EXCLUSIVE: MARAFIKI SIYO wa KUWAAMINI -WALINISABABISHIA MATATIZO SANA-KUNA WATU NATAMANI NIWAMALIZE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • EXCLUSIVE: MARAFIKI SIYO wa KUWAAMINI WALINISABABISHIA MATATIZO SANA “KUNA WATU NATAMANI NIWAMALIZE”...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 100

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  9 месяцев назад +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @Maggie824
      @Maggie824 8 месяцев назад

      Imelda ongeza Mic ingine .sio vizuri unapigisha pitisha Mic hivyo

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 9 месяцев назад +57

    Kama nawewe uwamini marafiki gonga like hapa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 9 месяцев назад +3

      Watoto wangu ndo marafiki zangu wa moyoni

    • @dayana5513story
      @dayana5513story 9 месяцев назад +3

      Mimi sina na siitaji

    • @maryberege3093
      @maryberege3093 9 месяцев назад +2

      Yaani nina rafiki yangu mmoja tu toka primary hadi sasa yaani sasa ni ndugu yangu wa ukweli. Mungu atusaidie Uzuri sisi hatuna hobbies za kwenda kwenye mabaa kunywa mapombe.

    • @dayana5513story
      @dayana5513story 9 месяцев назад +1

      @@maryberege3093 congratulations Mungu awenanyi

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 9 месяцев назад

      @@MiriamAbdallah 🤣🤣🤣🤣🙏

  • @iamanoutstanding_creation
    @iamanoutstanding_creation Месяц назад +2

    Usiwachukie; Unamkosea Mungu na unasali "Nijaponena kwa lugha za wanadamu na malaika kama sinao upendo mimi si kitu kabisa"
    Amri kuu Mpende Mungu wako na umpende jirani yako kama nafsi yako.
    Ila pia biblia husema
    "Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa uangamivu wake mwenyewe"

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 9 месяцев назад +7

    Ukute wamemvunjia mpk ndoa hapo sijasikia habari ya mume ni watoto tu. Mara wana sema fanya hv kumbe wana ku record wanapeleka. Hapo nimehisi ni ndoa imeyeyuka. Pole sana Lily hapo ili upate amani samehe, songa mbele, komaa na hao wa maombi lkn jifunze kuto waamini sana marafiki. Personally nimepitia magumu rafiki kipenzi kabisa na business partner akaniroga nife, lkn Mungu alivyo mkuu alishindwa na kanyoshwa hana maisha. Mungu ni mwema sana na nimemsamehe, nina amani zote nipo na maisha yangu.Kula chuma hicho😂😂😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 9 месяцев назад +5

    Wivu ndio tatizo.angalia sana Magroup.nyamaza you don’t own no one explanation, punguza watu ktk maisha yako, plock, delete them in your life. Put boundaries/ limitation, Ila usiwachukia. Wasamehee na uwaachilie ili Mungu akubaliki dada yangu. I prey for your healing sisters.

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 9 месяцев назад +5

    Nimekupenda Bure maana hata mm unafik siuwez niseme nimekusamehe wakat nikikuona naumia hapana vingine Mungu tu mwenyewe atusaidie kusamehe maana kwauwezo wamwanadam ni Ngumu

  • @hamidahamadi1564
    @hamidahamadi1564 9 месяцев назад +3

    Yani huyu dada namuelewa vzr sn kwa sbb nilipitia hayo matatizo ya kuumizwa na marafiki na ndugu aiseee🙌🏻 siku izi naishi kama mzimu sitaki kbs mazoe na mtu sio rafiki wala ndugu naishi kama sipo maulivu niliwahi pitia hayajawahi kuisha moyoni mpka leo kila nikiyakumbuka aisee nashindwa ndio mna nimeamua kuishi mwenyewe tu

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 9 месяцев назад +4

    So kwa wanawake tu hata wanaume ndo ilivo,, ndo maana sina rafiki nina washikaji tu

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 9 месяцев назад +3

    Dada liliani nimepitia mengi kama yako zaidi yako. Samehe dada. Nakuombea dada. Ningefurahi kuongea na wewe, nyamaza na Mungu atakupigania. Nilijitoa mengi na nilisamehe kila mtu, Iła nilipunguza mahusiano na watu wengi na siwachukii.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 8 месяцев назад +1

    Marafiki ni mbwa mwitu waliovalia ngozi ya kondoo.

