SIMU AINA HIZI ZINAKUUA TARATIBU ZIEPUKE!!
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Kuna baadhi ya aina za makampuni ya simu zimetajwa kuwa na hatari zaidi ya sumu itakanayo na kiwango kikubwa cha mionzi. Ambacho simu aina hizo zinatoa hasa zinapotumika kinyume na mashart na maelekezo.
Angalia Video hii kujua aina hizi za simu na jinsi ya kuzitumia vizuri.
SUBSCRIBE na kama una maoni usisahau ku comment chini ya video hii na sisi tutaijibu mara 1
Tembelea channel zingine
@dplatnumz @joelnanauka @glovaltv8787 @EastAfricaTV @EastAfricaRadio @Vinei @FAFANUOMEDIA @ITVTanzaniaTz
Tembelea ukurasa wetu wa facebook Wa @Shabirimohamed255
Je ukitumia infx 6 nahii inamadhara??
Hellen G white mu Adventist church alisha Nena kwenye vitabu alivyoviandika B4 Christ Kwa hatari ya technology mpango wa shetani kuwamaliza watu duniani
Really!!
Musingi.tujikabidhi.kwa mungutu
Yangu Galaxy S6 edge+ haizuru
Je ukitumia infx 6 nahii inamadhara??
Je ukitumia infx 6 nahii inamadhara??
Lisemwalo lipo
Naomba ututajie hizo nzuri zusizo na madhara
Kuchaji maranyingi kunategemeana na matumizi,kujam kwa simu ni kutokana na konection na simu zenye nguvu zaidi na aina tofauti,hivyo masikio kuuma sometimes.
Yesu anawenza yote
SoMo zuri sana
Nyinyi mwataka tutumie kampun gan aitel kis aina soko apa nimwendo wa matambo t
Watu wengi huotea kwakukosa maarifa.anayepuzia mashauri hayo basi hana bahati
Kakosa kazi atengeneze ya kwake iliyo salama
Kila kitu siku hizi kina madhara kwa hiyo ni kumuomba Mungu atuepushie😢😢 kuacha sm kuna vyakula tun avyo kula kila siku,wengine maisha yetu ni ya chini hatuwezi kununua sim za gharama
Je ukitumia infx 6 nahii inamadhara??
Sio nzuri sana
Kwa hali hii habak mtu...Mungu atulinde na mitihan ya duniya .. Yarrab 🤲
Nashukuru MUNGU mimi natumia XIAOMI 13
Ni simu nzuri hiyo
What about Nokia G21
Ni kweli hizo dalili zinatokea Sana ukitumia baadhi ya simu, wewe umetimiza sehemu yako.
hakuna siraha yeyote iwe simu au uchawi unaoweza kumudhuru mtu yeyote aliye imara kwa Bwana watu Yesu Kiristo watishe waoga na wasio mwamini Yesu.
Bwana yesu nasimu wapi na wapi broo? Wanaomwamini yesu hawauguwi ukimwi?ukipuuza ushauri kifo kinakuhusu
Taarifa hizi umezipata wapi?
huna akili za kufikiri unaangamia kwa kukosa maarifa
🤣🤣🤣kila kitu kikizidi kiasi unakua ujinga, wote tunamwamini MUNGU lakin wewe ni mwehu, sidhan km hata la saba ulimaliza aisee😂😂😂
Mwenyezi mungu akubariki juu ya elimu ya utumiaji wa Aina za simu ,tumejifunza mengi na mungu akuzidishie elimu ,ujuzi ,utambuzi na maarifa maana hii dunia tunayoishi Sasa Ni dunia ya kupenda pesa na vitu sio afya na utu wa watu .lsije ikafikia badala ya kutumia simu ,mwisho wa siku tukatumia mabomu .thank you for your ❤❤❤❤❤❤ training.
Habari ni mzuri, na inaelimisha sana, lakini mzunguko ni mrefu mpaka kufikia hoja ya msingi, (maneno menngi).
Umejifunza wewe tu na usiseme kwamba tumejifunza ungesema kwamba nimejifunza! vifo vipo tu! hata kabla ya simu kuenea hapa nchini watu walikuwa wanakufa tu!!! zungumzieni pikipiki bajaji na magari yanayouwa watu hazarani acheni kuongelea mambo ambayo hayaonekani machoni pawatu!!!!
