Annoint Amani = Amka Usingizini ( official music video )
HTML-код
- Опубликовано: 3 мар 2022
- #amkausingizinibyannointamani#
Wakati umekwenda sana,
dunia inaonyesha dalili zote za ujio wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu kristo,
lakini shetani hataki watu wakamuone Mungu nakuokoka na Moto wa Jehanam, hivyo ameleta mambo mengi ili kulifanya kanisa kuwa bize na hayo mambo mwisho aende na watu wengi motoni,
(ANGALIZO)
Kila mtu sasa awe macho akae mkao wa utayari maana kanisa saa yeyote litaondolewa duniani,
Maishani mwako iwe ni Mungu kwanza mengine yafwate,ili nawe uwe mmoja wao saa ya unyakuo ifikapo.
andiko la kusimamia ( Warumi 7 : 14 :23.)
👇
Time has gone too far,
the world shows all the signs of the coming of our Lord and Savior Jesus Christ,
but the devil does not want people to see God and be saved from the Fire of Hell, so he has brought many things to make the church bize and those things end up going with many people to hell,
(NOTE)
Now let every man be vigilant, let him be ready: for at this time the church shall be overthrown,
Let God be the one in your life first, so that you may be one of them at the time of the rapture.
managing text (Romans 7: 14:23.)
Artist,Annoint Amani
Song,Amka usingizini
Album,Mimi ndie Mungu pekee
(Language Swahili)
Booking
Instagram,annointamani
+255767240181=+255755099942
Dar Es salaam Tanzania )
Video, Directed by Meddy
Audio,A.E.A Tones studio
prod by Meddy
+255786849123) Видеоклипы
Yaan hii nyimbo naickiza kma mara mia jaman palipo na sifa papewe sifa annoint kongole na songa mbele na yesu🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen nyimbo zako zinanipa utukufu ubarikiwe sana sana
Barkiwa mtumish kwel tuache mazoea ndan ya kansa.
asante mtumish
Nitamujuwa.yesuuu,more blessing
Mungu akubaliki kwakazi nzuri
Hallelujah the inspiration song the king of gospel music ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Rose muhando 👏👏👏 zao lako kabisa
Hongera sanaa amani mungu akubariki nazipenda sana nyimbo zakoo zinamaono
Amina Sana mtumishi Kazi njema san
Good massage aliye na maskio anasikie
ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyimbo zako nazipenda zina ujumbe be blessed my brother
Jitu la mbinguni barikiwa sana baba yangu kipenzi cha wengi africa na inje ya africa
Songs zako zanitoa stress amen
Mungu akutumie mtumishi kwa kweli petero wamekuwa wengine sio wale wa kwanza
Amina sana🎉🎉
Nyimbo zako n message nzuri sana Mungu akumbariki 🇰🇪
Unatubariki sana mutumishi, all the way from USA 🇺🇸 🙏 nitavunaninikweli mungu nikumbushe nilipo anguka💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hujawahi kuniangusha💪💪🙏
Barikiwa kaka
Kazi safi
Barikiwa sana
Mungu tuokoe Na Huu mwili wa Mauti.. Asante kaka Kwa ujumbe.
Good job,, I like it ,,God bless you 🙏
Good Mungu akubariki
All your song, ni true story and reality
Wow that's great bro keep it up
Wao, aUgandan watching from Saudi Arabia.God bless
Imetulia vzr Sana mtumish wa MUNGU
Yule Mwimbaji wa Gospel amerudi mtaani 🤩
Wimbo mzuri🙏🙏🙏
Liked your video
Nice
Keep the fire burning bro
Wbbaco. Mmet,,,,❤️❤️❤️❤️ mkw
Mwili upingana na roho. Mungu atutie nguvu
ujumbe mazuri sana wengine tunajidanga tunamjua mungu ila tunatumikia setani wacha nungu atusaidie na mu gu azidi kukutumia kweneza njili
Ubarikiwe mutumishi mungu atupe mwisho mwema wote
Kweli lazima niamke usingizini maana Yesu Yu karibu
Nice song
Touchable song with true words
Hallelujah 🙏🏿🙏🏿.Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Hallelujah
Amen God bless you I really love your music Good job ❤️❤️🔥🔥🔥🥰🥰😍✌️🔥🔥🔥🔥
❤️❤️Barkiwa sani.
