Huu ni upendo au nikuwatia maumivu watanzania kwaajili ya hali ngumu za maisha na umaskini tulio nao?makonda unafanya vizuri.Je viongozi wengine taifa hili hawana uzalendo hata kidogo yaani waliowengi wanatumia elimu zao kuwanyanyasa watanzania na kuwatia umaskini
Viongozi wakifanya hivi kwa moyo mmoja wataiponya Tanzania,fikiri wanaojua jinsi yakudai hakizao tu wanadhulumiwa je! Huyu hatakiswahili hajui atapata haki mahakamani?
Naomba zoezi hili lifanyike nchi nzima inaonyesha kunama nunguniko mengi sana
Nakukubali mwanangu makonda mtu wangu ila inshu ya nape yanape tuu ilikushushs kidogo
Ipi hiyoooo
Government wa Tanzania asanti kwakusaidiya wa masikini
Huu ni upendo au nikuwatia maumivu watanzania kwaajili ya hali ngumu za maisha na umaskini tulio nao?makonda unafanya vizuri.Je viongozi wengine taifa hili hawana uzalendo hata kidogo yaani waliowengi wanatumia elimu zao kuwanyanyasa watanzania na kuwatia umaskini
Tuelewe huyu siyo anahukumu, anaelekeza nini kifanyike kwa hiyo kwa nini tunaellewa tofauti makonda wewe sikiliza watu
Hii nchi imejaa ujinga hii
Viongozi wakifanya hivi kwa moyo mmoja wataiponya Tanzania,fikiri wanaojua jinsi yakudai hakizao tu wanadhulumiwa je! Huyu hatakiswahili hajui atapata haki mahakamani?
Ni kweli kila mtu lazima aende kwa mkuu wa mkoa kupata haki ? Na mahakama zitakuwa na kazi gani? Nielimisheni
Mahakamni hakuna haki kisa rushwa zimezidi
Mahakama zinatoa hukumu lakini hukumu hazitekelezwi.