DK SULE ALIVYO FAFANUA KUHUSU UTAJIRI NA MALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2024

Комментарии • 130

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 28 дней назад +12

    Ndugu mtangaazaji mungu akulipe kila lakher kwajitihada zako sana piya shekhe na ww Allah akupe maisha mazur ktk duniya hii

  • @user-pi4cb1vt9y
    @user-pi4cb1vt9y 28 дней назад +5

    Nampenda sana dr suleiman napata mwangaza nnapo angalia video zake RUclips.

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 28 дней назад +2

    Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🎉🎉🎉🎉🎉
    Shekh hongera sana Kwa Elimu

  • @GoodluckLameck-nh9tq
    @GoodluckLameck-nh9tq 28 дней назад +2

    Nimekupenda Dr sule uko poa

  • @Mammy-eq7ef
    @Mammy-eq7ef 28 дней назад +2

    Enyewe nimependa ameongea ukweli kabisa yan zipo riziki za halali na ukiomba mungu anajibu 🙏🙏🙏😢😢😢 nashukuru nahichi ninacho pata tyr

  • @user-rn8lz6pm1x
    @user-rn8lz6pm1x 28 дней назад +3

    Dr sulle nahoba Namba yako

  • @antongomez7844
    @antongomez7844 28 дней назад +5

    Manshallah shehe sule mungu akupe maisha maref uzidi kuwaelimishe

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 28 дней назад

      ANAWAELIMISHA AU ANAWAPOTOSHA UMMA AU ANAELIMISHA KUFUGA MAJINI?

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 28 дней назад +1

      ​@@stevensosipitaMmh hovyooo🤧🤧

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest9068 28 дней назад +1

    Barikiwa sana Dr Sule

  • @MuharamiNgasinda
    @MuharamiNgasinda 28 дней назад +3

    Sheeehe la dunia hilooo Dr sule

  • @user-sg6qz3yw7k
    @user-sg6qz3yw7k 28 дней назад +3

    Lakini amesema yule nikiumbe kuna muda anavyo taka kuingiliana anabadilika😂😂

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 26 дней назад

    Tnakuelewa sna sheikh wetu Dr. Sule cc tnajua ww ni elimu na duniani kila kitu ni elimu,, tnajua ata kuzungumzia Nyuki, majini, na malaika yte ni elimu,, lkn mara zte sheikh wa kizungu za khs majini wa naambiwa washikina

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 28 дней назад +1

    ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu

  • @mantosanto3222
    @mantosanto3222 15 дней назад

    Naomba unisaidie kupata ufanisi nimeishi maisha magumu, unapatikana wapi

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest9068 28 дней назад +3

    Hakika Mwenyezi Mungu aturehemu usiku na mchana tupate kupone

  • @MuharamiNgasinda
    @MuharamiNgasinda 28 дней назад +2

    Maaa shaaa allah

  • @KambanungaAssani
    @KambanungaAssani 28 дней назад +2

    Swadakta Dr Sulle

  • @user-jr5ui3hb7v
    @user-jr5ui3hb7v 25 дней назад

    Dackta sule mimi naitwa suleimani nyota yangu nimizani naomba kujua iko katika daraja ipi ? (1)au (2)au(3)au (4)?.

  • @user-ct2yd8lp2o
    @user-ct2yd8lp2o 28 дней назад +1

    Shukran Dr Sule

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 28 дней назад +1

    HAYO YAPO SHEIKH...NOTE ZINALETWA NDANI KWA MUIJIZA..NINAVYOFIKIRI

  • @user-pi4cb1vt9y
    @user-pi4cb1vt9y 28 дней назад +3

    Hkika ume nifungua sana kuhusu hayo mafungu ya rizki mimi nlikua nme olewa na tajiri sana na ali mjengea mamangu nyumba ila dada ya mamangu ali niroga nanika shikwa na wazimu na mume wangu aka niacha 2014 nli hangaika sana nika pona 2019 na nka mpata mume wangu ame oa na ana mtoto niliacha ndoa nanika safori niko saudia mpaka sasa nilona nyumba zangu mbili zaku pangisha tuktuk zangu mbili mpya nana rudi kwetu mwezzi wa nane 2025 nikiwa na pesa zangu zaku tosha ila yule dada ya mamangu hana maisha analewa aki lala kila mahali ali repiwa hadi ana ukimwi mimi nli msamehe na niki rudi nta mjengea room moja aji sthiri

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 28 дней назад

      Aisee Aisee Aisee

    • @sabraali1118
      @sabraali1118 28 дней назад

      Duh maskini kweli shetwani mbaya ila pole na pia hongera

    • @user-jw7qq1rt4r
      @user-jw7qq1rt4r 28 дней назад

      Daah binadam tunaroho mbaya sana pole sana dada

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 28 дней назад

      ​@@user-jw7qq1rt4rila sasa yeye anawaza kumjengea eti😮

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 24 дня назад

      Unanifaa kwa moyo ulo nao ukimkosa mtu basi nichek niko Tanga nitakuwa tayar kuoa

  • @Mumy564
    @Mumy564 28 дней назад

    Masha Allah

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 24 дня назад

    Nilimuhishimu ila sikujuwa ni mshirikina mkubwa.

