata dhahabu wanaume wachache kama wewe
Nipo na mimi
Nice interview.
Huyu jamaa yupo real sana.
fa ni elimu tosha kwa kujifunza
Luv you tira
Dah yaani umenigusa sanaa kakangu Mungu tu
Maongezi yako hayachoshi kuyasikiliza hongera sana
Yuko vizuri sana
Nampendag sana kwel kwel
interview imekaa poa sana
asante sana mwana fa nimekuelewa
Mzee Mohamed mwinjuma mjato babaake mwanafa mwalimu wangu wa gitaa alinifundisha gitaa wakati akiwa anaimba malindi bendi ukikaa nae huez jua ka alitelekeza kichwa hivi ila maisha Yana Siri nying
Maongezi yako poa sana
Jipinde tu Uwe Karibu na mola wako jilazimishe KWA kweli kama haupo hivyo,maana una mtizamo mzuri wa kidini.na watoto wako walee kidini zaidi utafaulu.
Kweli
assalaam alaikum. aise dada yangu nimejaribu kusoma comment za wangu ila ya kwako is my number one.
Umenifundisha vitu bro uko vzr kichwan
Aiseee mwana falsafa we ni kichwa co kwenye muzk tu ata kwenye maisha ya kawaida
Nifasaha sana ndio maana kaeleweka.
Interviw bora kabisaaaa👌
Big up brother
Huwa sichoki kuangalia interview zake ana busara na hekima sana
Anavyo ongea mwana FA na Salama Jabbir unahisi nn? With sound
Unakila sababu ya kua ulivyo huenda mungu alikupisha huko ili uwe Bora zaidi wewe nimfano wadhahabu huwezi kung'aa bila kupitia huko maana dhahabu Bora niile yenyemng,'ao zaidi ya zingine
Daah😭 wazazi kutengana nikuwatesa watoto
Dah pole baba hawakujua utakuwa nani dah dunia hii
Update this please...2023 now..
How should we do that's?.
shida kubwa brother umanikini hatuna
Mwana fa mungu akujalie
Mashaallah
We jamaa nimependa busara zako
Mwana FA a.k.a Binam amepitia maisha km yngu kiukweli nimeisikiliza interview hii yaan kuna vitu nimejifunza lkn ht mm niishi na watoto wngu km rafiki zangu
Nice mwanafa