Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

KAMBI YA SIMBA MISRI | Kocha Fadlu, mratibu wa timu, wachezaji wazungumzia kambi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • Tazama mkusanyiko wa matukio katika kambi ya Simba SC, ambayo hadi leo imetimiza wiki moja tangu waanze kujifua jijini Ismailia nchini Misri.
    Kocha wa timu hiyo Fadlu Davids, Mratibu wa timu, daktari wa timu na wachezaji watoa neno kuhusu maendeleo ya kambi na mtazamo wao kuelekea msimu ujao.
    #KambiYaSimba #Preseason #SimbaSC

Комментарии • 101

  • @patrickkimamba7124
    @patrickkimamba7124 Месяц назад +4

    safi sana che malone kwa kututia nguvu

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n 27 дней назад

    Allah awape nguvu wanajeshi wetu

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад +1

    All the best simba nguvu moja

  • @YustaFrank
    @YustaFrank Месяц назад

    Naipenda simba tuwaombee tu wachezaji wetu🤝🤝

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 Месяц назад +1

    Boss karudi simbaaaaaa nguvu mojaaa

  • @RashidKindezi
    @RashidKindezi Месяц назад +3

    Simba dam dam

  • @mussaismail1285
    @mussaismail1285 Месяц назад +8

    Alie muelewa chemlon kama mm aseme nguvu moja

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 Месяц назад

    Simba sc nguvu Moja 🇹🇿, Raha sana

  • @mussangalawa2403
    @mussangalawa2403 Месяц назад +3

    Kabla ya simba day wachezaji wakirudi wafikie pahara isomwe dua ya Abaldili kwa yeyote atakaeifanyia ubaya club kuanzia kwa wachezaji wasio waaminifu mpka viongozi wale yamini ya umoja wa kuipigania club na kwa walio nje ya club ambao wanadhamila mbaya dhidi yetu na wachezaji wetu waangamie kama jua lizamavyo.

    • @emmanueldaudi3797
      @emmanueldaudi3797 29 дней назад

      Hakuna ubaya wowote ni kuwa na quality tu msijidanganye Wala hakuna kurogwa Wala Nini

  • @shevbran7390
    @shevbran7390 Месяц назад +1

    Nguvu moja 💪🏻we will conquer 🫶

  • @RoseAbdul-m7w
    @RoseAbdul-m7w 28 дней назад +1

    Nice

  • @user-bc4cz7vo1x
    @user-bc4cz7vo1x Месяц назад

    Allah walinde na wachawi wote mue na afya njema inshallah Amiin inshallah Amiin

  • @peacerichard8970
    @peacerichard8970 Месяц назад +1

    Wizard fc wanawaza uchaw tu, wizard wa Africa

  • @user-be9zz3yg1f
    @user-be9zz3yg1f Месяц назад +1

    Mbele za mungu hakun uchawi wameaza na Bismillah wamemaliza na alihamdullilah

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Месяц назад

    Asanteni sana wana jeshiwetu mbambaneni msimu huu mutoondolee ahibu

  • @IssaRamadhani-f2h
    @IssaRamadhani-f2h Месяц назад +1

    Simbaaa nguvuu mojaa

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el Месяц назад +1

    Nomaa sanaa

  • @lastbornofficialtz
    @lastbornofficialtz Месяц назад

    I love you Simba ❤❤❤

  • @EsauDidiye-qs3ej
    @EsauDidiye-qs3ej Месяц назад +1

    💯💯💯💯💯💯 nguvu moja

  • @MrBm-369
    @MrBm-369 Месяц назад

    We love you Simba

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv Месяц назад

    safi Sana Yani mwaka huu tuta wapima umri mana tizi limekolea

  • @godfreymbevi2879
    @godfreymbevi2879 Месяц назад +2

    I congratulate Che Malone Fondoh for your brilliant briefing regarding the training going on in EGYPT for Simba sports club. But my question is that, your club will be playing in pitches with a lot of challenges, for more than two seasons you have been going to the same location without bringing the new chapter in our premier league. So what new results the fans should expect from you with the same training ground, same weather and ambition?

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 Месяц назад +1

    Huyu kapombe na zimbwe basi tena inatosha🙏🙏🙏

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 Месяц назад

    Good language from chemalon

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 Месяц назад +3

    Sipendi kusema Mimi wa kwanza , nishazivuka hizo level

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад +1

    Kila laher yakambi hapo misri muwe naafya njema wote kwaujumla tunawapenda

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Месяц назад +1

    Simba nguvumoja

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 Месяц назад

    Simba nguvu mojaaa😮

  • @SamsonSaruni-s3g
    @SamsonSaruni-s3g Месяц назад +1

    🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @alexlipili9343
    @alexlipili9343 Месяц назад +1

    Kikubwa Dua tuuu Yani,,

  • @nbwchannel4997
    @nbwchannel4997 Месяц назад

    Dah!! Utopoloo wachawii

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Месяц назад +2

    Zetu dua tuu.

