Mama aliedhurumiwa na KUBOMOLOWA NYUMBA amwaga machozi, WAZIRI SILAA amsaidia

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 8

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 17 дней назад

    Hongera waziri wangu na Mbunge wangu Silaa Mungu akubariki

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 23 дня назад +2

    Kwasababu waziri Silaa ameanza kushulika na matatizo ya Ardhi ndio mnasema watu waje ndiomana hakuna comment hata moja hapa

  • @annadua9083
    @annadua9083 23 дня назад +1

    Very good

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 22 дня назад

    😢😢😢😢 kweli dhulma nkubwa mno pia hy zinaa nayo ya huyo bint ni balaa nadhani mwenyekiti ni mwizi anapewaje uongozi napia vijana wengi baadhi hawataki kazi mwisho ndio hy hali inatokea .
    Nadhani muhimu vijina wanao jielewa wawi wanajituma vinginevyo wataishia kuolewa na hawatakuwa na familia.
    Kuna Mwenyekit mwingine huko arumeru ameuza viwanja vya bibi leo watu wamebolewa nyumba dhulma iloje hy

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 5 дней назад

    Shenzi Hao waliobomoa wajengee haraka

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 22 дня назад

    Mwenyekiti huyo anafaa akuwe jela saa hii

  • @cngeze
    @cngeze 22 дня назад

    Hao waliobomoa wajenge upya nyumba

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 17 дней назад

    Mkiti aende jela mwizi mkubwa huyo