WE UNAUZA AU NDARO STEVE MWEUSI UMESEMAJE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 301

  • @ArshanaEsthy
    @ArshanaEsthy 3 месяца назад +30

    kila mtu wa kwanza😂😂 mimi wa mwisho mtanipa nini ili tupate ela😂😂😂

  • @NiterekaPacifuture-d4g
    @NiterekaPacifuture-d4g 3 месяца назад +40

    Wa kwanza kutoka Burundi ebu naomba likes zote hapa za Burundi! Steve na ndaro❤️

  • @arnold_victor
    @arnold_victor 3 месяца назад +17

    Steve,ndaro,madevu😂 kali ya mwaka aisee noma 😀...weka ,weka,weka....😀lipieni muondoke aisee🎉

  • @damawangoni
    @damawangoni 3 месяца назад +30

    Kazi nzuri Steve ndaro and your gang kma wakubali hivi vichwa gonga like tukosonga

  • @-Freddy_fota.4
    @-Freddy_fota.4 3 месяца назад +8

    ❤❤❤ From KOLWEZI Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +1

      Like man nimekupeya like mimi

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 месяца назад +102

    Wakwanza leo naomba LIKE zangu 10 😂😂😂Ila ndaro na steve jamaniii 😂😂😂

    • @Fiddkim
      @Fiddkim 3 месяца назад +6

      Hi❤

    • @Phoebenafula
      @Phoebenafula 3 месяца назад +6

      Nipitie pia

    • @Fiddkim
      @Fiddkim 3 месяца назад +2

      @Phoebenafula hi

    • @Phoebenafula
      @Phoebenafula 3 месяца назад

      @Fiddkim hi 2

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +3

      Nimekupeya like dada nasubiri ya kwako😂

  • @collinsodera6010
    @collinsodera6010 3 месяца назад +26

    Machizi wangu hawa... watching live from kakamega kenya

    • @Newtone-tb9lf
      @Newtone-tb9lf 3 месяца назад +1

      Pia Mimi nko kakamega lurambi uko side gani bro 😂

    • @collinsodera6010
      @collinsodera6010 3 месяца назад +1

      @Newtone-tb9lf bukura

    • @Ronicakeddy_254.
      @Ronicakeddy_254. 3 месяца назад

      Aki wewe Collins siajabu tulikuwa class moja kumbe tuko hapa sote tena 😂😂😂😂😂😂😂😂unakumbuka nikikuuzia simu bonoko pale form 3 inaya😂😂😂😂

    • @collinsodera6010
      @collinsodera6010 3 месяца назад +1

      @Ronicakeddy_254. 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Didaahsaid005
    @Didaahsaid005 3 месяца назад +11

    Happybirth day
    Madevu🎉🎉🎉🎉

  • @amirinestory
    @amirinestory 3 месяца назад +26

    wanaokubali ndaro na steve ni zaid ya mpoki na joti enzi hizo gonga like tujuane👊

  • @FestusKoech-u2l
    @FestusKoech-u2l 3 месяца назад +7

    Hakuna mkenya huku alike comment yangu😅

  • @PatientKambol-q3j
    @PatientKambol-q3j 7 дней назад +1

    Nawapenda sana Steve na ndaro noma,,yani nikifata filamu zawo najisiya rhaaa

  • @Keyjop
    @Keyjop 3 месяца назад +6

    Yesu awatunze jmn maana you guys ❤

  • @Dully-p6c
    @Dully-p6c 3 месяца назад +12

    Mandev anajua sana kucheza serious. 🎉

    • @PierJmKakule-j9w
      @PierJmKakule-j9w 3 месяца назад

      ko unataka kusema stev bado

    • @Dully-p6c
      @Dully-p6c 3 месяца назад

      @PierJmKakule-j9w . Hapana Stiv anacheza commed pia ndaro nawako vzur. Hata madev kwey usilias anacheza vizur pia

