Tnakuelewa sna sheikh wetu Dr. Sule cc tnajua ww ni elimu na duniani kila kitu ni elimu,, tnajua ata kuzungumzia Nyuki, majini, na malaika yte ni elimu,, lkn mara zte sheikh wa kizungu za khs majini wa naambiwa washikina
Hkika ume nifungua sana kuhusu hayo mafungu ya rizki mimi nlikua nme olewa na tajiri sana na ali mjengea mamangu nyumba ila dada ya mamangu ali niroga nanika shikwa na wazimu na mume wangu aka niacha 2014 nli hangaika sana nika pona 2019 na nka mpata mume wangu ame oa na ana mtoto niliacha ndoa nanika safori niko saudia mpaka sasa nilona nyumba zangu mbili zaku pangisha tuktuk zangu mbili mpya nana rudi kwetu mwezzi wa nane 2025 nikiwa na pesa zangu zaku tosha ila yule dada ya mamangu hana maisha analewa aki lala kila mahali ali repiwa hadi ana ukimwi mimi nli msamehe na niki rudi nta mjengea room moja aji sthiri
Hakuna tajiri duniani mtu kama bakhresa ni mtunishi wa umma kama raisi wa nchi. Kwa maana vile vyote anavyo simamia havitumii yeye pekeyake vinatumiwa na wengi. Kwa maana ni kiongozi. Au mthamini! Tajiri ni mungu tu:
Sio kweli unachanganya mada utupu wa mwanamke unathani kubwa sana wewe ulitoka wapi utupu kutumika vibaya sio sababu ya kusema hauna thamani hapo umekosea omba radhi
HUYU SHEIKH UNAWEZA WANDISHI WAKAMFWATA WANAMULIZA VINGINE KUJIBU KWAKE KUJISIFIA MAISHA YAKE UNAULIZA KUUSU MWANAMKE KUISHI NA NYOKA UNATOA DAWA ANAJIFANYA ANAJUA MPAKA ANAUZI
Hakuna kitu sipendi km kutrend kwa vitu vya kipuuzi sasa Shekhe sijui Dr nae anaongia kutrendisha shirk Subhannallah Astaghafilullah Astaghafilullah Astaghafilullah 😢
Yule bint nyoka Tapeli tu mtakuja kusema ,kuishi na nyoka kama chatu kawaida tu mbona,wamuchunguze vizuri mle chumbani anatisha watu , mtu mweny dangu hatangazi wazi,yule ana biashara mbovu nyuma yake hataki watu wamuchunguze chunguze,anajua akisema nyoka watu wataogopa😂😂
Ndugu mtangaazaji mungu akulipe kila lakher kwajitihada zako sana piya shekhe na ww Allah akupe maisha mazur ktk duniya hii
Nampenda sana dr suleiman napata mwangaza nnapo angalia video zake RUclips.
Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🎉🎉🎉🎉🎉
Shekh hongera sana Kwa Elimu
Nimekupenda Dr sule uko poa
Enyewe nimependa ameongea ukweli kabisa yan zipo riziki za halali na ukiomba mungu anajibu 🙏🙏🙏😢😢😢 nashukuru nahichi ninacho pata tyr
Dr sulle nahoba Namba yako
Manshallah shehe sule mungu akupe maisha maref uzidi kuwaelimishe
ANAWAELIMISHA AU ANAWAPOTOSHA UMMA AU ANAELIMISHA KUFUGA MAJINI?
@@stevensosipitaMmh hovyooo🤧🤧
Barikiwa sana Dr Sule
Sheeehe la dunia hilooo Dr sule
Lakini amesema yule nikiumbe kuna muda anavyo taka kuingiliana anabadilika😂😂
Tnakuelewa sna sheikh wetu Dr. Sule cc tnajua ww ni elimu na duniani kila kitu ni elimu,, tnajua ata kuzungumzia Nyuki, majini, na malaika yte ni elimu,, lkn mara zte sheikh wa kizungu za khs majini wa naambiwa washikina
ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu
Naomba unisaidie kupata ufanisi nimeishi maisha magumu, unapatikana wapi
Hakika Mwenyezi Mungu aturehemu usiku na mchana tupate kupone
Amin
Amin
Maaa shaaa allah
Swadakta Dr Sulle
Dackta sule mimi naitwa suleimani nyota yangu nimizani naomba kujua iko katika daraja ipi ? (1)au (2)au(3)au (4)?.
