Kiukweli wanawake wengi wakiolewa tu ndoa ndio inafifia na akiza mtto tu ndio basi yye keshajitia uzee hapo hakuna maporesho kwenye ndoa na hakuna kupambiwa hakuna maneno mazur hakuna mashindano chumbani mtu kama gogoooo ata hamu zinafifia kwa mume. Wau uliza kuwa na wivu na sim wakiskia mlio maskio . Ebu wanawake fanyeni mazuri mununuliwe vizuri
Shukran shekhe wetu kpnz
Kiukweli wanawake wengi wakiolewa tu ndoa ndio inafifia na akiza mtto tu ndio basi yye keshajitia uzee hapo hakuna maporesho kwenye ndoa na hakuna kupambiwa hakuna maneno mazur hakuna mashindano chumbani mtu kama gogoooo ata hamu zinafifia kwa mume. Wau uliza kuwa na wivu na sim wakiskia mlio maskio . Ebu wanawake fanyeni mazuri mununuliwe vizuri
Mashaallah❤❤❤
Maa shaa Allah shukran sana,mafunzo mazuri,
Maashallah naomba namba ya somo nina shida binafsi somo zuri alhamdulillah
Aaaah weeeh haa sibasi masharubu tena weee kazi ipo wanawake bwana mungu awatie fahamu subhanaallah mungu atustiri na kutuhifadhi
Karata,gems😂😂😂hapana,!