UTAPENDA MAWAIDHA YA DK SULE AKIWA MSIKITINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 135

  • @zainabusagalo3031
    @zainabusagalo3031 4 месяца назад +35

    Nkakumbuka 2013 Dr Sule aliwahi nisaidia elfu hamcn ada ya shule
    Tena nlpokuwa anaenda alkuwa akinipigia kunielekeza pale ofisin kwake kijichi maana nilkuwa cpajui jamn alkuwa akinielekeza kana kwamba mimi ndo naenda kumpa pesa
    ALLAH amlipe zaidi amuongezee baraka.

  • @yuhamrwambo3739
    @yuhamrwambo3739 4 месяца назад +7

    DOC. SULE SIMAMIA HAPO HAPO WENGINE TUNAKUWLEW SANA KWAMAANA SISI team waelewa ATAKAE SEMA KWELI BASI TUNASIMAMA NAE NA ALLAH ATATUHIFADHI KWA KARAMA ZAKE.

    • @HassaniKabukuzi
      @HassaniKabukuzi Месяц назад

      Ukimfwatilia sule lazima uelewe naujielewe sematu kunawatu hawajielewi

  • @rahmasuleiman2359
    @rahmasuleiman2359 4 месяца назад +15

    Dr.sule Allah akulipe kheri zaid na zaid kila siku unatupa Elimu katika dini yetu

    • @sonofmary-ro2bt
      @sonofmary-ro2bt 4 месяца назад +1

      Huyu ni mchawi elimu yke ni ya Bure inampeleka motoni ,tena hmn elmu hapo ni kiswahili TU,,,

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo 4 месяца назад +3

      @@sonofmary-ro2bt 😃mwanga akifikiwa utaskia kama hivi mchawi yule kumbe.... kwani lazma umfatilieee

    • @bahozisaidiradjab4902
      @bahozisaidiradjab4902 4 месяца назад +1

      Asanteni sana kwakutowa elmu nzuri Dr.sule...Allah akulipe

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 4 месяца назад

      Hata wewe ni moja ya wachawi wasawhili mumeharibu dini

    • @JamesMakuri-ik6gj
      @JamesMakuri-ik6gj 3 месяца назад

      Nyie,mnajuaj Kam ni mchawi😂😂~=

  • @duncangatundu1397
    @duncangatundu1397 4 месяца назад +10

    I'm not a Muslim but I like Dr sule 🙏

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 4 месяца назад +1

      Kama unampenda wewe pia ni mganga

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo 4 месяца назад

      ​@@aliaden5512ndio lakini wa science

    • @sigurdsonmathias4562
      @sigurdsonmathias4562 2 месяца назад

      Utakufa maskini, acha chuki ​@@aliaden5512

  • @kobabaoyamerudi
    @kobabaoyamerudi 4 месяца назад +11

    Mimi leo wa kwanza ❤ wote tz wenzangu

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 4 месяца назад +6

    Swala za mtume Zina maajabu makubwa Sana.. Tumswalie mtume Sana lakini tusifanye kwa ajili maisha yetu yawe mazuri tu hapana.. Tuombe duniani mazuri na akhera mazuri

  • @Mdoli152
    @Mdoli152 Месяц назад

    Dr.sule ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AFYA NJEMA INSHAALLAH

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 4 месяца назад +8

    Sule yupo. Vizuri lakini mambo ya pete yamemuharibis cv yake afanye kikao na wandishi ili asafishe jina lake

  • @meowzna
    @meowzna 4 месяца назад +3

    Jazakallahu Kheir Sheikh🙏

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 4 месяца назад +2

    Insha allah shee mungu akupe umri mredu zaid aaamin

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 3 месяца назад +1

    Mitihani hutokea kwa watu wengi ambao walikuwa na kipato kizuri siku za za nyuma kisha kushuka ni kuwa washirikina sababu kubwa 2 kwanza kutaka kurudi katika daraja bora la nyuma au mitihani ya misukosuko ya kusakamwa na wachawi. Tumuombe Allah sw atufishe tukiwa waislamu.