  • @HusnaShomar
    @HusnaShomar 20 дней назад

    Uwongo mtupu

  • @ashirafali1117
    @ashirafali1117 28 дней назад +2

    sasa hiyo asali ni ghali zaidi kuliko hilo friji 😂😂😂

  • @ShabaniMukose
    @ShabaniMukose 28 дней назад +1

    Hakuna tajiri duniani mtu kama bakhresa ni mtunishi wa umma kama raisi wa nchi. Kwa maana vile vyote anavyo simamia havitumii yeye pekeyake vinatumiwa na wengi. Kwa maana ni kiongozi. Au mthamini! Tajiri ni mungu tu:

  • @user-rn8lz6pm1x
    @user-rn8lz6pm1x 28 дней назад +2

    Sheiky sele endeleia kutipa mawaida, Allah atakulipa, Aly mz.

  • @saadiwabu3523
    @saadiwabu3523 18 дней назад

    Sawa

  • @AbibaSalleh
    @AbibaSalleh 28 дней назад

    Subhanallah

  • @mantosanto3222
    @mantosanto3222 15 дней назад

    Naomba number yako daktari

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 28 дней назад +1

    Umesema kweli shekhe

  • @kenedysamwel9863
    @kenedysamwel9863 28 дней назад

    Umeongea point sana mkuu

  • @jamilagalus9705
    @jamilagalus9705 29 дней назад

    Subhanallah 😢😢😢😢

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c 29 дней назад +1

    Jamani, astaghriru llah, nioze ilinipate utajir nadhani niwentayar mareehem

  • @SalimMalekela
    @SalimMalekela 26 дней назад

    Naomba namba ya dor Sulle

  • @MuharamiNgasinda
    @MuharamiNgasinda 28 дней назад

    Shee mungu ameruusu utumwa

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 28 дней назад +1

    Sio kweli unachanganya mada utupu wa mwanamke unathani kubwa sana wewe ulitoka wapi utupu kutumika vibaya sio sababu ya kusema hauna thamani hapo umekosea omba radhi

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 28 дней назад

      Hujamfahamu nadhani katumia luha kww wale wanaozini ndipo aliposema labda uwe wahalali nadhani kiswahili hukifahamu kaka

  • @AthumanMhina-wf9rw
    @AthumanMhina-wf9rw 29 дней назад +2

    Hahahahaaaaa kwa buku

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 28 дней назад

    😂😂😂😂babu yangu bs kapewa mashariti makubwa zaid😂😂

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 28 дней назад

    Ni sahihi DK

  • @user-we6bp2me4j
    @user-we6bp2me4j 23 дня назад

    Dr Sulle na wewe ni tapeli mkubwa

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 28 дней назад

    DR.maneno mazidi...lkn mnaweza kumwita mkamuliza na kumpa Kivhapo chake anaejitoa kujikashifu n Dini pia

  • @SalimMalekela
    @SalimMalekela 26 дней назад

    Naomba namba za for Sulle

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 24 дня назад

      Nilitaka nikuandikie namba zake ila nimeona hatar kwa hapa coz itakuwa hadharan mno

  • @musalumbi8490
    @musalumbi8490 24 дня назад

    Dr. ungesema tu kwa tasfida kuwa "thamani ya mwanamke inategemea mwanamke mwenyewe alivyojibeba"

  • @DaudMuhammedDjuma
    @DaudMuhammedDjuma 28 дней назад

    Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh mimi shida yangu tu contact za Dr Sule bi idhnillah nitafarijika sana 🙏🙏

  • @GoodluckLameck-nh9tq
    @GoodluckLameck-nh9tq 28 дней назад

    Ni kweli

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 24 дня назад

    Kiburi kikubwa na Mushrik

  • @DavidMatata
    @DavidMatata 28 дней назад

    Hiyo Pete uliyoivaa ni Pete ya majini,siyo nzuri!!

