YANGA IKULU: Hotuba kamili ya Rais wa Yanga, Hersi Said mbele ya Rais Samia
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Miongoni mwa mambo aliyosema katika hotuba yake, Rais wa Yanga, Hersi Said amemshuku Rais Samia kwa kuwaunga mkono, ameahidi kuleta Tanzania kombe la Afrika, ameomba nyongeza ya ardhi ili kujenga uwanja mkubwa Jangwani.
Ni katika hafla ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwapongeza Yanga kwa kufika fainali ya Kombe la Shirikisho, Afrika.
Eng Hers🙌👏🙌🙌
Said,wape,salam,watani,wetu,silimbi
Kiukweli huyu jamaa anajua kuongea na kupangilia hotuba ✔️ apa yanga raisi wamepata
Nabi asiondoke tuta changa apare mshara wake
Morison😅😅😅
Nabi asiondoke jamani
🎉🎉🎉🎉🎉
Yuko vizuri anafaa.