  • @RehemaSelemani-t1v
    @RehemaSelemani-t1v 11 дней назад

    Dr tafadhali ongelea kuhusu umuhimu wa kuvaa hijab waislam tunadhalilika sana na kuchekwa mitandaoni kipindi hki sema kitu sheikh 🙏🙏🙏🙏

  • @mudiali4506
    @mudiali4506 4 месяца назад +4

    Urad I
    Swaluu alla nabii 1440 kila 24 hrs. Muda wa siku7. 21. 40.
    Tia nia yako ktk haja, ridhqi etc.
    Nujareeb

    • @mudiali4506
      @mudiali4506 4 месяца назад +1

      Surat Fathaa.
      Yaani Alhamdu.,,,,,,,ni Duwaa a kubwa
      Ina, ayyaa 7..29 maneno heruf 143 😮etccc.
      Na kumsaliaa mtume
      Sala y maghreb baad maghreb. Astghf x3.
      Soma Alhamdu x40
      Mslie mtume x100.
      Omba Allah. Mimi mja, wako. Sina yalio moyon. Zaid wee ndio ajua. Etc. X 7. Qun faa, Yaa qoun. Hata ukiwa n maji ya, some hlaf yapeleke eneo. L Biashara

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 3 месяца назад +6

    Elim yake tu ndo inawasumbuwa na kipaji chake kapewa namungu basi wivu unawamaliza

  • @IbraahimSkochi
    @IbraahimSkochi 4 месяца назад +5

    Watu wanakuskiliza sana dr sule ila uache uchawi allah atakuuliza cku ya mwisho umebeba watu wengih wew basi ni dhimma hiyo cku ya qiyama

  • @maureenatienoowuor1784
    @maureenatienoowuor1784 4 месяца назад +2

    Jamani huwa anaongwa uchawi kwasababu ameulizwa. Wa Tanzania nanyi waaaa

  • @AimeMwizerwa-n6j
    @AimeMwizerwa-n6j 3 месяца назад +1

    Dr sure mimi niko
    Rwanda alakini mimi nakupigiya simu kuwa aupokeyi

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 4 месяца назад +2

    Sheikh wangu ❤❤

  • @MustafaAbdallah-v2b
    @MustafaAbdallah-v2b 4 месяца назад +4

    Umesema ukweli ndugu yangu

  • @RashidKatungalala
    @RashidKatungalala 3 месяца назад

    Shekh sule napenda sana mawaidha tako uko sawa kabisa unatuelimisha

  • @arafatsaid962
    @arafatsaid962 4 месяца назад +6

    Sisi hatuna tatzo na wewe ni ndugu yetu katika Iman kaka, ila acha shirki

    • @VitusMakala
      @VitusMakala 4 месяца назад

      Wenae anashiriki Gani sasa

    • @yuhamrwambo3739
      @yuhamrwambo3739 4 месяца назад +1

      HEBU TUSAIDIANE SHIRKI NI IPI NDUGU

  • @michaelnzovu5632
    @michaelnzovu5632 4 месяца назад +3

    Kaanza vizuri kaharibu tu pale pakutoa sadaka, tofauti na kichwa kya neno

  • @IssaAdam-pz9od
    @IssaAdam-pz9od Месяц назад

    Brother one day yes nataman hata nikope mkono ❤

  • @jannffer
    @jannffer 3 месяца назад +1

    Ni siri kumbwa sana iko katika matoleo

  • @sephunkungu
    @sephunkungu 23 дня назад

    Asww Naomba Namba yako

  • @maciaali3698
    @maciaali3698 3 месяца назад +1

    Doctor Sule pole sana rizki yatoka kwa Allah

  • @ibucwayves8440
    @ibucwayves8440 3 месяца назад

    Dr unasemaga mungu. Uyo mungu nimugani unaongelea.ongea jina la yesu.

    • @KabatoniBoraa
      @KabatoniBoraa 3 месяца назад

      Towa ulofa apo mtu kama yuko anaelumisha.unakuwa kwanza na adabu.aya maneno hayakuusu weye yanausu sisi waislam.

    • @KabatoniBoraa
      @KabatoniBoraa 3 месяца назад

      Kama yuko anatuelimisha sisi nduguzake kaeñi kimya.yesu mbona anamtajaga tu sana lakini kwasababu hamna elim na ugaid hamsikiagi wala hamuonagi

  • @KabebeMazambi-o6b
    @KabebeMazambi-o6b 3 месяца назад

    Alhamdulillahi akuzungumzia majini na pete yabahati, ayo ndo makosa yake.

