KUNA WANAOSEMA NA KUNA WANAOISEMEA SIMBA / EMBU MSIKILIZE GB 64 KWA MAKINI
HTML-код
- Опубликовано: 10 июл 2024
- ''eti ooh tunasajiri watoto wa 2000 ,hata wewe sasaivi kama hujaoa hapa una mwanamke ambaye ana watoto wawili alafu hapa una kigori ametoka kumaliza form six ,wewe utachagua yupi ? ''
Wenzenu wanazamini virabu karibiya nusu ya timu zote zinazo shiriki rigikuu maanayke tayari Wana poiti zabure kutoka kwenye hizotim
Hiiii imeenda bro
Gb unajua ungepewa kitengo pale Unyamani ingekuwa poa sana
Yupo sahihi
Mechi ya tarehe8, vijana jazz na msondo ngomaa😂😂😂😂 love simbaaaaaa ❤❤❤
Huyu jamaa mda mwingine analewa sifa vitu anavyoongea pumba tupu
Apo kwenye uchawi apo mbona wanatukamatia sana mwaka huu wafe vibaya
NSSF ni hatari sana,,,wanaifuatiria sana SIMBA na wachezaji WETu,,,plz matawi yaungane na tusikubari wawapige uchawi ya misumari wachezaji wetu ni wadogo watawaroga
Simba ya moto
Ubaya ubwela,,,
Hahaha 😂😂😂
Wewe Gb64...unang'ang'ania Shomari Lawi muda mrefu hata husahihishi!! Anaitwa LAMECK LAWI...SHOMARI LAWI ni mwamuzi wa mpira mzee!! Daaah!
Yeah, bali si kosa ni vile tu huwa kuna kulandana majina
Ubaya ubwela hatar sana
kabisa wanasimba mmejipanga msimu huu BIG UP kwa Boss MO
Ni kweli mpaka.sasa.wamejipanga kwa maneno mengi. Umri nini?? Mlimsikiliza kocha wa Galaxy alisema wanatimu ya vijana wanaitengeza ndio mkawafunga 6.