  • @ramamwanga7551
    @ramamwanga7551 Месяц назад

    Focus tuu sis maana Kila kitu kinatokea kwa sababu MUNGU YUPO

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 9 месяцев назад +4

    Nnacho juwa marafiki hawafai unaweza kumdhania kheri kumbe ndie hasidi so tuwenao ila tuwe makini nao

  • @JohnNyari-k6d
    @JohnNyari-k6d 2 месяца назад

    Kumamamk kweli marafiki siyo mm mwenyewe nisinge kuwa hapa kama siyo marafiki

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 9 месяцев назад +4

    Hapana mrembo kwanza nikuambie kitu wewe ni mzuri. Umeshalijua kosa ulilofanya. Muombe Roho Mtakatifu akuwezeshe uwasamehe. Yani wewe mwachie Mungu hilo jambo nae atashughulikia nao.

  • @HawaAhmed-yj8wo
    @HawaAhmed-yj8wo 2 месяца назад

    Mimi sina rafiki maana walinikomesha vya kutosha

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 Месяц назад

    Polesaana niukwer marafiki niwabaya tena saana

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 9 месяцев назад +1

    Lakini pia umesema wewe n mkristo ebu msogelee Mungu tu, pombe zanini achana nazo acha starehe mbaya,utasoma 1timotheo 2:9,kama utakaa vizuri na Bwana nakuambia utafika mbali usiishie kuwa mwanamaombi tu sogea zaidi na zaidi dada.

  • @cleversalbaba-em4jf
    @cleversalbaba-em4jf 9 месяцев назад +2

    Jitahidi uende mbele za Mungu kwa sadaka mwambie Mungu awafute kwenye njia yako hapa duniani na akufungulie mlango mpya wa marafiki wema hapa duniani.
    Na jilinde na suala la maneno linaumiza sana ila never give up never turn back ishi kwa akili na wale woote wanaokuzunguka wengine ni watesi na wameficha makucha ila wanakuvizia wakurarue au wakuondolee hata uhai. Hata Yesu walimfanyia hila lakini bado aliwaita rafiki.
    Mungu akubariki sister.
    Marry Christmas 🎄

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 8 месяцев назад +1

    Nimejikuta nimeumia,maana naona aliyoyapitia uyo dada na mm nimepita ivyoivyo,hata mm najikuta nalia na mda mwingine hata mm natamani uyo mtu limkute jambo zito ,uwiiii nalia sana juu ya uyo dada eeeemungu nisaidie

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation 9 месяцев назад +2

    Pole mwananke mwenzangu hao ndiyo marafiki Mimi sitaki rafiku wa kunizoe hao ndo manyoka anakuuma halafu a hawezi kukula au kukumeza.Mungu atawaona

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 9 месяцев назад +5

    Mm rafiki yangu ni ndg yangu binadamu aisee kukosana kupo lkn mm na yy mungu atuweke na azid kuudumisha udugu wetu ( urafiki wetu) inshallah

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 9 месяцев назад +1

    Dada mtu apandacho, ndicho avunacho, Mkabizi Mungu utamshangaa, huu ni ushuhuda wa kweli, kila afanye ubaya usimlipe ubaya na Mungu atamuacha salama nimejionea mimi, samehe na waombee mema.

  • @emmanuelsichone7977
    @emmanuelsichone7977 9 месяцев назад +1

    Dada soma koment jifunze kumjua mungu wewe ukombali kidodgo na ucristo acha stalehe stalehe ni crusedi ya shetani mungu hataingilia kama ukobize namitoko mchukue yesu awe Rafiki yako utapona ukijikonect kwashetani ugundue kazi zake nikuharibu tuu hivyo mungu akufungue

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 9 месяцев назад +7

    Kwakweli rafiki yangu mkubwa mimi huwa n YESU yaani huyu ndo nampa siri zangu na amekua mwaminifu sana kwangu akitoka Yesu Kristo ambae huwa ananijua kiundani n mme wangu hao tu nasina nyongeza maana staki kukosana nawatu kwakuwapa siri zangu, Mungu akutie nguvu mwaya mfanye Mungu kuwa rafiki yako atakupa watu sahihi wakushare i good ideas

  • @evaamedeus430
    @evaamedeus430 9 месяцев назад +1

    Usilie mwaya mpenzi wangu ndiyo maisha fanya yako,hata mimi waliniaribia kwa mturuki wangu sina hata hamu na marafiki,Sasa nimempata mhindi naudumiwa kila kukicha na kaa ndani,wanaona haitoshi wanaanza kupita nje ya fensi,marafiki sio watu

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 9 месяцев назад +1

    Dada yetu usilie wachilie wote waenda zao, mkaribishe yesu ambaye ni rafiki wa kweli. Soma bibilia kwa wingi majeraha yote yatapona

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 9 месяцев назад +2

    Dada kapigwa matukio

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 9 месяцев назад

    WANAWAKE MI FIREEEEEEEE ogopa hicho kiumbe dada , sisi WANAWAKE heeeeeeeee WEMA ni wachache ,STAY AWAY FROM THEM