  • @FineBoy-D
    @FineBoy-D 3 месяца назад +18

    Wa kwanzaeeeeee kutoka nyarugusu kambini 😅

  • @FatmaKambanga
    @FatmaKambanga 3 месяца назад +9

    Leo Nimewah wa Kwanza Anaemkuba Stev na Ndalo Tujuane Apa✌️✌️✌️

  • @Dr.MahChisindani
    @Dr.MahChisindani 3 месяца назад +5

    Nairobi Kenya kama kawaida shabiki wa Ndaro na steve mweusi❤

  • @AkiliYosia
    @AkiliYosia 2 месяца назад +1

    Congo tupo 🇨🇩🙋‍♂️🫵tunawafata

  • @PatoChinkuOfficial
    @PatoChinkuOfficial 3 месяца назад +1

    Kumbe hizi jamaa zina tambua Bien 🇰🇪🔥🔥🔥😂

  • @DoriceOgutu
    @DoriceOgutu 2 месяца назад +1

    😂😂😂am happie kwa ajili yenu jaman mnatengeneza sku yangu sana nawapendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @christianmwami8323
    @christianmwami8323 Месяц назад +1

    Hii moja kali kabisa, ndo tabiya za wauza parfum hizi 😂😂😂😂😂

  • @tato8979
    @tato8979 3 месяца назад +1

    Nyie watu wawili mungu awape maisha marefu pamoja na mm😂😂

  • @ShaafrPmafukwe
    @ShaafrPmafukwe 3 месяца назад +6

    Wakwanza nipeni maua yangu ❤❤❤

  • @MenauruKipuyo
    @MenauruKipuyo 3 месяца назад +2

    Safi sana wacheshi kama umewakubali basi gonga like nyingi bila kufikiria😂😂😂😂😂

  • @AcizaJustin-u7d
    @AcizaJustin-u7d 3 месяца назад +3

    Steve, wewe ni wangu jamaniiii.... Que Dieu te bénisse

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +2

      Nipe like man mimi nimekupeya😂

  • @eugenemr2542
    @eugenemr2542 3 месяца назад +2

    Extra pressure baby when you wine and pause,,, who heard ndaro singing our own

  • @DutwengeTwishime
    @DutwengeTwishime 3 месяца назад +9

    Nakubari sana nakazi zentu

    • @Phoebenafula
      @Phoebenafula 3 месяца назад +2

      Nipitie pia

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +1

      Nimekupeya like man na we we nipeye

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +1

      ​@@Phoebenafulanimekupeya like na wewe nipeye

  • @AgijumaAlumbe
    @AgijumaAlumbe 3 месяца назад +2

    Steve na kubali kazi yako sanna😂😂😂😂🎉

  • @FrederickKwena
    @FrederickKwena 3 месяца назад +3

    Steve na ndaro mko sawa kabisa, ata mm nataka nkwe kama nyinyi mm naitwa FK MUONGO CHENGO NAOMBA SUBSCRIBER

  • @DebabaGicyeri
    @DebabaGicyeri 3 месяца назад +4

    Big congratulations m boys

  • @RenieNiyukuri
    @RenieNiyukuri 8 дней назад +1

    Mweusi unaweza kuchekesha

  • @ElizabethNyabu-q1x
    @ElizabethNyabu-q1x Месяц назад

    Ila Tz jaman kuna watu wakila aina im proud saaana yan😂😂😂😂

  • @Casmirors
    @Casmirors 3 месяца назад +1

    Hahah🎉steve na ndaro nihatar ety sabuni ya mbunju 😂😅😂😅😂

  • @LailatAbdullah-w9d
    @LailatAbdullah-w9d 3 месяца назад +4

    Umejua kututangazia viwanja

  • @MariaWakinnah
    @MariaWakinnah 2 месяца назад +1

    Ila steve bwana et mtu akuite katika hali inayoita jmn😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SalomeSalome-pr8zt
    @SalomeSalome-pr8zt 3 месяца назад +4

    Steve napenda venye unaact walai unaniundiaga siku sana

  • @lamranpets
    @lamranpets 3 месяца назад +4

    kama kweli ulikuwa umeisubiri ya Leo angusha like yako hapa

  • @ReyzDon
    @ReyzDon 3 месяца назад +2

    Sema stive Bhana Ni kituko kweli

  • @maryamathman4370
    @maryamathman4370 2 месяца назад +1

    Mnatisha madogo wawili mungu awaweke

  • @Shineboy797
    @Shineboy797 3 месяца назад +3

    Any burundian here😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @ElizabethNyabu-q1x
    @ElizabethNyabu-q1x Месяц назад

