INJINIA HERSI ATOA OMBI ZITO KWA RAIS SAMIA "TUNATAKA KUJENGA UWANJA JANGWANI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • INJINIA HERSI ATOA OMBI ZITO KWA RAIS SAMIA "TUNATAKA KUJENGA UWANJA JANGWANI"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 103

  • @JerinaNguto-vv1gt
    @JerinaNguto-vv1gt 8 месяцев назад

    Ongera,injinia,ariss,raise,wetu,yanga🙏🧡💚💛🧡💚💛

  • @rosemerrymasalakulangwa4456
    @rosemerrymasalakulangwa4456 Год назад +5

    Kazi nzuri. Asante sana Mheshimiwa Rais. Hongera sana Yanga.

  • @baranyikwamohammed628
    @baranyikwamohammed628 Год назад +9

    Speech hadi nasisimuka congrats President Heri!

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Год назад +11

    Mm sio yanga lakini kwa hili nakupongeza sana mama haijawahi tokea umetuhishimisha sasa sio tena kichwa pchap mwandawazimu

  • @imantz
    @imantz Год назад +19

    This man has a huge IQ can't imagine his speech it's like written on a paper

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Год назад +10

    Speechless
    You are the MAN OF PEOPLE🎉

  • @fadhiliakida8609
    @fadhiliakida8609 Год назад +1

    Mimi ni Simba, lakini huyu jamaa namkubali sana, maana hata speech zake zimetulia sana, hatumii written documents lakini speech imenyooka mno! Lakini pia namkubali sana kwenye mipango na mikakati ya kimaendeleo hasa kwenye soka, tunahitaji viongozi wa aina hii kwenye Klabu zetu ili Tanzania ifike mbali sana kisoka 👏👏👏

  • @halimamnavi3208
    @halimamnavi3208 Год назад +2

    Kazi iendelee mama yetu tunakutegemea Kwa Kila hatua na Mungu akutangulie kwa kila jambo 🙏🙏

  • @kabulapaul56
    @kabulapaul56 Год назад +2

    Diara ,mayere hongera sana

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад +7

    What an Orator 👍👍👍

  • @makulileboniface7962
    @makulileboniface7962 Год назад +2

    Rais wa yanga ni mnyenyekevu jamen sijuwi fei kile anacho kionge Kama ni kweli mungu atamlipa Kama anamsingzia mtu wa watu

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 Год назад +3

    Brother benard..... Namkubali sana hapendi unyongee

  • @maxezeaguttu7821
    @maxezeaguttu7821 Год назад +6

    Hii Ndio Maana Ya Elimu💚🖤💛

  • @nyambinyambi2250
    @nyambinyambi2250 Год назад +11

    Piga kazi jamaa unapiga kazi safi sana

  • @ImaniKabome
    @ImaniKabome Год назад +6

    Pamoja rais

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Год назад +2

    Yanga woyoooooooooo

  • @HusseinKoja-nw2vq
    @HusseinKoja-nw2vq Год назад +1

    Duh halafu kuna neno limesikika rais wa club aondoke ili mchezaji arudi

  • @sportsextra4795
    @sportsextra4795 Год назад +1

    huyu anafaa kuwa raisi wa shirikisho la mpira Tff naamini tutafika mbali

  • @ramadhankombe2643
    @ramadhankombe2643 Год назад +4

    Niliwambia kuwen makini na huyo Morison.atafanya vioja na kweli kafanya vioja mmejionea wenyewe.

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Год назад +2

    Niliipenda yanga tangu mwaka 1974. Hongereni sana

  • @mohammedomary9476
    @mohammedomary9476 Год назад +2

    Genius and very smart he is our leaders 💚💛,nioneshe kiongozi wako smart na genius kama huyu😅😅😅

  • @sebamwita6026
    @sebamwita6026 Год назад +1

    I 💚yanga

  • @user-mk3pm8dn5w
    @user-mk3pm8dn5w Год назад +2

    congrat yanga

  • @Mr.SampaElias-fw3rb
    @Mr.SampaElias-fw3rb Год назад

    Morison ni mvuta bangi sema hamjui tu, yey ndo mzinze?😀😀

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk Год назад

    Upo vzr kaka ,ww ni pure kiongozi

  • @yusuph-yf4lb
    @yusuph-yf4lb Год назад

    Safi sana

  • @Kiddomafiaso
    @Kiddomafiaso Год назад +1

    Clement mzize saa mbovu ikasimama 😂😂

  • @kabakuliibrah-jl8fe
    @kabakuliibrah-jl8fe Год назад +2

  • @Geofrey-we1tv
    @Geofrey-we1tv Год назад +1

    Ila Bernard shikamoo😂😂😂

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Год назад

    MH....hersi. ...hongera

  • @juliussanga9313
    @juliussanga9313 Год назад

    Presidents requesting each other

  • @konceptualagency4837
    @konceptualagency4837 Год назад +2

    Super confidence yani hapo mimi ningetetemeka mpaka na faint 😂😂😂 not easy as it looks

