Kuhusu Software Update ,Uzuri wa Ubaya wake kwenye Device

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 окт 2024
  • #SoftwareUpdate #Update #Snashtz
    Kuhusu Software Update ,Uzuri wa Ubaya wake kwenye Device
    Video Source ‪@mkbhd‬

Комментарии • 83

  • @mosessemiono4554
    @mosessemiono4554 2 года назад +1

    Umetisha kiongonzi!

  • @timobrownfighter
    @timobrownfighter 3 года назад +2

    Upo vizuri kinomanoma bro

  • @ibnjuma2308
    @ibnjuma2308 2 года назад

    Umetisha kinoma²

  • @newttechog75
    @newttechog75 3 года назад +1

    wa kwanza hapa kuview

  • @suleim505
    @suleim505 5 месяцев назад

    Asante

  • @nationboy2541
    @nationboy2541 3 года назад +1

    Kazi nzuri bro

  • @matyfun1372
    @matyfun1372 3 года назад +2

    Mimi pia nili update hii Simu yangu Samsung galaxy A01 kutoka Android 10 hadi Android 11 kusema kweli simu inakua nyepesi kuliko mwanzo ila kuna features zinabadilika zingine ninzur nilizipenda ila zingine sikuzipenda.

  • @lewosixenine
    @lewosixenine Год назад +2

    Hope upo poa mzee! sema imetokea nimeupdate samsung a10 kutoka 10 adi 11 shida inakuwa imebadilika sana kiasi nakosa kufurahia features zilizopo so kama uwezekano upo wa ku -downgrade nirudi kwenye original version pls tuletee utatuzi mkuu

  • @jacksonvalence7365
    @jacksonvalence7365 3 года назад

    Aisee Mr techswahili asante kwa somo makini sana

  • @eriqvasquez3980
    @eriqvasquez3980 3 года назад

    Asante broo kwa msaada wako wengi unatusaidia kinomanoma

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 3 года назад

    nimekupata vizur snash 💥💥💥💥

  • @tarickmpemba9871
    @tarickmpemba9871 3 года назад

    Pamoja sana mzee mwenzangu naona zambi huna kabisa

  • @jazatz280
    @jazatz280 3 года назад

    Umetisha kinoma noma

  • @USTAWIWAJAMIITZ
    @USTAWIWAJAMIITZ 3 года назад

    Nilisikizaaa videoo review ja van dame 2021 nili appreciate mpakaa leooo

  • @zuberiimamumhina5164
    @zuberiimamumhina5164 2 года назад

    natamani hata review ya smartphone moj ya Tesla

  • @muchimuslim331
    @muchimuslim331 3 года назад

    Kali kinoma noma💪

  • @djmchinatz
    @djmchinatz Год назад +1

    nina nokia lumia 635 ina zingua kufungua stroe na kuunganisha nokia account ina dai ku update nime jaribu inazingua nifanyeje kiongozi

  • @peterjs33
    @peterjs33 3 года назад

    🙌🙌nakubali master

  • @bishoomjatz993
    @bishoomjatz993 3 года назад

    Iko POA Sana broo snash

  • @blessvevo
    @blessvevo Год назад

    😍😍😍😍😍😍😍

  • @murtazantimba4270
    @murtazantimba4270 3 года назад

    Bro nena wasafi uanzishe kipindi uko vzr mno

  • @ptr255
    @ptr255 Год назад +1

    Lakini sii una wezaa futa hayoo mafaili mapyaa?

  • @thomasamos7728
    @thomasamos7728 3 года назад

    Kak naomb ufany review ya tecno phantom x kwa kixwahil nakuomb

  • @abuuumarmk4291
    @abuuumarmk4291 2 года назад

    Vip kuhusu Samsung used

  • @zanzibarreaction3641
    @zanzibarreaction3641 3 года назад +1

    Tech in Swahili bro ombi langu kwako fanya kubedhi na kwenye upande wa kumake money online cuz watu wengi watafaidika

  • @georgekalunde6735
    @georgekalunde6735 3 года назад

    Good job

  • @henryfaith6934
    @henryfaith6934 3 года назад

    Simu gan inatumika apo

  • @selleymontana45
    @selleymontana45 3 года назад

    Mkn kaka

  • @johnmwakyokile6056
    @johnmwakyokile6056 Год назад +1

    unyama nime update camon 19 toka android ya 12 kwenda 13 nime ipenda imekua unyama sana

  • @sebastiandelin
    @sebastiandelin 2 года назад

    Snash nataka uelezee kuhusu ku haki sim ya mtu yani akitumiwa kila kitu muone sawa sawa kama wew ndo mwenye sim msada wako snash

  • @samsondavid7336
    @samsondavid7336 Год назад +1

    Kaka mm natumia Samsung Galaxy s6 edge+ gb 16 je
    Inaweza kuongezeka storeg

  • @patuckpuymadia304
    @patuckpuymadia304 3 года назад

    Best things

  • @mummymaduhu5307
    @mummymaduhu5307 4 месяца назад

    Na je unapo apdate simu inafuta mafile ya mwanzo au je kama picture zinafutika

  • @abdallahhamadi8448
    @abdallahhamadi8448 Год назад

    Cm yangu inazingua

  • @abbashalili0880
    @abbashalili0880 3 года назад +2

    Kaka snash naomba uchambuzi wa black camera kwenye iPhone ilitatizo nila update au nilAnini?

