FAHAMU KUHUSU WATU AMBAO HAWAWEZI KUAMBUKIZWA UKIMWI
HTML-код
- Опубликовано: 29 авг 2020
- Kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya UKIMWI (VVU) na hawawezi kuona dalili za UKIMWI hata virusi vya UKIMWI vikiingia mwilini mwao.
Tazama video kufahamu zaidi
Siku ya kufa ikifika utakufa tu,Ata ukae ndani ya chupa, nikumuachia mungu tu
Ukweli kabisaa Mimi pia Mme wangu aliaga miaka kumi na mbili iliyopita but nimepimwa mara kwa mara sina huyu mungu ni mtetesi kwa wanyonge
Wewe ni carrier
@@johnoduor9370naomba unieleweshe kuhusu carrier
Ugonjwa ulitengenezwa na binadamu. Mungu pia kaweka kinga yake kwa amtakae ndo ivyo amna ajabu tungeishaisha wote afrika
Nakubalii saana mi niko Tanzania, ila huyu Mungu aitwe Mungu tuu😢🙏🙏 mi niling'atwaa na pia nilishea mara mbili na mtu na pia kuna mifano ya watu pia wawili
Ukikadiriwa kuwa utaupata haijalishi upo Sweden au Zimbabwe utaupata hayo ni makadirio ya muumba kondom haizuii wa huna ujanja wa kukwepa ikiwa umekadiriwa kuupata. Tumuombe msaada wa ulinzi muumba wetu
Nakubaliana na wewe 100%
Asante,Ila ata hapa wapo,Kuna mwanaume ameishi na mwanamke mweny virus zaidi ya miaka 13 na ajaambukizwa
Inachukua mda ngan kuonyesha kuaunamaabukiz baadaya kutoka kushiliki na muasilika
Ni kweli kabisa
jaman
Doctor mm nimekwisha tembea na wanawake zaid ya watatu na Kila napo Pima sina
Mm navidonda mdomoni na kimoja kinauma sna km mito ni kipele na vidonda vipo vingine juu ya ulimi lkn nishapima km mara 2 sna kitu sna maambukizi yoyote na nasumbuliwa na madonda niliumwa mda mrefu sna vidonda vya tumbo km mwezi je vidonda ni vya homa au
Ukitumia condom alafu ipasuke ,Na ukuwe umemwaka spams utapata kwa huyo mtu mwenye ako Na viruses
🤔🤔
Nishawahi kabisaaa kuckia Habari hiiii
Nakubaliana na wewe
Tunaomba reference + evidence ya hao watu kwenye hizo nchi ulizotaja plz?
No substances! But well spoken
Hao watu ambao hawana izo sehemu za kutunza virus ili baadae waende kushambulia cells wao wameumbweje au nin kipo hadi wawe tofauti na wale ambao wana izo sehemu za virus kujihifadhi before kushambulia cells?
Je kati ya vikundi vya seli za Damu O,A,AB, B Kuna isiyo weza kuambukizwa kwa uraisi?
Danganya watu sasa
Ni kweli
Nilifkr binadam wote ni sawa kumbe hamna!!
Hiii
Mmmmmh 🤔🤔🤔🤭
Hivi xax unaweza kujijua vip kama wewe cell zako azishiki maambukizi
mm nakauka koo
Mboni ueleweki
Wanotumia dawa wanaweza kuambukiza
Ni kweli kuna watu hawawezi kuambukizwa ukimwi lakini hao watu hawawezi kujijua na kuwa baadhi ya hao watu wako nchi za scandnavia inaweza kuwa kweli maana kwenye hizo nchi hazina maambukizi mengi kama Sweden wenye ukimwi hata 10 000 hawafiki
Hakuna maambukizi mengi kwa sababu ni watu wastaarabu mambo ya ngono hawana muda nayo.
Niko na swali mm kama nilipima na mpenzi wangu nikapata tuko sawa kumbe yy alikuwa na mwengine ambae ana virusi je mm Niko hatarini ama coz nilimpima nikampata yuko sawa
Msijamiane Hadi miezi mitatu hihishe uku mkirudia vipimo
Umuache maana huyo ni malaya
Dfh
sio nchi z ulaya tu hata duani kote wapo nikulingana na group ya damu aliyonayo huyo mtu wapo wote duani sio ulaya tu acha kudanganya watu
Atari zana mungu awalinde watoto wake hakuna jis?
