Kupenda wanyama ni jambo zuri sana, nimewahi kufuga paka wangu china, mmbwa wangu bingo na simba, nilifuga kuku wengi but kulikua na kuku aliepona ugonjwa wa kideri baada ya kuku wangu wote karibu 40 kufa, so huyo aliebaki akawa mgonjwa sana nikasema no huyu nitafanya vyovyotec apone, nilimpa majani ya miti mbalimbali kama muarubaini, pilipili, tangawizi, mpapai alovera yaani sikuamini mwisho alipona na tukamuita Mamalao yaani huyo kuku hata kideri kilipokuja alikua anapona na pia kupitia yy nilipata kujua namna yakuwaponya wengine, Maskini alikaa miaka kama 3 kama sikosei alikua amekua mzee hadi anasikitisha watu family walimchinja mimi nilishindwa kumla maana alikua amenizoea sanaa I love Animals ❤
Mimi pia nilikua naishi na paka kwa kitanda changu na tulikua tunaswali wote hakuna swala anakosa mnyama ni sawa na binadamu ukishamfunza kuanzia mdogo ni hivyo anazoea
Wewe wawaleya kwa huruma ya kufiwa na mama yawo walikutiya huruma nikama mayatima hata kimi nitawafanyiyahivyo kwaajili niyatima hwanamama qakuwanyonyesha
Acheni kushangaashangaa, nchi dunia ya kwanza wanyama wa kufuga kama hawa, pamoja na paka, mbwa na mbuzi huishi ndani ya nyumba na wenye nyumba. Wengi wao huvishwa nguo na hulala kwenye magodoro. Tokana na hali mbaya za baridi kali au joto kali, hairuhusiwi wenye kufuga wanyama kuwaacha nje wanyama wao. Kuna sheria kuu mbili, moia hairuhusiwi wanyama kuonekana njiani peke yao bila mmiliki kuambatana nae, na pili ni marufuku kutesa au kufanya ukatili aina yeyote kwa mnyama. Kwa hiyo achofanya huyu kijana ndivyo ilivyo kwa wanyama wanaofugwa kwenye nchi dunia ya kwanza.
Kupenda wanyama ni jambo zuri sana, nimewahi kufuga paka wangu china, mmbwa wangu bingo na simba, nilifuga kuku wengi but kulikua na kuku aliepona ugonjwa wa kideri baada ya kuku wangu wote karibu 40 kufa, so huyo aliebaki akawa mgonjwa sana nikasema no huyu nitafanya vyovyotec apone, nilimpa majani ya miti mbalimbali kama muarubaini, pilipili, tangawizi, mpapai alovera yaani sikuamini mwisho alipona na tukamuita Mamalao yaani huyo kuku hata kideri kilipokuja alikua anapona na pia kupitia yy nilipata kujua namna yakuwaponya wengine, Maskini alikaa miaka kama 3 kama sikosei alikua amekua mzee hadi anasikitisha watu family walimchinja mimi nilishindwa kumla maana alikua amenizoea sanaa I love Animals ❤
Hongera
Mimi pia nilikua naishi na paka kwa kitanda changu na tulikua tunaswali wote hakuna swala anakosa mnyama ni sawa na binadamu ukishamfunza kuanzia mdogo ni hivyo anazoea
Kaka unapenda wanyama nakushauli jikite kwenye ufugaji utafanikiwa maana ufugaji unao kwenye damu
Mtu kama huyu ndo wakuolewà nae kama anaweza kuishi na wanyama hivi mwanamke si atakudekeza😊😊
Kadoo iwezi kumupa mutu stresse ila wewe naku chiti uta chiti 😂
Wa kwanza ku-comment nipeni likes zangu
Katombwe huko
zinakupeleka wapi kuma wewe
Mambo n meng humu dunian
Even me like animals so much
First viewer💥
Manshallah Ana good heart❤❤❤
Kweli kabisa una busara kweli
Imekaa powaa sanaa
Zingatia matuzo wajari
Mimi nilikuwa na kuku alikuwa na vifaranga 9. Cku 1 alikufa. Wakati huo nilikuwa sijajua kufuga, vifaranga 8 vikafa, kikabaki 1nikawa nakilaza kwenye ndoo nakifunika nguo, nakipakata. Nakaa nacho sebuleni hadi kikakuwa. Nilikuwa nakiita madam, hata uwe chumbani ukisema madam ninakuja mbio, kinakurukia kichwani alafu kinakaa. Alikuwa rafiki mkubwa. Majirani walikuwa wanamjua, alipokuwa mgonjwa sikumchinjwa alikufa nikamfukia. Nilikuwa nampenda sana.
