VITUKO VYA MORRISON IKULU MBELE YA RAIS SAMIA VYAWAVUNJA MBAVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июн 2023

Комментарии • 84

  • @albertlokoya7937
    @albertlokoya7937 Год назад +20

    Eng. Hersi anajua kuongea kwenye halaiki ya watu na viongozi. He is a full package kama Raisi wa Young African.

  • @albertlokoya7937
    @albertlokoya7937 Год назад +16

    Mimi Simba, and Lakini Young African are taking this game to another level, and this is a wake-up call for Wekundu wa Msimbazi, to focus and go toe to toe with this Giant of Tanzanian football, Young African)

  • @furahasaid5861
    @furahasaid5861 Год назад +2

    aafu et huyu kaka wa watu na upole wote huu Feisal anamzuahia uongo.. jaman mwazhen aende ila atajutia aendako.. mungu akulinde kaka❤️❤️

  • @georgematovu1317
    @georgematovu1317 Год назад +15

    Utani ukipitiliza inakuwa dharau. Mara ya kwanza ni utani ok, mara ya pili asingesimama....Hersi katumia akili akamtambulisha yeye akagoma kusimama mbele ya rais wa nchi ndani ya ikulu!! Huu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu.

    • @fahadmussa8879
      @fahadmussa8879 Год назад +3

      Kawaid2

    • @mawazochanya2081
      @mawazochanya2081 Год назад +7

      tafsiri yako iko kinyume na tulichoona.Morrison katoa burudani na watu wamecheka na kufurahi sana

  • @user-wr8rh8yc8e
    @user-wr8rh8yc8e Год назад +5

    Naamini Tanzania tutafika mbali ila utekelezaji wa miundombinu ya michezo iboreshwa na vijana tupewe nafasi zaidi katika michezo

  • @JanethZoma-gw9sq
    @JanethZoma-gw9sq Год назад

    Amina , Asante mama

  • @mustafahassan1837
    @mustafahassan1837 Год назад +1

    Mm mwenyewe ukiniita toto tundu mbele ya mkuu wa nchi haijarishi ww ni nani sinyanyuki

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Год назад +8

    Morison mpuuzi sana,,angefungwa kamba huyo😂😂😂😂

  • @FaudhiKhamis-rx2pg
    @FaudhiKhamis-rx2pg Год назад

    🤗🤗👌

  • @emmanuelmchome3071
    @emmanuelmchome3071 Год назад +1

    Yanga imepata kiongozi aliye komaa... Otasongavmbele Sana ni suala muda tu. Morrison duuuuu...

  • @mbraziltz9126
    @mbraziltz9126 Год назад

    Brother benard

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Год назад

    Jamaa ana busara

  • @allyhamad3113
    @allyhamad3113 Год назад

    ❤️❤️❤️

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 Год назад +3

    Watu kama hawa huwa wapo kwa ajili ya kufurahisha

  • @ashirafuhuruma6412
    @ashirafuhuruma6412 Год назад +4

    Clement mzize bwn, sio mzinzi

  • @msakamaboga5712
    @msakamaboga5712 Год назад

    Morrison nampenda mnooo aisee

  • @JosephThobias-pb7gq
    @JosephThobias-pb7gq Год назад

    💐

  • @sarahmgalama3503
    @sarahmgalama3503 Год назад +1

    😂😂😂
    Ila Morrison na mara ya pili kasimama ,lkn alivyotajwa yeye hakusimama daah,, kuna watu wanavituko

