ZAIDI YA BILIONI 300 KUJENGA DARAJA JANGWANI, KITUO CHA MWENDOKASI KITAKUWA JUU" RC CHALAMILA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 6

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 5 месяцев назад

    Mie na lia na pugu sgr station.TRC kazi yao nzuri tatizo jiji la ilala na Tanroad wameshindwa kupendezesha pugu kwa lami za kutosha na taa za barabarani kuelekea banguro ccm, kinyerezi pia ule mnada wa ng'ombe pale utolewe ijengwe stand ya mabasi ya kisasa kwani pugu station iko sehemu ya wakazi wengi wa jiji la dar na abiria kutoka kila kona watapandia treni pale.serikali saidia hili kwa kasi tupande Treni nzuri ya Taifa.kupanda basi kwenda mkoa sawa lakini ajali nyingi nguvu kazi na soko na utajiri wa nchi unapotea kwani jpm alituambia watu wengi katika nchi ni uchumi akimaanisha utajili.vifo vingi ni hasara.

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 10 месяцев назад +1

    Hela za daraja la Jangwani zimeshatolewa na World Bank muda mrefu but hakuna kilichoaanza.... Nafikiri kwenye ishu ya Jangwani mngeweka siasa pembeni na tuangalie maslahi ya nchi kwanza

  • @user-gj5iy2rq8y
    @user-gj5iy2rq8y 10 месяцев назад +1

    Porojo ya daraja lajangwani haijaamza leo

  • @BagramenshZuma
    @BagramenshZuma Месяц назад

    Tatizo viongoz wetu maneno mengi vitendo sifur mfano mvua zikinyesha kidogo utawaon jangwan ila kiangaz wanakua kmy wananishangaz san

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 10 месяцев назад

    Mh