MAAJABU; KONDOO WANAONGEA, WANALALA KITANDANI, WANATUMWA DUKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024

Комментарии • 72

  • @user-ly8cf1fw8q
    @user-ly8cf1fw8q 6 дней назад +5

    Kupenda wanyama ni jambo zuri sana, nimewahi kufuga paka wangu china, mmbwa wangu bingo na simba, nilifuga kuku wengi but kulikua na kuku aliepona ugonjwa wa kideri baada ya kuku wangu wote karibu 40 kufa, so huyo aliebaki akawa mgonjwa sana nikasema no huyu nitafanya vyovyotec apone, nilimpa majani ya miti mbalimbali kama muarubaini, pilipili, tangawizi, mpapai alovera yaani sikuamini mwisho alipona na tukamuita Mamalao yaani huyo kuku hata kideri kilipokuja alikua anapona na pia kupitia yy nilipata kujua namna yakuwaponya wengine, Maskini alikaa miaka kama 3 kama sikosei alikua amekua mzee hadi anasikitisha watu family walimchinja mimi nilishindwa kumla maana alikua amenizoea sanaa I love Animals ❤

  • @user-ky1ni2ly9r
    @user-ky1ni2ly9r 11 дней назад +7

    Mimi pia nilikua naishi na paka kwa kitanda changu na tulikua tunaswali wote hakuna swala anakosa mnyama ni sawa na binadamu ukishamfunza kuanzia mdogo ni hivyo anazoea

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 14 дней назад +7

    Kaka unapenda wanyama nakushauli jikite kwenye ufugaji utafanikiwa maana ufugaji unao kwenye damu

  • @WinfridaZakayo-mj7co
    @WinfridaZakayo-mj7co 7 дней назад +4

    Mtu kama huyu ndo wakuolewà nae kama anaweza kuishi na wanyama hivi mwanamke si atakudekeza😊😊

    • @josephusekwelas9743
      @josephusekwelas9743 4 дня назад

      Kadoo iwezi kumupa mutu stresse ila wewe naku chiti uta chiti 😂

  • @frankaj1547
    @frankaj1547 15 дней назад +8

    Wa kwanza ku-comment nipeni likes zangu

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 дня назад

    Mambo n meng humu dunian

  • @bonny7969
    @bonny7969 2 дня назад

    Even me like animals so much

  • @anordmorice9908
    @anordmorice9908 15 дней назад +4

    First viewer💥

  • @blessingblessing9641
    @blessingblessing9641 6 дней назад

    Manshallah Ana good heart❤❤❤

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 14 дней назад +2

    Kweli kabisa una busara kweli

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 4 дня назад

    Imekaa powaa sanaa

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 8 дней назад +1

    Zingatia matuzo wajari

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 6 часов назад

    Mimi nilikuwa na kuku alikuwa na vifaranga 9. Cku 1 alikufa. Wakati huo nilikuwa sijajua kufuga, vifaranga 8 vikafa, kikabaki 1nikawa nakilaza kwenye ndoo nakifunika nguo, nakipakata. Nakaa nacho sebuleni hadi kikakuwa. Nilikuwa nakiita madam, hata uwe chumbani ukisema madam ninakuja mbio, kinakurukia kichwani alafu kinakaa. Alikuwa rafiki mkubwa. Majirani walikuwa wanamjua, alipokuwa mgonjwa sikumchinjwa alikufa nikamfukia. Nilikuwa nampenda sana.

  • @Halima-wy7to
    @Halima-wy7to 4 дня назад

    Mbona huku kwa walabu wanakura kilakitu

  • @frankaj1547
    @frankaj1547 15 дней назад +1

    Hatari

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 6 дней назад

    Unajua wanyama nao Wana akili mungu akulinde

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 9 дней назад +1

    Sasa kwenye gari wakikojoa inakuaje

  • @user-xg5kb7fm9c
    @user-xg5kb7fm9c 15 дней назад +3

    Uyo kijana me nikajua ni madebe lidai jmn hee!