  • @CleophaceLisakafu
    @CleophaceLisakafu Месяц назад +1

    Nguvu moja viva lunyasi

  • @Tobejr
    @Tobejr Месяц назад

    Nguvu moyaaaa💪💪

  • @salehsultan8887
    @salehsultan8887 Месяц назад

    My Team

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx Месяц назад +17

    Utopolo wametulia wanasubiri kuwaroga tu😂😂

  • @NdayishimiyeDjuma-is8gg
    @NdayishimiyeDjuma-is8gg Месяц назад

    Chemalone deserve to be a Captain

  • @HalmaAlly-up9pq
    @HalmaAlly-up9pq Месяц назад +1

    Dua nyingi

  • @AminaRashid-wl8fe
    @AminaRashid-wl8fe Месяц назад

    Simuoni mkandaji

  • @OmaryJafary-vu6en
    @OmaryJafary-vu6en Месяц назад

    ❤❤

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Месяц назад +1

    KOCHA NI FADLU SIO DADLU

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Месяц назад

    Tuandae timu Ila tusisahau utopolo Wanga huwa wanawafunga wachezaji Hilo tulifanyie kaz

  • @barakaonlinetv1318
    @barakaonlinetv1318 Месяц назад

    Mwamedy shabalala usije mpiga mbao yule mbadala wako bhana tunataka msaidiane mtupe raha,usije mvunja mguu km boko alivyomfanyia kramo,plz plz,tunaumia mashabiki

  • @SaidThomas-x3q
    @SaidThomas-x3q 27 дней назад

    Utopolo hatari nikua makini

  • @LucianaWilson-z2i
    @LucianaWilson-z2i Месяц назад

    Nguvu moja

  • @MarcoMasabo-nd2wp
    @MarcoMasabo-nd2wp Месяц назад +1

    Malone suppose to be a captain

  • @MusaHamis-oz2rg
    @MusaHamis-oz2rg Месяц назад

    Mbona matola tena

  • @longlive_k10
    @longlive_k10 Месяц назад +1

    Che Malone kama amesifia basi naamini kweli wanapikwa ,... jamaa haongei uongo hana siasa

  • @user-vw2ux5sh4x
    @user-vw2ux5sh4x Месяц назад +1

    Malon huna baya kabisa

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Utopolo michawi ,mfano kramo katupiwa majini hata mechi moja hajacheza

  • @jeofreymsomba7200
    @jeofreymsomba7200 Месяц назад

    Wanganga wapo avic😅😅😅

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba Месяц назад +1

    Hakuna timu inayo Ogopewa kwa uchawi barani afrika kama kolo fc ukitaka kuthibitisha hili waulize Olando ya south afrika.

    • @hastatz
      @hastatz Месяц назад

      Sawa

    • @gwakisamwaseje7849
      @gwakisamwaseje7849 Месяц назад

      Mpira ni science na sio uchawi kaka

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda Месяц назад

      Ngogwe fc hamjui manara alimaanisha wajomba zake kwa kizaramo,lakini utopwax wanafikiri ni jina baya!!!!!! hamna akili kabisaaaaaaaaaaa utopwax weeeeeeee

    • @eliashagai7920
      @eliashagai7920 Месяц назад

      Na wewe mchawi

    • @storytime1204
      @storytime1204 Месяц назад

      Ndio maana na nyie mnanyeshwa supu za vibudu😂😂😂

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Месяц назад

    Misimu huuu tusirogane bori litembeeeee

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Месяц назад

    Matora atufao anatenga wachezaji na mra Rushwa ajui chochote ni fitina tu

    • @eliashagai7920
      @eliashagai7920 Месяц назад

      Plz Kam Simba unaona vipi hama ,Kipindi hiki sio Cha kulaumiana au kumnyoshea kidole mtu,Matola ni mzalendo Sana kaa nae karibu au uliza wachezaji wakwambie

    • @JK-uq1tv
      @JK-uq1tv Месяц назад

      Hii ni kweli kabisa Matola hafai Huwa anachukua rushwa hasa Kwa wachezaji wazawa hii ni taarifa kutoka Kwa mchezaji aliye kuwa anachezea Simba Simba ilikula Tano nayeye alikuwepo

  • @AlifaHamis
    @AlifaHamis 29 дней назад

    Mbona kibu haonekani au Asha Anza kuji sikia na yeye

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Месяц назад

    Onana simuoni

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Месяц назад

      Onana thank you😅

  • @frankmalema5350
    @frankmalema5350 Месяц назад

    Mafaniko yajayo utasikia wenzenu walikuwa wanafanya zoezi misri nyie mlikuwa wapi naiona simba inabeba shirikisho

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 Месяц назад

    Mara hii wazee wameamka ubaya ubwela

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Месяц назад

    Ubaya ubwela utopolo kwisha abli yao

  • @user-wh5zz5dk2g
    @user-wh5zz5dk2g Месяц назад

    Uto tunaomba msiwaloge mwaka huu jamn

  • @Richardjulius-g3y
    @Richardjulius-g3y Месяц назад

    Simba Nguvu 1

  • @muuh_barber8578
    @muuh_barber8578 Месяц назад

    Isra mwenda na Kibu vipi ?

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f Месяц назад +1

    Kibu sinuon😂

  • @Regina-hb5mi
    @Regina-hb5mi Месяц назад

    Viongoz mlitudanganya eti kibu Alienda misili

  • @user-in4kg3kj8x
    @user-in4kg3kj8x Месяц назад

    Zimbwe hajui kuongea bhn 😅😅

  • @phaustinemrema2293
    @phaustinemrema2293 Месяц назад +1

    Sauti haina

  • @Regina-hb5mi
    @Regina-hb5mi Месяц назад

    Kibu yuwap

  • @user-ti3bi2ip8s
    @user-ti3bi2ip8s Месяц назад

    Acheni wivu mtabaki hahapa mkawasidiewavuvi kuvua samaki feli,chula wakijani nyie

  • @juniorjunior6639
    @juniorjunior6639 Месяц назад

    Nguvu moja

  • @maulidkamundi1700
    @maulidkamundi1700 Месяц назад

    Acheni uboya msije mkatoa siri za kambi kwa bosi wenu.