Shukran Dr Sule
HAYO YAPO SHEIKH...NOTE ZINALETWA NDANI KWA MUIJIZA..NINAVYOFIKIRI
Hkika ume nifungua sana kuhusu hayo mafungu ya rizki mimi nlikua nme olewa na tajiri sana na ali mjengea mamangu nyumba ila dada ya mamangu ali niroga nanika shikwa na wazimu na mume wangu aka niacha 2014 nli hangaika sana nika pona 2019 na nka mpata mume wangu ame oa na ana mtoto niliacha ndoa nanika safori niko saudia mpaka sasa nilona nyumba zangu mbili zaku pangisha tuktuk zangu mbili mpya nana rudi kwetu mwezzi wa nane 2025 nikiwa na pesa zangu zaku tosha ila yule dada ya mamangu hana maisha analewa aki lala kila mahali ali repiwa hadi ana ukimwi mimi nli msamehe na niki rudi nta mjengea room moja aji sthiri
Aisee Aisee Aisee
Duh maskini kweli shetwani mbaya ila pole na pia hongera
Daah binadam tunaroho mbaya sana pole sana dada
@@user-jw7qq1rt4rila sasa yeye anawaza kumjengea eti😮
Unanifaa kwa moyo ulo nao ukimkosa mtu basi nichek niko Tanga nitakuwa tayar kuoa
Masha Allah
Nilimuhishimu ila sikujuwa ni mshirikina mkubwa.
Uwongo mtupu
sasa hiyo asali ni ghali zaidi kuliko hilo friji 😂😂😂
Hakuna tajiri duniani mtu kama bakhresa ni mtunishi wa umma kama raisi wa nchi. Kwa maana vile vyote anavyo simamia havitumii yeye pekeyake vinatumiwa na wengi. Kwa maana ni kiongozi. Au mthamini! Tajiri ni mungu tu:
Swadakta ndugu yangu watumishi wa ummah tuu 💯
Sheiky sele endeleia kutipa mawaida, Allah atakulipa, Aly mz.
Sawa
Subhanallah
Naomba number yako daktari
Umesema kweli shekhe
Umeongea point sana mkuu
Subhanallah 😢😢😢😢
Jamani, astaghriru llah, nioze ilinipate utajir nadhani niwentayar mareehem
Naomba namba ya dor Sulle
Shee mungu ameruusu utumwa
Sio kweli unachanganya mada utupu wa mwanamke unathani kubwa sana wewe ulitoka wapi utupu kutumika vibaya sio sababu ya kusema hauna thamani hapo umekosea omba radhi
Hujamfahamu nadhani katumia luha kww wale wanaozini ndipo aliposema labda uwe wahalali nadhani kiswahili hukifahamu kaka
Hahahahaaaaa kwa buku
😂😂😂😂babu yangu bs kapewa mashariti makubwa zaid😂😂
Ni sahihi DK
Dr Sulle na wewe ni tapeli mkubwa
DR.maneno mazidi...lkn mnaweza kumwita mkamuliza na kumpa Kivhapo chake anaejitoa kujikashifu n Dini pia
Naomba namba za for Sulle
Nilitaka nikuandikie namba zake ila nimeona hatar kwa hapa coz itakuwa hadharan mno
Dr. ungesema tu kwa tasfida kuwa "thamani ya mwanamke inategemea mwanamke mwenyewe alivyojibeba"
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh mimi shida yangu tu contact za Dr Sule bi idhnillah nitafarijika sana 🙏🙏
Ni kweli
Kiburi kikubwa na Mushrik
Hiyo Pete uliyoivaa ni Pete ya majini,siyo nzuri!!
Ni upuuzi wameuleta tu hakuna mali za short cult
The lips of the righteous teach many but fools die for lack of wisdom proverbs 10:21
Kabisa
Amna yy mfafanuzi mweleweee
ila alisema huwa anajibadilisha kwa tukio
Hata mimi nimeliona hilo yule anataka kutrend tu 🤣
Vipi kuhusu pete ya kijani uliyovaa? ipo sawa...........mafundisho mazuri
Apo nimekuelewa docta
Sule mwenyewe Ana Pete ya ushirikina mhh mnapotowa waja wemwewe unataka sifa
Kasema kuwa kunamuda anajibadirisha akawa kama binadamu kwahio ni jini
🎉🎉🎉🎉
Daa jamani tuache kuparamia wanawake ,mtakuja kulala na nyoka,ila hera halali ni ipi?
Nikweli Kabisa sheikh
Ukweli sai waislam tunafanya mambo ambayo Allah kayakataza 😢😢😢
Tulio toka nje ya Afrika tunaelewa samani ya nyumba za chini ghorofa ni km kibanda
مشاءالله
HUYU SHEIKH UNAWEZA WANDISHI WAKAMFWATA WANAMULIZA VINGINE KUJIBU KWAKE KUJISIFIA MAISHA YAKE UNAULIZA KUUSU MWANAMKE KUISHI NA NYOKA UNATOA DAWA ANAJIFANYA ANAJUA MPAKA ANAUZI
Ahsant kwa Elimu yako Mwalimu
Subhanna Allah 😭
MITUME IFAPO NDIPO IZIKWAPO.
