Joel, Ninamzigo mkubwa napingwa kila kona, nikisogeatu kidogo narudishwa, kila mtu anaona sina mwelekeo. Lakin sababu kubwa inayofanya wani treat hivyo ni kazi walio niambia nisomee na baada ya kumaliza nimegoma kuajiliwa nayo. I wish siku nikutane na ww, sijui ni lin but naamin ipo siku tutakutana bro. See you at the top.
Kabisa kaka Joel, yaan nimeagiza tu bidhaa China, hata haijafika bado tayar kuna mtu kaniomba niwe namuagizia na yeye kupitia mimi, Mungu ana makusud kabisa na mm ingawa nimepitia magum mno ya kunivunja moyo had kukataliwa na nilie mpenda, lkn sijawah kata tamaa, see you at the Top
Mimi pia ni muanga wa familia kama hiyo, naendelea kupata maarifa kutoka kwako na Mungu ananijalia kutambua na kuona mambo makubwa hivyo Ubarikiwe kwa ujuzi huu, kusoma vitabu vinanipa nguvu ya kusonga mbele.
Let God bless you bro
Umenifundishaa mambo mengi sanaa nimekufatiliaa kwa mda mrefu sanaa hatimae ndoto yangu yakujenga ilitimiaa
Fika mbali sana mkuu
Aisee umesema na Mimi Kabisa... MUNGU akubariki MNO.
Mungu akubariki kaka
Barikiwa Sana
asante sana leo umenisaidia kujua vitu muhimu na hii imeniongezea nguvu kuendelea kupamban
Bro Mungu akutunze,,,,umenibeba sana aisee
Joel, Ninamzigo mkubwa napingwa kila kona, nikisogeatu kidogo narudishwa, kila mtu anaona sina mwelekeo. Lakin sababu kubwa inayofanya wani treat hivyo ni kazi walio niambia nisomee na baada ya kumaliza nimegoma kuajiliwa nayo. I wish siku nikutane na ww, sijui ni lin but naamin ipo siku tutakutana bro. See you at the top.
I'm learning a lot
Number boss bado Number
Mungu akubaliki yaani ata sasa ndo yanatokea kwangu
Shukrani
Asante sana kaka mimi niko pamoja na wewe mpaka nifanikiwe
nakuelewa sana kak ❤
Kabisa kaka Joel, yaan nimeagiza tu bidhaa China, hata haijafika bado tayar kuna mtu kaniomba niwe namuagizia na yeye kupitia mimi, Mungu ana makusud kabisa na mm ingawa nimepitia magum mno ya kunivunja moyo had kukataliwa na nilie mpenda, lkn sijawah kata tamaa, see you at the Top
Usijali ndugu, utapata atakayekupenda na mkapendana daima. Keep your hope alive
@@NasriAbdillah-pj1jx
Ameen
Shukurani Sana naendelea kujifunza
Aisee🤔 Kuna point Ninajiona kbs🤔Mungu Atusaidie sana! Shukrani sana Bro.Joel Nanauka, Nimepata kitu kikubwa sana!🤔✍️✍️✍️ Mungu akutunze sana🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana kaka
Ni kweli hakika Joel umenitoa mbali
Amina Amina Amina unaendelea kunitia moyo sana na umekuwa mkombozi wa family yangu ubalikiwe sana
Nikweli mwalimu kwa unachakisema
Kaka ahsante Sana umechukua nafas kubwa ya kunifungua akili mungu atakulipa zaid
Asantee mtaalam nimejifunza kitu
Nami nimekutana na hiyo hari na nipo nayo hata sasa, Hari yangu imekuwa ya changamoto sana.
Mimi pia ni muanga wa familia kama hiyo, naendelea kupata maarifa kutoka kwako na Mungu ananijalia kutambua na kuona mambo makubwa hivyo Ubarikiwe kwa ujuzi huu, kusoma vitabu vinanipa nguvu ya kusonga mbele.
Ahsante kaka kwa somo zuri
Asante kaka nimekuelewa , Mungu anisaidie katika kujua kuwa majalibu yangu yanaendana na kile nilicho beba
Thanks good advice ❤
Asanteee Sana umenisaidiaa
Kazi nzuri sana
Uko sawa kaka
Kwakweli hakuna ninacho poteza ninapo angalia video zako hapa Nina subiria nyingine Kwa hamu sana.
Bro You Are Geneous, Aisee Unajua Yaaan
❤
Mungu akubarikinitajitahidi niwe nacho iko kitabu
0762 312 171
Ukweli brother mungu akupe maisha marefu
Barikiwa sana kwa mafundisho kaka
I learn many thing here.
ubarikiwe sana, napenda na ninafuatilia sana mafundisho yako.
Be blessed sanaaa😊
Amina 🙏 Kwa mafundisho mazuri.
Asante sana kweli kabisa
vitabu vyako vimenibadilisha sana kaka joel be blessed❤
ASANTE
Thank you so much... kitabu kinapatikana wapi??
Namba hakuna a kaka
Kaka kitabu Cha ishi ndoto yako nitakipataje kwa hapa arusha
Jamani namba mimi sizioni😢
Fungua videos zake za nyuma utaona namba zake za simu
@@MwanaishaHemed-xi6rjAhsante
Nahitaji kitabu kaka
0 762 312 171
Mbona hakuna namba?
0762 312 171