HAPA NDIPO ULIPO LIKOROGA KAA KIMYA | SHEIKH MSELEM BIN ALY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 май 2024
  • #AdilTV

Комментарии • 48

  • @BinomariMussa
    @BinomariMussa 11 дней назад

    Naam shekh allah akupe umri mrefu nasi tufaidike allah akujaalie mwisho mwema.

  • @user-tl8bh7qz2h
    @user-tl8bh7qz2h 21 день назад +1

    Assalam alaykum kwangu ndo shekh wangu wakwangu allah akulinde❤

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 Месяц назад +6

    اسال الله ان يجعلك خيرا في الدني والأخر يا شيخ

  • @HajiMasmenti
    @HajiMasmenti Месяц назад +5

    Upo sahihi shekh mselemu asant sana shekh

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Месяц назад +2

    ManshAllah cheikh wetu

  • @masumaihashim9310
    @masumaihashim9310 7 дней назад

    YESU MWENYEWE ALIKUWA MUISLAMU, ALISALI MSIKITINI, ALITAWADHA, MUULIZE ASKOFU ANTHON LUSEKELO WA KANISA KUU LA UBUNGO ANAETHIBITISHA YESU HAKUWA MKRISTO.

  • @Edson-qi2si
    @Edson-qi2si 26 дней назад

    Mashallaa shekh unatuelimisha sana jazaka Allah

  • @haroubmsellem9879
    @haroubmsellem9879 Месяц назад +6

    Mashaallah

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Месяц назад +6

    Mungu amevaa mabuti ya dhahabu Yuko juu ya mbingu ya Saba ameketi.Allah atusamehe Kwa kweli.😢😢😢

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Месяц назад +2

      We chizy kweli M'mungu hafanani na chochote kile. Wewe ulimuona wapi kavaa viatu vya dhahabu???

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz Месяц назад +1

      Ww sio muislam wacha ujinga kakate viuno kanisani

  • @saidhassan5669
    @saidhassan5669 Месяц назад

    Jazakumullah khairah

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Месяц назад

    DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa Месяц назад +4

    Ma Sha Allah

  • @kombowadi3035
    @kombowadi3035 Месяц назад +2

    Mugu atujaliye na moyo waimani kwasote

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Месяц назад +1

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

    • @gyeong5972
      @gyeong5972 Месяц назад +1

      Wallykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh

  • @user-qt9tp9ph6l
    @user-qt9tp9ph6l Месяц назад +8

    Samahani shehe mselem najuwa hujakosea hapa ilo neno kama ulo likosea kidogo.

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Месяц назад +3

      Neno lipi kakosea shekh?

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Месяц назад

      Mbona husemi hilo neno wewe hpa tulione nugu wewe

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Месяц назад

      Mjinga asiejua ujinga wake anazidi ujinga

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Месяц назад

      Khaswah

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Месяц назад +2

      Hii mitandao kuna wajinga wengi kuliko wajuzi na wakisikia darsa kama hizi wao kazi yao kukosoa ilihali hawana ujuzi navyo hivyo wanavyokosoa na hawajaanza wao walianza makuraishi huko nyuma

  • @AishaSelemani-mp9zc
    @AishaSelemani-mp9zc Месяц назад +1

    🪴

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Месяц назад +2

    Ila kunbukeni piaa kuwa lazima mtapelekwa jehanamu kabla ya kwenda peponi, Yani lazima mkafike jehanam😂😂 nikisomaga hiyo Aya mpaka nashangaa.....Yani mnapelekwa jehanamu kabla ya peponi. Hakika Yesu atosha

    • @AbuuAnuwar-ip7dr
      @AbuuAnuwar-ip7dr Месяц назад

      Hiyo Aya inapatikana katika Bible gani yamwafrika au?😄😄

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 Месяц назад

      @@AbuuAnuwar-ip7dr 🤣🤣 nilijuaa tu ambao hamjuii utakuja kubisa, hiyo ni Aya ya Quran yenu mjombaaa, Yani lazima mpelekwe kwanza jehanamu kabla ya kuokolewa huko😂 sema dini yenu , halali ni dini ya majini piaa

    • @AbuuAnuwar-ip7dr
      @AbuuAnuwar-ip7dr Месяц назад

      Labda kwenye bible ndo inapatikana hiyo Aya

    • @AbuuAnuwar-ip7dr
      @AbuuAnuwar-ip7dr Месяц назад

      Maana Sisi kwetu Hakuna Aya zaajabu ajabu mara yesu nabii, mara mungu, mara Mwana wamungu, mara mbumbumbu, kitabu kinachanganya kama bangi mpaka wenyewe hamjuwi Yesu nimungu au Mwana wamungu🤣🤣

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 Месяц назад

      @@AbuuAnuwar-ip7dr sema wewe ndio hujuii Kama ipo kwenye Quran yenu, na tatizo ni kwamba nyiee mnakrem Quran na sio kuelewa...mtu unakaa unaimba kitabu afu huelewi unaimba nini, tukiwastuaa Kama mnaimba na Aya za ajabu ajabu ..ndio mnaanza kubishaaa, tukiwaonyeshaa ....mnaanza kutukanaa😅 mjomba jehanam lazima mkafike kabla ya kwenda peponi, na Sina uhakika Kama utakapofikshwa Kule jihanamu mtatoka kweli, nahisi shetani kawapiga chenga hapoo