Mwana FA Nitachagua kufa mimi ila sio mke wangu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Instagram @xo_na_tira

Комментарии • 250

  • @swaifsouq
    @swaifsouq 5 лет назад +50

    Habari ninesoma vitu vingi kwa huyu jamaa si mashairi tu bali anaakili kuliko neno akili wote tumwite ninjaaaaaa. Gonga like

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +14

    Very nice . Harusi za mi kelele ndio huvunjika haraka . Mwana fa yiu are like me. Sipendi kuchangia harusi. Oa kulingana na uwezo wako. And that is islam

  • @gralmyli5784
    @gralmyli5784 5 лет назад +24

    Hiyo kuhusu watoto ume hit the jackpot that’s how to raise smart and bold individuals. Kuchapa na kukaripia hakufundishi kunajenga nidhamu ya uoga na pia kuziba mianja ya ubongo. Mwana FA is one of the smartest dudes in TZ so fucking OP kwenye parenting, skills za kuishi and a beast MC . Hands down mwana FA.

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 лет назад +13

    Nmeipenda hii interview.Napenda busara za Mwana FA.He is always on point

  • @fefenailsandmakeup1353
    @fefenailsandmakeup1353 3 года назад +9

    "😍Sikumuoa mke wangu ili tuachane"

  • @jiwahassan
    @jiwahassan 5 лет назад +73

    Nimeitazama hii interview live. Ninaitazama tena mara ya 5 hapa You tube na nitaendelea kuiangalia zaidi. Mwana Fa umesimama kama Mwanaume wa kweli sio kama Mvulana aliyeoa. Hii ni interview Bora kwangu. Hongera Twiny Tira Hassan.

    • @rayrobert524
      @rayrobert524 5 лет назад

      Bravo 👏

    • @thabitbudget7067
      @thabitbudget7067 5 лет назад

      THE BETTER YOU - Jiwa Hassan mardo yanga reo

    • @hassankitulotvsproduct8627
      @hassankitulotvsproduct8627 5 лет назад +1

      Dah kaka hii ndio interview za kuangalia kiukweli I like

    • @omarikillo2218
      @omarikillo2218 5 лет назад

      Hamis.Wakati tuko shule Tanga School sijawahi kujua kama unapitia changamoto za haya uliyoyaeleza hapa.Always ulikuwa na furaha machoni ,always smiling.
      kupitia interview hii ama hakika nimejifunza kitu kikubwa.
      On top of all those challenges,lakini ulipata ujasiri wa kupambana mpaka kufika ulipofika.
      To me,this is my best interview kuwahi kuiona.Through your past ups n downs,nawaona wanao wakikuwa ktk malezi na uangalizi mwema wa baba na mama yao.God bless you bro in everything you do for you,your wife,Malaika/Malika and the younger child..Inshaalah

    • @anifamsenda4651
      @anifamsenda4651 Год назад

      Nakupenda sana kakaangu mwana F.A

  • @athumankasanzu6343
    @athumankasanzu6343 5 лет назад +18

    uwasijutii kumaliza mb zangu kuangalia interview za mwana fa najifunza vingi kutokakwake big up broo

    • @lilakhhassan6896
      @lilakhhassan6896 4 года назад

      Huyu mtu nskumbuka tuko mawaingu record bon lov aliwahi kusema kitu kuhusu huyu niseme tu alimwambia hivi Hamis nakuona mbali sana cku huyo tulikua na mahemu stiv 2k

  • @mumbayeashata993
    @mumbayeashata993 5 лет назад +3

    Mwana FA umepitia maisha kama yangu kabisa yani hadi leo huwa mtu akiniuliza kwenu ni wapi huwa na bakia kumtajia mji tu afu na mwambia kwangu nimejenga mahali flani hapo ndio kwangu.. Thankx God for our hustlin dah kweli maisha hufanana. Nipo Ulaya sasa hivi nasaka maisha n by the Way natokea 254 nawapenda Sana Tanzania, Asante sana Mwana FA msalimie AY ur big fun right here One Love n Jah Guide Us 4rever

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 5 лет назад +4

    Mwana Fa, historia yako inasikitisha mno! But, you are a great person! God bless you always and your family!Was impressed to listen, with tears along! Wau, you are great