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 Год назад

      Many of engineers are intelligent and capable in many angles

  • @kiumanursingtv1647
    @kiumanursingtv1647 Год назад +1

    Morrison hahahaaaa

  • @francoisesakina
    @francoisesakina Год назад +1

    Ila Morrison 😂😂😂😂

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Год назад +1

    Siasa kwenye mpira tunaua soka letu ifike mahali wanasiasa wawe wanafanya hivyo Kwa team ndogo kama Namungo na zinginezo

    • @jemaarsen6996
      @jemaarsen6996 Год назад

      Hujaeleweka Kwan namungo ni kituo Cha yatima? Maana yake hio siasa ambayo huihitaji ndio unataka isapoti namungo ambayo pia ni team ya mpira

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 Год назад

    Pesa inaenda Kwa wachezaji izo sura mbn Kama Kuna ujanja ujanja😂

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 Год назад

    Our man of people 🔰🔰🔰🔰

  • @athumanihassani7208
    @athumanihassani7208 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ashrafsibandekeye-ft5ks
    @ashrafsibandekeye-ft5ks Год назад +3

    Halafu anatokea msenge mumoja anasema eti raisi atoke clubuni sasa helis said hatoki

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Год назад

    Morrisson kichaa😂😂😂😂

  • @shukurulazaro8688
    @shukurulazaro8688 Год назад +1

    Wew utafika mbali Sana hata uongozi wa serikali utapewa

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn Год назад

      huyu jamaa ana akili sana,,uwanja ukiisha tu utasikia serikali wamemchagua na kumpa nyadhfa za kiserikali hapo usishangae 😂

  • @abdallahsaleh5194
    @abdallahsaleh5194 Год назад +1

    Ni jambo jema lakini rais kuingilia mambo kama hayo wenye MICHUANO ya fifa wanaweza wakatufungia tusishiriki MICHUANO yeyote ya kimataifa

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Год назад

      Hata wasiposhiriki hakuna timu ya kuleta kombe hapa.

    • @thetanzaniaanimalchanel1564
      @thetanzaniaanimalchanel1564 Год назад

      SENEGAL UNDER 17 WAMEPELEKA KOMBE IKULU HATA MWEZI HAUJAISHA😂

    • @EngLex-vo7te
      @EngLex-vo7te Год назад

      Kaingilia? Kaingilia nini?

    • @elizabethjustine9915
      @elizabethjustine9915 Год назад

      Morocco walivyotok kombe la dunia wachezaji wote walialikwa na mama zao ikulu mbon awajafungiwa mpk Leo.

  • @kabulapaul56
    @kabulapaul56 Год назад

    😁😁😁😁😁😁😁 benard bwaaana

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu346 Год назад +4

    unapendez kweny hicho kiti cha urais

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Год назад

    Aendele kuwahudumia Watanganyika

  • @sportsextra4795
    @sportsextra4795 Год назад

    nilianza kuipenda yanga tangu 1722 sasa najivunia kuwa mwana yanga

  • @mwanaidathuman78
    @mwanaidathuman78 Год назад +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 Год назад +2

