"MIMI SIO MTU MBAYA, SIJAWAHI KUMNYONGA MTU" - HERSI AJIBU TUHUMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • "MIMI SIO MTU MBAYA, SIJAWAHI KUMNYONGA MTU" - HERSI AJIBU TUHUMA
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 50

  • @hilarymilinga8547
    @hilarymilinga8547 Год назад +2

    Gerald hando jifunze utangazaji swali dogo dakika 20 kuuliza je mtu wakujib atatumia dakika ngapi! Jitahidi uwe straight pia najua ulitaka kuuliza issue ya alikamwe kufananisha andazi na mgunda au na feisal nalo ungekua straight ilikupatamwawazo ya raisi. Case closed

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 Год назад

    💐💐💐💐

  • @mashulano4362
    @mashulano4362 Год назад

    Msitoe mfano wa Benzi, hauendani kabisa, maana Benzi ametaka mwenyewe kuondoka, koz alipewa ofa ya kurenew mwaka

  • @modricseif1018
    @modricseif1018 Год назад

    Mimi ni mshabiki wa Yanga lakini ninachokiona, yanga walimfanyia fei uhuni kwenye makubaliano yao, na wamezoea kufanya hvyo but mara hii mmekutana na mti mkavu, si vyema kufanya hvyo.

  • @yussuframa6598
    @yussuframa6598 Год назад +1

    Wee Maulid una ushoga 2 mbona unatanga tanga kila radio kwa maslahi yako binafsi mbona unapenda kujitia kimbele mbele kutaka kumkwamisha feitoto06 but Atashinda 2 wakt utawala feraun umekwisha Hersi yeye Ni Nani

    • @dullysmart-vf9ql
      @dullysmart-vf9ql Год назад

      Point blood 🙌🏽🙌🏽

    • @aminnoour4788
      @aminnoour4788 Год назад

      Tatizo uyo maulid kitenge kisha sahau taluma yake yautangazaji kishakuwa chawa wa diamond mtazame vizur kuongea maneno mengi kujiweka kimbele mbele, sikuhizi amekua namaneno mengi kuongea san .asili yake inaonekana ni ya uchawa .manara kisha wai kusemaga kitenge tabia yake nikuwasifu sifu marafiki zake wapo Europe ili apate wamtumie shati au viatu . Hukusikia juzi anakwambia yeye anamiaka 43 .wew jisi unakavyo muona uyo ni mtu mwenye miaka 43 kazi kudangany watu kongwe la mtu mzima wew

  • @jseventz
    @jseventz Год назад

    mwachie fei bana acha sifa

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 Год назад

    Eti anauza mechi, mwaka gani huo aliuza mechi ktk uongozi wa Rais wa Yanga SC toka awepo madarakani, au kpnd kp hcho aliuza mechi, Fei muongo sana, alpangwa kuongea na vjakaz wake, wakat Yanga SC alcheza mechi 49 bila kupoteza mechi, kpnd hcho yeye alkuwa timu gani

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Год назад +1

    WACHINI UJINGA NYINYI RAIS YA KLABU YA YANGA AFRICANS YUPO SAWA HANA SHIDA NA MCHEZAJI YOYOTE YULE MJINGA ANASIKILIZA USHAURI WA WAPUMBAVU TU FUATILIENI PANTE ZOTE MUSIINGIZE USHABIKI WA SIMBA HAPO WAJINGA NYINYI

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 Год назад +3

    Huyo mchawi mbaguzi shenzi

  • @khadijayusuph5815
    @khadijayusuph5815 3 месяца назад

    Mwogo wewe

  • @botanictv6268
    @botanictv6268 Год назад +9

    Mimi nahis hakuna muandishi hapo,hao wote nimashabiki,Mimi nahis hicho kipindi nichawapenzi wayanga