  • @antoinea.katembo5326
    @antoinea.katembo5326 5 лет назад +6

    “Napoteza nini kusema tu samahani.” Great point

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 5 лет назад +8

    Hakiiiii nimejikuta nampenda mwanafa ghafla kiukweli unastahili kuitwa mume sahihi

  • @innocentswai6239
    @innocentswai6239 Год назад +3

    Mwana FA wew ni gwiji nakuchuliaga kma mtu wa kuigwa na Taasis🔥🔥

  • @derrckriwa8594
    @derrckriwa8594 5 лет назад +13

    Kweli nimeamini utu uzima dawa, nimekukubali Sana bro kwani Ni point juu ya point

  • @crispomatete7774
    @crispomatete7774 3 года назад +3

    Kuhusu principles, actually zipo,ila KWA watu wengi haziexist na hawapendi kuxifahamu.Kwamba mwanamke anweza kukusababishia uharibifu na mwingine mafanikio,ziko sababu ila sisi tunaoana KWA macho na hekima tupu za kibinadam.Ndoa in taasis kubwa kuliko tunavyoichukulia.

  • @asiaasia-pl4fl
    @asiaasia-pl4fl 5 лет назад +10

    Daah ninge pata mume kama wewe ❤❤👏👏👏👏👌

    • @wizimbaya2616
      @wizimbaya2616 5 лет назад

      Asia hata mimi nina sifa kama binamu nahisi na faa by kidu

    • @kweltv5106
      @kweltv5106 5 лет назад

      Njo

  • @shillaboy5330
    @shillaboy5330 5 лет назад +11

    Unachokitaka hukipati anayekipata hakitumii🙌🏻

  • @wacundirangu1661
    @wacundirangu1661 5 лет назад +8

    Wakongwe wa Bongo, Heroes of muziki wa kizazi kipya, mna kitu mliweka moyoni mwangu toka mwanzo.
    Mwana FA,such a touching life story.
    #NawapendaBure #KeepRising
    #MunguAwatendeeMema

  • @mumbayeashata993
    @mumbayeashata993 5 лет назад +5

    Nimeowa pia na harusi yangu ilikuwa watu watano tu na sijutii na watu walijua nimeoa, big Up Mwana FA

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 5 лет назад +12

    Mwana Fa unajibu poa mno huchoshi, vijana tujifunze jmn mambo haya yawe kwetu

  • @amosmbogo4664
    @amosmbogo4664 Год назад +1

    .....the intelligence in this fa guy is on another level

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 5 лет назад +4

    Embwana mambo vp hapo big up sn mnao watch this video daaaa si mchezo babukubwa huyu jamaa namkubali hatari.

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 лет назад +14

    MUNGU naomba na mm anipe NDOA wala sio harusi

  • @mwandeagrovetandsupplies2549
    @mwandeagrovetandsupplies2549 2 года назад +1

    Mwanafa wewe ni roll model kwangu maisha uliopitia na kuishi na sawa na mimi big up sana brother

    • @salaita2829
      @salaita2829 Год назад

      Mimi nilisikitika niliposikia aliambiwa mama yake amefariki na hakuwahi kuona hata kaburi lake na hajui hata lilipo.

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 5 лет назад +4

    You talk good FA i like that mzee baba tuko nyuma yako kuchambua na kujifunza #greatmainthinker pa1 na majanga yang nmegain cjatoka hivhv kwny hii interview #tira✌

  • @edwardsichilengwe2330
    @edwardsichilengwe2330 5 лет назад +6

    yaani we broo ww uko ndani ya maisha yangu, na niliwahi kumwambia mamangu kuwa sitofanya harusi kubwa nitaenda tu kanisani nisindikizwe na wazaz tu, tukitoka hapo ndani ya tax tunarudi hom.

  • @official_dicksonmunga
    @official_dicksonmunga Год назад +1

    Watu wengi tunafeli maisha kwa kutaka kufanya vitu kwa sababu yakuwafurahisha, kuwanyoosha, kuwavimbia watu. Fanya unayo yaweza na yatao kupendeza. Vinginevyoo utaishia kua muigizaji.

