kwa hakika unatoa elimu ya bure ambapo wengine kukufahamisha ni pesa nyingi Allah azidi kukupa Afya njema tuzidi kupata elimu kutoka kwako. Kwa hakika sijaona walimu wazuri na wenye kufahamisha kwa ufasaha kama wewe sina mengi ya kusema zaidi ya kukuombea kwa Mwenyezi mungu akupe afya njema
kwa hakika unatoa elimu ya bure ambapo wengine kukufahamisha ni pesa nyingi Allah azidi kukupa Afya njema tuzidi kupata elimu kutoka kwako.
Kwa hakika sijaona walimu wazuri na wenye kufahamisha kwa ufasaha kama wewe sina mengi ya kusema zaidi ya kukuombea kwa Mwenyezi mungu akupe afya njema
Allahomma aamiin, nyinyi ndo sababu kuu Mr. Is-haka asante sana.
hongera sana mwalimu
Asante sana.
Thanks Teacher
Mwalimu Naombahutufundishe jinsi ya kumtafuta mtu alipo kutumia mtandaoni na kumpta Ahsante
Sawa ila somo hilo halitokuwa hapa hakikisha umejiunga na Channel yetu ya Whatsapp.
Naomba namba yako nikupigie
Hauchoshi Wala hauboi
Naomba namba tafadhari
wa.me/201028123266
Bonyeza hiyo link utatufika moja kwa moja.
Naomba namba ya whatsap
Tazama description.