MCH.DANIEL MGOGO-KWENYE NDOA YAKO WEWE NI AFANDE AU LA!!
HTML-код
- Опубликовано: 13 янв 2020
- CONTACT UHAI MEDIA +255 764 017 846
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
Mungu akubariki
Ubarikiwe mgogo mtani wangu
Ubarikiwe milele
Asante sana mchungaji Daniel Mgogo
Kutoka moyoni ndoa nyingi hazitarudiana pale mungu akija kutenganisha ndoa ili ziliduane tena
MUNGU AKUTUNZE NA KUKULINDA BABA, NABARIKIWA SANA NA MAHUBIRI YAKO, MUNGU AKUBARIKI SANA NA KUKUINUA MTUMISHI WA MUNGU.
Abarikiwe
Mafundi yako nayapenda Mungu akulinde
Ubarikiwe
Bienvenue
Barikiwa mchungaji
amina baba
Good message
Hongela past
Always blessed
Bien compris
Amen
So powerful Amen
Kweliii
Waambie ibada njema huanzia nyumbani sio mpaka awapo kanisan2
Kuna wanawake wengine hawawezi kuridhika bila kuchapwa
Nikweli kabisa 'ndowa inasiri kubwa'inaomba uvumilivu
Ni atari baba muchungaji
Kuwa na uso wa tabasamu mchungaji inategemea na mwanaume mwenyewe, Kuna wanaume wengine hawatabiliki ukitabasamu wewe nani unamchekeachekea nani?
Jina la yesu n ngome imara
Is true.jamani hilo n neno
Be blessed man of God
ubarikiwe pastor 🥰🥰🥰🥰
Siwezi kulidiana
Ongezea mchungaji inagusa saana hilo nimelikubali
Ni ukweli mtupu
Tumebariwa
Safi sema ukweli kabisa
👍
Unamwongelea mama wa nyumbani ambae anakutwa nyumbani kila siku? Uso wa tabasamu wa mke utajengwa na mume kumbuka mwanamke sio toy awe na tabasamu kila sekunde kwa ajili ya mume mume anakazi kubwa ya kutengeneza hilo tabasamu liwepo kila siku kwa ajili yake, wote wanahusika kutengenezeana tabasamu.
Kwakweli uwezi jichekelesha tu peke ako bila mue kukupa furaha
Very very true!
endelea Ku WA nyowa akili Baba
Ahsante kwa Neno
Mugogo
Mchungaji fimbo bila maelezo
Pasta kaz
Kwakweli uso wa mbuzi huu du tutabadilika
nimuzuri kufata mahubiri iyi inajenga
Mbavu zangu jamani 😄😄😄😄😄
Belive
Y. Zes
Ni kwel kabisa tabasamu la mke ni furaha ya mwanaume iyo nikwel kabisa
Na Hilo tabasamu la mke litatokana na Mme. Waume wengine hawapeani sababu ya mke kutabasamu. Waume wengine wakorofi kuliko shetani mwenyewe.
tabasamu kinakuja baada ya kushiba na kupata mahitaji ya msingi ambayo yanapatikana kwa baba! Yan umeondka hujaacha mahitaji ukirud Nina njaa nitakuchekeaje Sasa! Wanaume jitumeni Sana mtaenjoy maisha
Ubarikiwe saaana pasta
Kuwa na uso wa tabasamu mchungaji inategemea na mwanaume mwenyewe, Kuna wanaume wengine hawatabiliki ukitabasamu wewe nani unamchekeachekea nani?