  • @CathyMathias-bx4ft
    @CathyMathias-bx4ft 9 месяцев назад +1

    Nimempenda bure

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 9 месяцев назад

    Ooo my jamani Lilian MWENZANGU , Lilian uwa MUNGU AMETUPA UWEZO WA KUONA KABLA JAMAN,pole mwAYA NAIMANI MUNGU ALIKWAMBIA SEMA HUKUSHTUKA MAPEMA ,
    POLE SANA DADA WEWE NI MSHINDI NA UTAPASUA Sana 2024 yote MUNGU ANARUDISHA

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq 9 месяцев назад +1

    Hiyo ya marafiki sihitaji kabisa tutacheka nje ila sihitaji ukaribu tumeendekeza chuki.unafki Aisee nawaoneaga huruma nikiona wanawake wanaitana shoga ang jaman jaman

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 9 месяцев назад

      Mie mwenyewe sitaki na sinaaaa MUNGU , WAZAZI na Mimi BINAFSI ndo rafiki yangu wengine hahahaaaa nawaona tu kwenye MAGAZETI NACHEKA NA YANGU TU , NAONGEA NA YEYOTE SIBAGUI LAKIN RAFIKI HAPANAAAAA MIE NI RAFIKI WANGU MWENYEWE

    • @JulianaJackson-lz6vq
      @JulianaJackson-lz6vq 9 месяцев назад

      @@liannsambu7264 kabisa Yan atupendan ata kidogo.. Rafiki akiona umefanikiwa anachukia.ila anakusifia kinafki apana kwa kweli

  • @ShekhahamedMuhsin
    @ShekhahamedMuhsin 6 месяцев назад

    Badilika mdogowagu Anzamaishayako pekeyako

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 9 месяцев назад +1

    Nenda Lilian kwa Kiboko ya wachawi yuko Buza unatelemka kwa Lulenge ni Nabii toka Congo ni mwisho dada nenda watajua Alpha na Omega Mungu anakupenda🙏🏼🙏🏼

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 2 месяца назад +1

      We umelogwa taahira mkubwa wewe .unawapigia debe matapeli wakubwa wa injili ..mnaosali kansan kwake wote ni mataahira...nlifka sku 1 ata skuingia ndan nkaondoka

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 2 месяца назад

      @@FreeGod368 umelogwa ww na ukoo wako utanijuaje kuwa nimelogwa? Ina maana na ww unatumika, usintukane ntu ambaye humjuina kama utaahira basi ww pia taahira na ndio maana ukamjua mwingine.
      Chukua kioo ujiangalie kwanza
      WHO YOU ARE
      Shame on u

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 Месяц назад

      Yani matapeli wa injili ni wengi mno, Mungu afungue fahamu zetu tu​@@FreeGod368

  • @Mwanaid-kk4zm
    @Mwanaid-kk4zm 9 месяцев назад +1

    Pole sana marafiki sio wa kuamini ni bora uwongee uwongoo

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 2 месяца назад

    Kwakweli mijitu mingine inaumiza San mioyo 😢 mimi namuelewa huyu Dada

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 8 месяцев назад

    Weee hata akuzidi tena.aliyekuzidi ndio.mbaya zaidi kwa sababu ataki mlingane anataka akushushe hyo ndio mpinzan mkubwa kikubwa kumuomba Mungu na.kuwa makini kuongea mambo yako kimya ni kizuri sana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 месяца назад

    Marafiki wabaya waache waende Mungu atakuletea wengine wapya hiyo kauli imenisaidia sana👏

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 9 месяцев назад +1

    Inauma sana mtu kukuharibia família

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 9 месяцев назад +2

    Pole mwaya 🙆🏻‍♀️

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 2 месяца назад

    Marafiki washenzi..mi kuna rafk aliniuzi Memuachia Mungu

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 2 месяца назад

    Huyu dada ameumizwa lakn Mungu amsaidie itakua wanamuonea wivu.

  • @blandinamanongi8818
    @blandinamanongi8818 2 месяца назад

    samehe lilian mungu yupo na wewe,binadamu hawana jema nimeumia kwakweli

  • @raskinamfinangamfinangaras5120
    @raskinamfinangamfinangaras5120 9 месяцев назад

    Aiseee Bora nionekane najitenga kuliko sitaki jaman uuuwi usiombe yakukute😭😭🙌🙌🙌

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 9 месяцев назад

    Inauma sana marafiki wanarudisha nyuma maisha ya watu mi ndy maana sipendi unafiki na makundi ya hovyo

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 9 месяцев назад +1

    Mimi kuna jamaa alikuwa nikisaidiya mwisho wa siku alinikimbia akaenda daa kumbe ni tabeli sijasamekhe mpaka sahivi tena ni mwislam lakini sijaweza kusamekhe😢

  • @MrSokwe
    @MrSokwe 8 месяцев назад

    Mm sihitaji marafiki kabisa ila kama kuna jambo la kushikiriana hapa na pale ila sio zaidi ya hapo

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 9 месяцев назад

    Wasamehe dada yangu,Mungu aiponye roho yako. Mtu apandacho ndicho avunacho. Lilian bado kuna wanawake wazuri ( royal friend), kitu ufanye omba Mungu akupe watu wema. Wengi tumepitia hayo, chukua tahadhali dada. Watu sio wema .