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 2 месяца назад

    Aminiy Dr sule

  • @Putin331
    @Putin331 4 месяца назад +3

    Leo hajaongea uchawi

  • @mantosanto3222
    @mantosanto3222 3 месяца назад

    Dr sule naishi maisha gumu vipi unaweza nisaidia nipate jini ya mali

  • @jannffer
    @jannffer 3 месяца назад

    May the holyspirit of God take control there is something in you God want to use you

  • @meowzna
    @meowzna 4 месяца назад +1

    Shukran Sanaa👏

  • @mypeace5962
    @mypeace5962 4 месяца назад +1

    Maashaa Allah

  • @HassaniKabukuzi
    @HassaniKabukuzi Месяц назад

    Waislam tanzania tutamtafuta mtukama sule hatutampata mtasemamengi

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 3 месяца назад

    NILICHOGUNDUA WATU WENGI HAWANA ELIMU.WAMESOMA CHUONI WAMESOMA QURAN LAKINI HAWAKUSOMA DINI.YAANI HAWAJITAMBUI

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 4 месяца назад +3

    Mganga, wa kienyeji.
    Mshirikina
    Kuna wajinga wasiosoma Tawheed wanamtetea

    • @IbraahimSkochi
      @IbraahimSkochi 4 месяца назад

      Ni kweli akhy/ukhty

    • @yuhamrwambo3739
      @yuhamrwambo3739 4 месяца назад

      Kwahiyo ukisoma tauhid ndio basi hebu ona udhalili huu tulio nao hivi aliesoma tauhid anaweza toa elimu ya khs MIRATHI ? kwanin tunakuw hivi WAISLAMU kila kitu hatutak kuona kina muonekano mpya huko kunaitw KUKAKIRIRI shekhe wangu tutenge muda tukasome tusivyo vijua na sio kutosheka elimu ni pana sana inafikia mahala MNATUCHANGANYA kweli ukisom Tauhid usisome historia wala masomo mengine hii ni kweli? Mwishoe tunadhalilik kana kwamba sisi waislamu sio viongoz wa huu ulimwengu 😢

    • @sigurdsonmathias4562
      @sigurdsonmathias4562 2 месяца назад

      Afu Kuna mjinga wewe unaoza na njaa yako Kwa chuki

  • @ndarochibingu
    @ndarochibingu 3 месяца назад +2

    Mara pete yakupa mali mmh nakuogopa😊

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 4 месяца назад +3

    Mushrik tuu nilikuwa na mheshimu sana.

    • @kadoditsa3805
      @kadoditsa3805 4 месяца назад

      Wacha Matusi...

    • @samirrubeya2379
      @samirrubeya2379 4 месяца назад

      @@kadoditsa3805 Matusi yako wapi unwell ni huon huyu ni mushrik na anafanya kazi na majini..meenye Pete za bahati na utajiri..
      Ustadh Shafii pia Kampala.

    • @ashrafumbawala
      @ashrafumbawala 4 месяца назад

      Kwann ww usiwe mchaw, kuwa na ww kama n raha mpuuzi ww

    • @kadoditsa3805
      @kadoditsa3805 4 месяца назад

      @@samirrubeya2379 ... Nabii suleiman pia alifanya kazi na Majiinni .. Pia yeye ni mchawi???

    • @sigurdsonmathias4562
      @sigurdsonmathias4562 2 месяца назад

      Anakujua?

  • @hamedmweru6955
    @hamedmweru6955 4 месяца назад +2

    Inshallah nakaribia la 4

  • @RamadhaniLukambuzi
    @RamadhaniLukambuzi 4 месяца назад +1

    Dr Sulle wasiokuwa na Elimu huwa wanasema heti hujui kusoma Quran,Sasa najiuliza unawezaje kuichambua bila Elimu nayo?Wazushi leteni majibu!

    • @thabitimkufi7388
      @thabitimkufi7388 4 месяца назад

      Sasa huyu anaijua Quraan au ni mjanja mjanja amedonoadonoa vipengere vya baadhi ya aya

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 4 месяца назад

      @@thabitimkufi7388 kadonoa wakati kaizingumzia Surah Al Fatihah yote na idadi za maneno yake yote,twambie kakosea wapi?tueleze alikokosea mimi ninadhani unaweza ukawa unaibeza hiyo surah kwa kuwa inaoneka ni fupi pia ni nyepesi akili yako inakutuma kwamba ni ndigo sio?Soma historia yake,imeshuka na malaika wangapi? Tutajie faida zake ni zipi?Kuna Surah nyingine ni fupi zaidi ya hiyo lakini msomaji akiisoma mara moja tu faida zake ni sawa sawa kama vile kasoma Quran nzima na Mwenyezi Mungu anasema kwamba mtu yeyote ambaye hana chochote hata kidogo kuhusu Quran kichwani mwake mtu huyo ni sawa sawa na jengo gofu tu.Dr Sulle anakutajia idadi ya ya maneno yote ya Quran nzima bila kusoma popote,je hayo kayajuaje bila kuijua Quran?