    Ila ndaro na stive dah hizo akili n nomaaaaa😂😂😂😂😂

  • @calambasmusembi5201
    @calambasmusembi5201 8 дней назад

    Toka Kenya ❤❤❤

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 3 месяца назад +3

    😂😂😂 sana2 wamawengee

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад

      Nipe like kaka Mimi nimekupeya like😂

  • @Ginga-ub7cs
    @Ginga-ub7cs 3 месяца назад +2

    Waha wenzangu mko wapi mbona siwaoni humu😂😂😂

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +1

      Nipeni like man 😂mimi nimekupeya like

  • @OscarOkran-m4c
    @OscarOkran-m4c 3 месяца назад +4

    Pafym yangu pendwa Bellagio naiona Kwa Ndalo🎉

    • @naseebjoseph5330
      @naseebjoseph5330 3 месяца назад +1

      Hamna perfume hapo zote body spray za 6000 hadi 10000

    • @OscarOkran-m4c
      @OscarOkran-m4c 3 месяца назад

      @naseebjoseph5330 😂😂

  • @givenrichard8094
    @givenrichard8094 3 месяца назад +1

    Ukwanza....haya na mi mnipe izo like nione inavokuwaga 😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @JojojoJojojo-wx1vi
    @JojojoJojojo-wx1vi Месяц назад

    Steve na ndaro😂😂😂❤❤❤❤

  • @AliNamanjoinho
    @AliNamanjoinho 3 месяца назад +3

    Hamna wanunuzi apa😂😂😂😂😂😂

  • @AbdulKarim-eg5gy
    @AbdulKarim-eg5gy 3 месяца назад +3

    Kaka ndaro na Steve mweusi burundi tuna follow.

  • @NancyNanjala-p5w
    @NancyNanjala-p5w 3 месяца назад +3

    Mmmmh wee mmbo ni moto humu ndani😅😅

  • @cuthbertfanuel288
    @cuthbertfanuel288 3 месяца назад +1

    Nilipanga nioe mwakani ,lakini nimeamua nisogeze mbele nipishe uchaguzi kwanza😀

  • @ElickySamwely
    @ElickySamwely 3 месяца назад +2

    Aaah naona Leo ndaro kaazimw suti

  • @Nestoemanuel
    @Nestoemanuel 3 месяца назад +1

    Bellagio Og kwa mbali wanangu 😂😂😂

  • @MwitaMarwa-s6u
    @MwitaMarwa-s6u 3 месяца назад +1

    yaani steve video zako hata utumii akili nyingi😂😂😂
    alafu tuna angalia

    • @KIB-JSANLEY
      @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +1

      Nipeni like mimi nimekupeya like man😂

  • @SlickOfficial.
    @SlickOfficial. 3 месяца назад +2

    Steven nakubali sana

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 месяца назад +3

    ❤❤❤

  • @RoseKillian-b8k
    @RoseKillian-b8k Месяц назад

    Unaharufu ya tofauti , eeeh . Makubwa haya😂😂

  • @EnelyJohn
    @EnelyJohn 3 месяца назад

    😂😂😂ila steve 🙌eti pumua tuone mdomo😅😅😅jmn

  • @ZphaNiaa
    @ZphaNiaa 3 месяца назад +1

    Napenda. ❤

  • @DanielShomunda
    @DanielShomunda 3 месяца назад +1

    Hapo sawa 👏👏👏

  • @sadikihalfani
    @sadikihalfani 2 месяца назад

    Awa wapumbav san ujue munaweza kunyongwa 😅😅😅😅😂😂

  • @justineokari2002
    @justineokari2002 2 месяца назад

    😂😂😂Kali saana

  • @NicolasNicolas-m7v
    @NicolasNicolas-m7v 2 месяца назад

    Namiyangalia Niko uku Zambia nyiye nimajama

  • @KIB-JSANLEY
    @KIB-JSANLEY 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂stive aujasoma

  • @EmanuellVictoria
    @EmanuellVictoria 2 месяца назад

    😂😂ndaroooo stevee

  • @owenvevo411
    @owenvevo411 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂 Steve na Ndaro nyie wehu

  • @SelemanTweve-sv3kx
    @SelemanTweve-sv3kx 3 месяца назад +1

    Na mm wa kwanza kutokaa MAKETE ----IVILIKINGE nipenii liked zangu😂

  • @jofreyevansantony2770
    @jofreyevansantony2770 3 месяца назад

    😂😂😂😂 daah... wa kwanza atawesa akawa wa mwisho... stevu

  • @geraldngangawangari863
    @geraldngangawangari863 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂hiii kali

