"MIMI SIO MTU MBAYA, SIJAWAHI KUMNYONGA MTU" - HERSI AJIBU TUHUMA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- "MIMI SIO MTU MBAYA, SIJAWAHI KUMNYONGA MTU" - HERSI AJIBU TUHUMA
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Gerald hando jifunze utangazaji swali dogo dakika 20 kuuliza je mtu wakujib atatumia dakika ngapi! Jitahidi uwe straight pia najua ulitaka kuuliza issue ya alikamwe kufananisha andazi na mgunda au na feisal nalo ungekua straight ilikupatamwawazo ya raisi. Case closed
💐💐💐💐
Msitoe mfano wa Benzi, hauendani kabisa, maana Benzi ametaka mwenyewe kuondoka, koz alipewa ofa ya kurenew mwaka
Mimi ni mshabiki wa Yanga lakini ninachokiona, yanga walimfanyia fei uhuni kwenye makubaliano yao, na wamezoea kufanya hvyo but mara hii mmekutana na mti mkavu, si vyema kufanya hvyo.
Wee Maulid una ushoga 2 mbona unatanga tanga kila radio kwa maslahi yako binafsi mbona unapenda kujitia kimbele mbele kutaka kumkwamisha feitoto06 but Atashinda 2 wakt utawala feraun umekwisha Hersi yeye Ni Nani
Point blood 🙌🏽🙌🏽
Tatizo uyo maulid kitenge kisha sahau taluma yake yautangazaji kishakuwa chawa wa diamond mtazame vizur kuongea maneno mengi kujiweka kimbele mbele, sikuhizi amekua namaneno mengi kuongea san .asili yake inaonekana ni ya uchawa .manara kisha wai kusemaga kitenge tabia yake nikuwasifu sifu marafiki zake wapo Europe ili apate wamtumie shati au viatu . Hukusikia juzi anakwambia yeye anamiaka 43 .wew jisi unakavyo muona uyo ni mtu mwenye miaka 43 kazi kudangany watu kongwe la mtu mzima wew
mwachie fei bana acha sifa
Eti anauza mechi, mwaka gani huo aliuza mechi ktk uongozi wa Rais wa Yanga SC toka awepo madarakani, au kpnd kp hcho aliuza mechi, Fei muongo sana, alpangwa kuongea na vjakaz wake, wakat Yanga SC alcheza mechi 49 bila kupoteza mechi, kpnd hcho yeye alkuwa timu gani
Ni ukweli
WACHINI UJINGA NYINYI RAIS YA KLABU YA YANGA AFRICANS YUPO SAWA HANA SHIDA NA MCHEZAJI YOYOTE YULE MJINGA ANASIKILIZA USHAURI WA WAPUMBAVU TU FUATILIENI PANTE ZOTE MUSIINGIZE USHABIKI WA SIMBA HAPO WAJINGA NYINYI
Huyo mchawi mbaguzi shenzi
Mwogo wewe
Mimi nahis hakuna muandishi hapo,hao wote nimashabiki,Mimi nahis hicho kipindi nichawapenzi wayanga
naunga mkono
Fungua kipindii chenu cha wapenzi wa simbaa sawa
We n Fara kaweke ww chasimba
Haki itendeke
Mukumbuke huyu heris ndie aliyevaa jezi ya kaiza chief kuineza simba
Jezi sio ishu
Mama amesema Sasa ww endelea kufata taratibu zako tuone 😅😅😅
😂😂😂
Ttzo lako ni dharau😅😅😅😅sio swala la huruma
Dharau ya nyoko
Hapo hao wazee wote hamna wanachokitafuta zaidi ya kushindana ukitazama hapo wanataka kwenda na upepo na radio mawingu walioenda kumhoji fei toto hawana jipya ni machawa tuu wa mondi kama alivyo baba levo na mwijaku tofauti yao ni hao wazee na hawana jipya
were no mjajasaji.mwache huyu kijana akatafute changamoto kwingine.acha kumnyanyania ili uuwe kipajo chake
INAWEZEKANA FEI ANAYODAI KULINGANA NA MABOSS HAWANAGA SHUKRANI
Kipindi cha yanga
Interview hizo unatakiwa kuwa neutral hawaoni clouds,yani hawa nawafatilia kweli toka mwanzo ni mashabiki tuu
Ana roho mbaya,alitaka kummaliza Fei toto ni sawa na kumnyonga.
Na bado ammalize tu ani
Wewe.unaloho.nzuli
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍.
Ajibu ni la kuuza team na kumuweka mama etu asubui mpka jion
Kwani ameulizwa hilo swali.waambie waandishi wamuulize
Kuma wewe shaikh wa simba nn unaongea nn hapo na wanaongea nn fei aisumbue club
@@kelvnkalist7569 mbona kama hujui kiswahili?hahahaha
Kwan mama yako wew amaa
Wew ni mpuuxi fei aliiza timu wapi mwanza si ndio fei aliwauwa simba ss iweje engineer amwambie fei kauza .kwani yanga ina wapemba wangapi kuna ninja yupo pale hta kucheza. Achezi uyo dogo ni muhongo
Watangazaji wote hapo yanga
Huo mjadala mko upande mmoja
Wewe hando sijuwi ndoo si useme tuu kuwa Ali komwe amemlinganisha mtu na andazi kuliko huku kuzungukazunguka tuu
USIMDHURUMU MTU,,UTEGEMEE UTATOBOA 😀,SIO DUNIA HII,,NA KAMA NI KWELI TUNAKUPA MUDA,,HIYO CLUB SIO YA FAMILIA.MUNGU ATAKUJIBU
Mungu hasikilizagi mtu ambae ana matope kichwan badala ya akili,,unaharibu maisha yako kwa mikono yako afu unasingizia mungu atakusaidia ? Utasubir mpk ufe hutaona akikusaidia
Mimi ni yanga damu ratio rais
Wa yanga herc una madharau punguza kujimwambafai tusonge mbele
Mmmm!
Wewe si yanga Toka hapa
Tatz fei mwnyw ametaka kudharauliwa ndomana ,hata ww mtu akikufanyia vt vya ajabu na vile ulikua unamchukulia lazm umdharau
Na we muongoze mkeo
Sasa inawezekana vpi diwani akawa na mamlaka zaidi ya rais kwenye ofisi za serikali za mitaa?? Rais anasimamia madaraka ya cheo chake na mchezaj anacmamia mkataba wake! Watz weng mazoea ndyo tabia yetu sasa akicmama kiongoz asiyetaka mazoea anaonekana ana dharau mara dikteta kwan watz tumerogwa na nani??