Kafariki Egypt 🇪🇬 na kuzikwa Palestine 🇵🇸
Wewe Ni mbishi mtu kwenda kutengeneza umeme Kwa tajiri mmoja darini Kakuta majeneza matatu la mkubwa na watoto binadamu Ni Kiumbe hatari saana
Hakuna kitu sipendi km kutrend kwa vitu vya kipuuzi sasa Shekhe sijui Dr nae anaongia kutrendisha shirk Subhannallah Astaghafilullah Astaghafilullah Astaghafilullah 😢
Kasema nyoka anabadili anakuwa mwanadamu
hii mikono na uso watu wa VAR Mtuambie
VAR 😂😂😂
True sheikh
Bahati mbaya internet kumejaa wajinga. Kuliko wenye akili. Tunahitaji mambo hayaa
Utupu waa..mwanamke hauna..dhamani kuna waa buku kuna waa chios dhamani. Yaa tupuu.ya mwanamke ni mmiliki mwanamke mwenyewe .anaye utuzee
Yemwewe sule mshirikina
Acha chuki
Alisema kuwa yule sio nyoka wa kawaida
Wengine ni kutokuvaa viatu,wanatembea pekupeku.
🤔🤔🤔🤔🤔🤫🤫
Yule bint nyoka Tapeli tu mtakuja kusema ,kuishi na nyoka kama chatu kawaida tu mbona,wamuchunguze vizuri mle chumbani anatisha watu , mtu mweny dangu hatangazi wazi,yule ana biashara mbovu nyuma yake hataki watu wamuchunguze chunguze,anajua akisema nyoka watu wataogopa😂😂
Paukwa pakawa 😂
Hio Pete aliovaa muwe makini nayo
Hauna samani wake zako
Pipiiiiiiiii 🚴♀️🚴♀️🚴♀️🚴♀️🚴♀️hadi comment section
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wemwenyewe unaabudu pete
Unaunwa wewe Kwan vp
@@NadhiraNa-vm5hs mama pia anaumwa ila hajakwambia ndio maana hujui
@@NadhiraNa-vm5hs wembuzi mshirikina mmoja we
@@NadhiraNa-vm5hs kazi.kupotowa watu tu kwenda kule.mbuzu ulokosa maarifa
@@NadhiraNa-vm5hs kama upo tayar njoo inbox mpumbavu
Analabwa
Nomejikuta nacheka 😂😂Astaghfirullah ya Rabb mwenyewe kasema nyoka anajibadili anakua kiumbe huwenda ni jinni Utupu wa mia 5😢😢😢😢😢
BABU MASIFA
Shekhe wa mchongo
Kwanini?
Hili shekhe linamaneno mengi namisifa
Kwakua huyataki anayoyoyasema ndomaana unasema hivo mwenye kuyataka tunafahamu
@@ukhtyrayyan7884 mtajuwa wenyewe kwendeni huko shekhe gani muhuni anajitapa eti anatongozwa kila siku kama siuhuni kitu gani
@@ukhtyrayyan7884 Tatizo hili shekhe linamasifq uislam kazi mashekhe wenyewe wanafiki
@@ukhtyrayyan7884 sijawahi kuona shekhe anajisifia kutongozwa hili hili jamaa nililisema linatogozwa
@@ukhtyrayyan7884 mimi nimemchukia mbinafsi sana huyu shekhe tuliwahi kumpigia tunashoda halikupokea ila kumbe likitogozwa linapokea
KWAHIYO WEWE SHEKHE WA MCHONGO KWA AKILI ZAKO HUJUWI KAMA NYOKA NSHETANI?WOTE NYIE MASHETANI WEWE PIA UNA MILIKI MAJINI
Sasà ww na sule nani jini kasome din sio kukulupuka tu huyu ni doctor sule na ametembea nchi nyingi
Alafu ww ndio stev wa mchongo
Aahh hakuna maneno ya utupu wa kike hauna thamani, basi utupu wa kike ndio wenye thamani ukipimia tabu zinazotokea kwa mwanamke.
Sio kila nyoka ni jini
@@user-us1wc1qy9n USIYEJUWA NI WEWE HAPO HAKUNA WANAFIKI HAO NA WATU WASHIRKI WACHAWI WAKUBWA MIX KUFUGA MAJINI POLENI SANA
Kma warab vile
Waarabu tena
Ukiona mtu anakuongelea sana ujuwe ana wivu na wewe na roho inamuuma ndio maana unakuwa kwenye mdomo wake😂😂
@@user-gb3sf9fy2u eeh warab wengi sn hutajir wao ni wamashaka mashaka waeza ona mtu mzim hajielew kumbe nichumo lao la pesa...mean mazezeta