AMESTAREHE KILA ALIYEMFUGA MUMEWE HIVI. (HUBBUL HALAL)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 18

  • @AnissaMuhammad-z5m
    @AnissaMuhammad-z5m Месяц назад

    Mashaallh ❤

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Месяц назад

    Kweli maelezo yote yapo sahihi pia nataka ivo vyungu kwangu vitumike vyungu

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Месяц назад

    Jamani lakini na wanaume wengine nawao wanavituko hawafanyi haki anakokwenda zamu atapeleka chakula kizuri nyumba iliokua hana zamu atapeleka muhogo na dagaa 😂😂😂😂😂

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Месяц назад

    Had rahaa jmn fliii kujiachia 😂😂

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Месяц назад +1

    🙏🙏🙏

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Месяц назад +1

    Wananyimwa waache kuparamia kama
    Minazi wafanye mambo yanayohusu ndani

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Месяц назад

    Mashallah nimecheka mama angu et nalichana kwa kiwembe

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Месяц назад

    Kweli maelezo yote yapo sahihi pia nataka ivo vyungu kwangu vitumike vyungu

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Месяц назад +1

    Hahahaahah wanaume wengine kanga hawataki wanaona ushamba

  • @SalmaAmaad
    @SalmaAmaad Месяц назад

    Km kuna magroup tuungeni ili tuzidi kufaidika na elimu ya ndoa

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Месяц назад

    Wananyimwa waache kuparamia kama
    Minazi wafanye mambo yanayohusu ndani kijungu icho sio sufuria

  • @RashidiAlly-cl7fo
    @RashidiAlly-cl7fo Месяц назад

    Wajina wangu hivyo haviitwi sufuria,hivyo ni vyungu vinaitwa

    • @RahmaRashid-lc6nw
      @RahmaRashid-lc6nw Месяц назад

      Mwanzo kasema vyungu baada kasema sufuria nadhani ni mazoea tu

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Месяц назад

    Mhhh bi furaha basi ujuwe kama wanaume hata uwafanyie nini hawana kheri unaona kenda kaoa na mambo yote umefanya

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Месяц назад +1

    Bibi itabidi uwafunde kuhusu kanga na kufanya raha za ndani wanaondosha njiani tuu na wao wafunde bibi sio kila siku unatusakama wanawake wenzio

    • @Fathiakhalid
      @Fathiakhalid Месяц назад

      Naombeni hichi kipindi kiendeleee tukipate yutub