  • @GeraldTMK-cg1qq
    @GeraldTMK-cg1qq Год назад

    Bangi kwel kaka

  • @TARICKENOCENT-bf9ft
    @TARICKENOCENT-bf9ft Год назад

    Nice

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Год назад

    Huyo ndiye Mzinze

  • @DeoDatus-xs7is
    @DeoDatus-xs7is Год назад +1

    Mama nimekuelewa saaaaana

  • @kennedyedson9097
    @kennedyedson9097 Год назад

    Morrison hajui kiswahili hana lawama father Bernard

  • @StimaOfficial
    @StimaOfficial Год назад +2

    😂😂😂😂 kha morrison

  • @GeorgeMazimo-cr7vi
    @GeorgeMazimo-cr7vi Год назад

    Nymbo mpy

  • @ElastoBilali-dd9ok
    @ElastoBilali-dd9ok Год назад

    Asnt yanga

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад

    Yanga lastborn wa nchi

  • @IsackSimon
    @IsackSimon 11 месяцев назад

    La nimecheka morison

  • @elishangulo423
    @elishangulo423 Год назад

    Morrison msenge sanaa😅

  • @hamedhabsi2752
    @hamedhabsi2752 Год назад

    Morrison achukuliwe tu Kama lugha ilimpita. Pasiwe na sababu yeyote ile.

  • @baturam94muandai-wc5lt
    @baturam94muandai-wc5lt Год назад +2

    Morrison mbinguni hufiki🤣🤣

  • @samuelsadiki3146
    @samuelsadiki3146 Год назад

    X POWER COFFEE
    Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
    1. Fresh maca
    2. Ginseng powder
    3. Tongkat ali
    4. Epimedium
    Viambata hivi vimetoka nchi za
    KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU
    Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
    Kazi muhimu za Hii Kahawa;
    1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
    2. Kuupa mwili Nguvu zaidi
    3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
    5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata kama iliisha kabisa.
    6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
    7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
    8. Kuufanya uume usimame barabara kama msumari
    9. Kusafisha mishipa ya damu
    ,
    10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
    11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
    Tunapatikana Dar Es Salaam mbezi mwisho,Kinondoni,Mwanza,Arusha,Dodoma,Morogoro,Mbeya, pia mikoani tunatuma na nje ya nchi pia
    EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.X POWER COFFEE
    Kwa mahitaji piga/njoo whatsup.
    0757882725.
    0656576771

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Год назад

    😂😂😂😂bibi angu angechekea wapih sasa 😂😂😂

  • @mckingu4004
    @mckingu4004 Год назад +1

    Morrison Hana akil kbs😂

  • @priscamsuya-xd4tu
    @priscamsuya-xd4tu Год назад +1

    Huyu Morison 😅😅😅 jamani

  • @user-jg1wj6cs3q
    @user-jg1wj6cs3q Год назад +1

    Hajuwi kiswahili

  • @giftmaro8893
    @giftmaro8893 Год назад

    Morrison siku ukiondoka tz hadi kizaz cha nne kitakkumbuka

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Год назад

    Hivi Morison kagoma au?

  • @hamedhabsi2752
    @hamedhabsi2752 Год назад

    Hili tangazo la kahawa linahusiana na nini humu ndani?

  • @michaelpeter7385
    @michaelpeter7385 Год назад +1

    🤣🤣 ila morison

  • @safielkabonda295
    @safielkabonda295 Год назад

    Morrison anapigaga kitu cha arusha, akiii😂😂😂😂

  • @rahelingumbi7728
    @rahelingumbi7728 Год назад

    Jaman jaman mtatuua

    • @rahelingumbi7728
      @rahelingumbi7728 Год назад

      Yan aman imetawala jangwan tunawapenda sana wananchi sema mayele na diara mna kiti chenu jangwan hata mkiondoka hakuna tunachowadai kula la kheri mwaaaaaa yangadaima

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 Год назад

    morrison bangi nyingi

  • @ELIPHAZAMON-ex9zc
    @ELIPHAZAMON-ex9zc Год назад

    Bangi isiruhusiwe jaman madhara yake ni makubwa

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Год назад

    Huyu jamaa anafanya fujo ikulu kwani polisi hawapo? Alafu anasimama yeye

  • @angelaminde1247
    @angelaminde1247 Год назад +1

    Sijaelewa kwamba hao ndio waliopigania Yanga mpaka kufika hapo?? Hao wengine hawajacheza??😢