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dy 5 дней назад

    Awape na matibabu

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 9 дней назад +2

    Kidogo anataka kufanania na madebe

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su 6 дней назад

    Mwandishi aujawai kuishi kijijini tunaishi na kondoo mbuzi humo humo ndama kuku na Bata kwaiyo sisi kwetu kawaida

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 5 дней назад

    Wewe wawaleya kwa huruma ya kufiwa na mama yawo walikutiya huruma nikama mayatima hata kimi nitawafanyiyahivyo kwaajili niyatima hwanamama qakuwanyonyesha

  • @jeffpaul7968
    @jeffpaul7968 14 дней назад

    Acheni kushangaashangaa, nchi dunia ya kwanza wanyama wa kufuga kama hawa, pamoja na paka, mbwa na mbuzi huishi ndani ya nyumba na wenye nyumba. Wengi wao huvishwa nguo na hulala kwenye magodoro. Tokana na hali mbaya za baridi kali au joto kali, hairuhusiwi wenye kufuga wanyama kuwaacha nje wanyama wao. Kuna sheria kuu mbili, moia hairuhusiwi wanyama kuonekana njiani peke yao bila mmiliki kuambatana nae, na pili ni marufuku kutesa au kufanya ukatili aina yeyote kwa mnyama.
    Kwa hiyo achofanya huyu kijana ndivyo ilivyo kwa wanyama wanaofugwa kwenye nchi dunia ya kwanza.

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 6 дней назад

    Hapo kwakitanda.nimeogopa.kondoo wana kitanda.hapana.😮😮😮

  • @babalao3250
    @babalao3250 9 дней назад +1

    Hadi raha jamani

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 15 дней назад

    Sio alufariki,rekebisha kiswahili,alikufa

  • @frenkjelad4468
    @frenkjelad4468 11 дней назад +1

    Vijana bwana et anawatomba😅😅

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 10 дней назад

    Ivi mnyama nae anafariki au anakufa nisawa nakuita kuku alie kufa maiti sio Duu 🤔🤔🤔

  • @salama1113
    @salama1113 7 дней назад

    Eti kweli wamepanda daladala😂😂😂😂😂😂

  • @user-yw6ir4bg3l
    @user-yw6ir4bg3l 10 дней назад +1

    Atazaa nao huyo jamaa

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 6 дней назад

    😂😂😂😂 eti ugali pia wanakula chapati 😳😳😳. True Love kbsa

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 6 часов назад

      Kwani unashanga oman wanakula kila kitu

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 6 дней назад

    Hata ukienda kumtembelea girl friends wako.wanakupeleka?😅😅😅😅😅

  • @janeyjohnson9274
    @janeyjohnson9274 15 дней назад

    Ukku Arusha Kuna ambaye anaishi na mbuzi uje umuone

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 15 дней назад

    Upendo tuu

  • @saidihamadi6110
    @saidihamadi6110 10 дней назад

    umenichekesha eti sukari wanaifakamiya

  • @official_dallax
    @official_dallax 14 дней назад

    😅😅 chapati na mandazi mandaz

  • @lellovenance5702
    @lellovenance5702 11 дней назад +1

    Hadi kafanana nao sura 😂😂😂

  • @JamesMakuri-ik6gj
    @JamesMakuri-ik6gj 9 дней назад

    Cy0,kuk0j0a tyuuh je wakinya kwenye gari~=

  • @titondahani5216
    @titondahani5216 День назад

    🫡🫡🫡

  • @saidihamadi6110
    @saidihamadi6110 10 дней назад

    mh! hajafanana na madebe huyo

    • @NuruJara
      @NuruJara 7 дней назад

      Sana 😂 nilidhani ndiye

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 15 дней назад +1

    Anawatombo fala uyo

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 15 дней назад +2

      Yaanii Una mawazo mabaya Sana mungu akusaidie Kwa nini unaluhusu Moyo wako kuwaza uchafu ?

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano 15 дней назад +3

    Acheni kutuvuluga kondoo ni mnyama wa kufugwa sio kiivyo ni majini hayo

    • @ashamohamed838
      @ashamohamed838 15 дней назад

      😂😂

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 14 дней назад +1

      Astaghafrullah imani yako tu ww funga mnyama na mzoeshe tabia unazomlea uone km hafuati

    • @mussaenos3738
      @mussaenos3738 11 дней назад

      Mh ndg yangu hujawahi kufuga hata kuku ndg hiyo kawaida sana mnyama ni kama binadam ukitaka akuelewe unachotaka ni kumfu ndisha tuuu

    • @DafettyOg
      @DafettyOg 10 дней назад

      😂😂😂😂 imani tu iyoo

    • @user-mr5tk8oc3t
      @user-mr5tk8oc3t 8 дней назад

      Ww mbona unapenda ushirikina

  • @lellovenance5702
    @lellovenance5702 11 дней назад

    Atakuwa anatomabana nao huyoo

  • @hafidhimarijani4961
    @hafidhimarijani4961 9 дней назад

    Kama nawe umesikia akisema "mama mtu" gonga like

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 дня назад

    Mambo n meng humu dunian