Nimekuunga mkono nina ushuhuda
Kuna uwezekano wa kukakua mwili wangu una receptors au hauna
kuna watu hawawezi kuaota ukimwi. mfano watu wa group la damu O- HAWA NIWACHACHE PIA DUNIANI yani. ningumu wana damu kali
Nikweli Tanzania tupo
Kwel happy au utani
Je kama mtu amepata maambukizi ya vvu japo vipimo havijaonesha kuwa mtu ana vvu ,akijamiana na mtu mwingine anaweza kumwambukiza vvu?
Hapana mpka awe na copies 50 ndo anaweza
🤒🤒
Najuaje mtu ana hizo seli
Jee ukingwatwa mtu mwenye ukimwi unaweza kupata
Na mtu akiwa na ugonjwa wa ukimwi ni lazima atambukiza mtu ana kuna wale hawawezi ambukiza mtu
Mtu ambaye hawezi kuambukiza UKIMWI ni yule ambaye ametumia dawa vizuri na kufanya virusi vipungue kiasi kwamba hata akienda kupima virusi vinakuwa havionekani kwenye damu
Vipimo vyote havionekan??? Au kipimo Cha pili ndio hauonekan???
@@afyatips Asante sana coz mm nko nazo but huwa siambukizi mtu na ni muda tuko wote Kwani sasa hata tuko na mtoto naye but Jamaa anajua mm nko nayo
@@milkakeya5993 Kweli????
🤥
In boxx nikwambie
Huu urongo mtupu... Ukipatikana kuwa wewe huwezi kupata ukimwi inamanisha wewe ni carrier
Asee sijapata kuona jitu jiongo km ili da
Hahahahaha
😄
Huu ni ukweli moja wapo ni mimi.... ila naona si kisayansi. Nahisi kuna nguvu ya mungu hapo. Kma ni ukimwi ningeshapata ila ni nguvu kubwa ya mungu nipo nayo.
Siamini kma kisayansi uchomwe sindano ya mtu wa ukimwi na usipate. Ninachoamin ni nguvu ya mungu
Mbn Kama sikuamini vile na somo lako silielwi
Uwongo acheni
Kuna uongo gani hapo?!
Nikweli weeee
usimtukane mamba kabla hujavuka mto
Na wale weny group 0 wanawwza pata
Ndio anaweza kupata
Je ukigusa dam ya mwasirika unaweza kupata
Utajuaje km auwezi kuambikizwa vvu
Unabidi ujaribu na mutu mwenye ukimwi
@@user-is2vr2xo6m jaribu na wewe
Ukilomance na muathilika Kuna uwezekano asilimia ngapi kuambukiza? Vvu?
Kuna asilimia chache kwa sbb inategemea kama wote hamna michubuko mdomoni ambayo inatoa damu
Mimi nikona swali,ukilala na mtu mwenye akona ukimwi,na akose kukumwagia,ni lazima upate ama
Ukimwi haupat kwa kumwagiwa una upata mchubuko pale mnapo kuwa mnajamiana au kushea vitu vyenye incha kali na mtu alie hasirika
Hivi kweli kondom inazuiya ukimwi?
Mfilipino Mshana ndio ikitumika kwa usahihi huwa inazuia
Je, kuna kipimo cha kujua kama una receptance au huna???
Kwani hao wa Scandinavia waliwatambuaje Ina maana Kuna vipimo vilifanyika.
Unataka kujua upige Tako bila stress
Wanasema ukimwi unapata kwa mchubuko, mfano ukiwa unafanya mapenzi... Sasa ukipaka mafuta wakati wa Kufanya mapenzi huwezi kupata ukimwi?!
we jichanganye tu uone balaa lake
@@smarty1064 hhahahahaha
@@zuriathdasilver810 anajitoa ufahamu ngoja ajichanganye tumpelekee matunda hosp
@@smarty1064 mwambie 😂😂😂
Mmh
ungeelezea inatokana na nini mpaka asipate huku ukilinganisha na group yake ya damu au uongeze maelezo kindani zaidi kwani baada ya kusikia hii audio yako ndo mtu anazid kuwa na maswali meng
Haitegemeani na group la damu! Kutokuwa na hyo receptance ni uumbaji wa Mungu tu
Je kwetu africa hao watu hawapo??