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 28 дней назад +1

    Ni upuuzi wameuleta tu hakuna mali za short cult

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa6740 28 дней назад

    The lips of the righteous teach many but fools die for lack of wisdom proverbs 10:21

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm 28 дней назад

    Kabisa

  • @MuharamiNgasinda
    @MuharamiNgasinda 28 дней назад

    Amna yy mfafanuzi mweleweee

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 28 дней назад

    ila alisema huwa anajibadilisha kwa tukio

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 28 дней назад

    Hata mimi nimeliona hilo yule anataka kutrend tu 🤣

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho9226 28 дней назад

    Vipi kuhusu pete ya kijani uliyovaa? ipo sawa...........mafundisho mazuri

  • @user-kt3ro2zt5i
    @user-kt3ro2zt5i 28 дней назад

    Apo nimekuelewa docta

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 28 дней назад +3

    Sule mwenyewe Ana Pete ya ushirikina mhh mnapotowa waja wemwewe unataka sifa

  • @alicedusabe7510
    @alicedusabe7510 28 дней назад

    Kasema kuwa kunamuda anajibadirisha akawa kama binadamu kwahio ni jini

  • @josephvisenti7416
    @josephvisenti7416 28 дней назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @user-vq2pn6qf7n
    @user-vq2pn6qf7n 28 дней назад

    Daa jamani tuache kuparamia wanawake ,mtakuja kulala na nyoka,ila hera halali ni ipi?

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f 28 дней назад

    Nikweli Kabisa sheikh

  • @user-qh9jj5xz3p
    @user-qh9jj5xz3p 28 дней назад

    Ukweli sai waislam tunafanya mambo ambayo Allah kayakataza 😢😢😢

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 28 дней назад

    Tulio toka nje ya Afrika tunaelewa samani ya nyumba za chini ghorofa ni km kibanda

  • @SisterSister-lf6ib
    @SisterSister-lf6ib 28 дней назад +1

    مشاءالله

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 28 дней назад

    HUYU SHEIKH UNAWEZA WANDISHI WAKAMFWATA WANAMULIZA VINGINE KUJIBU KWAKE KUJISIFIA MAISHA YAKE UNAULIZA KUUSU MWANAMKE KUISHI NA NYOKA UNATOA DAWA ANAJIFANYA ANAJUA MPAKA ANAUZI

  • @hassanmchwakachangama888
    @hassanmchwakachangama888 28 дней назад

    Ahsant kwa Elimu yako Mwalimu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 29 дней назад +1

    Subhanna Allah 😭

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 28 дней назад

    MITUME IFAPO NDIPO IZIKWAPO.
    Kafariki Egypt 🇪🇬 na kuzikwa Palestine 🇵🇸

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 28 дней назад

    Wewe Ni mbishi mtu kwenda kutengeneza umeme Kwa tajiri mmoja darini Kakuta majeneza matatu la mkubwa na watoto binadamu Ni Kiumbe hatari saana

  • @Official83640
    @Official83640 28 дней назад

    Hakuna kitu sipendi km kutrend kwa vitu vya kipuuzi sasa Shekhe sijui Dr nae anaongia kutrendisha shirk Subhannallah Astaghafilullah Astaghafilullah Astaghafilullah 😢

  • @abasiramashoo5026
    @abasiramashoo5026 28 дней назад

    Kasema nyoka anabadili anakuwa mwanadamu

  • @salumumohamedy
    @salumumohamedy 28 дней назад

    hii mikono na uso watu wa VAR Mtuambie

  • @fatmasaid6660
    @fatmasaid6660 29 дней назад +1

    True sheikh

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 25 дней назад

    Bahati mbaya internet kumejaa wajinga. Kuliko wenye akili. Tunahitaji mambo hayaa

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 28 дней назад

    Utupu waa..mwanamke hauna..dhamani kuna waa buku kuna waa chios dhamani. Yaa tupuu.ya mwanamke ni mmiliki mwanamke mwenyewe .anaye utuzee

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 28 дней назад +1

    Yemwewe sule mshirikina

  • @dandy_unique
    @dandy_unique 28 дней назад

    Alisema kuwa yule sio nyoka wa kawaida

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 28 дней назад

    Wengine ni kutokuvaa viatu,wanatembea pekupeku.