  • @sophiakibona2117
    @sophiakibona2117 5 лет назад +6

    My best interview ever..

  • @amymsomal8126
    @amymsomal8126 5 лет назад +5

    Point sana. Ila naona wote mna mapengo ya asilia.

  • @umraumi3
    @umraumi3 Год назад +1

    Mwanaharakati Alafu Mwanafalsafa, love u bro...

  • @omarmzerera9936
    @omarmzerera9936 5 лет назад +5

    That's my roll model Man..Big Up. .nimeipenda from +254

  • @swaumumustaphamapondanga4707
    @swaumumustaphamapondanga4707 5 лет назад +6

    Maneno yk mazuri bro nimepata kitu

  • @theafricanprincevivecongo8632
    @theafricanprincevivecongo8632 5 лет назад +8

    Brother umeongea point kubwa ambayo nishawahi kusema, watu wanapenda arusi zaidi ya ndoa

  • @chafumirro5617
    @chafumirro5617 5 лет назад +36

    Kuanzia leo sichangi tena harusi

    • @raheemamkambha6013
      @raheemamkambha6013 5 лет назад +1

      Kabisaa

    • @raheemamkambha6013
      @raheemamkambha6013 5 лет назад +5

      Tuchangie wagonjwa walio kosa ada na wenye majanga sio harusi

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 5 лет назад +4

      Chafu Mirro mi nikichanga harusi ujue nina hamu ya kwenda kucheza iokote na kula kuku kuku wa harus watamu bwana. Ila kama siji kula sichangiii

    • @neemaabdul9553
      @neemaabdul9553 5 лет назад +3

      Kweli, kuchangia harusi ni kuulea uzembe.

    • @bahatihadijabahati7456
      @bahatihadijabahati7456 5 лет назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 5 лет назад +7

    ila nikweli kabisa kaka upo vzuri san 🙏🥰🥰

  • @deaalex9076
    @deaalex9076 5 лет назад +3

    Dah!!! Bro mbon kam mm kabs
    FA 🔥🔥🔥🔥

  • @aminaabdiabdi7112
    @aminaabdiabdi7112 5 лет назад +3

    Mashaallah nice interview I like this guy

  • @RuckieDady-gk3ph
    @RuckieDady-gk3ph 7 месяцев назад

    Wewe ni zaidi yamume Bora kwa mke Bora wewe nizaidi yababa Bora kwawatoto iñshaallah nimfano Bora kioo Cha jamii umejilinda mbali nausanii lakini maisha yako hayajawahi kuonyesha wewe nimsanii

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 5 лет назад +1

    TIRA,mimi baado nakwambia uko vizuri,nakupenda mno.

  • @simonmmasi5131
    @simonmmasi5131 3 года назад

    Akili nyingi sana huyu jamaa,more than genius 👍👍👍👍

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 5 лет назад +4

    Mashaallah uko vizuri

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 5 лет назад +3

    Duu best FA interview

  • @user-li4kt7lz1r
    @user-li4kt7lz1r Год назад

    Hii imenifunza siwez kuacha mtt wangu nyuma maana hata cku moja pia bila hii story kunifunza nampenda sana mtt wangu siwez muacha nyuma mpaka naingia kaburin na namuombea mungu amkuze mpaka aoe nipo hai

  • @silverman6930
    @silverman6930 5 лет назад +6

    This guy is deep , your so intelligent boss I truly admire you boss 🙏

  • @nashfatmohamed5072
    @nashfatmohamed5072 5 лет назад +2

    Daaaaah umelelewa kama mimi baada ya mama kufariki...pole sana 😢 niwachache tunaelewa inavyo kuwa

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 5 лет назад +32

    Sio kweli, sio wanawake wote wako desperate kuolewa, i'm 33 yrs and single, wala sinaga mawazo ya kuolewa. Ila kuna family pressure na peer pressure sana huku kwetu africa.

    • @mariamkaaya8639
      @mariamkaaya8639 5 лет назад +3

      Umenigusa sana

    • @rahmaabdillahi2795
      @rahmaabdillahi2795 5 лет назад +2

      Tuko hapa endelea kuendelea kuenjoy kuwa single....