Nyimbo 🙊 hiii ni injili haii kabisa 🙏🙏 nyimbo inatachi balaa unaweza lia yaani
Amen hallelujah ..Yale sipaswi kutenda ndio natenda ..Mungu tuhurumie
Ujumbe mzuri Sana may God bless you bro
Mbona mfupi😪😪
É verdade irmã Annoint ❤
Wanzo nzuri
Hallelujah, hallelujah 🔥
Wah,,,aki may our good Lord bless you bro
Good
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🏼
Ujumbe muzuri sana ubarikiwe baba
Ukweli kabisa anointi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uyu jamaa yupo vzr san
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 oh hallelujah.we r together brethren
Upako tupu
Kweli man of god
Wimbo mzuri huo, mungu azidi kukuinuwa
Good message to the redeemed tubadilike na roho mtakatifu atufunze zaidi
Amen and amen glory be to God
Wimbo mtamu
Mungu akubariki zaidi amen and Amen glory be to 🔥🔥🔥🔥🔥🙏🏻
Be blessed Annoint Amani your songs totally touched
True inspirational,, your songs blesses my heart
God bless u that anointing is working miracle in my life
Amen 🙏🏾 amen
Nice one
Hallelujah!! Tutankhamen Kwa alama za misumali… Amen… Annoint tuimbie tusikie anayosema Mungu.
Nice bro
You look to be more in spirit than other bigger gospel artist
Devine message...this is a revelation song
Mungu anakutumia Jitu la mbinguni.
Hallelujah ,Glory to God 💪
Kwapamoja ƙwakweli BABA zangu.
Thanks so much Mr A man I really love your voice in all songs plus the messages congrats brother I'm happy Kenyan
peace of advice my God stay with is people,Amen
Big amen
Bennaizer musiq was here
💥💥 nice
Good message the problem is we all say that we love God ad hate Satan buh we keep doing what pleases Satan 🙊may God show us the right paths to follow ,be blessed Annoint your songs blesses me every day🙏🙏
🙏🙏🙏
Wooow this song blessed me I can't stop listening to your songs be blessed
Amen ,may God bless you abundantly from Kenya 🇰🇪
Am really blessed with your songs really,,wanasema kuongea na mungu sio Kwa maombi pekee ila pia Kwa nyimbo,,,Santi sana Annoit mungu azidi kukuinua katika Kila jambo,,much love from this side##blessed in Kenya
This anoint is really anointed great servant of God preaching through his gospel songs he is been a blessing to me cant get enough of hi songs may God bless you bro...❤💯
Great gift from God, soon the world will know you to the glory of His Name. I love your message-themed songs. Much love from Kenya.
cant get enough of this song.how true is the sms.be blessed man God.listening from kenya
Amen
Listening 🎧 here from Kenya ❤️ Your songs has good messages may you go far in Jesus name 🙏
Only the ANNOINTING of God over someone can make one preach the unaldulterated message of the LORD. Thank you Amani for bringing sanity in gospel songs
Nice song 🎵 👌
Hallelujah hallelujah Amen Amen praise the Lord, thank you brother for this powerful and inspiring song, nice song 🙏 be blessed 🙏 aboundantly 🙏✝️
Ujumbe mzuri kwa walokole, Tuishi kama walokole jamani, aibu Ndogo ndogo. Mungu atusamehe kwa maovu tunayoyatenda🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Like our work
✅
🤦🤦🤦🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️
Yan wewe nimchj kabisa vitu unavyo ubil hum niadim sana
Great gift from God 🙏🙏
Dalili Zaonyesha Ni Siku Za Mwisho
Lisifiwe kaburi
Powerful brother annoint, Ila nyimbo ya "Ni Ngozi Ya Mwafrika" ipo wapi?