Mie na lia na pugu sgr station.TRC kazi yao nzuri tatizo jiji la ilala na Tanroad wameshindwa kupendezesha pugu kwa lami za kutosha na taa za barabarani kuelekea banguro ccm, kinyerezi pia ule mnada wa ng'ombe pale utolewe ijengwe stand ya mabasi ya kisasa kwani pugu station iko sehemu ya wakazi wengi wa jiji la dar na abiria kutoka kila kona watapandia treni pale.serikali saidia hili kwa kasi tupande Treni nzuri ya Taifa.kupanda basi kwenda mkoa sawa lakini ajali nyingi nguvu kazi na soko na utajiri wa nchi unapotea kwani jpm alituambia watu wengi katika nchi ni uchumi akimaanisha utajili.vifo vingi ni hasara.
Hela za daraja la Jangwani zimeshatolewa na World Bank muda mrefu but hakuna kilichoaanza.... Nafikiri kwenye ishu ya Jangwani mngeweka siasa pembeni na tuangalie maslahi ya nchi kwanza
Mie na lia na pugu sgr station.TRC kazi yao nzuri tatizo jiji la ilala na Tanroad wameshindwa kupendezesha pugu kwa lami za kutosha na taa za barabarani kuelekea banguro ccm, kinyerezi pia ule mnada wa ng'ombe pale utolewe ijengwe stand ya mabasi ya kisasa kwani pugu station iko sehemu ya wakazi wengi wa jiji la dar na abiria kutoka kila kona watapandia treni pale.serikali saidia hili kwa kasi tupande Treni nzuri ya Taifa.kupanda basi kwenda mkoa sawa lakini ajali nyingi nguvu kazi na soko na utajiri wa nchi unapotea kwani jpm alituambia watu wengi katika nchi ni uchumi akimaanisha utajili.vifo vingi ni hasara.
Hela za daraja la Jangwani zimeshatolewa na World Bank muda mrefu but hakuna kilichoaanza.... Nafikiri kwenye ishu ya Jangwani mngeweka siasa pembeni na tuangalie maslahi ya nchi kwanza
Porojo ya daraja lajangwani haijaamza leo
Tatizo viongoz wetu maneno mengi vitendo sifur mfano mvua zikinyesha kidogo utawaon jangwan ila kiangaz wanakua kmy wananishangaz san
Mh