Wacha wewe mikwaraa,umekosa kazii ya kufanya inabidii ujirecordii kwa hiyo;hiyo simu ambayo umetumia kujirecord ni ninii?ama si simu,usitufanyee macartoon sawa shabir🤣🤣
Taja sim sasa Ni sim gani?.mbona.hueleweki.onge.vya.maana
Haya tuonyeshe simu nzuri
@@DavidMusonda-o5v Simu nzuri ni zile ambazo ni matoleo makubwa kwenye kampuni husika la simu. Mfano infinix Hot 7 na hot 8 ni matoleo ya mwanzoni ambayo yanaweza yakawa ni sehemu ya majaribio ya ubora na soko. Ila infinix hot 30 na hot 40 kidogo ni nzuri kwa maana ni matoleo yaliyoendelea na makubwa hivyo hivyo na kwa makampuni mengine. Toleo la kwanza sio zuri kama toleo la hivi karibuni
Naomba nikuulize je kuna utofauti kati ya sim ya Infinix Hot 7 na Infinix smart 7
Je cm aina ya aqous zero 6 na. R6 ZINAMADHARA
Kinacholeta madhara ni "Electromotive waves" kitu ambacho hata minara kukaa kwenye makazi athari lazima, kwa upande wa simu inategemea na matumizi, kwa mfano ni bora kutumia earphones kuliko kuweka simu karibu na sikio. Na kwa wale bodaboda au kinadada wanaoichomeka kwenye kofia ili waendelee na kazi nyingine wakati wanaongea. Pia simu zenye antena ni bora zaidi kuliko yale mabapa n.k
Naomba kuzijua simu za samsun zenye madhara tafadhali mwalimu wetu
Simu za samsung hazina madhara. Ni aina chache tu na hasa matoleo ya zamani ndo mabaya
Mimi nasema hv wkt mwengine punguza sauti za miziki ni rahis kwa msikilizaji kuskia unachokisema kwa wepesi ila c kwa ubaya yng ni maoni tu
Mwenzangu! Yangu ni AO5 Samsung galaxy je Haina ubaya wa mionzi?
Naomba kujua simu ya sumsang Galax J 2 au J7 nayo in hatari kwani huwa in tabia ya kuchemka.?
Duh, elimu Yako ya ajabu', hujui namna ya kueleza jambo. Hopeless kabisa
Kaka je kwa upande wa aquos na docomo, sio hatari?
bro iphone 11 iko salama
Ndio ni nzuri sana
Kipi ca kutumia ili hiyo miyonzi isituzuru
sasa vindore zangu hua zinafura usiku sana nakuna rangi imetokea vindore
Hii ni faida kwà atakae asotaka atajisikia mwenuewe hujalazimishwa kijijadhari. Na kama ni cancel imeenea western countries almost every two to three out of ten people have the said decease. Kwà hio kuambiana kuko kufuata na kusikiza ni khiari. Majito ni mjukuu.
Asante kabisa ufanya vizuri tumepata kuelewa kuhusu simu zenye sumu
Nikweli kabisaa Aowanao Isha watajua Awajakutana nayo Aidha wafanya biashara Awajali Afiya zawatu mimi nimesha tumia cm ya Samsung Ayo uliyo yataja yote yalikuwemo nimeitumia myezi 6 tuu ikanishinda sikutaka kumpa Atamtu nili Ipasua nilijua inamadhara makubwa
Simu gani sasa ndio haina madhara kama kupata magonjwa tumepat
Je ulitumia infx 6 nahii inamadhara????
Natumia infinix hot 40i na nyengine ni not 12i nazijawahi kunifanyia shida yoyote muache uongo wabiashara baanah
kwani umesikia anataja hot 40 ,kasema ni hot 7,8 na siyo infinix zote,jamaa yuko sawaa maana samsung s10 zinachemka sana halfu charge zinakimbiza
Iphone mbona inaripuka kwenye charge
@@chinasaid4353 Milipuko ya betri za iPhone wakati wa kuchaji husababishwa na hitilafu za kiufundi kwenye betri, kama vile uharibifu wa ndani, mzunguko mfupi, au udhibiti mbovu wa joto. Kuchaji katika mazingira yenye joto kali au kutumia chaja mbovu, zilizoharibika, au tofauti na chaja ya simu yenyewe kunaweza kufanya betri izidiwe na kupasha joto kupita kiasi, hali inayoweza kusababisha moto au mlipuko. Aidha, uharibifu wa nje kama vile kuanguka au kupigwa kwa simu unaweza kudhoofisha muundo wa betri, kuleta matatizo ya ndani yanayosababisha mlipuko.
