KUNA WANAOSEMA NA KUNA WANAOISEMEA SIMBA / EMBU MSIKILIZE GB 64 KWA MAKINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024
  • ''eti ooh tunasajiri watoto wa 2000 ,hata wewe sasaivi kama hujaoa hapa una mwanamke ambaye ana watoto wawili alafu hapa una kigori ametoka kumaliza form six ,wewe utachagua yupi ? ''

Комментарии • 16

  • @user-tc3vb8pm5v
    @user-tc3vb8pm5v 20 дней назад +5

    Wenzenu wanazamini virabu karibiya nusu ya timu zote zinazo shiriki rigikuu maanayke tayari Wana poiti zabure kutoka kwenye hizotim

  • @DavidChristino
    @DavidChristino 20 дней назад +5

    Hiiii imeenda bro

  • @bonifacelugo2941
    @bonifacelugo2941 17 дней назад +1

    Gb unajua ungepewa kitengo pale Unyamani ingekuwa poa sana

  • @lutiak7618
    @lutiak7618 17 дней назад +1

    Yupo sahihi

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n 21 день назад +2

    Mechi ya tarehe8, vijana jazz na msondo ngomaa😂😂😂😂 love simbaaaaaa ❤❤❤

  • @user-dz5td8ee2i
    @user-dz5td8ee2i 20 дней назад +3

    Huyu jamaa mda mwingine analewa sifa vitu anavyoongea pumba tupu

  • @SelekaliBobo-tw4nk
    @SelekaliBobo-tw4nk 20 дней назад +3

    Apo kwenye uchawi apo mbona wanatukamatia sana mwaka huu wafe vibaya

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 20 дней назад +2

    NSSF ni hatari sana,,,wanaifuatiria sana SIMBA na wachezaji WETu,,,plz matawi yaungane na tusikubari wawapige uchawi ya misumari wachezaji wetu ni wadogo watawaroga

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 21 день назад +2

    Simba ya moto

  • @ThaniSaid
    @ThaniSaid 20 дней назад +2

    Ubaya ubwela,,,

  • @msurimtenukila6745
    @msurimtenukila6745 20 дней назад +2

    Hahaha 😂😂😂

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 20 дней назад +2

    Wewe Gb64...unang'ang'ania Shomari Lawi muda mrefu hata husahihishi!! Anaitwa LAMECK LAWI...SHOMARI LAWI ni mwamuzi wa mpira mzee!! Daaah!

    • @Nenger12
      @Nenger12 20 дней назад +1

      Yeah, bali si kosa ni vile tu huwa kuna kulandana majina

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 21 день назад +3

    Ubaya ubwela hatar sana

    • @Onetouchstudiotz
      @Onetouchstudiotz  21 день назад

      kabisa wanasimba mmejipanga msimu huu BIG UP kwa Boss MO

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 19 дней назад

      Ni kweli mpaka.sasa.wamejipanga kwa maneno mengi. Umri nini?? Mlimsikiliza kocha wa Galaxy alisema wanatimu ya vijana wanaitengeza ndio mkawafunga 6.