😢😢😢😢 kweli dhulma nkubwa mno pia hy zinaa nayo ya huyo bint ni balaa nadhani mwenyekiti ni mwizi anapewaje uongozi napia vijana wengi baadhi hawataki kazi mwisho ndio hy hali inatokea . Nadhani muhimu vijina wanao jielewa wawi wanajituma vinginevyo wataishia kuolewa na hawatakuwa na familia. Kuna Mwenyekit mwingine huko arumeru ameuza viwanja vya bibi leo watu wamebolewa nyumba dhulma iloje hy
Hongera waziri wangu na Mbunge wangu Silaa Mungu akubariki
Kwasababu waziri Silaa ameanza kushulika na matatizo ya Ardhi ndio mnasema watu waje ndiomana hakuna comment hata moja hapa
Very good
😢😢😢😢 kweli dhulma nkubwa mno pia hy zinaa nayo ya huyo bint ni balaa nadhani mwenyekiti ni mwizi anapewaje uongozi napia vijana wengi baadhi hawataki kazi mwisho ndio hy hali inatokea .
Nadhani muhimu vijina wanao jielewa wawi wanajituma vinginevyo wataishia kuolewa na hawatakuwa na familia.
Kuna Mwenyekit mwingine huko arumeru ameuza viwanja vya bibi leo watu wamebolewa nyumba dhulma iloje hy
Shenzi Hao waliobomoa wajengee haraka
Mwenyekiti huyo anafaa akuwe jela saa hii
Hao waliobomoa wajenge upya nyumba
Mkiti aende jela mwizi mkubwa huyo