THE CLASSIC WITH JAY MOE PART 2 EP 2 : UFAFANUZI BEEF NA SIR NATURE/NILIMUOGOPA PROF JAY/BOSS KAZI
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Episode ya sehemu ya tatu na Jay Moe anaendelea kufunguka mengi tusioyafahamu ikiwemo libe ya Juma Nature maaruf ya "haya nenda kwa huyo Jay Mo',pia namna alivyokua akimhofia Prof Jay kwa kipaji alipomsikia kwa mara ya kwanza,thamani yake pia kwake na namna alivyompa nafasi
mshamba ndio ngoma yangu ya muda wote na kuna siku nilikutana na Nature kwenye bus tulikuwa tunatoka Tanga ikabidi nimwambie km aliuwa sana mule ndani, ikabidi aniimbie live🎉🎉🎉🎉
MSHAMBA ni ngoma Kali kwangu nikiiunganisha na MSHIKAJI MMOJA ya JOSLIN📌
MSHAMBA NI TRACK HATARI JAY MOE ALIPIGA MISTARI MOTO 🔥🔥🔥
Mimi naona Jay moe ni kama 2pac wa Tz
Well Jay Moe ❤is Best 🔥lkn sio level za 2pac👏✌.
huyu jamaa ni moto bado big up jay more
Big up sanaa
All the way from Kenya
Shout out to Jay Moe
Legend
Jay moe hatuwezi kumalizana nae😂😂😂
Juma nature and historia kubwa sana kwa muziki hapa bongo
Mm nataka nimuulze moe alivukaje na madawa ya kulevya wakati mazingira yke na masela wake wote walikua watu wa mandumu
🔥 🔥 🔥
Noma nenda kwa huyo jay moe
MUZIKI WA ZAMANI ACHANA NAO KABISA--AO JAMAA WALIKUWA MAGENIOUS
Walikuwa wana akili sana sio hivi vishenzi vya siku hizi.
Bro kuvi kuna Ngoma ya Jay Moe inaitwa tingisha alipiga na tid hiyo nyimbo kubwaaaaa sana you tube haiko
Mo teknic
Ukiwa na ela ata kuzeeka uzeeki. Uyu dingi azeeki wanangu
Wee mzee jabir hw mjumba leo umeuwa sn km umetoka kwny lle nymb nyeupe 😂😂😂😂😂
😁