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 Год назад +1

      Walishatambulishwa ila hao wameweka alama fulani

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 Год назад

      Na bora Ucpoelewa, Maana ungeelewa Ungetutia baaabu😂

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Год назад

    Da morson du Ni atar anavituko

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Год назад

    Morrison kibon Sana aisee hahahahaa

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Год назад

    Huyu Morrison serekali wasimchukulie poa anaweza jasusi wamfuatilie nyendo zake,maana huyo ana confidence kubwa sna

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 Год назад +4

      Hana ujasusi wowote acha kukuza mambo, Morison ni comedian tu hala lolote la kuhatarisha usalama wa nchi

    • @eddieeliakim6548
      @eddieeliakim6548 Год назад +1

      Huyo ni Mwanasheria msomi sana huyo so Kila afanyalo analijua

    • @mawazochanya2081
      @mawazochanya2081 Год назад

      ni utundu tu mcheshi na yuko vibrant

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 Год назад +1

    nani amekudanganya simba tunautaka sana ubingwa msimu ujao iwe mvua iwe jua kwa nguvu moja na kubwa tunautaka tena makombe mawili

  • @sagboison6297
    @sagboison6297 Год назад

    Morison morison

  • @severinaraymondanthony9523
    @severinaraymondanthony9523 Год назад

    Morison kanivunja mbavu kwel mpuuz huyu

  • @ZuberiNyahenge-sr9np
    @ZuberiNyahenge-sr9np Год назад

    A

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Год назад

    Morrison 😁😁😁

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 Год назад

    Bange mbaya

  • @mohamedbakhuwar4749
    @mohamedbakhuwar4749 Год назад

    Sadio Mane alimpiga Sane Buyern Munich wakamsimamisha. Na sasa hawamtaki tena.
    Yanga wamchukulie hatua.
    Algeria alienda kuchukua zawadi ya Waziri wa michezo mkononi kwake.
    Morrison aadhibiwe kwa makosa ya kinidhamu.
    Yanga wakishindwa basi TFF waangalie kanuni zao kuhusu hili.

  • @samuelsadiki3146
    @samuelsadiki3146 Год назад

    X POWER COFFEE
    Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
    1. Fresh maca
    2. Ginseng powder
    3. Tongkat ali
    4. Epimedium
    Viambata hivi vimetoka nchi za
    KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU
    Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
    Kazi muhimu za Hii Kahawa;
    1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
    2. Kuupa mwili Nguvu zaidi
    3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
    5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata kama iliisha kabisa.
    6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
    7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
    8. Kuufanya uume usimame barabara kama msumari
    9. Kusafisha mishipa ya damu
    ,
    10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
    11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
    Tunapatikana Dar Es Salaam mbezi mwisho,Kinondoni,Mwanza,Arusha,Dodoma,Morogoro,Mbeya, pia mikoani tunatuma na nje ya nchi pia
    EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.X POWER COFFEE
    Kwa mahitaji piga/njoo whatsup.
    0757882725.
    0656576771

  • @samuelsadiki3146
    @samuelsadiki3146 Год назад

    X POWER COFFEE
    Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
    1. Fresh maca
    2. Ginseng powder
    3. Tongkat ali
    4. Epimedium
    Viambata hivi vimetoka nchi za
    KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU
    Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
    Kazi muhimu za Hii Kahawa;
    1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
    2. Kuupa mwili Nguvu zaidi
    3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
    5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata kama iliisha kabisa.
    6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
    7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
    8. Kuufanya uume usimame barabara kama msumari
    9. Kusafisha mishipa ya damu
    ,
    10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
    11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
    Tunapatikana Dar Es Salaam mbezi mwisho,Kinondoni,Mwanza,Arusha,Dodoma,Morogoro,Mbeya, pia mikoani tunatuma na nje ya nchi pia
    EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.X POWER COFFEE
    Kwa mahitaji piga/njoo whatsup.
    0757882725.
    0656576771