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Год назад +2

    Mukumbuke huyu heris ndie aliyevaa jezi ya kaiza chief kuineza simba

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад +1

    Mama amesema Sasa ww endelea kufata taratibu zako tuone 😅😅😅

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 Год назад +2

    Ttzo lako ni dharau😅😅😅😅sio swala la huruma

  • @timothnakiz-zb4rz
    @timothnakiz-zb4rz Год назад

    Hapo hao wazee wote hamna wanachokitafuta zaidi ya kushindana ukitazama hapo wanataka kwenda na upepo na radio mawingu walioenda kumhoji fei toto hawana jipya ni machawa tuu wa mondi kama alivyo baba levo na mwijaku tofauti yao ni hao wazee na hawana jipya

  • @salomemasanja1071
    @salomemasanja1071 Год назад

    were no mjajasaji.mwache huyu kijana akatafute changamoto kwingine.acha kumnyanyania ili uuwe kipajo chake

  • @chagileRealEstateCoLtdViwanja
    @chagileRealEstateCoLtdViwanja Год назад

    INAWEZEKANA FEI ANAYODAI KULINGANA NA MABOSS HAWANAGA SHUKRANI

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Год назад

    Kipindi cha yanga

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 Год назад +1

    Interview hizo unatakiwa kuwa neutral hawaoni clouds,yani hawa nawafatilia kweli toka mwanzo ni mashabiki tuu

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Год назад

    Ana roho mbaya,alitaka kummaliza Fei toto ni sawa na kumnyonga.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍.

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 Год назад +5

    Ajibu ni la kuuza team na kumuweka mama etu asubui mpka jion

    • @piusnkwale
      @piusnkwale Год назад +2

      Kwani ameulizwa hilo swali.waambie waandishi wamuulize

    • @kelvnkalist7569
      @kelvnkalist7569 Год назад +1

      Kuma wewe shaikh wa simba nn unaongea nn hapo na wanaongea nn fei aisumbue club

    • @piusnkwale
      @piusnkwale Год назад

      @@kelvnkalist7569 mbona kama hujui kiswahili?hahahaha

    • @lijonjo_tz
      @lijonjo_tz Год назад

      Kwan mama yako wew amaa

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Год назад

      Wew ni mpuuxi fei aliiza timu wapi mwanza si ndio fei aliwauwa simba ss iweje engineer amwambie fei kauza .kwani yanga ina wapemba wangapi kuna ninja yupo pale hta kucheza. Achezi uyo dogo ni muhongo

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад

    Watangazaji wote hapo yanga
    Huo mjadala mko upande mmoja

  • @ahmadyahya9961
    @ahmadyahya9961 Год назад

    Wewe hando sijuwi ndoo si useme tuu kuwa Ali komwe amemlinganisha mtu na andazi kuliko huku kuzungukazunguka tuu

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад

    USIMDHURUMU MTU,,UTEGEMEE UTATOBOA 😀,SIO DUNIA HII,,NA KAMA NI KWELI TUNAKUPA MUDA,,HIYO CLUB SIO YA FAMILIA.MUNGU ATAKUJIBU

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 Год назад +2

      Mungu hasikilizagi mtu ambae ana matope kichwan badala ya akili,,unaharibu maisha yako kwa mikono yako afu unasingizia mungu atakusaidia ? Utasubir mpk ufe hutaona akikusaidia

  • @davidmwandenuka1712
    @davidmwandenuka1712 Год назад

    Mimi ni yanga damu ratio rais
    Wa yanga herc una madharau punguza kujimwambafai tusonge mbele

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 Год назад +3

      Mmmm!

    • @kulwachacha7592
      @kulwachacha7592 Год назад +2

      Wewe si yanga Toka hapa

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 Год назад +2

      Tatz fei mwnyw ametaka kudharauliwa ndomana ,hata ww mtu akikufanyia vt vya ajabu na vile ulikua unamchukulia lazm umdharau

    • @omyjy4819
      @omyjy4819 Год назад

      Na we muongoze mkeo

    • @shabanimatua4971
      @shabanimatua4971 Год назад +1

      Sasa inawezekana vpi diwani akawa na mamlaka zaidi ya rais kwenye ofisi za serikali za mitaa?? Rais anasimamia madaraka ya cheo chake na mchezaj anacmamia mkataba wake! Watz weng mazoea ndyo tabia yetu sasa akicmama kiongoz asiyetaka mazoea anaonekana ana dharau mara dikteta kwan watz tumerogwa na nani??