MAMAAAAAA!!..Lissu AMCHANA Samia bila UOGAAA, Duh!! Anajiamini NINI?

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 60

  • @user-pc1fn8er5f
    @user-pc1fn8er5f Месяц назад +1

    Pole sana adui wa Tanzania tunakujua.

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw Месяц назад +1

    You paskali charles akili imejaa uozo huelewi ukweli wala uongo umechanganyikiwa? Maisha yako ni taabu wala hujui mjinga sana. Pole kwa ujinga wa kushabikia.

  • @venanceassey7909
    @venanceassey7909 Месяц назад +4

    Mungu awe nawe Amina

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f Месяц назад +2

    Tundu Acha Uhasidi Wko Mama Samia Ana Leta Maendeleo Kwa Nchi MASHA ALLAH Hakuna Binadamu Alie Kamili Acha Fitina Zko Ushindwee Kwa Jina La MUNGU

  • @Byarugab
    @Byarugab Месяц назад +1

    Wanna listen Tanzania Marge Melissa mabove

  • @veronicmkenda9939
    @veronicmkenda9939 Месяц назад +1

    Tumebarikiwa kupata mtu kama lisu kufungua macho japo machache lakini kuona bado ndio hatuoni no challenges no development lisu ametusaidia sana kunyoosha maovu ya nchi😢legend 🙏

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll Месяц назад +2

    Pole sana baba

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v 22 дня назад

    Siyo upuuzi jibuni huja watuwanalia mfanotu Arusha kwamakonda watu wanavyolalamika zuruma kwawasionacho

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh Месяц назад

    Yule mbona sukari ilifika elfu 5 .hukusema mnafiki mkubwa wee

  • @immaculataroeser9094
    @immaculataroeser9094 Месяц назад

    Asante mheshimiwa Lisu alakini Mungu anaona hayo .

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Месяц назад

    Wacha kuvaa mashengeshe hayo

  • @justinennko8378
    @justinennko8378 Месяц назад

    You always speak fact. Rudi bungeni mkuu

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll Месяц назад

    Pule sana baba umechellewa . Uwanjani dakika 90 huwezi kabisa ongela shida za watu sio za CCM unahoja Gani . Kwa taifa

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Месяц назад

    Wape wape hivyo vidonge vyawo wakipenda wasipede nishauriyawo wananyonya wanainchi kqa manufa yawo wenyewe

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Месяц назад +2

    CCM SHETANI WA NCHI YETU

  • @francavantini9098
    @francavantini9098 Месяц назад

    Akuna nchi isio kua nakodi tuko njee ya nchi na twalipa kodi kila pahali. Tusidaganyane tulipeni kodi ili nchi zetu ziwe na maedeleo bora ziwe zatumika zinavio takikana

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Месяц назад

    Unaona mama samia ???Hayati magufuli alijua kua tundu lissu ndo adui mkubwa wa nchi yatz nawatz ndomana Hayati magufuli alikua hampendi kwa sababu ya roho mbaa yake na tz

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Месяц назад

    Hakika hii CCM imetubebesha mzigo mzito sana wananchi tuamke

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Месяц назад

    Mama hana tatizo sheis under pressure and became aleader from out of nothing hivyokatiba mupya nisuluhisho..

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll Месяц назад

    Jamani jifuze nchi za jilan na mkitaka muchezo toa CCM kwa mufano nchi malawi zambia kenya nkzlk huhu ni mume anagombana na muke hiiiiiii siasaaa pole sana baba

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh Месяц назад

    Wee tundu lisu unamimba ya wazungu kajifungue.kwanza.shoga wewe

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Месяц назад

    Watakaa saidiya wana nchii jitolee uwaapee siunajuwaaa wanna shidaaa waangaliyeee kwa chicho la hurumaa uungojee kuombewaaa duwaaa

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i Месяц назад

    Wanajikusanyia mahela uchaguzi ukifika wanagawa khanga

  • @user-rp9iq6dd8w
    @user-rp9iq6dd8w Месяц назад

    washUri wa rais samiya ndiyo wanamharibia rais bora ateuwe wengine ao hawamfai

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll Месяц назад

    Wewe ulisema mgufuli ni mbaya sasa umemkumbuka

  • @user-qg7el6gc5j
    @user-qg7el6gc5j Месяц назад

    Niwaze mapenzi, niwaze Simba na Tz tena Jmani... nipunguzieeni

  • @lilianmagori4189
    @lilianmagori4189 Месяц назад

    Unaweza kumlamu huyu mama pengine sio yeye mnamuonea

    • @veronicmkenda9939
      @veronicmkenda9939 Месяц назад

      Sababu ndio top!! Hata kwenye nyumba baba ndio kila kitu ukiwa legevu na familia inalegea. Example nzuri baba Magu jembe nchi ilinyooka dunia ikasimama.