Mbona huku kwa walabu wanakura kilakitu
Hatari
Unajua wanyama nao Wana akili mungu akulinde
Sasa kwenye gari wakikojoa inakuaje
Uyo kijana me nikajua ni madebe lidai jmn hee!
😂😂😂
Umeona kama mimi
Wanafanana kiukwel
Awape na matibabu
Kidogo anataka kufanania na madebe
Ni kweli
Mimi kabla sijafunguwa clip nilijuwa ni madebe
Mwandishi aujawai kuishi kijijini tunaishi na kondoo mbuzi humo humo ndama kuku na Bata kwaiyo sisi kwetu kawaida
Wewe wawaleya kwa huruma ya kufiwa na mama yawo walikutiya huruma nikama mayatima hata kimi nitawafanyiyahivyo kwaajili niyatima hwanamama qakuwanyonyesha
Acheni kushangaashangaa, nchi dunia ya kwanza wanyama wa kufuga kama hawa, pamoja na paka, mbwa na mbuzi huishi ndani ya nyumba na wenye nyumba. Wengi wao huvishwa nguo na hulala kwenye magodoro. Tokana na hali mbaya za baridi kali au joto kali, hairuhusiwi wenye kufuga wanyama kuwaacha nje wanyama wao. Kuna sheria kuu mbili, moia hairuhusiwi wanyama kuonekana njiani peke yao bila mmiliki kuambatana nae, na pili ni marufuku kutesa au kufanya ukatili aina yeyote kwa mnyama.
Kwa hiyo achofanya huyu kijana ndivyo ilivyo kwa wanyama wanaofugwa kwenye nchi dunia ya kwanza.
Hapo kwakitanda.nimeogopa.kondoo wana kitanda.hapana.😮😮😮
Hadi raha jamani
Sio alufariki,rekebisha kiswahili,alikufa
Vijana bwana et anawatomba😅😅
Ivi mnyama nae anafariki au anakufa nisawa nakuita kuku alie kufa maiti sio Duu 🤔🤔🤔
Eti kweli wamepanda daladala😂😂😂😂😂😂
Atazaa nao huyo jamaa
😂😂
😂😂😂😂 eti ugali pia wanakula chapati 😳😳😳. True Love kbsa
Kwani unashanga oman wanakula kila kitu
Hata ukienda kumtembelea girl friends wako.wanakupeleka?😅😅😅😅😅
Ukku Arusha Kuna ambaye anaishi na mbuzi uje umuone
Upendo tuu
umenichekesha eti sukari wanaifakamiya
😅😅 chapati na mandazi mandaz
Hadi kafanana nao sura 😂😂😂
Duu 🤣🤣🤣
😂😂😂Aise
Cy0,kuk0j0a tyuuh je wakinya kwenye gari~=
🫡🫡🫡
mh! hajafanana na madebe huyo
Sana 😂 nilidhani ndiye
Anawatombo fala uyo
Yaanii Una mawazo mabaya Sana mungu akusaidie Kwa nini unaluhusu Moyo wako kuwaza uchafu ?
Acheni kutuvuluga kondoo ni mnyama wa kufugwa sio kiivyo ni majini hayo
😂😂
Astaghafrullah imani yako tu ww funga mnyama na mzoeshe tabia unazomlea uone km hafuati
Mh ndg yangu hujawahi kufuga hata kuku ndg hiyo kawaida sana mnyama ni kama binadam ukitaka akuelewe unachotaka ni kumfu ndisha tuuu
😂😂😂😂 imani tu iyoo
Ww mbona unapenda ushirikina
Atakuwa anatomabana nao huyoo
Acha ufala basi
@@chunaabdullah1333 watu wanatomba kuku shekhe 😄
Kama nawe umesikia akisema "mama mtu" gonga like
Mambo n meng humu dunian