THE CLASSIC WITH JAY MOE PART 2 EP 2 : UFAFANUZI BEEF NA SIR NATURE/NILIMUOGOPA PROF JAY/BOSS KAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Episode ya sehemu ya tatu na Jay Moe anaendelea kufunguka mengi tusioyafahamu ikiwemo libe ya Juma Nature maaruf ya "haya nenda kwa huyo Jay Mo',pia namna alivyokua akimhofia Prof Jay kwa kipaji alipomsikia kwa mara ya kwanza,thamani yake pia kwake na namna alivyompa nafasi

Комментарии • 21

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde5138 4 месяца назад +3

    mshamba ndio ngoma yangu ya muda wote na kuna siku nilikutana na Nature kwenye bus tulikuwa tunatoka Tanga ikabidi nimwambie km aliuwa sana mule ndani, ikabidi aniimbie live🎉🎉🎉🎉

  • @nassoromelele7339
    @nassoromelele7339 Месяц назад +1

    MSHAMBA ni ngoma Kali kwangu nikiiunganisha na MSHIKAJI MMOJA ya JOSLIN📌

  • @HassaniMohamedi-lk7ow
    @HassaniMohamedi-lk7ow Месяц назад +1

    MSHAMBA NI TRACK HATARI JAY MOE ALIPIGA MISTARI MOTO 🔥🔥🔥

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137 4 месяца назад +4

    Mimi naona Jay moe ni kama 2pac wa Tz

    • @kanaanrajab1102
      @kanaanrajab1102 4 месяца назад +1

      Well Jay Moe ❤is Best 🔥lkn sio level za 2pac👏✌.

  • @mohamedcheka209
    @mohamedcheka209 2 месяца назад

    huyu jamaa ni moto bado big up jay more

  • @realdondee
    @realdondee 3 месяца назад

    Big up sanaa
    All the way from Kenya
    Shout out to Jay Moe
    Legend

  • @manrectorz
    @manrectorz 4 месяца назад +2

    Jay moe hatuwezi kumalizana nae😂😂😂

  • @muddymassah8998
    @muddymassah8998 2 месяца назад

    Juma nature and historia kubwa sana kwa muziki hapa bongo

  • @hajibhai6064
    @hajibhai6064 Месяц назад

    Mm nataka nimuulze moe alivukaje na madawa ya kulevya wakati mazingira yke na masela wake wote walikua watu wa mandumu

  • @eligeniusbildad7521
    @eligeniusbildad7521 4 месяца назад

    🔥 🔥 🔥

  • @SamManyota
    @SamManyota 3 месяца назад

    Noma nenda kwa huyo jay moe

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 месяца назад +1

    MUZIKI WA ZAMANI ACHANA NAO KABISA--AO JAMAA WALIKUWA MAGENIOUS

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 4 месяца назад

      Walikuwa wana akili sana sio hivi vishenzi vya siku hizi.

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 4 месяца назад

    Bro kuvi kuna Ngoma ya Jay Moe inaitwa tingisha alipiga na tid hiyo nyimbo kubwaaaaa sana you tube haiko

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 3 месяца назад

    Mo teknic

  • @ericdeogratius970
    @ericdeogratius970 4 месяца назад

    Ukiwa na ela ata kuzeeka uzeeki. Uyu dingi azeeki wanangu

  • @OCHUMASIHI
    @OCHUMASIHI 4 месяца назад

    Wee mzee jabir hw mjumba leo umeuwa sn km umetoka kwny lle nymb nyeupe 😂😂😂😂😂