muvie nzuri ila wakati mwingine rekebisheni jina la muvie maana munatuzenguwa yani page moja mumeandika kiss of the pain na hii mumeandika kiss my pain
Pius na iyo innocent eyes plus sauti iliyo piga simu na sura ilikua ni yake ila wacha tuedelee,lakini pius wazazi kafa dada kafa lazima itakua ni yeye alafu yumoyumo huwezi mfikiria kabisa
Mmmh hapa kuna kitu kimejificha ata sielewi nani muuwaji hapa yaani hii no filamu ya pasua kichwa ata Pius hakai miiwaji basi sijui next episode Dj plz
waburundi mnaona je hii movie gonga like hapa✋
Wewe ni mrundi?
Muganga Wa kiinyeji ni murundi🇧🇮 nimegunduwa hilo tu😂😂🙌
Jaman kuna sisi wengine tunajua kuigiza please tunaomba mtuunue sisi vijana wenvine ambao tunapenda kuugiza
Mungu awabaliki san Irene & hemed na mm mniunge kipaji ninacho🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💖💖💖💖
Jamani mimi napenda kuigiza ila sina msanii wakunishika mkono,ila naomba Kaka Ahmed na Irene woman wanisaidie make tangia nikiwa mdogo nawakubali
Ila huyu muusji sio mtu mzuri anaua hadi wafanya kazi sijapenda
Iren Uwoya never get old yaani hazeheki anabaki mtoto, lakini namupenda saaaaana❤❤❤❤
Nimeitafta sana hii movie, hatimae imejileta kirahisi sana duuuuuh naielewaga sana
Nawaomba hemed na irene mtuletee movie yengine napenda mkiact pamoja
Story nzuri mno masha Allah Irene uwoya na hemedi sulleiman big up sana
Leo nimeona niwafatilie watz wenzng msiniangsh ss
Jaman hii movie c nliiona kitambo mm
Wawoo mmeigiza vizuri sana Hadi nimemkumbuka Kanumba jamn
Muv nzur sana jamn wandamu jifunzen kurudhika na kidg mlichopewa na mungu
Nadhani the killer ni pius maana kwa nn watu wote wapigiwe simu na yeye asipigiwe😢
Fika haraka kituoni utoe shirikiano kweny upelelezi😅
@@alfredjohn5693 kwa kwly atasaidia sana😅😅😅😅
Great job my watu wangu penda sana 🇰🇪🇰🇪♥️
Watu wanguu hawa hemed na uwoyaa❤❤❤❤❤ kazii nzurii sanaa
HMD tuko nyuma Yako from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mziki mkubwa hatusikii vzr ila move ni kali big up ❤❤
kazi nzuri sana nimewamiss sana wakali wngu
Wawoooo mumeceza vizuri sana
Ci bing up movie's ni zuli xana❤❤❤❤❤❤ mwendelezo please tukajua chanzo cha mauaji nn vary nice brother wangu na family ❤❤❤❤
hamjawah kutuangusha kazi nzuri
PHD hemed congratulation bro
Hongeren sana jamani Mungu awaongoze kwa kazi zenu
Irene na hemed pongezi Kwa kazi nzuri 🇰🇪
hemed kaz nzur xna irene great you give flower my sistrr🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉and ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Thanks soo much much appreciation from uganda
Good job napenda movie yenu haswa hemed na irene hua najifunza Sana
Wooow such an amazing and lit movie..much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Please Dj too much music 🎶 please voice 🙏
Hakika mnaoigiza hzi move mnatuelisha sana mungu awabarik sana
❤❤❤❤PhD kzi ndzuri 🎉🎉🎉
Mna fanya vizuli sasa
Kazi nzuri, mpo vizuri sana. Kenya Watching, twapenda
Kazi nzur ❤❤❤ from 🇰🇪 Kenya
Pius analipa kisas vby lkn mpk walokua hawana hatia bt kaz mzr inaitajka part 2
Mastar zangu wabongo move nzuri IRA mwanzo ujaanza vizuri ila move nzuri
Mimi nipo dr Congo movie ipo fresh
muvie nzuri ila wakati mwingine rekebisheni jina la muvie maana munatuzenguwa yani page moja mumeandika kiss of the pain na hii mumeandika kiss my pain
Kazi nzuri nawapenda sana wote Irene na hemed
Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤❤❤
tumika tena sana audion za vidio
Kazi nzuri
Mmuwali lazima yupo ndani na ni Pius ..