  • @cleversalbaba-em4jf
    @cleversalbaba-em4jf 9 месяцев назад

    Na ninachojua mwisho wa ubaya ni aibu na waliokutengenezea huo ubaya utawarudia tu.

  • @Spirtualperson
    @Spirtualperson 9 месяцев назад

    Marafiki 😢😢😢 namshukuru Mungu kupitia meditation nimeona ubaya wao

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 9 месяцев назад

    Sina lafiki wala Sitalajii,Pole sis Mungu akutie nguvu samehee songa mbele Mungu atakulipia

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 8 месяцев назад

    Wewe mwenyewe una mapungufu yako

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 2 месяца назад

    Pole sana dada usilie ,yote hayo ndio maisha

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 9 месяцев назад

    Unatozonga tu, mi sijafaham kabisa

  • @RestutaJohn-b5k
    @RestutaJohn-b5k 9 месяцев назад

    Dah hii kitu imenigharimu sana. Sasa rafiki baaaaasi

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 9 месяцев назад

    Usilie tena katika jina la yesu kristo aliye hai. Yesu anakupenda sana

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 9 месяцев назад

    Du mpaka sasa unaazimana nguo na mtu kweli? Upo kwenye ulimwengu wa wapi

  • @stemarcely7493
    @stemarcely7493 9 месяцев назад +1

    Wasamehe tuu dada...mkabidhi MUNGU atawahukumu

  • @EvaMongi-y2r
    @EvaMongi-y2r 9 месяцев назад

    Mimi yamenikuta Mungu anisaidie

  • @jacobkabura5513
    @jacobkabura5513 9 месяцев назад

    Pole sana kwa mapito magumu iliyopitia.

  • @chany9950
    @chany9950 9 месяцев назад

    Pore mama ukisikiya umoya tu amefariki jo utafurai🤣🤣🤣🤣 eeeh umeumiya jmn

  • @johansenneema3810
    @johansenneema3810 9 месяцев назад

    Mmmh tunaomfahamu huyu dada tujuane😂😂😂Alichukua mume wa mtu😂😂😂😂akazaa nae😃

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 8 месяцев назад

      Ukute wew ndo mchawi wake sasa hayo umeulizwa hapa mshamba wewe

  • @RachelMethod-rt1qx
    @RachelMethod-rt1qx 9 месяцев назад

    Mungu akupe neema ya kusamehe mpendwa, kusamehe pia ni neema ya Mungu

  • @vickiymsella2025
    @vickiymsella2025 8 месяцев назад

    Iinumaaa

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 9 месяцев назад

    Siyo marafi bali hata mimi mtoto wa dada yangu nikuwa natumia pesa zangu nipo oman ampe mama hajawahi kumpa pesa hata mia mpaka leo mimi na yeye picha haziendi sina hata namba yake ya sim baadae ya kunifanyia unyama nimechukiya mpaka leo sijasamekhe😢

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 9 месяцев назад +1

      Nisamehe iri mizigo ipungue kwenye Maisha yako na Mungu atamlipa Kwa ubaya aliokutendea

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 9 месяцев назад

    Pole sana dada 😢😢

  • @stellashillagi5210
    @stellashillagi5210 9 месяцев назад

    Pole san dear

  • @fora2009
    @fora2009 9 месяцев назад

    True

  • @KhadijaMwinjuma-o3q
    @KhadijaMwinjuma-o3q 9 месяцев назад +1

    Kwakwel

  • @Shakila-g6r
    @Shakila-g6r 9 месяцев назад

    Pole dad

    • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
      @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 9 месяцев назад

      😢😢😢pole sana ,,,Mie nakuelewa sana ,,,Mie nusu niwe chizi marafik N wabaya sana yaan .

  • @filberthamfrey2380
    @filberthamfrey2380 9 месяцев назад

    Haongelei mapito yoyote
    Hapo anatangaza biashara ya microfinance tu

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 9 месяцев назад +1

      Kunashida gani kwani kama mwandishi amelipwa ? Kila kitu LAZIMA ujiongeze kutumia fursa ya kila kitu 😂