Kwa hiyo simu IPI ninzuri kutumia?
Asante kwa elimu, naomba matini hii video
Ni mchanganyiko wa vyanzo vingi sio chanzo kimoja
Sasa Infinix Smart 7 nae uma sumu????
Na siyo sm tu hata tv,mikanda,miwan,brazia,viatu
Ngera kwa utafuti huo
Kaka mungu atatusaidia hatuna other wise God is great
Hii ni baada ya mlipuko wa hizibula huko jordan au?
Watanzania mpaka mpate madhla ndo mseme kumbee nikwer
Ahsante kwa taarifa
Kwenye matoleo ya Samsung ambayo yameripotiwa kuwa sio salama ni Galaxy 10, je hii ndio Galaxy S10 5G ?
Mm naamini huwnda ikawa kweli
kumbe zinaua taratibu mi nikajua haraka tutafutie zinazo ua haraka mkuu
Weww ,huenda mapenz ndo yanakuchanga ushajichokea😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Je Infinix smart 7 nayo Ina shida
hi Mimi simu yangu nilinunua Saudi Arabia na ninapi itumia hua naskia nikama naganda vindore simu yenyewe ni benco
Tumia muda mchache kuotumia
Asante sana kaka nikweli kabisa tunakushkuru kwa kutuelewesha
@@halemasuliman-js8ug Ahsante sana
Ni kweli kabisa naelewa sana ila wale waliosomea mambo ya ufundi wa elekronic
Kaka naomba unipigie ili nikuulize kitu kuhusu haya haya mambo ya elektronic. Inbox
Asante sana barikiwa sanaaaana
Subhana Allah 😭😭 laa illah haillah 😭🤲 Yarrab atupe Khushi khatma
Elimiu hii ifundishwe Kwa watu wote
Ahsante sana
Simu aina ya zte
Asante sana
Uwongooo
😂😂😂sasa tuepuke na utaka tuwatch channel yako😂
Hakikisha ume SUBSRIBE, like na Whare video hii kwa uwapendao. Hii itafanya uwe wa kwanza kupata video zetu mara tu tunapo wela video mpya RUclips. Malengo yetu sio mabaya
😂 hizo zinazoua Taratibu si ndo nzuri, kwani ni nani kakwambia anataka kufa haraka?
😂😂😂😂😂😅
Infinx 665
Nakuruhusu sana kwa maelekezo mazuri
Hello
Samahan kwahy cm sahihi ya kutumia niipi, ? Nipe jibu niepuke haya
Simu zenye kiwango cha chini cha mionzi,.... zinqtoa mionzi kidogo sana wakati wa matumizi ya kawaida. Mfano
Google Pixel 6a
Samsung Galaxy A32
Apple iPhone 13
Motorola Edge 20
Ubunifu bora wa antena inapunguza matumizi ya nguvu, hivyo simu inatoa mionzi kidogo zaidi. Mfano
OnePlus 9 Pro
Samsung Galaxy S21 FE
Sony Xperia 1 III
Xiaomi Mi 11
Teknolojia za kisasa kama 5G au 4G hii inasaidia simu kufanya kazi kwa ufanisi, ikitoa mionzi kidogo. Mfano
Apple iPhone 14 Pro
Google Pixel 7
Samsung Galaxy Z Fold 4
Oppo Find X3 Pro
Simu zenye uwezo mzuri wa kushika mawimbi hazihitaji kutumia nguvu nyingi, hivyo mionzi hupungua.
Nokia G50
Realme GT Neo 2
Vivo X60 Pro
Asus Zenfone 8
Ubunifu wa vifaa bora vya ndani hupunguza uzalishaji wa joto na matumizi ya umeme, hivyo mionzi ni kidogo.