  • @ElizabethNyabu-q1x
    @ElizabethNyabu-q1x Месяц назад

    Na huo mkanzu kama mwarabu dah et n panya au n haruf yako😂😂😂

  • @joachimlugo9974
    @joachimlugo9974 3 месяца назад

    Kwan steve paka useme umesikiaaa😂😂

  • @musaambonisye6046
    @musaambonisye6046 2 месяца назад

    Weka weka weka weka😂😂😂😂😂

  • @daneetassh
    @daneetassh 2 месяца назад

    Extra pressure 😂

  • @ShaidaJuma-v9b
    @ShaidaJuma-v9b 2 месяца назад

    Ahsanten sana❤

  • @StephenPeter-in6yz
    @StephenPeter-in6yz 3 месяца назад +1

    Namm Leo na comet jomn😂

  • @JoaquinAdolphe
    @JoaquinAdolphe 3 месяца назад +1

    Wakwanza naomba like natokey Burundi

  • @joe_l-n3o
    @joe_l-n3o 3 месяца назад

    Kenya well represented 😂

  • @AminaAmina-w1e1p
    @AminaAmina-w1e1p 3 месяца назад

    Hawatumii nguvu kuchekesha😂😂

  • @MeshackBenjamin-h4b
    @MeshackBenjamin-h4b 3 месяца назад

    Ila seteve jamn 😂😂😂😂😂

  • @selemanpaul2710
    @selemanpaul2710 3 месяца назад +1

    Vichaa wamekutana😅😅😅

  • @emmanueldionismbena3461
    @emmanueldionismbena3461 25 дней назад

    😂😂😂😂 biashara ya kuforce mwishowe mpigwe vibao na mle hasara kabisa

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 3 месяца назад

    Nimekuwa wa kwanza ila Steve😂😂😂

  • @fubufilmskaliua
    @fubufilmskaliua 3 месяца назад +1

    ❤unyama❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmarNzohabonayo
    @OmarNzohabonayo 3 месяца назад

    😅😂😂😂duuu kuna macizii

  • @SheilaOmar2007
    @SheilaOmar2007 3 месяца назад

    Weka
    Weka tu😂😂😂😂😂

  • @Cleo25491
    @Cleo25491 3 месяца назад

    Loveness ❤❤❤

  • @DICKYMASEASON
    @DICKYMASEASON 3 месяца назад +1

    Big up

  • @TheresiaGeorge-y9o
    @TheresiaGeorge-y9o 2 месяца назад

    Steve ni chizi😅😅😅

  • @EskideBishow
    @EskideBishow 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂 Ndaro Ety Ntakuwasha Mkofi Kwny Upara

  • @E_mwafrica-dc2zm
    @E_mwafrica-dc2zm 3 месяца назад

    Dada kashndwa kukaza kacheka 😂😂😂

  • @FideleShukuru-l2h
    @FideleShukuru-l2h 3 месяца назад

    Hamjam 1:46 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @MrRamaFrederick
    @MrRamaFrederick 3 месяца назад

    Mr Rama ❤❤❤

  • @yohanandila8386
    @yohanandila8386 3 месяца назад

    Hawa jamaa ni washenzi😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @JohnMwanzia-l2g
    @JohnMwanzia-l2g Месяц назад

    Huyo ana matako mazur

  • @ErlingHaaland-i1u
    @ErlingHaaland-i1u 3 месяца назад +1

    Wamwisho leo naomba likes 10 ila Steve na ndaro ❤❤❤❤

  • @FideleShukuru-l2h
    @FideleShukuru-l2h 3 месяца назад

    Ako St Mimi kwamaj8na n'ai two Dogo fidèle DRC nakubedasana VP Dogo sele hajambo umusalimi ye ako ❤❤❤❤❤😂🎉

  • @gabrielmnangala7822
    @gabrielmnangala7822 3 месяца назад

    Ila Ndaro😂😂😂😂

  • @husseinchande2741
    @husseinchande2741 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂tumeuza aikua laisi

  • @MonicaNicodem
    @MonicaNicodem 2 месяца назад

    Kunasku mtapigwa nyie 😅😢😅

  • @E_mwafrica-dc2zm
    @E_mwafrica-dc2zm 3 месяца назад

    Sio harufu hiii dadeq walah

  • @Fiddkim
    @Fiddkim 3 месяца назад

    ❤kenya😮❤