  • @benielimushieli8647
    @benielimushieli8647 Год назад

    Mm natumia Oppo reno 6 5G ilikuwa Android 12 nilivyo update imekuwa Android 13 pia Ram imeongezeka { 8+8 GB} yani ni noma simu ina speed sana

  • @SpikesTrendy
    @SpikesTrendy 3 года назад +1

    Good reviews... Tupe reviews ya Samsung 2021 models @32,a52 and @72 zinatuchanganya

  • @blueton.77
    @blueton.77 2 года назад

    Unakuta kuna muda una update. And una update kwa MB nyingi unakuta 700 or 800 lakini unakuta vision ipo ni ileile. Hakibadiliki kitu. Bt now nazipuuziaga update

  • @wazirngwadi7311
    @wazirngwadi7311 3 года назад

    🔥🔥🔥

  • @kelvinisote9194
    @kelvinisote9194 3 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥 @kelonelions

  • @nairobifly5524
    @nairobifly5524 3 года назад

    Good

  • @mafianboyTV
    @mafianboyTV 3 года назад

    Yah uko vyema sna kuhux technology

  • @vainqueur6382
    @vainqueur6382 2 года назад

    Je kwanini Kuna simu ambazo hazina bass kwenye earphones na aux??? Lakini kwenye Bluetooth zinapiga vizuri kawaida

  • @stevenmeless9734
    @stevenmeless9734 3 года назад

    Mwanangu me cm yangu Nokia 7.2 ina mwaka 1 sasa . Shida ni camera tangia ni update cm yote . Camera kuna mda ukifungua haifunguki ina onesha black yote ukitoka cm ina fanya kazi ila camera haifanyi kazi ata upigiwe video call haifanyi kazi mpaka u restart cm ndio ina funguka

  • @sadathabdully234
    @sadathabdully234 3 года назад

    Yaaan inanikeraga ile kwanz simu yng inatk kuupdate system nzima bando sasa kisha Kilicho nkera siku iz fb n RUclips videos zinajiplay zenyew daaah

  • @neliusplatnumz3554
    @neliusplatnumz3554 2 года назад

    Mbona simu za Infinix haziwezi kupandisha android

  • @hassanissa2953
    @hassanissa2953 2 года назад

    Kak nakushukur san kwa kunijuz mambo meng kuhus tecnolojia ila mim sim yangu ina matangazo san hat nisipowash data sijui tatiz nini

  • @edgarmalila6808
    @edgarmalila6808 2 года назад

    Namna ya kuapdate simu yote?

  • @victorvicky6647
    @victorvicky6647 2 года назад

    Poa bro na ikikuletea ya watsaap

  • @babajohn8176
    @babajohn8176 2 года назад

    oya bro mbon cm yng infinix smart 2 inakataa ku update

  • @goodluckdamian9521
    @goodluckdamian9521 3 года назад

    Kaka sielewagi swala la simu kua plain na nyingine plus au s na n same 4n

  • @bravo_man
    @bravo_man 3 года назад

    Gonga like kama unamkubali #snash

  • @epicmoments6514
    @epicmoments6514 2 года назад

    Kitu gani kinaathiri screen fingerprint

  • @ommyguizer6677
    @ommyguizer6677 3 года назад

    Uko vizuli kaka 🙏🙏🙏

  • @remybuyenzi1856
    @remybuyenzi1856 3 года назад

    Kitu sijaelewa kutokana na updates storage hupungua is it the same way on iPhone software???? Please nijibu

  • @iconentertainment1057
    @iconentertainment1057 3 года назад

    Ukisoma comment jibu....ntaka niulize na update vip Android eg from 8.1 to 9

  • @maujanjatzonline4724
    @maujanjatzonline4724 3 года назад

    Kka me natumia samsung A51 lkn kila niki download game niki copy data afu nikienda ku pest kwenye file la data naambiwa file is not found sasa apo labda ni update ety kk

  • @miirajmohamed6352
    @miirajmohamed6352 3 года назад

    Msaada brother watsaap yangu imegoma kufunguka picha video na audio nikituma zinafeli ata nikitumiwa zinafeli hazifunguki

  • @christophermourice4936
    @christophermourice4936 3 года назад

    Xana

  • @aminaabdallah9049
    @aminaabdallah9049 3 года назад +1

    Snash mbon mm nime update sim yang huawei nova 2 plus imezid storage sasa

  • @visiondepmaxtv6105
    @visiondepmaxtv6105 Год назад

    Y

  • @rwechungurarweyemamu8536
    @rwechungurarweyemamu8536 3 года назад

    Mm nimeapdate kutoka 10 kwenda 11 ila kiukwel programu zilizokuja sizipend na nataka kuirudisha 10 naweza kufanyaje

  • @elipharajapetro8410
    @elipharajapetro8410 3 года назад

    Jungle cruiseeeeeee vipiiii

  • @therealsalymin1748
    @therealsalymin1748 3 года назад

    naaanzaje sasa kukosa leo

  • @captainsamafa5467
    @captainsamafa5467 3 года назад

    Snash Tz

  • @isackmasesa5767
    @isackmasesa5767 3 года назад +1

    Je ? Ni vip unaweza kutoa update mpya na kurudixha ya mwnzo?

  • @mchinavideocenter5853
    @mchinavideocenter5853 3 года назад

    Mimi naomba unisaport hata Mimi napenda kuwa Kama wewe

  • @hoseamsuya7038
    @hoseamsuya7038 3 года назад

    Eti cm ikizima chaji ukiwa una update haitawaka tena

  • @zamatv6494
    @zamatv6494 3 года назад

    Niko pamoj nawe

  • @Snapermstafa1768
    @Snapermstafa1768 3 года назад +1

    🔥🔥

    • @jumadiao5901
      @jumadiao5901 3 года назад

      Mm naitwa juma diao kutoka zanzibar naomba uifanyie riviyuu simu ya huwawei p smati ya mwaka 2021