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll Месяц назад

    Pole hiyo ni histor sasa tunajifunza nini

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Месяц назад

      Wewe kama kichwa mavi uwelewi sisi tunaelewa na kama wewe miongoni mwa viongozii wezii mwishoo utafikaa

  • @user-jn7hu7to7n
    @user-jn7hu7to7n Месяц назад

    Kuwazindua watanzania ni kazi sana

  • @dicksonmakunja5831
    @dicksonmakunja5831 Месяц назад

    Wizi na roho mbaya wamefanya vizuri sanaaa, wapeni pongezi zao jamani

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Месяц назад

    Weye Fitna mkubwa

  • @frednyangwechi774
    @frednyangwechi774 Месяц назад

    Tozo ni lazimaaa mzee

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Месяц назад

    TARIFA MBAYA ILIYO TUFIKIA SASA HIVI KARIBUNI MWANAHABARI MOJAWA SUPER TAMUTAMU AFARIKI DUNIA KWA UGOJWA WA UKIMWI

    • @TAMUTAMUTV
      @TAMUTAMUTV  Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @ghalibelghanim1151
    @ghalibelghanim1151 Месяц назад +1

    Wafungu we macho na masikio Watanganyika Maana wamelala .Huku Wazanzibari washakufa maisha kama Msumeno.

  • @dangwachengula1066
    @dangwachengula1066 Месяц назад

    TANZANIA HAISONGI MBELE KWA SABABU KUNA WATU BADO WANANUSA KWAPA ZAO KWAMBA WAOGE AU WASIOGE👎

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 Месяц назад +1

    😂😂😂😂mmeishiwa

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 Месяц назад

      Weweeee. Imekuingiae. Bado. Hadi uteme bungo.😂😂😂

    • @veronicmkenda9939
      @veronicmkenda9939 Месяц назад

      Iisu ni wise man kwa mtanzania mwenye maono

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Месяц назад

    Mbona husemi wakati ulikua ulaa hizo tozo ulikua unazilipa popote unavofanya biyashara zako iwe mafuta super marketing unalipa tozo hâta barabara ukiendesha gari lako ??wewe unadanganya watz haswa wafuasi wa chadema ambao hawajapata bahati yakwenda ulaa kama wewe

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Месяц назад

    Tundu lisu zindabaa

  • @mahamudabiibmohamed6494
    @mahamudabiibmohamed6494 Месяц назад

    Mjinga to huyu na anaongea na wajinga wenzake

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Месяц назад

    Waarabu wakiwa wengi biashara ya haluwa itakuwa sana,pk za njano maana wasaga gati sana

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 Месяц назад

    Lisu eleza mambo ya maana na siyo upuuzi maswala umeme na viwanja Yana uhusiano gani?nchi zote duniani kote Kodi zipo sijui wewe hilo umelitoa wapi?

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Месяц назад +1

      Ukinunua umeme unakatwa VAT, EWURA, REA na PROPERTY TAX. This is too much

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Месяц назад

      Aujitambuii ww Yan una lipa Kodi laki una ingiza elufu 50 kweli wee matakoba nenda shuleee

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 Месяц назад

    Hayo ulitakiwa ukaiambie serikali huko bungeni. Hapo ulitakiwa ueleze utakavyofanya wewe utakapoingia ikulu

    • @AyubuSimpasa
      @AyubuSimpasa Месяц назад

      Tambua kwamba hapo hayupo kupiga kampeni ila anashauli selikari ya ccm hali ya maisha magum tz

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Месяц назад

      Kweli kaka ume mshauli Yani mijituningine ina elekezwa ivi jitu Lina jua ivii Yani tz watu wengii mbumbumbuuuuu

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 Месяц назад +1

    Hata ulaya wanalipa kodi ya viwanja sasa wewe walalamika bure tafuta mengine na kila mahali bei za bidhaa zimepanda sio TZ pekee chadema ni wazimu mtupu akili hamuna.

    • @priscillachristiansen4331
      @priscillachristiansen4331 Месяц назад

      Ulipii kupitia bili ya umeme, unalipia kwenye nyumba.. kodi ya viwanja ukiwa na nyumba wewe ulinalipa binafsi,, hata mashirika ya nyumba yanalipa sio mpangaji..

    • @madhuru2554
      @madhuru2554 Месяц назад +1

      @@priscillachristiansen4331 kwani tz wanalipa vipi na wewe mbona mwehu
      Ni kila mahala unamiliki nyumba unalipa kodi ya kiwanja.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Месяц назад

      Wewe ndio mweuu Kodi sio tatizo tatizo unalipa Kodi shingap nauna ingiza shingap ko ww kwa akili yak sisi tunavyoo lipa Kodi tuna fanana maisha na wamakekani matakoweee

    • @madhuru2554
      @madhuru2554 Месяц назад

      @@RomanMwinyi Wacha maneno ya kisenge msenge wewe.

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 Месяц назад

    Lisu eleza mambo ya maana na siyo upuuzi maswala umeme na viwanja Yana uhusiano gani?nchi zote duniani kote Kodi zipo sijui wewe hilo umelitoa wapi?