Mimi pia nili update hii Simu yangu Samsung galaxy A01 kutoka Android 10 hadi Android 11 kusema kweli simu inakua nyepesi kuliko mwanzo ila kuna features zinabadilika zingine ninzur nilizipenda ila zingine sikuzipenda.
Hope upo poa mzee! sema imetokea nimeupdate samsung a10 kutoka 10 adi 11 shida inakuwa imebadilika sana kiasi nakosa kufurahia features zilizopo so kama uwezekano upo wa ku -downgrade nirudi kwenye original version pls tuletee utatuzi mkuu
Unakuta kuna muda una update. And una update kwa MB nyingi unakuta 700 or 800 lakini unakuta vision ipo ni ileile. Hakibadiliki kitu. Bt now nazipuuziaga update
Mwanangu me cm yangu Nokia 7.2 ina mwaka 1 sasa . Shida ni camera tangia ni update cm yote . Camera kuna mda ukifungua haifunguki ina onesha black yote ukitoka cm ina fanya kazi ila camera haifanyi kazi ata upigiwe video call haifanyi kazi mpaka u restart cm ndio ina funguka
Kka me natumia samsung A51 lkn kila niki download game niki copy data afu nikienda ku pest kwenye file la data naambiwa file is not found sasa apo labda ni update ety kk
Umetisha kiongonzi!
Upo vizuri kinomanoma bro
Umetisha kinoma²
wa kwanza hapa kuview
Asante
Kazi nzuri bro
Mimi pia nili update hii Simu yangu Samsung galaxy A01 kutoka Android 10 hadi Android 11 kusema kweli simu inakua nyepesi kuliko mwanzo ila kuna features zinabadilika zingine ninzur nilizipenda ila zingine sikuzipenda.
Hope upo poa mzee! sema imetokea nimeupdate samsung a10 kutoka 10 adi 11 shida inakuwa imebadilika sana kiasi nakosa kufurahia features zilizopo so kama uwezekano upo wa ku -downgrade nirudi kwenye original version pls tuletee utatuzi mkuu
Aisee Mr techswahili asante kwa somo makini sana
Asante broo kwa msaada wako wengi unatusaidia kinomanoma
nimekupata vizur snash 💥💥💥💥
Pamoja sana mzee mwenzangu naona zambi huna kabisa
Umetisha kinoma noma
Nilisikizaaa videoo review ja van dame 2021 nili appreciate mpakaa leooo
natamani hata review ya smartphone moj ya Tesla
Kali kinoma noma💪
nina nokia lumia 635 ina zingua kufungua stroe na kuunganisha nokia account ina dai ku update nime jaribu inazingua nifanyeje kiongozi
🙌🙌nakubali master
Iko POA Sana broo snash
😍😍😍😍😍😍😍
Bro nena wasafi uanzishe kipindi uko vzr mno
Lakini sii una wezaa futa hayoo mafaili mapyaa?
Kak naomb ufany review ya tecno phantom x kwa kixwahil nakuomb
Vip kuhusu Samsung used
Tech in Swahili bro ombi langu kwako fanya kubedhi na kwenye upande wa kumake money online cuz watu wengi watafaidika
Good job
Simu gan inatumika apo
Mkn kaka
unyama nime update camon 19 toka android ya 12 kwenda 13 nime ipenda imekua unyama sana
Snash nataka uelezee kuhusu ku haki sim ya mtu yani akitumiwa kila kitu muone sawa sawa kama wew ndo mwenye sim msada wako snash
Kaka mm natumia Samsung Galaxy s6 edge+ gb 16 je
Inaweza kuongezeka storeg
Best things
Na je unapo apdate simu inafuta mafile ya mwanzo au je kama picture zinafutika
Cm yangu inazingua
Kaka snash naomba uchambuzi wa black camera kwenye iPhone ilitatizo nila update au nilAnini?
Mm natumia Oppo reno 6 5G ilikuwa Android 12 nilivyo update imekuwa Android 13 pia Ram imeongezeka { 8+8 GB} yani ni noma simu ina speed sana
Good reviews... Tupe reviews ya Samsung 2021 models @32,a52 and @72 zinatuchanganya
ii Kwelii ata mim naunga mkono
Unakuta kuna muda una update. And una update kwa MB nyingi unakuta 700 or 800 lakini unakuta vision ipo ni ileile. Hakibadiliki kitu. Bt now nazipuuziaga update
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥 @kelonelions
Good
Yah uko vyema sna kuhux technology
Je kwanini Kuna simu ambazo hazina bass kwenye earphones na aux??? Lakini kwenye Bluetooth zinapiga vizuri kawaida
Mwanangu me cm yangu Nokia 7.2 ina mwaka 1 sasa . Shida ni camera tangia ni update cm yote . Camera kuna mda ukifungua haifunguki ina onesha black yote ukitoka cm ina fanya kazi ila camera haifanyi kazi ata upigiwe video call haifanyi kazi mpaka u restart cm ndio ina funguka
Yaaan inanikeraga ile kwanz simu yng inatk kuupdate system nzima bando sasa kisha Kilicho nkera siku iz fb n RUclips videos zinajiplay zenyew daaah
Disable autoplay
@@chabuuharun7016 ipo sehem gn iyo
Mbona simu za Infinix haziwezi kupandisha android
Kak nakushukur san kwa kunijuz mambo meng kuhus tecnolojia ila mim sim yangu ina matangazo san hat nisipowash data sijui tatiz nini
Namna ya kuapdate simu yote?
Poa bro na ikikuletea ya watsaap
oya bro mbon cm yng infinix smart 2 inakataa ku update
Kaka sielewagi swala la simu kua plain na nyingine plus au s na n same 4n
Gonga like kama unamkubali #snash
Kitu gani kinaathiri screen fingerprint
Uko vizuli kaka 🙏🙏🙏
Kitu sijaelewa kutokana na updates storage hupungua is it the same way on iPhone software???? Please nijibu
Ukisoma comment jibu....ntaka niulize na update vip Android eg from 8.1 to 9
Kka me natumia samsung A51 lkn kila niki download game niki copy data afu nikienda ku pest kwenye file la data naambiwa file is not found sasa apo labda ni update ety kk
Msaada brother watsaap yangu imegoma kufunguka picha video na audio nikituma zinafeli ata nikitumiwa zinafeli hazifunguki
Xana
Snash mbon mm nime update sim yang huawei nova 2 plus imezid storage sasa
Duuuuh hii kali
Y
Mm nimeapdate kutoka 10 kwenda 11 ila kiukwel programu zilizokuja sizipend na nataka kuirudisha 10 naweza kufanyaje
Simu yangu samsung A30
Jungle cruiseeeeeee vipiiii
naaanzaje sasa kukosa leo
Snash Tz
Je ? Ni vip unaweza kutoa update mpya na kurudixha ya mwnzo?
Huwez ku downgrade update
Mimi naomba unisaport hata Mimi napenda kuwa Kama wewe
Eti cm ikizima chaji ukiwa una update haitawaka tena
Inawak bila shida
Niko pamoj nawe
🔥🔥
Mm naitwa juma diao kutoka zanzibar naomba uifanyie riviyuu simu ya huwawei p smati ya mwaka 2021