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 5 лет назад +4

      @@rahmaabdillahi2795 raha sana, no stress.

    • @faaali244
      @faaali244 5 лет назад +4

      Nakuunga mkono kwa waume hawa wa leo siku zote nasema bora mtu kula bata kuolewa above 30 unajaliwa vitoto vyake viwili vitatu maisha yanasonga

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 5 лет назад +6

      @@faaali244 wala hata sio swala la kula bata, watu tumekulia ktk mazingira tofauti, tunatofautiana. Mi binafsi sina plan za kuolewa kabisa. Umri wowote mtu anaweza kuolewa ilimradi kampata mwanaume mwenye hofu ya mungu na upendo wa kweli.

  • @stanleygeorge6638
    @stanleygeorge6638 5 лет назад +5

    Sawa bhana

  • @techno-environmentinvestme6141
    @techno-environmentinvestme6141 5 лет назад +3

    The best interview ever

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 5 лет назад +2

    Mwanafa Mnyez Mungu akueke....

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 5 лет назад +3

    Tuko pamoja broo mm mwenyew sipend michango ya harusi

  • @senyafredrick7248
    @senyafredrick7248 5 лет назад +2

    Good to hear that bro,samahani Ina maana nzito na inaimarisha relationship

  • @morefireministrychurch177
    @morefireministrychurch177 5 лет назад +2

    Kweli brother I love you brother bcoz unasema ukweli nina miaka 14 sasa na sikufunga arusi wala sitamani hiyo ni mkataba wa watu wasio na hekima na mm pia na mpenda sana mke wangu

  • @amosimwiko6440
    @amosimwiko6440 5 лет назад +5

    Binam wew ni mfano wa kuigwa kaka

  • @nestor384
    @nestor384 5 лет назад +6

    Wakurya tunajambo la kujifunza hapo..

  • @innocentswai6239
    @innocentswai6239 2 года назад +2

    sitachoka kuaskiliza hii interview mwamba alinyoosha sana

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 5 лет назад +6

    I get u, Fa👏👏👏

  • @evalynelengarwa5356
    @evalynelengarwa5356 5 лет назад +3

    Wow I love all his responses😘

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад +9

    Penda sana mwan FA kuhusu watoto kuwanao karibu

  • @naimanurdin2846
    @naimanurdin2846 5 лет назад +3

    Binamu mwanya wako tu mie hoi😂😂

  • @sakarimomoi7040
    @sakarimomoi7040 5 лет назад +1

    nime anza kufatilia mwana fa nipo std 6 sasahivi nimehitimu chuo kikuu 4 years ago , nimesikia interview zake nyingi sana ila leo nimesikia vitu vipya vingi sana Hongera mtangazaji,

  • @nurukimu7872
    @nurukimu7872 5 лет назад +1

    safi sana mie sijachangisha namimi sichangiii

  • @minahqassim8031
    @minahqassim8031 5 лет назад +5

    Maa shaa Allah

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 4 года назад

    Interview nzuri Sana
    Majibu yako vzr sana

  • @MusaNgao
    @MusaNgao 5 лет назад +3

    Nimeipenda hii..!

  • @ashunebebi9518
    @ashunebebi9518 5 лет назад +4

    Masha Allah tabarakaAllah

  • @eliahabraham6131
    @eliahabraham6131 5 лет назад +1

    Cku nikishka maiki nakuamtangaza mnanii mwenye upeo mkubwa bac mwana fa ur the final

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 5 лет назад

    Hahahaha ongeza sauti mwana FA

  • @zainabuzainabu8089
    @zainabuzainabu8089 5 лет назад +2

    Napenda sana tira

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 3 года назад

    Asante sana kaka kwakutupa maarifa nimejifunza ki2 kwako barikiwa sana

  • @salummwinyi7663
    @salummwinyi7663 5 лет назад +3

    My role model f.a tangu kitambo upo juu

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 лет назад +5

    That cool wewe mtu makini sio kiki mbarikiwe wote

  • @acquelinapissa2968
    @acquelinapissa2968 5 лет назад +17

    Huyo mke kapata dhahabu wanaume wachache kama wewe

  • @muttaadrolph6162
    @muttaadrolph6162 5 лет назад +1

    Nice interview.