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 4 месяца назад

      @@thabitimkufi7388 Kuna musomaji wa Ruqya ambaye hajui kuisoma Quran?Sulle anasomaje Rugya?

  • @IssaAdam-pz9od
    @IssaAdam-pz9od Месяц назад

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 4 месяца назад

    Ebu toaga dalili nawewe usilete uongo wa kichungaji misikitini bhanaa, halafu hii ni miskiti gani kumpa nafasi anaedai pete inampa riziki??

  • @walterrodney3744
    @walterrodney3744 3 месяца назад

    Leo ndio nigumdua kua namba 7 ni namba ya bahat hata hapa kwa cc mzee wa kubet na Kamari mnanielewa

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 4 месяца назад +1

    Baadi ya kunyoa panki leo umeamua kulificha kwa kuvaa kofia

    • @KabatoniBoraa
      @KabatoniBoraa 3 месяца назад

      Hayakuusu anauwezo walkuubiri analolitaka hayakuusu

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 4 месяца назад +3

    Msikikiti gani inamkubali huyu mganga

    • @fundimagari5825
      @fundimagari5825 4 месяца назад +2

      Kwani uganga ni haram?
      Ukimuona sheikh sio mganga huyo sheikh hana matatizo ...Qur an pekee yake ni ponyo,ni mawaidha...mtume mwenyewe s.a.w alifundisha uganga kwa maswahaba wake,,,,,kupitia aya za Qur an...elimu ni bora kuliko ujinga🙏

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 4 месяца назад +1

      Unaishi kijijini sio,Sule misikiti yote mikubwa ya dar akifika anapanda mimbar

    • @abasmwika3432
      @abasmwika3432 4 месяца назад

      ​@@sadathboutique6253amezingua hapandi membar zote kuna sehemu hapandi saahizi

    • @yuhamrwambo3739
      @yuhamrwambo3739 4 месяца назад

      Hapo ndipo tunapofeli kujifany tunajua sana wakati elimu ni bahari asipewe membari kwakuw yeye mganga jee kuwa mganga nikosa ? Kama swala kukosea ww umeshakosea zaidi kutoa hukumu ndugu yangu jee wewe huna kosa? Basi kama issue ni pete kuna viumbe walitumia FIMBO wakafanya makubwa kwa imani ya Allah jee nawao washirikina? mimi nawe tuombe kusoma kitabu cha Allah kiuelewa na sio kama watu wengi tunavyosoma Quraan wengi hawana walijualo bali hutosheka na fadhila za malipo kwa usomaji ule lkn Quraan ukielew na ukaifuta lazima utaitwa MCHAWI hivyo jukum letu kusoma na kuelewa maana na dhamira.

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 4 месяца назад

      Mganga ni dactari

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 4 месяца назад +2

    Mashaallah 🎉

  • @shobatsaid7837
    @shobatsaid7837 4 месяца назад +1

    Sio kweli mtu akiwa fakiri ni nusu ya kuwa kafiri. Mtume SAW pia aikuwa fakiri. Na matajiri wengi wanatakabari na kukufuru

    • @alimuhamadali1757
      @alimuhamadali1757 3 месяца назад +1

      Mtume (SAW) hakua fakiri, utamwitaje bosi wako fakir ww? Wee muogope mung ww, waisilamu wot n mashahaba walikuwa wapo chin ya mtume muhammad s.a.w kish am n fakir i see wewe rud kw allah ww ten usirejee kutamk hay maneno kabs

  • @maciaali3698
    @maciaali3698 3 месяца назад

    Je Pete????

  • @ahmetmwandu8499
    @ahmetmwandu8499 4 месяца назад +3

    Hatuna imani na wewe tena,

  • @MehboobCentreCharity
    @MehboobCentreCharity 4 месяца назад

    Ni kweli kabisa

  • @middle6wayanga
    @middle6wayanga 4 месяца назад

    Pale kwenye Pete rudia sheikh

  • @softjeanskhakis789
    @softjeanskhakis789 4 месяца назад +3

    Mchawi. Uyo. Anajificha na uislamu

    • @iddiramadhani5111
      @iddiramadhani5111 4 месяца назад

      we ndo mchawi.

    • @specialistmkombozi
      @specialistmkombozi 4 месяца назад

      Acha upumbavu tafuta elimu

    • @user-qp9li3uc7o
      @user-qp9li3uc7o 4 месяца назад

      Huyu sasa ndiye yule mwanafunzi was sheikh

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 месяца назад

      Kamroga babu yako?