    Amemsahau Andrei mtine

  • @zawadielisikay
    @zawadielisikay Год назад

    Big up mr president

  • @user-rd6mb5ql5k
    @user-rd6mb5ql5k Год назад +1

    Morisoni mjinga sanaaaaaaa

  • @kabulapaul56
    @kabulapaul56 Год назад

    Kweri ilikua vita sana ila Poleni mungu Yu pamoja nasi wananchi

  • @user-iy5xj4vy7k
    @user-iy5xj4vy7k Год назад

    Njoo tule

  • @fundiwelding146
    @fundiwelding146 Год назад +1

    ANADANGANYA *HAPA TUMEPATA MAGOLI*

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Год назад

    Hers genius

  • @bbsahl1242
    @bbsahl1242 Год назад

    Iyo yanga uko congo s c

  • @muhidiniwadhifa3600
    @muhidiniwadhifa3600 Год назад

    Kweli club ya wananchi

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 Год назад +1

    💚💚💚💛💛💛🔰🔰🔰🔰

  • @musakalikenya5245
    @musakalikenya5245 Год назад

    Naam

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Год назад

    Spechi free style sio ywkuandikwa hahahaha

  • @shukurulazaro8688
    @shukurulazaro8688 Год назад

    Jangwan hanuna maji mzee

  • @Allyamanzi-jt8us
    @Allyamanzi-jt8us Год назад +3

    Hapo makolo miyon mwao

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 Год назад

    Manara Yuko wapi jamn

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon7970 Год назад +2

    😘💚🔰🇹🇿👑

  • @FesodiCharles
    @FesodiCharles Год назад

    ❤❤❤❤🎉😂

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 Год назад

    💚👏🤳💪🙏

  • @noelkaale5952
    @noelkaale5952 Год назад +3

    Acha ushamba wewe siyo klabu kutoka Tanzania kwa mara ya kwanza Simba ndio ya kwanza nyie utopolo ni wapili

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 Год назад

    Tuwashitaki kwetu hatukuwafanyia hivi

  • @rayanjoseck4458
    @rayanjoseck4458 Год назад

    So sad Tanzania hawatawai enda mahali since chance yao ilikua na Hayati JPM

  • @user-ff7iq7jq5b
    @user-ff7iq7jq5b Год назад

    Civil engineer huyo

  • @bakarhaj9214
    @bakarhaj9214 Год назад

    Ndio lile kombe la looser eee.
    Musimalize maneno vyura nyie.

  • @wazirymussa2456
    @wazirymussa2456 Год назад

    Kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake,
    CHANZO chake ,DALILI na MADHARA yake
    Kutokuwa na uwiano sawa wa homoni kwa wanawake ni hali ambapo kuna mabadiliko katika viwango vya homoni zinazosimamia mzunguko wa hedhi na uzazi wa mwanamke kwa maana ya uzalishwaji wa mayai. Sababu za kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake ni pamoja na:
    Uzazi: Mabadiliko ya homoni yanaweza kutokea wakati wa hedhi, ujauzito, na kumalizika kwa hedhi (menopause).
    Matumizi ya Dawa: Matumizi ya dawa, kama vile dawa za uzazi wa mpango, dawa zenye kemikali za kurekebisha homoni , na dawa za kupunguza MAUMIVU zikitumika kwa muda mrefu,zinaweza kusababisha mabadiliko katika viwango vya homoni.
    Matatizo ya kiafya: Magonjwa kama vile , ugonjwa wa tezi ya pituitary, ugonjwa wa kisukari, na magonjwa mengine yanaweza kusababisha kutokuwa na uwiano wa homoni.
    Maisha ya kila siku: Mabadiliko katika maisha ya kila siku, kama vile lishe, mazoezi ya mwili, na usingizi, yanaweza kusababisha mabadiliko katika viwango vya homoni.
    Baadhi ya dalili za kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake ni pamoja na:
    Kutokwa na damu ya hedhi kwa wingi au kidogo sana.
    Maumivu makali wakati wa hedhi.
    Kupungua kwa hamu ya kufanya tendo la ndoa (libido).
    Kupata hedhi kwa kiwango kisichoratibiwa.
    Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa,hii inasababushwa na kukosekana au kupungua kwa Ute unaozalishwa wakati wa tendo la ndoa kwenye uke,ambao hutumika Kama kilainishi.
    Kutokwa na jasho jingi wakati wa usiku.
    Kupata hali ya wasiwasi au unyogovu.
    Madhara ya kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake ni pamoja na:
    Ugumu wa kupata ujauzito au kutokuwa na uwezo wa kuzaa.
    Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi ambayo inaweza kusababisha upungufu wa damu mwilini (anemia).
    Maumivu wakati wa tendo la ndoa (dyspareunia).
    Kuongezeka kwa hatari ya kusababisha saratani ya matiti, saratani ya kizazi, na magonjwa mengine.
    Kupata dalili za kuharibika kwa mfumo wa mifupa na osteoporosis.
    Ni muhimu kwa wanawake wanaoona dalili zinazohusiana na kutokuwa na uwiano wa homoni kutafuta ushauri wa daktari ili waweze kupata tiba sahihi.
    0620785623
    Au wasiliana nasi kwa USHAURI na tiba