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo2651 5 лет назад +1

    Huyu jamaa yupo real sana.

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa5872 5 лет назад +4

    fa ni elimu tosha kwa kujifunza

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 5 лет назад +3

    Luv you tira

  • @rizmarahmed1196
    @rizmarahmed1196 5 лет назад

    Dah yaani umenigusa sanaa kakangu Mungu tu

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад

    Maongezi yako hayachoshi kuyasikiliza hongera sana

  • @yemamaulidi4969
    @yemamaulidi4969 5 лет назад +1

    Nampendag sana kwel kwel

  • @clementkwilasa2013
    @clementkwilasa2013 5 лет назад +3

    interview imekaa poa sana

  • @hiralidismasi6164
    @hiralidismasi6164 5 лет назад +1

    asante sana mwana fa nimekuelewa

  • @obrigadaobrigada6384
    @obrigadaobrigada6384 3 месяца назад

    Mzee Mohamed mwinjuma mjato babaake mwanafa mwalimu wangu wa gitaa alinifundisha gitaa wakati akiwa anaimba malindi bendi ukikaa nae huez jua ka alitelekeza kichwa hivi ila maisha Yana Siri nying

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 5 лет назад +3

    Maongezi yako poa sana

  • @neemaabdul9553
    @neemaabdul9553 5 лет назад +12

    Jipinde tu Uwe Karibu na mola wako jilazimishe KWA kweli kama haupo hivyo,maana una mtizamo mzuri wa kidini.na watoto wako walee kidini zaidi utafaulu.

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 5 лет назад

      Kweli

    • @CSWafrica
      @CSWafrica 5 лет назад

      assalaam alaikum. aise dada yangu nimejaribu kusoma comment za wangu ila ya kwako is my number one.

  • @mariselinakraph8844
    @mariselinakraph8844 5 лет назад

    Umenifundisha vitu bro uko vzr kichwan

  • @minjagoodluck7266
    @minjagoodluck7266 5 лет назад

    Aiseee mwana falsafa we ni kichwa co kwenye muzk tu ata kwenye maisha ya kawaida

  • @hamisimfaume2118
    @hamisimfaume2118 5 лет назад +1

    Nifasaha sana ndio maana kaeleweka.

  • @mariamkatanga4502
    @mariamkatanga4502 4 года назад

    Interviw bora kabisaaaa👌

  • @aggreymwakipesile8609
    @aggreymwakipesile8609 5 лет назад +1

    Big up brother

  • @aloycesimon2028
    @aloycesimon2028 2 года назад

    Huwa sichoki kuangalia interview zake ana busara na hekima sana

  • @abbysule2390
    @abbysule2390 4 года назад +2

    Anavyo ongea mwana FA na Salama Jabbir unahisi nn? With sound

  • @RuckieDady-gk3ph
    @RuckieDady-gk3ph 7 месяцев назад

    Unakila sababu ya kua ulivyo huenda mungu alikupisha huko ili uwe Bora zaidi wewe nimfano wadhahabu huwezi kung'aa bila kupitia huko maana dhahabu Bora niile yenyemng,'ao zaidi ya zingine

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki2716 3 года назад

    Daah😭 wazazi kutengana nikuwatesa watoto

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 года назад

    Dah pole baba hawakujua utakuwa nani dah dunia hii

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Год назад

    Update this please...2023 now..

  • @user-sg6zy1mq8u
    @user-sg6zy1mq8u Год назад

    shida kubwa brother umanikini hatuna

  • @don-divinyvesndayizeye630
    @don-divinyvesndayizeye630 5 лет назад

    Mwana fa mungu akujalie

  • @mwanaidihemedi1612
    @mwanaidihemedi1612 11 месяцев назад

    Mashaallah

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 лет назад +1

    We jamaa nimependa busara zako

  • @Settledmanrise8083
    @Settledmanrise8083 8 месяцев назад

    Mwana FA a.k.a Binam amepitia maisha km yngu kiukweli nimeisikiliza interview hii yaan kuna vitu nimejifunza lkn ht mm niishi na watoto wngu km rafiki zangu

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 5 лет назад +1

    Nice mwanafa