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 4 месяца назад +1

      Punguza usda shekher mungu kamjalia tiba zake leo anaridhiki kubwa wewe pangu pakavu ujuwi hata jioni utakura nini unaleta roho ya mbaya unakuwa masikini zaidi

  • @saidirakozi1809
    @saidirakozi1809 4 месяца назад +1

    Rizki mafungo saba maana yake ukikosa jumatatu pambana hadi juma pili yani siku saba kwa wiki za kutafuta

    • @fundimagari5825
      @fundimagari5825 4 месяца назад +1

      Ukisikia mafungu 4 maana yake kuna hatua kwa hatua katika maisha yako ya dunia ..mafungu 7 ni misemo isiyo na faida....jifunze maana ya mafungu 4 kuna kitu utakipata hapo ..

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 4 месяца назад

    Huyu mnampaje membar hapo wakati amekengeuka muacheni akafanye uganga wake huko kwenye vizimba vyake.

    • @amissiradjabu6561
      @amissiradjabu6561 4 месяца назад

      punguza jazba dini ni utaratibu na kingine kuna viongozi tuombeyane dua arudi kwenye mis misingi yake Allah

    • @kisaunitiles7926
      @kisaunitiles7926 2 месяца назад

      tatito elimu katafute elimu kaka

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 4 месяца назад

    Mushrik mkubwa

  • @IbraahimSkochi
    @IbraahimSkochi 4 месяца назад

    Watu wengi walikuskiliza sna ila kwa sasa watu wote washbasin kua wewe ni mshirikina2 una mambo ya kichawi

    • @bakarhassan
      @bakarhassan 4 месяца назад +1

      sasa uchawi wake nini wakati anacho kiongea kipo wazi au kasema tu mwage unga acha chuki

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 4 месяца назад

      Usiseme wote seme pekeako
      Dr. Sulle tunamkubali

  • @DakorTrony
    @DakorTrony 3 месяца назад

    Dr. Sude wa majini. Mungu hapendi kuwatesa wanadamu. Dr. Sule hutumia majini kupokonya nyota za watu masikini ndio apate utajiri. Wacha ujinga wako na uchawi wa majini

    • @sigurdsonmathias4562
      @sigurdsonmathias4562 2 месяца назад

      Kwahiyo ndo alikupokonya nyota yako ndo maana hujui kusoma na kuandika vizuri?

    • @DakorTrony
      @DakorTrony 2 месяца назад

      @sigurdsonmathias4562 Ni some nini ya ujinga mtupu? Tunamuabudu mungu sio majini kina Sule . Majini yake hayana nguvu kwa jina la yeshua mwana kondoo wa mungu. Sule ni mganga wa kienyeji tena ati uislamu. Wacheni uchawi njooni kwa nuru. Nafikiri Sule tutamuita Dr. Sule wa majini . Sasa tutamuabudu mungu ama majini ya Kina Sule. Kwendeni huko na majini yenu . Nyie mapegani

    • @sigurdsonmathias4562
      @sigurdsonmathias4562 2 месяца назад

      @@DakorTrony "Yeshua mwanakondoo wa Mungu" angalia huu ufala ulioandika kama una make any sense?

    • @DakorTrony
      @DakorTrony 2 месяца назад

      @@sigurdsonmathias4562 Ujumbe hauwezi make sense kwa pagans inaeleweka kabisa. Sasa habari za majini au tatumuabudu mwenye enzi mungu? Hayo majini yenu ndio yanawapa uhai? Ama tuu ni kuyatumia kuumiza watu na kuwaibia pesa zao. Uislamu wa majini ukae kando kabisa

    • @sigurdsonmathias4562
      @sigurdsonmathias4562 2 месяца назад

      @@DakorTrony We fala una dini ndo mnaita watu wanakondoo wa Mungu? Kuwa na akili jinga wewe

  • @ashrafumbawala
    @ashrafumbawala 4 месяца назад

    Wanaosema sulle n mchawi kuwa na ww mchawi bc kama n raha

  • @IbraahimSkochi
    @IbraahimSkochi 4 месяца назад +1

    Kuna watu hawaja soma tauhidi wanamtetea muacheni huyu mchawi2 allah amuone

  • @user-kt4md7ff7c
    @user-kt4md7ff7c 4 месяца назад

    Kumtakia rehma mtume ni sawa Sasa unahangaika Nini na ibada ya Pete na unawadanganya watu habar za pete

  • @bakarikenga4426
    @bakarikenga4426 4 месяца назад +1

    Mchawi huyo

  • @AbdullaahiCbdrxmn
    @AbdullaahiCbdrxmn 3 месяца назад

    Uchawi