Punguzeni miziki
Boa história ❤
😂😂😂uyo mkatamajan anetualibiaa ajakata jani ata moja kweliii
Dania kunamambo tunajifuza mengi😢😢😢
Hongera Sana kwa kazi nzuri
Ongereni kwa kazi nzur
Noma sana iko powa😘🥰
Pius na iyo innocent eyes plus sauti iliyo piga simu na sura ilikua ni yake ila wacha tuedelee,lakini pius wazazi kafa dada kafa lazima itakua ni yeye alafu yumoyumo huwezi mfikiria kabisa
Kazi nzuri sana❤❤🎉
Vinxuri xana❤❤😊😊🎉🎉
From 🇨🇩 tuko pamoja
l'Afrique qui gagne ❤
Hemed sio kuigiza tu unaweza ksaidia maskini na akafanikiwa bila kufanyia wivu
Kama huelewi Acha sie tunajua mana bado pati2
Next plzz sehemu ya 2
claiment amemuua baba yake na mama yake na dada yake pius sasa anakipiza kisasi na ndio sababu ya claiment kupata utajir
Everything happens for a reason huwezi kuua mtu bila sababu
Kaz nzuri
Mamb0
Nakubali kz zenu ❤❤❤❤
She's always young and beautiful ❤
Jamani brother k mganga
Jmn ❤❤❤
Hemed breeng pati 2 please because this move so sweety
Nakubali Sana
Mwendelezo jamani tsamuuu atar ...mbona nahisi mwenye yuaua n huyo Pius mwenzenu🤔
Ewaaa nipo p1 na ww arf kajifanya nayeye alivamiwa😂😂
Mi pia namshuku uyo pius
@@kinananyuni973268.
Hakika mie mwenyew nadhan hvyhvy pius anahusik
Hadui yupo kwanyumba mwaishi nae 😂😂
Asante sana ❤❤❤ tunawapenda dj wetu❤❤
Mmmh hapa kuna kitu kimejificha ata sielewi nani muuwaji hapa yaani hii no filamu ya pasua kichwa ata Pius hakai miiwaji basi sijui next episode Dj plz
Waiting
Jmn tamu mpaka bs❤❤❤❤
jamaanii..wanteke. ..aaH
❤❤❤❤❤Kazi nzuri
Bonjour wa ndugu nafurai sana
Tuchek part 2
Kazi nzur
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉kazi safi
filamu nzuri sana
Sio mbaya ...ila tunahitaji kuelewa zaidi chanzo ni nn cha mauaji
Ushamaliza ukakosa kuelewa
@@ppendo3611😂😂😂
@@ppendo3611 Kwangu mm imeniishia njiani...Nitumie Iyo part 2 bac km unayo😊👀
Nakubal wanang wa bongo muvi
Nice movie ❤❤
Kazi nzuri braz k nimechek
Yan mm nmeelewa kwamba muaji yupo hapo nyumban
Nakubar kazi zenu
Kazinzuri munahi tajipo ngezi kwakweri😂
Nakupenda sana❤❤❤❤❤
😢😢😢😢 inaskitisha sana
Part 2 jaman maana n nzuri sana
He is professional
Iren mzuri napenda macho yake
Bom trabalho
Great work ❤❤❤
Kazi nzuri sana
mkuu Hemmed kung'ara na kuact kama boss,unaweza
Movie tamuuu🎉❤
Yani hili jimovie hata silielewi kwakwel yani liko hovyo wala halina chanzo yani hovyo
fuatilia 2 utajua chanzo
😢
Chanel ninayo ipenda ❤
Kikulacho kipo nguon mwako
🔥 ❤❤❤❤ party 2
good movie
ParCy
Mozambique 🇲🇿