MCH.DANIEL MGOGO-KWENYE NDOA YAKO WEWE NI AFANDE AU LA!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 янв 2020
  • CONTACT UHAI MEDIA +255 764 017 846
    MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
    • MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
    HABARI
    • RPC TABORA:HUTAUONA MW...
    FIKIRI TOFAUTI
    • MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
    MAKALA FIKRA TUNDUIZI
    • DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
    SHUHUDA
    • EXCLUSIVE NA MKE WA MA...

Комментарии • 51

  • @SandrineMuderhwa
    @SandrineMuderhwa Месяц назад

    Mungu akubariki

  • @lanbertmembe5790
    @lanbertmembe5790 10 месяцев назад +1

    Ubarikiwe mgogo mtani wangu

  • @NelsonNgeno-ym8pk
    @NelsonNgeno-ym8pk Месяц назад

    Ubarikiwe milele

  • @castrofidele9591
    @castrofidele9591 2 года назад +1

    Asante sana mchungaji Daniel Mgogo

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu6579 4 года назад +2

    Kutoka moyoni ndoa nyingi hazitarudiana pale mungu akija kutenganisha ndoa ili ziliduane tena

  • @rehemadaffi7773
    @rehemadaffi7773 4 года назад +6

    MUNGU AKUTUNZE NA KUKULINDA BABA, NABARIKIWA SANA NA MAHUBIRI YAKO, MUNGU AKUBARIKI SANA NA KUKUINUA MTUMISHI WA MUNGU.

  • @andrewnyakireri2505
    @andrewnyakireri2505 Год назад +1

    Ubarikiwe

  • @herimalikane1311
    @herimalikane1311 11 месяцев назад

    Bienvenue

  • @mahayadaniel2509
    @mahayadaniel2509 2 года назад

    Barikiwa mchungaji

  • @anethgodwin5677
    @anethgodwin5677 2 года назад +1

    amina baba

  • @ininahazweelvis7748
    @ininahazweelvis7748 2 года назад +1

    Good message

  • @bimenyimanadavid5053
    @bimenyimanadavid5053 Год назад

    Hongela past

  • @forgivepraisebetogod8196
    @forgivepraisebetogod8196 2 года назад

    Always blessed

  • @babymudekereza3291
    @babymudekereza3291 2 года назад +1

    Bien compris

  • @TumsimeDavid
    @TumsimeDavid 3 месяца назад

    Amen

  • @clintonmotonu9220
    @clintonmotonu9220 2 года назад +3

    So powerful Amen

  • @lanbertmembe5790
    @lanbertmembe5790 10 месяцев назад

    Kweliii

  • @lanbertmembe5790
    @lanbertmembe5790 10 месяцев назад

    Waambie ibada njema huanzia nyumbani sio mpaka awapo kanisan2

  • @eliaslukumay2268
    @eliaslukumay2268 10 месяцев назад

    Kuna wanawake wengine hawawezi kuridhika bila kuchapwa

  • @lindagrace1597
    @lindagrace1597 2 года назад +1

    Nikweli kabisa 'ndowa inasiri kubwa'inaomba uvumilivu

  • @DjoFils-bo7gv
    @DjoFils-bo7gv 2 месяца назад

    Ni atari baba muchungaji

  • @tabithalusenga1183
    @tabithalusenga1183 2 года назад

    Kuwa na uso wa tabasamu mchungaji inategemea na mwanaume mwenyewe, Kuna wanaume wengine hawatabiliki ukitabasamu wewe nani unamchekeachekea nani?

  • @sophieelisha4009
    @sophieelisha4009 4 года назад +1

    Jina la yesu n ngome imara

  • @carolyneshunza4016
    @carolyneshunza4016 3 года назад +1

    Is true.jamani hilo n neno

  • @rachelkwizera3537
    @rachelkwizera3537 Год назад +1

    Be blessed man of God

  • @celinejuma5653
    @celinejuma5653 2 года назад

    ubarikiwe pastor 🥰🥰🥰🥰

  • @richardkatuli2269
    @richardkatuli2269 Год назад

    Siwezi kulidiana

  • @aime6186
    @aime6186 2 года назад +1

    Ongezea mchungaji inagusa saana hilo nimelikubali
    Ni ukweli mtupu

  • @ngenzinderera1938
    @ngenzinderera1938 Год назад +1

    Tumebariwa

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu6579 4 года назад +5

    Safi sema ukweli kabisa

  • @jumanashon3774
    @jumanashon3774 2 года назад +1

    👍

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 4 года назад +11

    Unamwongelea mama wa nyumbani ambae anakutwa nyumbani kila siku? Uso wa tabasamu wa mke utajengwa na mume kumbuka mwanamke sio toy awe na tabasamu kila sekunde kwa ajili ya mume mume anakazi kubwa ya kutengeneza hilo tabasamu liwepo kila siku kwa ajili yake, wote wanahusika kutengenezeana tabasamu.

  • @euphrasiemapendo-nx1jt
    @euphrasiemapendo-nx1jt 11 месяцев назад

    endelea Ku WA nyowa akili Baba

  • @victoruswazi3593
    @victoruswazi3593 4 года назад +1

    Ahsante kwa Neno

  • @user-wn7gt6tu1n
    @user-wn7gt6tu1n 8 месяцев назад

    Mugogo

  • @richardkatuli2269
    @richardkatuli2269 Год назад

    Mchungaji fimbo bila maelezo

  • @simonwilison59
    @simonwilison59 2 года назад +1

    Pasta kaz

  • @joycechales3346
    @joycechales3346 3 года назад +1

    Kwakweli uso wa mbuzi huu du tutabadilika

  • @glodynkondo9800
    @glodynkondo9800 2 года назад

    nimuzuri kufata mahubiri iyi inajenga

  • @andrewsteven5375
    @andrewsteven5375 3 года назад

    Mbavu zangu jamani 😄😄😄😄😄

  • @paxdenesi4700
    @paxdenesi4700 3 года назад +1

    Y. Zes

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 3 года назад +3

    Ni kwel kabisa tabasamu la mke ni furaha ya mwanaume iyo nikwel kabisa

    • @rebeccahkathoka9966
      @rebeccahkathoka9966 2 года назад +1

      Na Hilo tabasamu la mke litatokana na Mme. Waume wengine hawapeani sababu ya mke kutabasamu. Waume wengine wakorofi kuliko shetani mwenyewe.

    • @lusiakilawe1904
      @lusiakilawe1904 Год назад

      tabasamu kinakuja baada ya kushiba na kupata mahitaji ya msingi ambayo yanapatikana kwa baba! Yan umeondka hujaacha mahitaji ukirud Nina njaa nitakuchekeaje Sasa! Wanaume jitumeni Sana mtaenjoy maisha

  • @clovislight
    @clovislight Год назад

    Ubarikiwe saaana pasta

  • @tabithalusenga1183
    @tabithalusenga1183 2 года назад

    Kuwa na uso wa tabasamu mchungaji inategemea na mwanaume mwenyewe, Kuna wanaume wengine hawatabiliki ukitabasamu wewe nani unamchekeachekea nani?