Na zani ni MUNGU anatulindaga jamani mm niliishi na mgonjwa tena alikuwa anakoowa sana nimeishi naye miaka mitano na tulikuwa tunajubuana ila na mshukuru MUNGU sikupata nikaja nikaanza mausiano na mwengine tena na yeye alikuwa umekolea sana lakini MUNGU alinilinda jamani tena yule wa mala ya kwanza nilimpenda sana ataakawa anajisikia vibaya yeye anao mm sina nikaanza kufanya makusudi ili niupate na yeye alizike ikashindikana mpka badaye nilipo safili ndio tukaachana kwaiyo iyo ipo jamani MUNGU wetu ni mkubwa sana mm amenilinda kama ni yamini tulikula lakini wapi namshukuru MUNGU kwa kunilinda
Hv ukifanya namtu mapenzi hujavaa condomu utatumia mda gani upate ukimwi
Kama unae fanya nae ameathilika wewe ukichubuka tu na kugusa Yale majimaji au Damu basi itakuwa umeathirika Cha kukuokoa ukiona una wasiwasi na ngono mliyoifanya na humwamini uliye fanya nae wahi hosipitali kabla ya massa 72 hayajapita.
Asa utajuaje kama umechubuka?
Ivi kupata siadi ote mchubuane au
Wiki tatu tu
Mume wangu ana ukimw na kumuacha cwez nifanyeje
Watu wengine bwana akili zenu zimeingia unga wa muhogo! 😛
We endelea kumpa mzigo tu mtafanana haitaleta shida
Usimiache mume wako kisa muathirika , maana aujui kesho yako awo wanaokushauri cjui kama Afya zao wanazijua jinsi zilivyo
Usimuache fuata maelekezo tu mtaishi
Je unaweza pata ukimwi ata kama mwanaume yeye hakumwaga ndani🤔🤔
Ndio dada
Darasa la ngapi?
Doctor Mimi huwa nawahi kuis njaaa afu mwili wangu unachemka chemka Sana yaani yaani takuwa na na dalili zipi
Hahahahaa ww sasa unatak kujitisha, some time mwili unakua hivyo pale unapotaka kunenepa inatokeaga sana hivyo na kaucngz flan iv.
Kapimw
@@sherabomar66814:20
Nenda pima sukari ingawa sio dalili pekee ya sukari lakini kuna watu wamewah gundulika kwa dalili kama ya kwako
MMI natembeaga nao tena kavu kavu mpaka leo sina nanina watoto
🤣😥
mshukuru mungu Ila sku ya kunasa nimoja
Je mtu mwenye ukimwi akitumia kinywaji Cha baridi alafu akapima Kwa mda huohuo virus havitaonekana Kwa wakati huo
Ndio vitaonekana. Vinywaji vya baridi haviathiri uonekanaji wa virusi
@@afyatips sawa asante nimeelewa
Mh
Mimi nadeti na mtu nimemkuta anakunywa vidonge vya ukimwi na tumeenda kupima yuko vizuri je akinywa vile akipima aonekani?
Mimi nina swali nini siri ya kuishi maisha marefu
Mungu tuu mwenyewe
Muache umalayaa
Kwa mfano ulale na mtu wa mshuku kma ana ukimwi alafu amwage nje waeza pata ukimwi
Ndio uwezekano upo. Kinachoambukiza UKIMWI sio mbegu za mwanaume.
Ohhhh Kwa mfano labda haku furk na yey sana ama hukuhisi dalili za kukatika labda pia unaweza kupata ivo ivo najaribu kutafuta namba yako watsup lakini haiko nikueleze zaidi
Vipi kuhusu sifa za blood group O ni O plain and haipati magonjwa ama ni O yoyote
Mume wang ananiambia anawashwa na koo namuona akona homa namuona pia yuwaumwaumwa mtu mm simuelew maana naota anachepuka pia je naez enda kupimwa nikipatikana sina naez chukua prep yaez nisaidia tafadhali maana mm sion dalili kwang nisaidie doctor nijiokoa😥😥😥maana nataka nimuache ananifnya nishtuke
Hajawahi kubali tukapimwe ukimwi na tumeoana hivi majuzi alfu anafnya kazi ya usku sijajua mbn yuko hvo
si umshauli mkapime
@@ashleystarqueen8780 sasa siukapime ww ukikuta upo salama uchukue tahathari
Nakubaliana na wewe 100%
Thanks 🙏🏾🙏🏾
Nikweli Tanzania tupo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Samahan naweza kupata no yako kunajambo nataka unishauli please