  • @SIMONOMULALO
    @SIMONOMULALO 29 дней назад

    🤔🤔🤔🤔🤔🤫🤫

  • @Niika870
    @Niika870 28 дней назад

    Yule bint nyoka Tapeli tu mtakuja kusema ,kuishi na nyoka kama chatu kawaida tu mbona,wamuchunguze vizuri mle chumbani anatisha watu , mtu mweny dangu hatangazi wazi,yule ana biashara mbovu nyuma yake hataki watu wamuchunguze chunguze,anajua akisema nyoka watu wataogopa😂😂

  • @Kalaharidesertstorm
    @Kalaharidesertstorm 28 дней назад

    Paukwa pakawa 😂

  • @Rushatsiog
    @Rushatsiog 28 дней назад

    Hio Pete aliovaa muwe makini nayo

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho 28 дней назад

    Hauna samani wake zako

  • @dhahabukalama2635
    @dhahabukalama2635 28 дней назад

    Pipiiiiiiiii 🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️hadi comment section

  • @JofreydamasMassawe-sl6qr
    @JofreydamasMassawe-sl6qr 29 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 28 дней назад +1

    Wemwenyewe unaabudu pete

    • @NadhiraNa-vm5hs
      @NadhiraNa-vm5hs 28 дней назад

      Unaunwa wewe Kwan vp

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@NadhiraNa-vm5hs mama pia anaumwa ila hajakwambia ndio maana hujui

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@NadhiraNa-vm5hs wembuzi mshirikina mmoja we

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@NadhiraNa-vm5hs kazi.kupotowa watu tu kwenda kule.mbuzu ulokosa maarifa

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@NadhiraNa-vm5hs kama upo tayar njoo inbox mpumbavu

  • @AshaMwawako
    @AshaMwawako 29 дней назад

    Analabwa

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 29 дней назад

    Nomejikuta nacheka 😂😂Astaghfirullah ya Rabb mwenyewe kasema nyoka anajibadili anakua kiumbe huwenda ni jinni Utupu wa mia 5😢😢😢😢😢

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 28 дней назад

    BABU MASIFA

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 29 дней назад

    Shekhe wa mchongo

    • @AmCool_
      @AmCool_ 29 дней назад

      Kwanini?

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 28 дней назад

    Hili shekhe linamaneno mengi namisifa

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 28 дней назад

      Kwakua huyataki anayoyoyasema ndomaana unasema hivo mwenye kuyataka tunafahamu

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@ukhtyrayyan7884 mtajuwa wenyewe kwendeni huko shekhe gani muhuni anajitapa eti anatongozwa kila siku kama siuhuni kitu gani

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@ukhtyrayyan7884 Tatizo hili shekhe linamasifq uislam kazi mashekhe wenyewe wanafiki

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@ukhtyrayyan7884 sijawahi kuona shekhe anajisifia kutongozwa hili hili jamaa nililisema linatogozwa

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 28 дней назад

      @@ukhtyrayyan7884 mimi nimemchukia mbinafsi sana huyu shekhe tuliwahi kumpigia tunashoda halikupokea ila kumbe likitogozwa linapokea

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 29 дней назад

    KWAHIYO WEWE SHEKHE WA MCHONGO KWA AKILI ZAKO HUJUWI KAMA NYOKA NSHETANI?WOTE NYIE MASHETANI WEWE PIA UNA MILIKI MAJINI

    • @user-us1wc1qy9n
      @user-us1wc1qy9n 29 дней назад +2

      Sasà ww na sule nani jini kasome din sio kukulupuka tu huyu ni doctor sule na ametembea nchi nyingi

    • @user-us1wc1qy9n
      @user-us1wc1qy9n 29 дней назад +1

      Alafu ww ndio stev wa mchongo

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 29 дней назад

      Aahh hakuna maneno ya utupu wa kike hauna thamani, basi utupu wa kike ndio wenye thamani ukipimia tabu zinazotokea kwa mwanamke.

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 28 дней назад +1

      Sio kila nyoka ni jini

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 28 дней назад

      @@user-us1wc1qy9n USIYEJUWA NI WEWE HAPO HAKUNA WANAFIKI HAO NA WATU WASHIRKI WACHAWI WAKUBWA MIX KUFUGA MAJINI POLENI SANA

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 29 дней назад

    Kma warab vile

    • @user-gb3sf9fy2u
      @user-gb3sf9fy2u 28 дней назад

      Waarabu tena

    • @Rose-ue2ho
      @Rose-ue2ho 28 дней назад

      Ukiona mtu anakuongelea sana ujuwe ana wivu na wewe na roho inamuuma ndio maana unakuwa kwenye mdomo wake😂😂

    • @binthkhamis8042
      @binthkhamis8042 28 дней назад

      @@user-gb3sf9fy2u eeh warab wengi sn hutajir wao ni wamashaka mashaka waeza ona mtu mzim hajielew kumbe nichumo lao la pesa...mean mazezeta