Samsung Galaxy A52 5G
Xiaomi Poco F3
Sony Xperia 10 III
Motorola Moto G Power 2022
ANGALIA MOJA KATI YA SIMU HIZO
Wewe mwenyewe umetumia sim ten ww umetuzd ad unajua kuapproad elim yak imekusaidia nn andik kitabu tununue
Ni asilimia chache za watu wanaopenda kusoma. Wengi wanapenda kuskiliza na kuangalia kuliko kusoma kwa sababu wanahisi kama wanatumia nuda mwingi kusoma. Hivyo ndio maana hata wanaoandika vitabu wana makala zao mitandaoni ili wasiopenda kusoma watumie zile makala. Ahsante sana kwa maoni yako
Hawa wasomi wasitake kutuchanganya wanajikita kuzungumzia vitu vyenye mazara pindi vinapotumiwa na watu!!! lakini pikipiki zinazouwa kila siku hawaziongelei!!! sasa kinachouwa hadharani na kinachouwa bila kujua kipi kiaminiwe? tafuteni hela haya mambo ya matatizo na majanga mbalimbali ni sahemu ya maisha!
Na ww yko n gn,na huo uchunguz wko ulianza ukiwa tyr wajua n aina gn za simu yapaswa or yastihili kutumia,
God bless
Amen 🙏 🎉
Nonces
Nonsense.
Hakuna binadamu atakaye ishi milele sio laziauwawe kwa simu
Hio nikweli
. Nilipata simu kama hio ilasikuelewa Shida ya letwa na Nini ilinishinda nikaenda irudisha dukani
Tumeisha Kabuki lilee linaonekana tulio kwisha tumia tuendelee au tufanyajee
@@fasilkais5669Tumia simu bora na nzuri.
Simu nzuri ni zile ambazo ni matoleo makubwa kwenye kampuni husika la simu. Mfano infinix Hot 7 na hot 8 ni matoleo ya mwanzoni ambayo yanaweza yakawa ni sehemu ya majaribio ya ubora na soko. Ila infinix hot 30 na hot 40 kidogo ni nzuri kwa maana ni matoleo yaliyoendelea na makubwa hivyo hivyo na kwa makampuni mengine. Toleo la kwanza sio zuri kama toleo la hivi karibuni
Bro tuonyeshe simu bora
@@DavidMusonda-o5vMakampuni mazuri ya simu ni Iphone, Google pixel , Samsung na Huawei.
Simu nzuri ni zile ambazo ni matoleo makubwa kwenye kampuni husika la simu. Mfano infinix Hot 7 na hot 8 ni matoleo ya mwanzoni ambayo yanaweza yakawa ni sehemu ya majaribio ya ubora na soko. Ila infinix hot 30 na hot 40 kidogo ni nzuri kwa maana ni matoleo yaliyoendelea na makubwa hivyo hivyo na kwa makampuni mengine. Toleo la kwanza sio zuri kama toleo la hivi karibuni.
Asante sana brother
Simu zipi tutumie? Maana umetaja zenye simu lakini zisizo na simu hukutaja
Wazimu mwingine, kwani ametoroka mathare
Mi nina sumsung galax j 4, na samsung galax j 4+ je nahizo zina tatizo lipi?
Zipo salama
Mi nina Samsung galaxy A02 vp ina shida nayo maana mpaka nimeogopa
@@glorysungura3180 ni nzuri ila mwanga wake n mkali sana kwa usalama wa macho washa Eye care
shinda yenu ni maelezo ya maneno mengi hayana maana na kurudiarudia maneno moja
Huyu mtu ni mwongo sana wewe kama ww huna uwezo wa kuunda simu utajuaje madhara yake ww utakuwa na matatizo ya kichwa wewe mpotoshaji chaji mbovu
Natumia Samsung galaxy S10e, hiyo je?
Halafu sim techno supark 10 haina madhara?
Naomba kujua ni aina gani ya simu ambazo hazina hiyo shida ?
Pamoja. Kuwa ni biashara...je Srikali halijui hilo,...
Bro acha kupotosha watu hamna ushaid wowote apo👂👂
Simu yangu Infinix hot 12 vp Haina tatizo
Tueleze na hizo ambazo hazina madhara
Ata watoto wanavaa miwani mapema waaaa
Kama simu zinamatatizo kwanini zinaingizwa sokoni
Mm simu yangu ni Nokia but iko na Moto Sana tena huwa inanichoma
AHSANTE SANA KWA USHAURI WAKO
Dimewaomba rihusa wenyevkampunii)( tumechoka kusikia kuwa huyu katekwaa
Tafta ela ww usije ukauponza
Na Samsung galaxy A02 pia hyo n hatar
Hapana
@@Shabirimohamed255 nko safe thanks kw majibu yako mkuu
Wewe unataka kuishi milele duniani?
Lomgolongo nyingi neda kweny point