Ndugu yangu mm nkiwa na hasira af nikakuchek kwenye Kaz yako duh moyo Wang nauskia mwemwere mungu akupe akili nyingi hekima namaarifa zaid ili upate mafanikio mema kupitia Kaz yako haijalish watu watasema vp kujitoa ufaham lazma ili mahela ya patkane
Hahaha hapa kufeli Mtihani nilazima, mtu unaendaje kunya wakati muda umebaki mchache.. Sasa nitafanyaje 😅😂😂 Karibuni Sana ZANZIBAR Muje mufanye utalii wa ndani 🫶🌊⛵🌊
Steve naona kama ni ukweli kichwa ni jepesi kwa masomo hauwezi kimasomo ata usipo soma nyota yako ni ile ile tuh ok am watching from Kenya my name is Bruce
TRENDING NO.✅ ASANTENI SANA WATUWANGU WANGUVU GOD BLESS YOU
Stev nakukubal san unajua mpak unaker mungu akuwek uzid kutu furahish zaid brother n ufik mbali
tupo nyuma yako
Ndugu yangu mm nkiwa na hasira af nikakuchek kwenye Kaz yako duh moyo Wang nauskia mwemwere mungu akupe akili nyingi hekima namaarifa zaid ili upate mafanikio mema kupitia Kaz yako haijalish watu watasema vp kujitoa ufaham lazma ili mahela ya patkane
ruclips.net/video/iMdXg4ozU6s/видео.html
Clip za shule ni nzur sana
Steven kweli WE noma sana🤣🤣 hakuna unacho kijuwa kama una mkubali Steven gonga likes
Kidawa na Steve hii mumetisha zaidi.. Huyu mdada kaja Kwa Kasi Sana kwenye game.. Inshaallah atafikia malengo👊🏾🙌🏾
Muuza korosho nimekua wa kwanza leo,kutoka Kenya,county #002 Kijiji Ni Cha Sauzi😂😂😂😂
Kwale county
Nomaaaaah😊
Unastahili kuwa top on East Africa umetisha sana 👏👏👏
Steve una utani bro...umenivunja mbavu na mpwa wangu🎉😂😂😂😂😂♥️🔥🇰🇪🇰🇪💯
Number one like zangu
15h 👉101k 🔥👌 nakubali Kaka Steve ❤️🇨🇩
Hahaha hapa kufeli Mtihani nilazima, mtu unaendaje kunya wakati muda umebaki mchache.. Sasa nitafanyaje 😅😂😂 Karibuni Sana ZANZIBAR Muje mufanye utalii wa ndani 🫶🌊⛵🌊
😂😂😂
ruclips.net/video/iMdXg4ozU6s/видео.html
Hahahahahaaaaaa stive Kwa uyo teacher utanyooka2
@@tumsifutonatusi had Of food from you to left
Umetisha sana MUNGU AKULINDE
Mastaa wote darasani hovyo!!!
Steven cha mwisho.
Steve umeupiga mwing aseee...hat salam hujui😂😂😂
Steven we noma kweli ndio maana watuumisha vichwa kwa kucheka amina from 🇰🇪
Uyu Steve ni mm kabsa nlikua kilaza wadalasa af mikosi kibao kila nikigeuza shingo tayar nshakamatwa sababu kibao walimu walinichoka mweeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ooh bro Steve I like your job may Almighty God bless the work of your hands🎉
Najikuta namzubaliya mwalimu😀😀😀 mtihani wa kuona movie unanishinda
Team Steve Mweusi Nyote Nawakubali sana Mashaallah
Wakwaza leo 💥💥💥💥✊💕💕💕💕
mwalimu ana tako nzuri kwelikweli
Hata mimi nime ona hivyo hivyo
Vijana wa hovyo kweri mmejaa Uzinifu tu😂😂
Hajra Mashaallah jmni❤muigizaji mzuri sana na napenda anavyojistiri
Steve wewe unaonekana wenilofa kweli examens hautaieza Kbis 🤭🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Steve mzee wa Chabot ajuw alitendalo yaan ni shida😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kiongozi wa darasa ni kifaaa hatari ya zaidi❤❤❤
Wqnafunzii someni swqli mwelewa ndoo mjibuuu
Steve mweusi hongera sana!!!ila kwenye paper acha usumbufu!!!
Steve wangu umekoma kabs hapa hauna la kufanya mpaka umebanwa hem much love from Rwanda
Mwalimu Ni PISI 😀😀😀😀😀😀👏
😂😂😂This made me to remember my Mathematic teacher in Primary Mr Paul Mbugua. Best teacher..
ruclips.net/video/iMdXg4ozU6s/видео.html
Really
Steve ni kama anataka kulia hivi 😂😂.... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Oy daaaah nikimuona charming afu saiv kafaliki inaniuma sana allahh amjaalie
Ahsante sitive kwa burudani
😂😂😂😂😂 katika clip’s zote stive hii ndo umepatia sana ongera
Confirmed By Vihiga Finest Official 👑 254
Huyo mwalimu ana shuzi si haba.
You may gooww.......acheni kizungu banaa😂😂😂😂😂
Nlikua nadhni n mm pke yngu nimeskia😂😂😂😂😂😂😂kozungu cha TZ
oa blood nakukubar kinoma big up unafany kaz nzur
Aise nakumbuka sana siku hizo nikiwa shule #Mahuta, Tandahimba_Mtwara.
🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyoo Steve ulitaka uliyosoma miaka Minne uyaandike yoote hapooo😂😂😂😂😂😅
Kazi nzuli sana bro.
Mubarikiwe sana ❤😆😆😆😆😆😆😆
Mwalimu kidhungu jamani..yes you may go..😂😂😂
Kiekiekie 😅😮😂😅 Steve tu es vraiment terrible, je suis au Congo Kinshasa 🇨🇩 ici à Kinshasa mais je t'apprécie beaucoup bravo 👏👏
Steven tiripu za chooni zitakuuwa 😂na njia hazitokii 😂 like jamani sokitu chakumnyima mtu😂 Steve anajuwa like kwakeee
So this time around u went back to school 😂😂😂 thanks for the effort Steve much love from 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Nipeni like 10 me leo wa kwanza
Yan hii shule ni kama nilio somea mm kapuya sec school mpaka unform
Jamanii nimechekaaa uwiiii😂😂😂😂 unatuua mbavuuuu nakupenda buree ww kaka
Waah,,, msee unachekesha joh. Hivi hipo siku utaja kua serious bro🔥🔥😂🤣🤣🤣 lakn uko freshi braza. Napata nacheka tu mwenyewe bro😂🤣🤣🤣🤣
Waooooo umetish san
Alf mwalim MashaAllah alf navyo pita pita kwa Steven
Uyo mwalimu ana mzigo
😂😂😂 mtegemea cha nduguye hufa maskin
From 🇹🇿🇹🇿 nakubali ndugu yangu stivu mungu azidi kukubariki kwa kazi yako
Steve naona kama ni ukweli kichwa ni jepesi kwa masomo hauwezi kimasomo ata usipo soma nyota yako ni ile ile tuh ok am watching from Kenya my name is Bruce
Pataamu hapo. Hongereni kbs
Wa kwanza Leo.. nipeni likes hata 10 tu kama unamkubali jamaa. Nipo. Mkuranga kwao Kwa sasa
Mkuranga
@@user-yx5hs7xz4j Nuru mambo
@@zeroconscious1916 poa mzm
Unanilizikisha so steve god bless your job
kitu ambacho nilikuwa nakichukia shule mwalimu kutaja maksi mbele za wanafunzi.
Congrants mtaalam steve Mweusi
Steve mshezi kweli dah nacheka sana
Keeps me happy every time i come across his videos
Bien jouer mon frère sans c'est trop cool👌👌👌💓
Daaah mwalimu Yuko vzur
We noma mzee baba
Nyie kwan Steve shule kaenda kufanya nn huyuu😂😂😂😂😂
Kwa sisi tulio zoea kikwendu na joti tv huu ni upuuzi youtube wasinizoee kuliletea level hizi
Imeenda hiyo Steve 😅😅😅
Steve uqwely umeuwa vibes congrats 🎉
Nakukubali San steve
😂alafu uyo mwalimu ni fire hatari ya kufaa 🙆🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yani Steven anachekesha watu kbx😂😂😂. Nawapenda
i dont understand the language but im enjoying this
Sorry
You from which country
Just go ahead brother your doing well 🎉🎉🎉
😂😂😂 Weeh Ni Mpuuzii Sana
Daaaa kusema ukweli Mimi nikisimamiwa na mwalimu kama huyu lazima nitafeli mtihani maana si kwa sabufa hilo
😂😂
Sijawahi pata like apa
Soma swali uelewe 😂😂 😭
Steven Sisi kama mashabiki tutumie nambetu Yako ya sim APA Drc Congo
Mwenzangu tulikuwa tumezoeana😂😂😂
Steve huyo Husna nataka kumjuwa zaidi nipe namba kumi zake niwasiliane nae
Daaah nimekubukaa barii San
My real comedian in tz.salute brow for good work
Steve una2vunja mbavu yaan ata haujajua matokeo yako unacheka wenzako 😂😂😂😂 bg up
Steve sitaki Mi nicheke wee noma.
Steve never disappoint, much support from Malawi 🇲🇼
😍😍
😊
😊
Agasobanuxe
No aga
Mwlmu ana takoo balaa
Kwaiy team steve wote mazuzu darasana😂😂😂😂
Umeni kumbusha kipindi walikua wanagwa makala tasi duu😂😂😂😂😂
Wanafunz Someni swali muelewe ndio Mjibu 😂😂😂 Kauli hiyo ikitolewa baada ya ticha kuchek paper yako utajua hujui
Haaahaa 😂😂😂😂😂😂😂 stive bro acha mungu akusaidie nimecheka Sanaa waah!
Kwanini wachezasani. Ndawanashindwa. Ajara. Unaoneya. Wachezasana
Hujawah kuniangush kak Steve big up Sana mwanetu
🤣🤣🤣🤣🤣stivu huwa unanifurahisha sana
Trending #5 in kenya how bigup
Kijicho nawapeda sana❤❤❤😂😂 good job 🇸🇸🇸🇸
ruclips.net/video/iMdXg4ozU6s/видео.html
😂😂 mwalimu jana nilikula maragwe mingi
...
Stivu mweusi ni mweusi kwenye akili....
Comedy zake tunazipenda sana
😂😂😂 uyu jamaa mweusi 🤣🙌🙌
😂😂😂😂😂😂Steve kweli umeua vibe.
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉 napenda sana video zako